WATAJUTA! Urus yarusha makombora kwenye HIMARS za Ukrain,Tanzania na Urusi zasain Mkata kushirikiana

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 20 มิ.ย. 2024

ความคิดเห็น • 70

  • @matukiotvonline6366
    @matukiotvonline6366 16 วันที่ผ่านมา +8

    Hii ni mzury sana najivunia kua mtanzania from PEMBA upembani nawakilisha🎉🎉🎉❤❤❤

  • @user-nt5gk2gx6m
    @user-nt5gk2gx6m 16 วันที่ผ่านมา +8

    Hongera watanzania hata sis wakenya sio sote tunao saport American wengi ni rusian huraaaaaah

  • @PetroKiyeyeu-ur4zg
    @PetroKiyeyeu-ur4zg 16 วันที่ผ่านมา +5

    saf San Tanzania yangu

  • @HajiKlein-so1rk
    @HajiKlein-so1rk 16 วันที่ผ่านมา +6

    Safi kabisa mama 🇹🇿🇹🇿🇷🇺🇷🇺🌹👏👏

    • @stevensosipita
      @stevensosipita 12 วันที่ผ่านมา

      MAMA YENU MNAFIKI PUTIN PANYA WA KUNG'ATA NA KUPULIZA HUKU KAKUMBATIA WAZUNGU HUKO ASAINI USHIRIKIANO NA URUSI ATAJIPONZA SUALA LA USHOGA HADI LEO HAJATOA KAULI KIHELE HELE NA NJAA ZITAMPONZA.

    • @jumamussantuiche
      @jumamussantuiche 5 วันที่ผ่านมา

      ​@@stevensosipitamarekani na ulaya majambazi,wauwaji.bora urusi aija fanya ucoloni dunia.

  • @imanuelnguya9277
    @imanuelnguya9277 16 วันที่ผ่านมา +3

    Asante sana mchambuzi

  • @athumanikajembe4585
    @athumanikajembe4585 16 วันที่ผ่านมา +4

    Safi sana Tanzania Kenya vipi? amkeni

  • @PatrickKagiraneza-ok8cw
    @PatrickKagiraneza-ok8cw 15 วันที่ผ่านมา +2

    Urusi kafanya kazi nzuri kbsa.

  • @eliudkazoba5170
    @eliudkazoba5170 15 วันที่ผ่านมา +1

    Hiyo root Safi sana. Nitafika Urusi kwa mapenzi ya Mungu.

  • @rasmgz2367
    @rasmgz2367 13 วันที่ผ่านมา +1

    Urusi ni Rafiki wa Tanzania toka ezi za mwalimu Nyerere..

  • @user-po9wi5lh1o
    @user-po9wi5lh1o 16 วันที่ผ่านมา +3

    Ni jambo jema kwa wanaofahamu biasha maana urussi hawana biashara za Kona Kona kama hizo siasa siasa za watu wa uraya wanalenga kuyanyonya mataifa ya africa

  • @HajiMwanz-to3vg
    @HajiMwanz-to3vg 10 วันที่ผ่านมา

    Viva urus viva tamzania

  • @FaourHakimi-wz9hp
    @FaourHakimi-wz9hp 16 วันที่ผ่านมา +2

    Saf sana tanzania yangu

  • @MohamedRashid-py7ro
    @MohamedRashid-py7ro 16 วันที่ผ่านมา +3

    Himaya mbili zimelipuliwa jana

  • @msukumamnywamaziwa2785
    @msukumamnywamaziwa2785 16 วันที่ผ่านมา +6

    ❤❤❤😂😂😂Safi sanaaaa,RUSSIA/PUTIN

  • @SalimKombo-xo4pq
    @SalimKombo-xo4pq 15 วันที่ผ่านมา +1

    Shukran ❤

  • @rashidsalim7078
    @rashidsalim7078 16 วันที่ผ่านมา +3

    Nivyema pia tukambizana wi-fi za kutumia maana wengiwao wanatuibia hapa tz

  • @Masta313
    @Masta313 16 วันที่ผ่านมา +4

    Watuondolee viza kabisa😅😅😅

  • @aliabdallah8456
    @aliabdallah8456 15 วันที่ผ่านมา

    Safi sana kama tutakuwa karibu na Urusi utamaduni wa ushoga wa nchi za magharibi basi tena Mungu ametusaidia serekali yetu kuliona hilo tusiwe na ukaribu na hawa watu magharibi wengi wao wanapenda ushoga mwisho watatulazimisha kwa ajili ya misaada yao tuepukane nao kidogo kidogo

  • @bashiriissahmgannah5738
    @bashiriissahmgannah5738 15 วันที่ผ่านมา

    Safi nimeipenda Sana na ndio maana nisipopata taarifa za Urusi huwa sina amani kabisa shukrani sana Tanzania kwa kufanya hayo maamuzi na Russia ✍️🤝🤝🤝🤝

