RC CHALAMILA APIGWA SWALI TATA NA MDADA, SAKATA LA MADANGURO

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 2 พ.ย. 2023

ความคิดเห็น • 465

  • @khadijaawadhi6576
    @khadijaawadhi6576 8 หลายเดือนก่อน +18

    Allah azidi kukubariki kwa KAZI nzuri Baba safisha kote

  • @annamussa185
    @annamussa185 8 หลายเดือนก่อน +14

    Chalamila safi sana yani ulikuwa ukisoma zamani madanguro yapo mpaka umeajiliwa umekuja kuyaondoa kweli wewe ni mfano wa kuigwa vijana someni kwa bidii mtuondolee uozo ulobaki chalamila Mungu akubariki sana 😍

    • @shebatimathayo8471
      @shebatimathayo8471 8 หลายเดือนก่อน +1

      Safi kabisa Rc piga kazi usiogope ili jiji liwe na heshima na nchi nzima iwe hivyo.

  • @user-mq6se9dg5u
    @user-mq6se9dg5u 8 หลายเดือนก่อน +5

    Salute kamamda komesha na utokomeze kabsa hakina mtu atabakwa

  • @massudidadi679
    @massudidadi679 8 หลายเดือนก่อน +12

    Hakuna Dini yoyote inayokubali biashara hii kwa iyo tuiyunge mkono serkali kwa hili
    Kazi nzuri

    • @BigZhumbe
      @BigZhumbe 8 หลายเดือนก่อน

      Wakati dini zote mitume yake ilikua watumwa waliokuwa wanawatumia kingono. Mfamle Suleimani alikua na michepuko 300

    • @huseniaidani6470
      @huseniaidani6470 8 หลายเดือนก่อน

      TafuTa hela kwa namna yako usiseme dini kweny maisha iulize nafc yako katika utaftaj wako hujawah fanya kitu ambacho dini ako imekataza Hao unaowaunga mkon Wanayajua madanguro makubwa ya hadh na miongon mwao ni sehem zao za kutuliza stress kwa undan Zaid ulizia bar inaitw escrow ipo maeneo ya kisiwan matenkin_kigambon jumamoc Kuna Ben bat wanawake wanatembea uchi na polisi wanalinda

    • @massudidadi679
      @massudidadi679 8 หลายเดือนก่อน

      Kwa iyo ww ujiumba mwenyewe hauna dini

    • @mamyomar1241
      @mamyomar1241 8 หลายเดือนก่อน

      ​@@BigZhumbepumzi hizo zinakuhadaa. Mche MMungu.

    • @BigZhumbe
      @BigZhumbe 8 หลายเดือนก่อน

      @@mamyomar1241 Kwaivo unamaanisha nimedanganya kuwa Mfalme Suleimani na mitume wengine walikua na michepuko?

  • @Jayhood28
    @Jayhood28 8 หลายเดือนก่อน +10

    RC Chalamila..Nimejifunza Hekima.Mungu Akubariki!

  • @isaacopolot2027
    @isaacopolot2027 7 หลายเดือนก่อน

    My man Chalamila. Nakushangilia kutoka Uganda. We ni mchapa kazi mkweli. Nakukubali sana yaani

  • @user-zw5km8kl9l
    @user-zw5km8kl9l 8 หลายเดือนก่อน +16

    Mungu akubari mzee wetu

  • @user-et2ci1rl1y
    @user-et2ci1rl1y 8 หลายเดือนก่อน +6

    Chalamila Yuko sahihi wakuu wote wa mkoa wangekua kama huyu Tanzania mzima tungepata maendeleo makubwa sana huyu anafaa pia haya mambo yangefanywa na wakuu wote wa mikoa Tanzania mzima kuvunja haya madanguro nikumuasi mungu hongera chalamila mungu akubariki nawakuu wa mikoa yote Tanzania nzima waige Kila mkoa wakague madanguro kwani kuzini hivyo ni kumuasi mungu mungu tuepushe na zinaa

  • @user-ug6pj6dn2y
    @user-ug6pj6dn2y 8 หลายเดือนก่อน +1

    Uko vizuri mkuu. Mungu akutangulie❤

  • @user-tw5me8up5t
    @user-tw5me8up5t 8 หลายเดือนก่อน +2

    Mkuu wa mkoa hongera kwa kazi nzuri

  • @chusseboywcb2808
    @chusseboywcb2808 8 หลายเดือนก่อน +14

    Nafurahia sanaaaa hiii mungu awe nawe hiii nimeipenda sanaaa❤❤❤

  • @cosmascastory9193
    @cosmascastory9193 8 หลายเดือนก่อน +4

    Safiii sana RC wetu piga kazi

  • @mwamvuamagongo8163
    @mwamvuamagongo8163 8 หลายเดือนก่อน +8

    Mbakaji anaweza kubaka hata mwanawe hiyo ni hulka ya mtu, RC kazi iendelee.

