Huu si wimbo tu,ni zaidi, ni kukiri kwamba hata kwa kujua yote ninayo yajua na kuona mengi, ni YESU ndiye nimeamua kuchagua.Ni rafiki wa karibu,alinipenda hata wakati sikustahili.Akafa kwa ajili yangu yeye ambaye hakujua dhambi ili mimi niwe huru.Nimekuchagua wewe tu YESU❤
Sisi twapenda kwa maana yeye alitupenda sisi kwanza.... 1 Yohana 4:19 Yesu nakupenda kwa kuwa Wewe ulinipenda kwanza, twende kwa nani Bwana kwako kuna maneno ya uzima. Mbarikiwe sana wapendwa, kuna nguvu ya Mungu katika huu wimbo. Nabarikiwa kutoka Tanzania 🇹🇿🇨🇩
🎉🎉🎉❤❤❤❤Nakupendaa Yesu... Wewe ni kila kitu kwangu... MUNGU naomba uzidi kuwabariki na kuwainua zaidi waimbaji Hawa uliowaita kwa huduma hii... Our brother Patrick MUNGU WA MBINGUNI AZIDI KUKUBARIKI NA KUKUPA MAISHA MAREFU
Wonderful.. Thank you for The SONG Minister Patrick Kubuya, Hakika BWANA YESU WEWE NDIWE WANGU! ULIYENIPENDA KWANZA.. NAKUPENDA SIKU ZOTE MFALME WANGU, BABA YANGU, MUNGU WANGU.. Glory to your Holy Name JESUS.
I just wanted to be the first to comment, I'm blessed a lot with his ministry hasa akiwa anaomba katikati ya wimbo, nahisi he speaks on my behalf. Is someone else blessed with his Ministry.?
Mtumishi wa Mungu Patrick! Namshukuru Bwana Yesu kwa ajili yako, unaniingiza kwenye kuabudu sana... Roho na Moyo wangu vinamuabudu Mungu kwa kutetemeka❤❤❤
Je suis congolais du KATANGA vivant au usa merci pour la bonne musique. reste simple comme ça avec jesus Christ . J’aimerai vous voir faire un featuring avec l’artiste du ciel le PASTEUR JOËL KABWE DE LUBUMBASHI
Asante Yesu kwa kunipigania na kuniponya kutoka kwa vita vya kiroho. Adui alitaka niwe written off lakini kwa upendo wako nipo na ninazidi kuendelea. NAKUPENDA YESU.
Bro this one is another big hit ,Jesus loved us first so need to reciprocate His love for us kudos man of God and your entire crew for nice work may God use u more and more to touch many hearts.
Yote ya dhamani kwangu ni Wewe Nakupenda Bwana Yesu Umejaza moyo wangu na furaha Nakupenda Bwana Yesu Maisha yangu ni bure bila Wewe Nje yako ni kifo Ni Wewe Ndiwe uso ya uzima wangu Bila Wewe sifai Nakupenda Yesu Nimekuchagua Uwe wangu milele Ndani ya wengi Macho yangu yamekuona Sitaki mwengine Nimekuchagua Pekee Yako Ndiye moyo umependa Sitaki mwengine Nimekuchagua Yesu Yesu Yesu Wewe Ndiwe wangu
Patrick, you never disappoint. Authentic Worship for real. I thought Tenda was the best song for me in 2024 but hey it is being challenged already. PLEASE SHARE THE FULL LYRICS
Hallelujah Hallelujah, All Glory, Praise and Honour belongs to You Lord Jesus, My brother Kubuya stay blessed with your Ministry 🙏🏾🙏🏾🙏🏾 You bless us beyond all the imaginations 🔥🔥 UK 🇬🇧 🇬🇧Love U guys 👏🏾👏🏾🙌🏾🙌🏾
"Dunia ineniosha wengi lakini nimekuchangua wewe Yesu":the truth is that this world has so many gods and soo many majesus that i could opted for but i have chosen JESUS in this life and for the life to come,ooooooooooh,what a abling nd lovevly worship for our God the creator and JESUS our saviour
Maisha yangu ni bure bila wewe Yesu Kristo.❤ yote y'a samani kwangu ni wewe Yesu❤ Hakika WAM mubarikiwe na Mungu katika huduma. Katika nyimbo nasikiya uwepo wa Mungu.