  • @khamisnassor3880
    @khamisnassor3880 16 วันที่ผ่านมา +4

    Makini sana

  • @aloujouasumwisye553
    @aloujouasumwisye553 15 วันที่ผ่านมา

    Safi sana urusi,piga hao manyang'au

  • @user-tq4go3sn5b
    @user-tq4go3sn5b 15 วันที่ผ่านมา +1

    Kama ni kweli nitampigia mtu kura 2025

  • @user-gz1cd6kn5j
    @user-gz1cd6kn5j 15 วันที่ผ่านมา +1

    Ongera Tanzania imechagua njia salama

  • @ngendakumanajeanmarrie7490
    @ngendakumanajeanmarrie7490 15 วันที่ผ่านมา +1

    Sisi burundi urusi hakuna chenga hapo

  • @godfreyfrugence4176
    @godfreyfrugence4176 13 วันที่ผ่านมา

    From Tanzania 🇹🇿 nipo russia hapa nawapata kinoma

  • @maulidipingika4452
    @maulidipingika4452 16 วันที่ผ่านมา +2

    Hivi Hawa marekan Wana akili?eti wanalaumu himars kushambuliwa😂😂😂😂

  • @isaacorengo1404
    @isaacorengo1404 15 วันที่ผ่านมา +2

    Hata sisi wakenya ni Russia, ni Ruto pekeake na puppetism yake🇰🇪

  • @mkilyaphilipo7598
    @mkilyaphilipo7598 15 วันที่ผ่านมา +1

    Uraaaa

  • @gervasejerry
    @gervasejerry 15 วันที่ผ่านมา +1

    Hapo Mama Nakuelewa akili yako iko mara na nusu kama harmonizer alipo imba

  • @Masta313
    @Masta313 16 วันที่ผ่านมา +1

    🎉🎉🎉

  • @harounkiyungi7288
    @harounkiyungi7288 14 วันที่ผ่านมา

    Yuhoma nenda ukawaambie Utusi sisi Watanzania tulishawakubali Urusi hata kabla hawajaja Tz, Uraaaaaaaa

  • @Mwanahawamahamudu
    @Mwanahawamahamudu 14 วันที่ผ่านมา

    Waooooooo

  • @user-to4jw7tm1j
    @user-to4jw7tm1j 15 วันที่ผ่านมา +1

    Safi tz

  • @jumamustapha8254
    @jumamustapha8254 2 วันที่ผ่านมา

    Wanamchi watz tulikuwa tim urusi siku nyingi mno.

  • @uwimana6533
    @uwimana6533 16 วันที่ผ่านมา

    Hatari sana

  • @KilimbikeHaji-iy2fm
    @KilimbikeHaji-iy2fm 4 วันที่ผ่านมา

    Safi sana piga hao nato

  • @barakanyanchama4297
    @barakanyanchama4297 15 วันที่ผ่านมา +1

    Asante sana URUSSI NA TANZANIA 🇷🇺🤝🇹🇿🙏 tunaomba wawekezaji kutoka urussi wawekeze Tanzania tutaiunga urussi mkono vizazi na vizazi hatutaicha kamwe na hatutarudi nyuma Tanzania na Moscow safi sanaa 🇹🇿🤝🇷🇺

  • @DafiMohamed-dz8xk
    @DafiMohamed-dz8xk 13 วันที่ผ่านมา

    Magharibi ni waongo na wanafiki kwa hiyo chochote kinaweza tokea wao ni vibaraka wa shetani mkuu USA

  • @barakanyanchama4297
    @barakanyanchama4297 15 วันที่ผ่านมา

    Hatutaki mambo ya marecani na nchi zamagharibi

  • @gervasejerry
    @gervasejerry 15 วันที่ผ่านมา

    ❤❤❤This are.Great Newz ,Tukapige kazi 😂😂😂😂😂

  • @samwelshepa8443
    @samwelshepa8443 15 วันที่ผ่านมา

    Wawalete wawekeze kwenye energy plants tuwe na uzalishaji chanya

  • @JamesCornely-or4wt
    @JamesCornely-or4wt 13 วันที่ผ่านมา

    Oya mbona hii imekaa vizuri

  • @African511
    @African511 15 วันที่ผ่านมา +1

    Russia 🇷🇺 nguvu moja na Africa

  • @walidahmad2534
    @walidahmad2534 13 วันที่ผ่านมา

    Nice 🇷🇺💪💪💪👏👏

  • @NakembetwaKitundu-tn7xx
    @NakembetwaKitundu-tn7xx 16 วันที่ผ่านมา +1

    Uhakika

  • @user-jj7qv7kh2s
    @user-jj7qv7kh2s 14 วันที่ผ่านมา

    Sasa Tanzania imenikosha

  • @paschalfausitine7108
    @paschalfausitine7108 15 วันที่ผ่านมา

    Gwido ulipotea sana, kaka, tuko pamoja

  • @ngendakumanajeanmarrie7490
    @ngendakumanajeanmarrie7490 15 วันที่ผ่านมา

    Waendeleye kuleta zingine tuzihalibu😂😂😂walete zote zenye wameficha tuchome moto sisi tim urusi tunatamba