    • @errydeo8865
      @errydeo8865 8 หลายเดือนก่อน +1

      hilo sio jibu;serikali inabidi iwe na jibu la swali la huyo dada

  • @Allybinamour
    @Allybinamour 8 หลายเดือนก่อน +1

    mkuu wa mkoa umeongea ponts kabisa,huku zanzibar hayo madanguro yapo na watoto kila siku wanabakwa.na wala sio sahihi kama madanguro yanaondoa ubakaji huyo dada anaonesha na yeye ni katika hao wenye biashara.big up mkuu wa mkoa.

  • @YohanaChalamila-or4qp
    @YohanaChalamila-or4qp 8 หลายเดือนก่อน

    Hongera mkuu wa mkoa daresaalam mana kizazi kinahalibika kwakwel mana mtot akishatazama vitu hvy ndo bs Tena akigoma shule anaona hiyo ndo kazi ya mwisho fikra zake zote zimeishia hapo

  • @marianguli7994
    @marianguli7994 8 หลายเดือนก่อน

    Huyo dada bila shaka na yeye anajiuza toka lini dhambi ikaondolewa kwa dhambi???? Toka lini ubakaji ukaondolewa na madanguro?? Muheshimiwa hongera sana kazi iendelee

  • @OmanOman-dd5qk
    @OmanOman-dd5qk 8 หลายเดือนก่อน +6

    Mkuu safi sana mtu kamahajatoshekana halali halamu haiwezi mtosha

    • @huseniaidani6470
      @huseniaidani6470 8 หลายเดือนก่อน

      Ety halali haramu wew unaijua haramu au halali uliona kwa Nan mnakaa mnazurumiwa rasilimali zen kisa kutokuwa na maelimu umeme haki yako unaunganishwa laki 3 na bado wanakupangia mara leo wakate kesho wawashe wanakula hela wanajiuzuru hamsemi wakija kuwarudisha nyuma wananchi wenzen kimaisha mnaunga mkon ety haramu unafikir ukiwapa hzo hela wanazokula ao mnaowaunga mkon unafikir wangejiuzaaa wewe

  • @hemediswaibu5199
    @hemediswaibu5199 8 หลายเดือนก่อน +12

    Mziki nayo muiangalie vizuri aina maadili kabsa na inapingwa kiolela

    • @geeva99
      @geeva99 8 หลายเดือนก่อน +1

      Point kubwa sana

    • @zuberimohamedi5761
      @zuberimohamedi5761 8 หลายเดือนก่อน

      Safi

  • @halidimgonza5945
    @halidimgonza5945 8 หลายเดือนก่อน +4

    safi sn RC charamila 💪💪💪

  • @SamirLudovick
    @SamirLudovick 8 หลายเดือนก่อน +12

    Safi sana , zoezi lifanyike nchi Nzima kahama pia tatizo

    • @justinemaganga4139
      @justinemaganga4139 8 หลายเดือนก่อน +1

      Kahama na shinyanga mjini sugu

    • @sabihaibrahim143
      @sabihaibrahim143 8 หลายเดือนก่อน

      ​@@justinemaganga4139akaa mpaka hukoo

    • @tvstation6472
      @tvstation6472 8 หลายเดือนก่อน

      Kwa kahama ndugu hapana ,hapawezekani,had nguo hawavai???!

    • @sabihaibrahim143
      @sabihaibrahim143 8 หลายเดือนก่อน

      @@tvstation6472 hee mtihani hawavai nguoo hao wanaojiuzaa serekali haioni hilii

    • @alexsuleiman3795
      @alexsuleiman3795 8 หลายเดือนก่อน

      Kwel kahama wamejazana had kero

  • @Twosides1
    @Twosides1 8 หลายเดือนก่อน +2

    Uteuzi mzuri big up sana

  • @user-xo6rf8lu6x
    @user-xo6rf8lu6x 8 หลายเดือนก่อน

    Mheshimiwa Mkuu wa Mkoa Ndg.Albert Chalamila wewe ni mtu wa Mungu kwa wakati huu naomba uzidi kusaidia Taifa usipolipwa duniani utalipwa na Mungu,Bado madawa ya kulevya yanauzwa kama karanga nguvu kazi inateketea Baba.Mama tunahitaji watu kama Chalamila wanao.

