MAMA YENU MNAFIKI PUTIN PANYA WA KUNG'ATA NA KUPULIZA HUKU KAKUMBATIA WAZUNGU HUKO ASAINI USHIRIKIANO NA URUSI ATAJIPONZA SUALA LA USHOGA HADI LEO HAJATOA KAULI KIHELE HELE NA NJAA ZITAMPONZA.
Ni jambo jema kwa wanaofahamu biasha maana urussi hawana biashara za Kona Kona kama hizo siasa siasa za watu wa uraya wanalenga kuyanyonya mataifa ya africa
Safi sana kama tutakuwa karibu na Urusi utamaduni wa ushoga wa nchi za magharibi basi tena Mungu ametusaidia serekali yetu kuliona hilo tusiwe na ukaribu na hawa watu magharibi wengi wao wanapenda ushoga mwisho watatulazimisha kwa ajili ya misaada yao tuepukane nao kidogo kidogo
Asante sana URUSSI NA TANZANIA 🇷🇺🤝🇹🇿🙏 tunaomba wawekezaji kutoka urussi wawekeze Tanzania tutaiunga urussi mkono vizazi na vizazi hatutaicha kamwe na hatutarudi nyuma Tanzania na Moscow safi sanaa 🇹🇿🤝🇷🇺
Ongera tz ongera rais wetu na makam wako na waziri mkuu, mamuzi ulioyafanya rai wako tumeyakubali tuachane nchi za maghalibi inchi zinazo taka tuwe kwenye jinsi moja bola tuwe na nchi za rashia tu ikiwezekana mkalibishe rais putini hapa kwetu🇹🇿🇷🇺 mujadili mambo ya nyukrea na kilimo, nk.
Bwn Gwido haina sababu ya kuchanganya Kiswahili na Kiingereza utangazapo taarifa zako. Kuchanganya Kiswahili na Kiingereza ni kudhirisha dalili za utumwa wa lugha au unakabiliwa na kufilisika kwa maneno ya Kiswahili au basi ulimbukeni kidogo. ulionao.
Yan Leo Nina furaha kubwa zaidi baada ya kusikia hii news yes ndioo hivi ndo tunavyo taka Sasa Dunia iwe kwenye multpolar na sio unipolar mama etu mfate Putin uko ndo Kuna uhakika wa mambo 🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺💗💗🤝🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Hii ni mzury sana najivunia kua mtanzania from PEMBA upembani nawakilisha🎉🎉🎉❤❤❤
Hongera watanzania hata sis wakenya sio sote tunao saport American wengi ni rusian huraaaaaah
saf San Tanzania yangu
Safi kabisa mama 🇹🇿🇹🇿🇷🇺🇷🇺🌹👏👏
MAMA YENU MNAFIKI PUTIN PANYA WA KUNG'ATA NA KUPULIZA HUKU KAKUMBATIA WAZUNGU HUKO ASAINI USHIRIKIANO NA URUSI ATAJIPONZA SUALA LA USHOGA HADI LEO HAJATOA KAULI KIHELE HELE NA NJAA ZITAMPONZA.
@@stevensosipitamarekani na ulaya majambazi,wauwaji.bora urusi aija fanya ucoloni dunia.
Asante sana mchambuzi
Safi sana Tanzania Kenya vipi? amkeni
Urusi kafanya kazi nzuri kbsa.
Hiyo root Safi sana. Nitafika Urusi kwa mapenzi ya Mungu.
Urusi ni Rafiki wa Tanzania toka ezi za mwalimu Nyerere..
Ni jambo jema kwa wanaofahamu biasha maana urussi hawana biashara za Kona Kona kama hizo siasa siasa za watu wa uraya wanalenga kuyanyonya mataifa ya africa
Viva urus viva tamzania
Saf sana tanzania yangu
Himaya mbili zimelipuliwa jana
❤❤❤😂😂😂Safi sanaaaa,RUSSIA/PUTIN
Shukran ❤
Nivyema pia tukambizana wi-fi za kutumia maana wengiwao wanatuibia hapa tz
Watuondolee viza kabisa😅😅😅
Safi sana kama tutakuwa karibu na Urusi utamaduni wa ushoga wa nchi za magharibi basi tena Mungu ametusaidia serekali yetu kuliona hilo tusiwe na ukaribu na hawa watu magharibi wengi wao wanapenda ushoga mwisho watatulazimisha kwa ajili ya misaada yao tuepukane nao kidogo kidogo
Safi nimeipenda Sana na ndio maana nisipopata taarifa za Urusi huwa sina amani kabisa shukrani sana Tanzania kwa kufanya hayo maamuzi na Russia ✍️🤝🤝🤝🤝
Makini sana
Safi sana urusi,piga hao manyang'au
Kama ni kweli nitampigia mtu kura 2025
Ongera Tanzania imechagua njia salama
Sisi burundi urusi hakuna chenga hapo
From Tanzania 🇹🇿 nipo russia hapa nawapata kinoma
Hivi Hawa marekan Wana akili?eti wanalaumu himars kushambuliwa😂😂😂😂
Hata sisi wakenya ni Russia, ni Ruto pekeake na puppetism yake🇰🇪
Uraaaa
Hapo Mama Nakuelewa akili yako iko mara na nusu kama harmonizer alipo imba
🎉🎉🎉
Yuhoma nenda ukawaambie Utusi sisi Watanzania tulishawakubali Urusi hata kabla hawajaja Tz, Uraaaaaaaa
Waooooooo
Safi tz
Wanamchi watz tulikuwa tim urusi siku nyingi mno.