Yesu nakupenda, furaha yangu ni wewe, eeeeh thamani yangu ni wewe, dunia imenionyesha kilio lakini wewe Yesu upendo wako wa ajabu, Yesu nakupenda... Yesu nakupenda ❤❤❤
I really testify is most talented song wrighter and performing artist show some love Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
❤❤❤🇰🇪
Huu si wimbo tu,ni zaidi, ni kukiri kwamba hata kwa kujua yote ninayo yajua na kuona mengi, ni YESU ndiye nimeamua kuchagua.Ni rafiki wa karibu,alinipenda hata wakati sikustahili.Akafa kwa ajili yangu yeye ambaye hakujua dhambi ili mimi niwe huru.Nimekuchagua wewe tu YESU❤
Sisi twapenda kwa maana yeye alitupenda sisi kwanza.... 1 Yohana 4:19
Yesu nakupenda kwa kuwa Wewe ulinipenda kwanza, twende kwa nani Bwana kwako kuna maneno ya uzima.
Mbarikiwe sana wapendwa, kuna nguvu ya Mungu katika huu wimbo. Nabarikiwa kutoka Tanzania 🇹🇿🇨🇩
Kenyans 🇰🇪love you❤ minister kubuya
Asante kaka Patrick Huu umekuja kuwa wimbo wangu pendwa Awali ilikua ‘TENDA’ na sasa huu wimbo unanibariki mno mno mbarikiwe sana ❤️🙏🙏
Tanzania tunakupenda sana @patrickkubuya mungu aikuze huduma yako. ni shauku yangu one day we will be together in @tukuyufmtz . God bless
Hallelujah 🙌🙌....Baraka Mtumishi.....Huu Ni Zaidi ya WIMBO😭😭🙏🙏.... Powerful 🔥🔥🔥🇰🇪🇰🇪🇰🇪 MUNGU awazidishiye NEEMA Yake🙏🙏.
Hakuna maisha mema inje ya Yesu. Mungu akubaribi sana !
Kenya 🇰🇪 🇰🇪 we love your ministration ❤❤❤
Powerful song NAKUPENDA SANA YESU
Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Kenyan watching from Doha Qatar i feel the vibe moved inspired big fun of kubuya band improvement in the team good job🙏
Aki nyimbo zako zanibariki♥️ sana, Mungu azidi kukinua kihuduma🙏
Amen...Yesu niwewe nakupenda.......🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪
🎉🎉🎉❤❤❤❤Nakupendaa Yesu... Wewe ni kila kitu kwangu... MUNGU naomba uzidi kuwabariki na kuwainua zaidi waimbaji Hawa uliowaita kwa huduma hii... Our brother Patrick MUNGU WA MBINGUNI AZIDI KUKUBARIKI NA KUKUPA MAISHA MAREFU
Amen amen
Glory to our Lord Jesus Christ
My brother 🙌🏾🙌🏾🙌🏾 you are a blessing🙌🏾🙌🏾🙌🏾 thank you for obeying the call
Amen amen
@@patrickkubuyabrodaa barikiwa Mtumishi kwa nyimbo zako ewe yesu mi NAKUPENDA UWE wangu milele❤❤
AMINA.ASANTE MUNGU KWA KUINUA KIZAZI HIKI KIKUTUKUZE KWA ROHO NA KWELI.SIFA NA UTUKUFU NI KWAKO.NINA KUPENDA NAOMBA UWE PAMOJA NA MIMI
Dada Rehema ata wewe hunibariki kwanyimbo zako.MUNGU AZIDI KUWAINUA NI KWA AJILI YA UTUKUFU WAKE
Nakupenda yesuu wangu 🎉. Aksanti saana Papa Patrick na équipe yoote kwa nyimbo nziri. Mubarikiweee
Amen
Oh how I love this whole band 🙌🙌🙌
May the Lord continue to use you guys ! Your service to the Lord He will sure reward !
Your song is powerful with blesse of God in my life i bless with your song i from 🇩🇪ug work in Kenya being sing like you
Tujuane ambao maisha yetu bila YESU ni kifo😢 YESU usiniache
Nakupenda YESU 🇰🇪
Waa,true worship.Amazing
Que Dieu vous bénisse abondamment
Merci Papa pour cette belle chanson sans Jésus Christ nous sommes de vaut rien
❤ Mtumishi Mungu unae mtumikia akubariki sana mimi binafsi nafulahishwa na huduma yako,Mungu awainue kwa viwango vikubwa sana.