  • @ramadhanmohamed3261
    @ramadhanmohamed3261 8 หลายเดือนก่อน +1

    Great Hon RC DSM. On the other side of the coin, am critically thinking this problem why? RC DSM is a public figure and can influence a governmental institutions to reframe their committment to social services.We may think these women and men in these ghettos are committing guilty in hidden areas No, this is a total public rot, a terrible social problem to count AND the impact is at large not only at Mwananyamala, tandale,buguruni, kinondoni, sinza, mbagala,and other cities all over Tanzania. RC PLEASE, MAKE A NEW PLAN TO ALLEVIATE POVERTY IN DSM AND TZ AS A WHOLE.

  • @rehemamajaliwa
    @rehemamajaliwa 8 หลายเดือนก่อน

    Kazi nzuri muheshimiwa👍👍

  • @MuhammadHassan-xp6dc
    @MuhammadHassan-xp6dc 8 หลายเดือนก่อน +29

    mtu ana mke wake na anambaka mtoto wake,kama alivyosema mkuu wa mkoa kuwa mbakaji ni mbakaji tu tafteni kazi za kufanya vunja madanguro yote.

    • @yohanalukindo3737
      @yohanalukindo3737 8 หลายเดือนก่อน

      Siku akibakwa mwanao au ndugu yako utajua tamu yake kuzuia madanguro ni ngumu sana watu wanaunda madanguro Hadi mitandaoni hii inch Ina majanga mengi yakutatua sio kupoteza muda na madanguro

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 8 หลายเดือนก่อน +1

      ​@@yohanalukindo3737HIYO KAULI YA HII NCHI FUTA KICHWANI MWAKO KILA NCHII DUNIANI MATATIZO YAPO LEO WAKUU KAZI NI HIYO NA MENGINE SIKU INGINE USILETE SABABU ZA KISHAMBA HAPA.

    • @Mpakauseme
      @Mpakauseme 8 หลายเดือนก่อน

      siku akibanduliwa mke wako ndio akili itakuka sawa

    • @LinusEdward
      @LinusEdward 8 หลายเดือนก่อน +1

      ​@@Mpakausemekwaiyo nawewe unasapoti madangulo yawepo au

    • @huseniaidani6470
      @huseniaidani6470 8 หลายเดือนก่อน

      ​@@salimmalaka256unaona mawazo ya mwenzak ya kishamba kumbe wew ndo mshamba na maheruf yako makubwa hiv unakaa chin unasifia madanguro kuondolewa hayo sio madanguro hzo ni nipe nikupe madanguro yanamilikiwa na watu wenye pesa na wanaoenda kweny madanguro sio sis hatuna hela Ila Hao wanaojifanya wanazuia hzo biashar miongon mwao ndo sehem zao za kupunguza stress Kuna madanguro Yana VIP na VVIP unafikir wa naingia mbwa kachoka wakina PRO. DR. MHE. KMND. hayo hauwez Yaona kweny Kamera yakizalilishwa anaweza akafukuzwa mtu kazin kuuumbua stare he za wakubwa wako wakaz

  • @salimmalaka256
    @salimmalaka256 8 หลายเดือนก่อน +1

    WENYE NYUMBA HIZO WASHITAKIWE KWA KOSA LA KUSAMBAZA UKIMWI MAKUSUDI NA KUIDHOFISHA NCHI.

  • @reginameitavan4032
    @reginameitavan4032 8 หลายเดือนก่อน +4

    Good work Rc

  • @reginameitavan4032
    @reginameitavan4032 8 หลายเดือนก่อน +5

    Vyumba vinatia kinyaa hatari,kuna starehe gani hapo kama sio ufirauni,bomoaaa

    • @zulfahaji91
      @zulfahaji91 8 หลายเดือนก่อน

      Yaani ilo jibu limenigusa

  • @ntegrity277
    @ntegrity277 8 หลายเดือนก่อน +3

    RC NAKUAPIA UKIKOMESHA UNDANGURO DAR YOU WILL BE THE BEST ZINZA JE!