Hatari sana
Safi sana piga hao nato
Asante sana URUSSI NA TANZANIA 🇷🇺🤝🇹🇿🙏 tunaomba wawekezaji kutoka urussi wawekeze Tanzania tutaiunga urussi mkono vizazi na vizazi hatutaicha kamwe na hatutarudi nyuma Tanzania na Moscow safi sanaa 🇹🇿🤝🇷🇺
Magharibi ni waongo na wanafiki kwa hiyo chochote kinaweza tokea wao ni vibaraka wa shetani mkuu USA
Hatutaki mambo ya marecani na nchi zamagharibi
❤❤❤This are.Great Newz ,Tukapige kazi 😂😂😂😂😂
Wawalete wawekeze kwenye energy plants tuwe na uzalishaji chanya
Oya mbona hii imekaa vizuri
Russia 🇷🇺 nguvu moja na Africa
Nice 🇷🇺💪💪💪👏👏
Uhakika
Sasa Tanzania imenikosha
Gwido ulipotea sana, kaka, tuko pamoja
Waendeleye kuleta zingine tuzihalibu😂😂😂walete zote zenye wameficha tuchome moto sisi tim urusi tunatamba
Uku kwenu Maandamano kuruka
Mwambie Putin atangaze ushindi maana yeye Kila siku anaonekana anashinda hatuoni
Wamefariki zaidi ya 40,,,
Mimi bado sielewi
Ongera tz ongera rais wetu na makam wako na waziri mkuu, mamuzi ulioyafanya rai wako tumeyakubali tuachane nchi za maghalibi inchi zinazo taka tuwe kwenye jinsi moja bola tuwe na nchi za rashia tu ikiwezekana mkalibishe rais putini hapa kwetu🇹🇿🇷🇺 mujadili mambo ya nyukrea na kilimo, nk.
Uko sawa
Bwn Gwido haina sababu ya kuchanganya Kiswahili na Kiingereza utangazapo taarifa zako. Kuchanganya Kiswahili na Kiingereza ni kudhirisha dalili za utumwa wa lugha au unakabiliwa na kufilisika kwa maneno ya Kiswahili au basi ulimbukeni kidogo. ulionao.
Sasa mmarekani analaimu nini? Yaani mmarekani anataka mrusi asishambulie hiyo mifumo? Wamarekani ni watu waajabu kabisa!!
Mbona mikataba mingine atushilikishwi
ww kama Putin TU yan kokote uliko nasi tupo ❤
Sisi watanzania ni watu makini pamoja na selikari yetu siyo watu wa kulishwa sumu kama walivyo wapumbavu. wa Libya
Viva🔥🇷🇺🇷🇺
Wote wanaojiuga na NATO ni Kwa ajiri ya kuanza kupigana na urusi tu, akili ya marekani hiyo mjue
Wote mnao jiunga na Marekani mjue ni kwa faida ya Marekani tu sio kwenu wananchi husika pingeni kabisa nchi zenu kuwa marafiki wa Marekani
mmarekani hana utu katika nchi zetu afrika
wamemuua gadafi mtetezi wa bara letu
NAto ynywe imejieleza waz kua ni kujihami na urusi
Wanajua mziki wak cwakuuombea
Man to man hawamuwez
Yan Leo Nina furaha kubwa zaidi baada ya kusikia hii news yes ndioo hivi ndo tunavyo taka Sasa Dunia iwe kwenye multpolar na sio unipolar mama etu mfate Putin uko ndo Kuna uhakika wa mambo 🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺💗💗🤝🇹🇿🇹🇿🇹🇿