Ni nzuri sana filam zenu
Km hujabahatika kuona tamthilia KILIO CHA MAHABA SEHEMU YA KWANZA Bofya link chini upate Angalia mama akiivunja ndoa ya mwanane kwa mikono yake mwenyewe...Pia mjomba uone kanga alizofua mume siku ya valentine day akaenda futiwa maji kaka yake wa hiari..Pia upate shuhudia mjomba wa nasri akitaka kulipwa penzi la mke wa mjomba yake nasri ili atoe figo yake..Fuatilia kisa hiki kizuri cha kuelimisha juu ya ADUI WA MWANAMKE NI MWANAMKE MWENZIE th-cam.com/video/7WnyNlAY4SY/w-d-xo.htmlsi=VWmsmHSLBKwmVNud
Hili ni igizo tuu ila dadeq mizee ya hivi inanikera balaaa kama nimpige kofii😅😅😅
Hiii movie mumetoa funzo safi la kiislam...ila mumeharibu kwa valantein hyo haraaam kwa waislam😢
Ni kweli ila dhamira yetu ni kuifundisha jamii na hat ukitazama kila kilichofanyika valentinebkwa mipangilio yao hakikuenda sawa hivy ukiwa unajicho la pili utaelewa kuna funzo pia nimelitoa...Ila asante san kwa ushaur na usiaxhe kutupa plz
Mjomba mnyama zaidi ya mnyama na hafai ata kidogo katika jamii
Km hujabahatika kuona tamthilia KILIO CHA MAHABA SEHEMU YA KWANZA Bofya link chini upate Angalia mama akiivunja ndoa ya mwanane kwa mikono yake mwenyewe...Pia mjomba uone kanaga alizofua mume siku ya valentine day akaenda futiwa maji kaka yake wa hiari..Pia upate shuhudia mjomba wa nasri akitaka kulipwa penzi lavmke wa mjomba yake nasri ili atoe figo yake..Fuatilia kisa hiki kizuri cha kuelimisha juu ya ADUI WA MWANAMKE NI MWANAMKE MWENZIE th-cam.com/video/7WnyNlAY4SY/w-d-xo.htmlsi=VWmsmHSLBKwmVNud
😂😂😂mjomba uyoo kitu Cha kawaida tuu😂😂
@@jasminiIssa-y2q shukran muda si mref tutashusha ya kumi nataka nimalize deni la MATHNA
Sawa nikirudi tz nitakutafuta napenda sana kuigiza ila kama mke mkubwa au wifi na weza
Sawa nikirudi tz nitakutafuta napenda sana kuigiza ila kama mke mkubwa au wifi na weza
Km hujabahatika kuona tamthilia KILIO CHA MAHABA SEHEMU YA KWANZA Bofya link chini upate Angalia mama akiivunja ndoa ya mwanane kwa mikono yake mwenyewe...Pia mjomba uone kanaga alizofua mume siku ya valentine day akaenda futiwa maji kaka yake wa hiari..Pia upate shuhudia mjomba wa nasri akitaka kulipwa penzi lavmke wa mjomba yake nasri ili atoe figo yake..Fuatilia kisa hiki kizuri cha kuelimisha juu ya ADUI WA MWANAMKE NI MWANAMKE MWENZIE th-cam.com/video/7WnyNlAY4SY/w-d-xo.htmlsi=VWmsmHSLBKwmVNud
Hiyo ya tisa hujaileta tumeimis
Usijali vuta subra kidogo ntakuletea na naomb nisameh kwa kukucheleweshea
@@zawadiabdallah8342 asante kwa kunielewa na mungu akubariki pia asante kwa kutusoport mungu awape riziki ili mpate pia pesa ya kununua bando
Ss mwengine tupo uarabun hatutumii bando tunafumia wi fi ya bure ndo maana kutwa tupo mahewan😁
Si Kuna wazee mahasidi lakini, haya ukishapewa ndio utafanyaje mzee ovyoo ww 😢😢
KILIO CHA MAHABA SEHEMU YA KWANZA th-cam.com/video/7WnyNlAY4SY/w-d-xo.htmlsi=VWmsmHSLBKwmVNud
@@BinMahsen ukorofi uo wake kwani ameambiwa nkashindwa na shuuli aiiii,
@@chunaabdullah1333 Jaman si ndo maan aumwa figo 😂😂 kwa ajili ya kumiliki gari kubwa wakati yey ana kileseni cha boda boda
Itaendelea au ndo imeisha
@@BinMahsen nimeona tangu jana leo ndo nimemaliza ya nane ila nataman yule kaka apowe ili yule mwanamke ana yy farajike
Nmekuwa wakwanza kucoment like zangu Jaman 😂😂❤❤
Yanakuhusu haya🎉🎉🎉🎉🎉🎉