  • @ummySheikh72
    @ummySheikh72 8 หลายเดือนก่อน +34

    Huyu mama naona kama mmoja ktk hao madada powa? Anahasira hatari😮😢

    • @IdarousPossy
      @IdarousPossy 8 หลายเดือนก่อน +2

      Umeonaeee hata mimi nimeliona hilo Yan mazungumzo yake tu inaonesha alikua mmoja wao

    • @binaljabirmshihirzanzibar8369
      @binaljabirmshihirzanzibar8369 8 หลายเดือนก่อน

      Upo sahihi maneno yako

    • @Ndu-wa.uroony2
      @Ndu-wa.uroony2 8 หลายเดือนก่อน

      Ni kweli kabisa huyo atakua dada poa tena ana hasira sana.

    • @GeofreyWilliam-ev7qd
      @GeofreyWilliam-ev7qd 8 หลายเดือนก่อน +1

      Lakn mkuu wa mkoa kashindwa kujibu swali 😂

    • @sabihaibrahim143
      @sabihaibrahim143 8 หลายเดือนก่อน +1

      ndiyeee ukimuangalia tu macho keshaathirika kwa mboo mia moja kwa siku

  • @lakisuleimani9112
    @lakisuleimani9112 8 หลายเดือนก่อน

    Mungu azidi kukufungua uyaone mengine zaidi ya madagulo hongera sana

  • @rehemamajaliwa
    @rehemamajaliwa 8 หลายเดือนก่อน

    Mbakaji ni mbakaji tu mamaeee

  • @huseniaidani6470
    @huseniaidani6470 8 หลายเดือนก่อน

    In fact of life hakun cha kusifiwa utendaji wa kazi wew maisha yapo kwa matabaka sisi hali ya chin tutaend kweny madanguro ya uswahilini wenye hela wanaend kweny madanguro ya hela na hauwez Ona madanguro wanoingia watu wenye vpato vya juu yanaendewa na Kamera na kuonesha utendaji mzur wa Kaz kmy kmy koz wanaend vgogo lakin huku ambapo serikali hainufaiki weeee chap

  • @valenakomba9218
    @valenakomba9218 8 หลายเดือนก่อน

    Siyo kweli. Ubakaji ulipunguwa tuu, sababu ya Rais Magufuli alikuwa mkali. Na wengi walikuwa wanaogopa sababu Rais Magufuli alikuwa hana mchezo.

  • @victorkivuyo6126
    @victorkivuyo6126 8 หลายเดือนก่อน

    HONGERA BABA, MR BOB SOSY AKA KATIA WA ARUSHA MURIETI JIRANI KABISA NA MHESHIWA GAMBO

  • @tinnahagustinolyelu4247
    @tinnahagustinolyelu4247 8 หลายเดือนก่อน +8

    Bwana wewe watu Kila siku watu wanabaka wanalawiti kwani hai wadada hawakuwepo tumuogope Mungu yaani mtu unachochea Kabisa dhambi ya uzinzi hapana

    • @huseniaidani6470
      @huseniaidani6470 8 หลายเดือนก่อน

      Wew hujawah zini au ndo kweny MITANDAO kazi iendeleee utaftaj wa hela wa mtu usiwe karaha kwako we ulitakiwa ujiulize kwanin wanajiuza kwa sabab Kuna wanunuaji we unahisi Kuna shda hapoooo

  • @JoanithaManyama
    @JoanithaManyama หลายเดือนก่อน

    Safi sana swali zurii kabisa

  • @Worldunite
    @Worldunite 8 หลายเดือนก่อน

    Mheshimiwa, tambua kuwa mama wa maasi ni POMBE, piga marufuku vilabu,mabaa,vigrocery na pombe/ulevi wa aina zote HAKIKA TUTAISHI KWA AMANI.
    Nakupongeza kwa hatua ya kupiga stop madanguro lkn wakti huohuo piga STOP pombe na mahala panapiuzwa pombe na ulevi, hata vitabu vitakatifu vinakataza mambo hayo

  • @festinamwakipale3919
    @festinamwakipale3919 8 หลายเดือนก่อน +1

    Wenye tamaa na ngono waoe waolewe ivi.binadamu wa sasa hataki.kuoa na kuolewa.Tanzania tuogope hukumu za Mungu

