🔴
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 5 ก.พ. 2025
- WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Style za wimbo mtoto idi ndio rap ya kisasa kama wimbo wa dunga mawe. Big up Juma
Back vocal wabovu wanaharibu sauti halisi ya legends
We unayesema nature kazeeka hawezi kuimba nenda msondo ukawaone wazeee Sir nature saluti mzeeee waoneshe watoto wadogo
Kwani Bro nikikuamkia kuna noma shikamoo bro ninacho kupendea bro wangu unaga mbambamba tangu nakujuwa kwenye radio mpaka siku nakuona live siku moja ulitinga mitaa ya home tulipariii kichizi ulipigwa mduara nikacheza ukasema irudiwe ulikuwa na mshikaji wako doctor yupo U.S.A now wewe na mwana FA nimewashika mikono ALHAMDULILLAH na mlikuwa ma super star mlikuwa mnatembea bila bodyguard na maisha yanaenda fresh tu lkn siku hizi duuh kidogo ume hit basi una watu kama 6 pembeni hivi mwenyezi Mungu akujalie afya njema ili wa funs wako tuinjoi 💪🇹🇿🇦🇪
Respect sir nature noma sana 🔥🔥
Zilikuwa siku nzuri sana...old is gold
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Juma nature comedy Sana
Kigali Rwanda tunawakubali mia
Mzuka Sana aise
It's remind me those days I was little boy , we use Caset at home
Ushauri ni muhimu kutumia instrumental za nyimbo husika hii live band na back vocal hazisimui kabisa japokuwa hongereni kwa maandalizi
Congratulations sir nature kiroboto...na Mr 2 Sugu..kazi nzuri sana wanangu
❤🎉❤🎉 tunaoelewa uwezo wao na umri tunajua hawajatuharibia kabisaaa.
Sawa mlikuwa International, ila muziki wetu haukwenda kama sasa, vijana wamefanya vizuri zaidi
Hawajafanya Kaz ni utandawaz umewasaidia,😅 wivu tuuuu😅😅
Kiyaraaaa muraaaaaaaa kubali
From Nairobi naikubali sana
Vibe Kama lote Tanga & kilimanjaro shuguli zimesimama tunawafatilia those bongo legendary to night thanks.
nimependa hii idea salute
🔥🔥BONGOFLEVA 🔥🔥mm na msubili juma mchopanga JAY MOO
Jamaa alipiga bonge moja la show Mr Famous
Francis & zuhura❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Big up to both of LEGENDS
Mkongwe kazini welcome back Legend ❤❤❤❤kwa sanaaaaaa
Nimeikubari xana hii timu inayojaribu mitambo vijana wadogo wamefanya mambo makubwa xana❤️❤️❤️❤️❤️💯💯💯💯💯💯🔥🔥🔥🔥🔥👏👏👏👏👏👏
Show yakibabe sana safi sana mwanangu kibla
Aisee kali sana
BIG UP SANA To You... #MR.2_SUGU A.k.A Jongwe/Taita🎧🎤🎵 na #SIR_NATURE A.k.A Kiroboto/Kiganja Cha Sokwe🎤🎧🎵 🙌🙌🙌HESHIMA KWENU VIPAJI HALISI KUTOKA BONGO LAND 🇹🇿 🔥🔥🔥🔥🔥💥💥💥💥💥
Hongera sana Sugu bonge la idea nature umeamsha safi sana
Big up DEIWAKA old is ........
Saf sn mzee sugu,gud idea!
Mazoezi mhimu Sana kwa afya uwakishe kesho
Namkubali sana Jongwe A.k.a tighter
Kifaza zaidi safi Sana nipo south Africa Mayfair hapa. I'm watching live show is nice salute homes
Poa mpe hai chwiry na mwesi mtu m'bad
HONGERENI WAKONGWE....REAL MUSIC
😮LIVE BAND NI UNYAMA SANA🤙👍👍👍
Yaaah hadi raha
The biography about Juma Nature is superb. Safi sana Taita_Sugu
❤❤❤ imeweza mzee
HESHIMA KWAKO SUGU, SIR NATURE PEACE TO U BRO..REAL TALENT FROM TMK
Hongereni kazi nzuri
Heshima kwako Nature
Real musicians ❤❤❤❤
Safi sana Sugu, umemuelezea poa sana Juma
Namsubiria Jay Moe
Show kali ana yani bila kupumzika kibabe sana hip hop still a live
Show kali sana watoto wa lgbtq hawawez elewa wamekalia kudis tu mae zao
Nashangaa kuna vijana wanaopiga kelele
najfunza sana.kwa.nature kupitia kr rich na dolo jamaa yuko.nao toka star nomner one mpaka leo
Wakongweeee kaziniiiii
dah kiroboto ira noma
Minaona wawe wanaimba tu kupitia bit zao za studio kuliko live band wanaimba utopilo
Live band ina raha yake kwa sisi wakongwe,hizo za kuimba kupitia beat tumewachia nyie
So nice
Still to come juma mchopanga
Best idea sugu
Nimependa sana, hasa sebene la tmk
Dah Jongwe nimekukubali kwenye live
kiki kitu kipo poa sana
❣️❣️❣️
Leteee afande sele na oteni
Yes
Rich .afanye mazoez ...Vema...ya band ...kwa mtazamo wangu
Show mbovu
Sir nature
Hakuna Kama nature bongo hapa
band ilikua inazngua na.arrangement nature alitakiwa kupewa acoustic sana chorus ndio.zijazwe kwajili.hana sauti ya juu sasa
sure mzazi,,,chorus ilitakiwa zijazwe sana ili kumpa back up,,kwa kuwa hata high pitch kwa sasa,,yote kwa yote alijitahidi sana,,may be band haina uzoefu sana,,nikionana na sugu nitashauri awakodi hata wapigaji wa twanga wale wana more experience,but nature alijitahidi mno
🎶🎶🎶🔥🔥🔥🙌🏽🙌🏽🙌🏽
Wanakuita msela ngoto
We brother huwa ni mpana saana kihisia brother tunakushukuru
Hajasahau bali live performance inamruhusu msanii kucheza na verse yoyote kwenye beat lolote chamsingi usitoke nje ya key so usikalili.