  • @evansogutu4167
    @evansogutu4167 15 วันที่ผ่านมา

    Uku kwenu Maandamano kuruka

  • @user-ql4qw3ow4r
    @user-ql4qw3ow4r 5 วันที่ผ่านมา

    Mwambie Putin atangaze ushindi maana yeye Kila siku anaonekana anashinda hatuoni

  • @malickylicky4254
    @malickylicky4254 16 วันที่ผ่านมา

    Wamefariki zaidi ya 40,,,

  • @LucasRozi
    @LucasRozi 15 วันที่ผ่านมา

    Mimi bado sielewi

  • @RamadhaniMohamedi-de2vc
    @RamadhaniMohamedi-de2vc 15 วันที่ผ่านมา +1

    Ongera tz ongera rais wetu na makam wako na waziri mkuu, mamuzi ulioyafanya rai wako tumeyakubali tuachane nchi za maghalibi inchi zinazo taka tuwe kwenye jinsi moja bola tuwe na nchi za rashia tu ikiwezekana mkalibishe rais putini hapa kwetu🇹🇿🇷🇺 mujadili mambo ya nyukrea na kilimo, nk.

  • @stephenndagalla8183
    @stephenndagalla8183 15 วันที่ผ่านมา

    Bwn Gwido haina sababu ya kuchanganya Kiswahili na Kiingereza utangazapo taarifa zako. Kuchanganya Kiswahili na Kiingereza ni kudhirisha dalili za utumwa wa lugha au unakabiliwa na kufilisika kwa maneno ya Kiswahili au basi ulimbukeni kidogo. ulionao.

  • @ramadhanimtozeni8030
    @ramadhanimtozeni8030 15 วันที่ผ่านมา

    Sasa mmarekani analaimu nini? Yaani mmarekani anataka mrusi asishambulie hiyo mifumo? Wamarekani ni watu waajabu kabisa!!

  • @LucasRozi
    @LucasRozi 15 วันที่ผ่านมา

    Mbona mikataba mingine atushilikishwi

  • @AZIZIPAULO
    @AZIZIPAULO 15 วันที่ผ่านมา +1

    ww kama Putin TU yan kokote uliko nasi tupo ❤

  • @KihangoIsmail-qn2uh
    @KihangoIsmail-qn2uh 15 วันที่ผ่านมา

    Sisi watanzania ni watu makini pamoja na selikari yetu siyo watu wa kulishwa sumu kama walivyo wapumbavu. wa Libya

  • @ThomasCornel-zy7sc
    @ThomasCornel-zy7sc 15 วันที่ผ่านมา

    Viva🔥🇷🇺🇷🇺

  • @user-vv6ox9xh9k
    @user-vv6ox9xh9k 16 วันที่ผ่านมา

    Wote wanaojiuga na NATO ni Kwa ajiri ya kuanza kupigana na urusi tu, akili ya marekani hiyo mjue

    • @abduljuma7807
      @abduljuma7807 16 วันที่ผ่านมา

      Wote mnao jiunga na Marekani mjue ni kwa faida ya Marekani tu sio kwenu wananchi husika pingeni kabisa nchi zenu kuwa marafiki wa Marekani

    • @YasiniYueufu
      @YasiniYueufu 15 วันที่ผ่านมา

      mmarekani hana utu katika nchi zetu afrika

    • @YasiniYueufu
      @YasiniYueufu 15 วันที่ผ่านมา +1

      wamemuua gadafi mtetezi wa bara letu

    • @HusseinSaguti-sj9nh
      @HusseinSaguti-sj9nh 15 วันที่ผ่านมา

      NAto ynywe imejieleza waz kua ni kujihami na urusi
      Wanajua mziki wak cwakuuombea
      Man to man hawamuwez

  • @JoelFortunatus-du8ww
    @JoelFortunatus-du8ww 14 วันที่ผ่านมา

    Yan Leo Nina furaha kubwa zaidi baada ya kusikia hii news yes ndioo hivi ndo tunavyo taka Sasa Dunia iwe kwenye multpolar na sio unipolar mama etu mfate Putin uko ndo Kuna uhakika wa mambo 🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺💗💗🤝🇹🇿🇹🇿🇹🇿