  • @delapitoresavage3746
    @delapitoresavage3746 8 หลายเดือนก่อน

    Mujenge na barabara kama mnavyofanya iyo kazi nchi itakua kwa kasi 😃💪🏾

  • @jumannerajabu8259
    @jumannerajabu8259 8 หลายเดือนก่อน +1

    hahaaaa ww chamila mhuni kweli mbakaji abomolewe Yani kwakifupi nayy abakwe ww siumesema ivo subil ss dar watu wanajua kuitikia wito watashuhulikiwa mno

  • @annamussa185
    @annamussa185 8 หลายเดือนก่อน +5

    Huyu mama anaeuliza swali ningemchapa makofi mshenzi kahaba kama makahaba wenzake

    • @Mpakauseme
      @Mpakauseme 8 หลายเดือนก่อน

      Wewe umajuaje kama kahaba ? echa unafiki wewe kwann umuhukumu mtu husiyemfahamu

    • @annamussa185
      @annamussa185 8 หลายเดือนก่อน

      @@Mpakauseme pumbavu malaya mbele na nyuma kaa kimya tuliza Domo lako chafu baya kaa ngozi ya mikundu ya kuku jinga kabisa

    • @huseniaidani6470
      @huseniaidani6470 8 หลายเดือนก่อน

      umetukana matusi kibao sehem ambayo hukutakiwa kutukana sasa cjajua yule mama na wew Nan kahaba maaan yey kaonesha sio tu hasara za danguro na faida ake ni hii ina punguza vitendo vya ubakaji ni kwel sasa wew umemwita Malaya mwanamke mwenzio anaejihadhirisha kwaajil ya Familia yake kesho ije imuokoe katika biashar hzooo

    • @annamussa185
      @annamussa185 8 หลายเดือนก่อน

      @@huseniaidani6470 wewe na yeye ndo makahaba

  • @cosmascastory9193
    @cosmascastory9193 8 หลายเดือนก่อน

    Ukimaliza hapo uende Manzese uwanja wa Fisi,uende pia Buguruni kimboka halafu ukamalizie Tandika hayo ndo maeneo makubwa wanapokaaga hao wasenge wasenge

  • @KuluthumuHaji-vi9hn
    @KuluthumuHaji-vi9hn 8 หลายเดือนก่อน

    Umefanya vizur. Maana watoto we2wame haribika sana

  • @prince.eric_msemwa9732
    @prince.eric_msemwa9732 8 หลายเดือนก่อน +2

    Hoja ya kishenzi sana ya uyo dada

  • @salimmalaka256
    @salimmalaka256 8 หลายเดือนก่อน +1

    HAYO MABANDA YABOMOLEWE KABISA HATA KAMA NI NYUMBA YA NANI ILI WAWE NA ADABU NA SERIKALI NA ANAEKUJA KUDAI AFUNGWE MWAKA MMOJA SHENZISTAN HAWO.

  • @malikally2253
    @malikally2253 8 หลายเดือนก่อน +1

    Waje na huku sinza mori muda huu wanejazana kibao nje ya nyumba zetu mpka kitambaa cheupe

  • @dicksonkilupa2258
    @dicksonkilupa2258 8 หลายเดือนก่อน

    KWA KWELI JIJI LIMEHARIBIKIWA SANA KILA KONA MADANGURO MATUPU.

  • @jaydon3361
    @jaydon3361 8 หลายเดือนก่อน

    Serekal mnawivu sana, kule sisi wanaume tulikua tuna enjoy kwa buku mbil

  • @jumarajabu6236
    @jumarajabu6236 8 หลายเดือนก่อน

    Hongera sana .

  • @MOJAZAIDI.
    @MOJAZAIDI. 8 หลายเดือนก่อน

    Mungu awaongezee morali

  • @georgewinford2809
    @georgewinford2809 8 หลายเดือนก่อน

    Chara Master Acha Kazi Iendelee.

  • @producerema291
    @producerema291 8 หลายเดือนก่อน +1

    Nimeishi Dar es salaam sikuwahi kujua kuna maeneo kama haya

  • @farajimgunya6468
    @farajimgunya6468 8 หลายเดือนก่อน

    Kiongozi umekosea Sana omba radhi hakun mwanamke wa hovyo dunian please please please waombe msamaha hawa ni mama zetu sote

  • @elbaricktv1632
    @elbaricktv1632 8 หลายเดือนก่อน +6

    Uyo dada aseme ukweli na yeye ni muuza mbunye aseme atasaidiwaje na maisha

    • @suzancharles1639
      @suzancharles1639 8 หลายเดือนก่อน

      Kabisa hilo lidada nilidangulo halafu mawazo ya kijinga eti

  • @gooleserviceyoutubescandar3450
    @gooleserviceyoutubescandar3450 8 หลายเดือนก่อน +3

    Kazi Nzuri Kabisa, M/Mungu Awalinde Katika Hili.