Wakongwe kazini we start little by little jamani..
🔥🔥🔥kibabe kisatarabu 👊👊💪
Nice
🔥🔥🔥
Pombe imeua kipaji hana vocal zile aisee
Kumbe leo
Ongea kiswahili kingeredh chanini Sasa kingeredh chenyew cheusi
😎
Iyo band na inarusha tu wangeachia msondo. Nature angepiga ngoma na dj wake ingekuwa ni chechee bit tu enyewe ikianza watu weeeeeeeeee
Juma wa mitulinga 😂😂😂😂😂
Nasubiri Afande sele
SUGU ni chama kubwa kama ARSENAL
🇹🇿🇹🇿🇹🇿👊✌️.
Solo ulamaa tunamtaka broo plz
Kwa nyimbo zipi??
Uwezo bado upo
Juma nature amezeeka amechoka kuimba
😅😅😅😅😅liroho tu libaya!
Blood sugu nitumie namba ya zuhura nimpe colabo
Juma nature amechanganya nyimbo kudadeki jinsi kijana verse sio hio aliyochana.....ngona ina zaid ya miaka 23..lazima asahau verse
Ya kwako inavec ngap
We mwenyewe umekosea ku type so some time is happen
Jinsi kijana mixer Sonia
Ni noma Wap LWP majitu
Apo wanangu hana show usela mwingi
Wazee wa mpurula mpalala, dah kweli jirani hujatulia 🤣
😂❤
njia ya kurudisha wakongwe wafanye kazi vizuli radhima washirikiane naware ambao wanawaona wanyonyaji babu tare mkubwa fera kiumjula WCB kamati mzima watakua kama zamani
Huo ndio utumwa jeshi... Na ndio maan wanaishi ivyo ..coz huo ndio mfumo ulio wakandamiza..
@@muddylikwena128 hahaaaaaa dah kweri Mzee husahau kitu
Wachaaa ujinga wewe...Ni Bora ya mia Tano nzima kuliko buku mbovu mjombaa
Huyu zuhura sauti yake ilikuwa inatokeza vibaya
wapi baraka the king..... NILIKUWA KOROGWE TTC kipindi hicho
Mistari yenye vina na mashairi yenye hekima na kina
Abadilike kwenye kuvaa yani kama sio msanii yupo kawaida ajifunze kubadilika
Punguz ushamba Yan ushakalili kua mtu ni lazm avae kichaa makolokolo Mia ndo unaamin kua Ni msanii
Hiyo ndo reality hakuna shedo wala poda ukitaka chukua usipotaka achia
Ubishoo wa kike kike pereka huko pimbi wewe
Avae za kofii au atoboepua kama mashogazenu
Sema live bend halina vaibu
Nyvv9
Baada ya Anti Virus now Deiwaka kaja kivingine so kumbe tukiungana Kwa pamoja inawezekana
Mandojo na domokaya wakiletwa mwezi huu itakuwa balaa zsidi show kali
watu wanaoweza kusimamia mziki vizuli kwenye nchi hiii wanajurikana babu tare mkubwa fera
Na hao hao ndio wanao angamiza mziki.
@@sonnyr1899Muongo
@@PrettyMasha-cs8iv
Nenda TH-cam andika Nyumba Za Yamoto Band kisha urudi tujadili
Umetaja waliotengeneza wasanii maskini na wenye matabaka
inaniuma sana nature ni kama yupo studio,,,,sauti ile ile,,fireeee kiblaaaaa
mmeshazeeka mkalee wajukuu
Jaman na wasanii wangefanya kma iv ingekuwa Raha sana
Hili Game Hili Game Hili Game Game Game Town
2003 Hyo
Hakuna mizuk
Upo wewe!
sugu Ngoma yako mwenyew mboga unasau ss au ndio uchaguzi unakaribia kichwa kimebeba uongo mwing