Mwenyezi Mungu azidi kuku bariki abariki huduma yako, na jamaa yako
Maisha yangu ni bure bila wewe..nje yako ni kifo. Nakupenda
Maisha yangu bila Yesu ni bure ,nakupenda Yesu nimekuchagua uwe wangu🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Upendo wa moyo wangu ni wewe.yesu
Yesu nakupenda. Continue increasing in our lives as we decrease. God Bless you @Patrick Kubuya for this another masterpiece
Wonderful.. Thank you for The SONG Minister Patrick Kubuya,
Hakika BWANA YESU WEWE NDIWE WANGU! ULIYENIPENDA KWANZA.. NAKUPENDA SIKU ZOTE MFALME WANGU, BABA YANGU, MUNGU WANGU..
Glory to your Holy Name JESUS.
Nakupenda Yesu❤ ❤❤
Nabarikiwa sana na nyimbo zenu you guys you do it by spirit stay blessed more
Yesuuu nakupenda wewe ndiwe wangu 😭😭🙌🙌♥️♥️...
Brother ❤️❤️❤️🇹🇿🇹🇿🇹🇿
I just wanted to be the first to comment, I'm blessed a lot with his ministry hasa akiwa anaomba katikati ya wimbo, nahisi he speaks on my behalf. Is someone else blessed with his Ministry.?
All about God.❤
This is wonderful ❤❤❤❤❤
I Just bumpt into this Song ON the 1April‼️
Asante Yesu ...ndani yako Nina yote.Ninakupenda Yesu....
Kweli...wanitosha🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾
🙇♀️🙇♀️🙌🏻 Nakupenda Yesu, bila wewe sifai, asante kwa kunichagua❤
Thank you Tina
🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🤲🤲🤲🤲🤲
Amen 🙏
Sifa na utukufu himurudiliye mungu
Kati ya wengi nimekuchagua wewe peke Yako UWE wangu siku zoote za maisha yangu🇹🇿🇹🇿
Mtumishi wa Mungu Patrick! Namshukuru Bwana Yesu kwa ajili yako, unaniingiza kwenye kuabudu sana... Roho na Moyo wangu vinamuabudu Mungu kwa kutetemeka❤❤❤
Nimebarikiwa sana😢na wimbo huu
Je suis congolais du KATANGA vivant au usa merci pour la bonne musique. reste simple comme ça avec jesus Christ . J’aimerai vous voir faire un featuring avec l’artiste du ciel le PASTEUR JOËL KABWE DE LUBUMBASHI
Moyo wangu iku chague daima Baba...
Glory be to Jesus so touching more grace sir
Be Blessed Patrick kubuya...much blessings from Nairobi Kenya
nimekuchagua Yesu uwe wangu milele
Leo nipo hai ajili yako Bwana Mungu wangu mubarikiwe Sana Patrick
I you God,sitaki mwingine
This son is powerful
Nakupenda Yesu nmekuchangua wewe tu.....be blessed Man of God
🔥🔥🙏
Amen sana Mungu akubariki ❤❤❤
Nakupenda Yesu🙌🙌🙌🙌
Voices of Angels
Powerful 😢amen
Sad in such a powerful presence of the Lord some people are just busy taking videos.
❤🙏🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Hallelluya
Hoh mon Dieu
Where is the brown girl mwenye ali backup the other song
Amen
🙏🙏
Without you Lord I am nothing ... ❤❤🇰🇪🇰🇪🇰🇪thank you Lord for loving me... Be mine forever
Amen 🔥🔥🔥
Amen
Ninachoona kwa kiongozi na kikundi kizima ni unyenyekevu. Nyimbo zenu zimejaa upako. Barikiweni na muinuliwe viwango vya juu.
Maisha yangu bila yesu bure.......this is classic one ❤❤❤❤❤ from Tanzania 🇹🇿🇹🇿🇹🇿
❤❤❤
Kenya 🇰🇪🇰🇪 forever worship our father who at heaven
Amen 🔥🔥🔥
Utukufu mpaka utukufu
Let songs be our prayer sound when we can't have a chance to talk any word, and in circumstances when tears overwhelm words.
High higher than expected. African rising in jesus name. from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪. Love love
Amen 🔥🔥🔥
wonderful song... God is so much pleased when we worship Him🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
From KENYA 🇰🇪🇰🇪🇰🇪♥️♥️💕♥️♥️♥️ much love 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Gloire à Dieu pour le boulot
Asante Yesu kwa kunipigania na kuniponya kutoka kwa vita vya kiroho. Adui alitaka niwe written off lakini kwa upendo wako nipo na ninazidi kuendelea. NAKUPENDA YESU.