  • @user-qy7he6cl8w
    @user-qy7he6cl8w 8 หลายเดือนก่อน

    Kati ya mambo yasioweza kudhibitika ni pamoja na hili ....Hata mfanyeje biashara itaendelea tu..Kikubwa kuwaombea wanaofanya ivo Mungu awasaidie ..waokoke

  • @PeterJohn-sg4oe
    @PeterJohn-sg4oe 8 หลายเดือนก่อน

    Mayor kazi ya kuelezea ni ya DC tulia basi!!

  • @katunzijasson5410
    @katunzijasson5410 8 หลายเดือนก่อน

    Kwani hayo maji wanayokuuliza siyo kero au ni fuvu lako gumu unachagua mzigo wakubeba......kero zote majibu yanatoka kwako toa danguro toa maji watu wakaishi walau kidgo maisha yanayoendana na unakoishi ww

  • @estonmnthali3719
    @estonmnthali3719 28 วันที่ผ่านมา

    Mh Safi sana

  • @user-vu9vx4mf2o
    @user-vu9vx4mf2o 8 หลายเดือนก่อน

    Uyu mkuu wa mkoa naona hajielewi tafuta miundombinu ya kuwapa watu ajira kwisha uwakataze kujitafuta wawo Kam wawo me naiman ata Hao wanao fanya iyo beshara ya kuuza mwili so kupenda kwao Bali nishida na umaskini ulio kidhiri 😢😢 pole Sana dada zangu najua nyie wengi ndo masingo mother am sorry for that but I min

  • @YohanaChalamila-or4qp
    @YohanaChalamila-or4qp 8 หลายเดือนก่อน

    Kuhus kubakwa kwa mtot wake inawezekan ni malezi mabovu alompa mtot anajiwekaje na anaishije nae vp mtot kama mtot huwa anakutazam vitu unayofanya na anapitia humohumo inabid wew uwe mlinzi au mtoa elimu kwa wazazi mtot asivae nguo fupi hata akikutana n mwanaume ajikute yupo huru kwasabu mtot anabakwa kulingana alivojiweka

  • @user-xc6bb9nn6d
    @user-xc6bb9nn6d 8 หลายเดือนก่อน +1

    Wakibaka sweka ndani wakijikusanya kwenye danguro sweka ndani....wakilawiti sweka ndani Cha msingi police fanyeni kazi imeisha hiyo

  • @UmayyaNkya-ze3ri
    @UmayyaNkya-ze3ri 8 หลายเดือนก่อน

    Uwii hapo ndo wanakolala hao wadada mungu aawasamehe waja wako c mujishuulishe uza ata karanga upate mia ni yako ama olewa atlist mtasaidiana na mume maisha ngoja nioshe vyoo vya warabu huku mie wanangu wasome😔😢😢🥴😭😭😭

  • @user-gg2yf3zl3l
    @user-gg2yf3zl3l 8 หลายเดือนก่อน

    Maana ilikuwa buku tatu UNATOA upwiru sasa ITAKUWAJE wabakaji maana NYETO nayo inachosha

  • @NkubaStar
    @NkubaStar 8 หลายเดือนก่อน

    safi sana hii iwe kwa inchi nzima wanahalibu tabia za mabinti waludi waolewe tu

  • @hasamjebe4685
    @hasamjebe4685 8 หลายเดือนก่อน

    Mhhh kazi kweer kweri hawa wapo mpka siku ya kiyama , uwezo wa kuwamaliza wewe hauna hata kidogo wapo tangu na tangu na wataenderea kuwepo ,mm ushauri wangu kwako ,watafutue ajira au wape misingi ya bihashara utapunguza kidogo

  • @eminenceboy8386
    @eminenceboy8386 8 หลายเดือนก่อน +9

    Ivi kati ya mashoga na hao wanao jiuza ni wapi wa athari katika jamii zetu,

    • @najmasalim-rg6ow
      @najmasalim-rg6ow 8 หลายเดือนก่อน +2

      Wotewote

    • @myunaniniahmad6463
      @myunaniniahmad6463 8 หลายเดือนก่อน

      Ni woooooote.

