MZIGO HUU HAPA FULL HD MOVIE NAAMINI MMEJIFUNZA MENGI SANA...USIKOSE SEASON TWO MAMBO YATAKUWA MOTO ZAIDI... AHSANTENI SANA KWA UPENDO WENU MUNGU AWABARIKI
Kilinachompeleka hajira ni kwenda kumsumbua mpoji tu yy hana lingine , maggy kuwa makini na hajira coz round hii utakiona cha moto afadhali uhame bila hiyo
MZIGO HUU HAPA FULL HD MOVIE NAAMINI MMEJIFUNZA MENGI SANA...USIKOSE SEASON TWO MAMBO YATAKUWA MOTO ZAIDI... AHSANTENI SANA KWA UPENDO WENU MUNGU AWABARIKI
Nanyie pia Mungu awabariki mzidi kutuelimisha
❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉Nanyi asanten sana kwa kutuelimisha,Mungu awabarik na awatunze daima
Na nyie pia mungu awabariki kwa kazi nzuri na tamu kabisa maua yenu🎉🎉🎉🎉🎉
Mponji naomba season ya2 isichelewe
Wewe mage nimjinga sana hatabibilia yenyewe ina tukanya usitoe hekima yako mbele yawa pumbavu from 🇰🇪
Jaman wale tuliojifunza mengi kwa mage gonga like hapa
Mumetufunza mengi ktk hii movie MUNGU azid kuwatunza❤
Mauwa kwako mage🎉🎉🎉ndoa haina ufundi🎉🎉Kweli ni umtegeme mungu tu ndo kilakitu🙏🙏🙏
Wenye wametamani kumuona Baraka na Vai gongeni like hapa tukisonga mbele❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Big up Mage na Mponji hakika mumetufunza mengi
We mponji eti aoe achapiwe pia 😂😂😂
Tuna wapenda sana Mungu awazindi shie kwakazi yenu ❤❤❤
Ahsante pia nawe na jopo lako lote lawaigizaji hakika umetufunza mengi 🎉🎉🎉
Pole na kazi nzuri ndugu zangu
Tuna shukuru kwa hio kazi
😂😂😂ila mama shadiya eti napwiyanga
❤❤❤🎉🎉🎉Yaan mama shadia leo kaw mpole kwa mpunji 😂😂😂😂
Hongeren sana mage pamoja namponji
Mage nawewe mambo yako yawe yako umemsahau hajra Leo unamwambia mambo yako ngoja kikurambe😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂kamdomo mdomo fyuuuuu
Nzuri sana hongera ❤❤❤
🔥🔥
Mimi nmejifunza mengi kupitia kwa mage endelea na huo ukarimu na upendo
Mage mwishoni umezingua kwakumuambia hajira kilichotokea hapo nyuma ila nilijifunza mengu kupitia wewe mage wangu
Hajra kibao kimeingia poa kwa hyo jamaa😂😂😂
Hajra kamuita mponji ndugu yake😅😅😅😅😅😅😅😅kweli Hajra umemwambia ukweli nimejifunza mazuri tena mengi🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤
Nitafanyaje sasa waudug
Jamani nyie 😂😂😂😂😂
Ukopoa sana
Tupo pamoja mpaka mwisho❤❤❤❤
Tunahitaji kujua Baraka na mkewe yuko wapi anaendelea je ❤
Mage mara hii kua macho sana ❤
Kazi nzuri
🎉🎉🎉
Nimepata imeisha well na ikiwa na mafunzo yake kama ilivyo ada
Mm wakwanza leo mnipee basi muache hizo😂😂🎉
❤❤🎉
Haja hajra bahn
Mage nawe sasa unamwambia nn hajra kua mmeo alikupa talaka
Hatimaye imeisha
Mage ujue unemuongezea kibarua hajira cha kueneza umbea
Jmn mbona kapotea Baraka nime miss ubwabwa😂😂😂
Haha hongera magee but take care 🎉🎉 mponji mwenyenzi,Mungu akujariee heriii ila mponji acha hasiraa
Mage mbona hivyo tena hungemwambia hajra
Mage jikulacho kinguoni mwako. Usimuamini sana. Mama shadya mpaka unamueleza mambo yako ya ndani. Huwezi jua anawaza. Nn juu. Yako
🎉🎉🎉🎉
Mtafute namna yakuiaga mvi mnalizeje kishamba vile sijaelewa
Movie haijaisha au hujaelewa
Akili yote ya hajra ipo Kwa mponji haoni mwanaume mwingine
Hajira hakume jaman
Sas mage hunaropoka nin
Kilinachompeleka hajira ni kwenda kumsumbua mpoji tu yy hana lingine , maggy kuwa makini na hajira coz round hii utakiona cha moto afadhali uhame bila hiyo
Wanne jaman like zenu
Naona kipindi kikifuka tamati soooon😢Hii misamaha inayoendelea kwa hii episode,wuee🤔
Jamani mbona me haitoi sauti?
Asante sana
Thanks 💪
Kweli we nawe Mage huna akili,huko kote ulikopita hujajifunza tu? Yaani unamweleza adui yako mambo yako? Unaupumbavu sana.
Wa kwanza naomben like zang
Hivi mponji hoiyo miwani nii. Ya uremmbo au una tatizo la macho???
Hiyo
Ya macho
WATU MNA MISIFA YA KUWAHI KUCOMMENT