Amen ♥️♥️♥️
❤
Bro this one is another big hit ,Jesus loved us first so need to reciprocate His love for us kudos man of God and your entire crew for nice work may God use u more and more to touch many hearts.
❤
Hakika bila Yesu mimi sii kitu,Mungu aendelee kukutumia nyimbo zako zina uwepo wa Mungu tunabarikiwa sana.Mungu akubariki.
Nakupenda🥰💗💓💗Bwana yesu nakupenda,,,yote ya thamani kwangu ni wewe Yesu
Bwana Yesu nakupenda❤
I am nothing without you my Lord
Much love from Kenya🇰🇪 💗
Nimenyeshewa na mvua ya baraka mmeimba vizuri na uvaaji wenu hata mungu ametukuzwa wapewe maua bila wivu🎉❤😅
Always longing for master pieces from you man of God
Actually the lord is using you to uplift us through your music
We love you jesus
if humans can sound this good think of what heaven will be 🤔🤔🤔🤔
❤❤❤❤🎉🎉🎉
His rhythms sound so much like what we will sing in heaven. Such a heart of worship
Yote ya dhamani kwangu ni Wewe
Nakupenda Bwana Yesu
Umejaza moyo wangu na furaha
Nakupenda Bwana Yesu
Maisha yangu ni bure bila Wewe
Nje yako ni kifo
Ni Wewe Ndiwe uso ya uzima wangu
Bila Wewe sifai
Nakupenda Yesu
Nimekuchagua Uwe wangu milele
Ndani ya wengi
Macho yangu yamekuona
Sitaki mwengine
Nimekuchagua
Pekee Yako
Ndiye moyo umependa
Sitaki mwengine
Nimekuchagua
Yesu
Yesu
Yesu
Wewe Ndiwe wangu
Patrick, you never disappoint. Authentic Worship for real. I thought Tenda was the best song for me in 2024 but hey it is being challenged already. PLEASE SHARE THE FULL LYRICS
I love you Jesus i have chosen you to be mine forever ❤🙏 amaizing and wonderful song thank you@patrick kubuya for the ministration
Ooh Jesus raise my spirit again without you lord am nothing and totally dead... nakupenda yesu❤❤❤🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Hallelujah Hallelujah, All Glory, Praise and Honour belongs to You Lord Jesus,
My brother Kubuya stay blessed with your Ministry 🙏🏾🙏🏾🙏🏾 You bless us beyond all the imaginations 🔥🔥
UK 🇬🇧 🇬🇧Love U guys 👏🏾👏🏾🙌🏾🙌🏾
NAKUPENDA YESU KWA MOYO WANGU WOTE🇰🇪🇰🇪🇰🇪
AMEN, AMEN ROI DE L'UNIVERS SOIT TOTALEMENT ÉLEVÉ SOIT BÉNIS FROM DRC KINSHASA
Hi
"Dunia ineniosha wengi lakini nimekuchangua wewe Yesu":the truth is that this world has so many gods and soo many majesus that i could opted for but i have chosen JESUS in this life and for the life to come,ooooooooooh,what a abling nd lovevly worship for our God the creator and JESUS our saviour
❤❤❤❤wooow,,such a powerful song,,much love from 254🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Le chant de ma destinée...qui a tout déclencher et réveillée ma conscience...Mon temoignage
Maisha yangu ni bure bila wewe Yesu Kristo.❤ yote y'a samani kwangu ni wewe Yesu❤
Hakika WAM mubarikiwe na Mungu katika huduma. Katika nyimbo nasikiya uwepo wa Mungu.
Yesu nakupenda, furaha yangu ni wewe, eeeeh thamani yangu ni wewe, dunia imenionyesha kilio lakini wewe Yesu upendo wako wa ajabu, Yesu nakupenda... Yesu nakupenda ❤❤❤
Félicitations
Que la gloire revienne à Jésus-Christ
Nakupenda Yesu nimekuchaguan uwe wangu milele,,Kati ya wengi macho yangu yamekwona sitakii mwinginee nimekuchagua ,peke yako ndiye moyo niweka sitaki wengine nimekuchaguaaa.
Mungu awabariki kwa kufanya jina la yesu kuinuliwa na watu wote .
Thank you for expressing what's in my heart beautifully 🥹🥹🥹
I love Lord Jesus
Nje yako Yesu hakuna uzima,nje yako Yesu hakuna utajiri, nje yako Yesu hakuna aman❤️❤️ nakupenda
Such a blessed song with blessed vocals, thank you Patrick Kubuya for this masterpiece
Powerful indeed ❤❤❤from Kenya