CEO Simba azungumzia mustakabali wa kocha Mgunda na kocha mpya
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 3 ต.ค. 2024
- “Mwalimu Mgunda yupo sana ndani ya Simba” maneno ya Afisa Mtendaji Mkuu wa Simba SC, Imani Kajula akizungumzia mustakabali wa kocha Juma Mgunda na ujio wa kocha mpya.
Simba SC ina jambo lake hoteli ya Hyatt Regency Dar es Salaam.
#SimbaSC #SimbaNaJamboLao #Simba
Nimefurahi laliga kurudi azam tv asee itakuwa ni motoo msimu huuu💪🏾💪🏾💪🏾
Kuna sehemu mnamkatisha nia mzee wa ball litembee mpenzi timu angalau msimu mmoja aonyeshe uwezo wake
Umeongea pointi sana tajir
Matola kama atakuwa kwenye benchi la ufundi, Simba sc haichukui ubingwa, kama hamuamini nimekaa paleeeee
mgunda mnamchukulia poa
Akifungwa mechi hata Moja Fukuzeni si jambo la kuchekelea wakati Yanga lengo lake anafungaga zote
Nguvu moja
Mwacheni mgunda kwenye bench kama kocha msaidizi mbona ulaya makocha wanaweza kuwa hata 3
bado hujajibu swali. mgunda ataungana na timu au laa
Huyu ndo kikwazo kwa Juma Mgunda
Basi kama kuna kitu Mgunda hana, si mumpeleke shule akamilike ili huo uungwana wake kwenu uwe na tija on a mutual benefits
Viongozi mnazingua sana apa kwa Mugunda na mtazdi kuferi kwa awa makocha wa kigeni
Wacheza mnaosajiri ni wazuri sana tunawakubari ila ifike wakati viongozi wa simba muelewe kuwa wachezaji wanarogwa na nyma mwiko
Kama Huna at least D mbili huwezi kuwaelewa Simba!!!
Ila huu uongozi wa simba kuna mahali mi sielewi
Mimi pia
Nimefurah xan natka nimuon mbape
Wewe mpira ujui mambo zako ni za kiuni
🦁🦁🦁🦁♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️👏👏👏👏👏
Kocha ni Mgunda.
Unaulizwa kitu kingine unajibu utumbo
Ni hovyo kwa timu kama Simba kuwa na mkurugenzi wa sample ya Imani Kajula, ni uchafu uliokithiri yan
Uko sahihi, jamaa ni mbabaishaji sana yaani, takataka.
Hakuna uongozi hapo ni ubabaishaji tu.yaani lazima matola abaki ili awasaidie kupiga.
Kabsaaa,kuna Siri Matola anayo ijuwa,hatumtaki Matola ndio agent Kwa wa hezaji Kwa kuuza mechi
Nina maana agent kwa wachezaji Kwa kuuza mechi
NYUMA MWIKO
Ndio shida ya management ya simba. Kosha mbovu
Bora juma mgunda kuliko huyu kosha mpya