    • @FredChaki-jb8zj
      @FredChaki-jb8zj 8 หลายเดือนก่อน

      Ni wote 😂😂😂 tu kurwa na doto baba mmoja mama mmoja

  • @jazilambaji2789
    @jazilambaji2789 8 หลายเดือนก่อน

    Haiuna cha kusema madanguro yakivunjwa watu watabakwa sana hakuna kitu km hicho mtu akitaka mtu wa kumaliza shida zake binafs aoe 'kuzini mungu kakataza

  • @hasamjebe4685
    @hasamjebe4685 8 หลายเดือนก่อน

    Leo unazuia umewawezesha au ndio kila mkuu wa mkoa anakuja na miamko.yake?? Wape mitaji alafu wafatilie huu ni ushauri bora sana kwako

  • @TununuMotors
    @TununuMotors 8 หลายเดือนก่อน +3

    Safi sana

  • @credomwenda8518
    @credomwenda8518 8 หลายเดือนก่อน

    Hlf pia ,,wakimaliza kwa hawa madada,,wahamie kwa mashoga,,,mashoga ni wengi hii nchi

  • @elioimer8423
    @elioimer8423 8 หลายเดือนก่อน

    Nawashangaa watz kushangilia matatizo ya wenzao. Sijui wengine wetu Tukoje.

  • @producerema291
    @producerema291 8 หลายเดือนก่อน +1

    Maji na madanguro bora nn😂

  • @geeva99
    @geeva99 8 หลายเดือนก่อน

    Mbengo tv kuna battery mbovu kwenye vifaa vyenu kuna mic zinapiga kelele

  • @gyeong5972
    @gyeong5972 8 หลายเดือนก่อน

    Tatizo sio sheria kuwepo tatizo sheria zenyewe hafatwi

  • @jessemathew4696
    @jessemathew4696 8 หลายเดือนก่อน

    Mkuu wa mkoa hujajibu swali...
    Yaani kiuhalisia watoto hapo mtaani watabakwa kweli kweli.
    Kesi zitaenda mahakama wakati mtoto wa masikini kabakwa

  • @abdulhamidbasha2108
    @abdulhamidbasha2108 8 หลายเดือนก่อน

    Suluhisho walipe kodi tuu kwa kila anaefanya biashara hiyo

  • @finiaskalist747
    @finiaskalist747 8 หลายเดือนก่อน

    Aseee nyumba ni mbovu mnooo

  • @bornmwambemba8497
    @bornmwambemba8497 8 หลายเดือนก่อน

    Big up rc

  • @maryringo2239
    @maryringo2239 8 หลายเดือนก่อน +3

    Wenye haya maeneo wakamatwe kwa kuruhusu biashara haramu iwe fundisho kwa wote .

    • @AnethEdward-nf6sc
      @AnethEdward-nf6sc 8 หลายเดือนก่อน

      Ni kweli wakamatwe kama buguruni kwa madenge zile nyumba serikali ingezitaifisha, mtu ana nyumba anapangisha zifanyiwe ujinga . Zinaleta laana ktk nchi .

  • @Mpakauseme
    @Mpakauseme 8 หลายเดือนก่อน

    Huyo dada full confidence yupo vizuri sana , Mjomba haujatoa jibu unabwabwaja tu eti mbakaji mbakaji oh mara mwanamke mzuri aisee huyo mkuu wa mkoa hana akili kichwani tantalia yani ameshindwakulijibu swali kichwa kibovu mara mwisho kama kuna bia 🤣

    • @alexsuleiman3795
      @alexsuleiman3795 8 หลายเดือนก่อน

      Acha kumtetea mjinga mwenzio mkuu yuko sawa

  • @user-zb2mj5nd5g
    @user-zb2mj5nd5g 8 หลายเดือนก่อน

    Hiyo biashara ni yawenye nyumba na viongozi waserikali za mitaa, wakishabanwa tu hao watu , hiyo biashara inaweza kufa ila kama mnatumia njia zamripuko kama hizo hapo mnapoteza muda wenu bure hiyo biashara siyo yakuiendea kisiasa kama hivyo taifisheni hizo nyumba hizo

  • @annayambayamba8614
    @annayambayamba8614 8 หลายเดือนก่อน

    Wazituletee Sonoma na ngomora kwenye inch yetu washindwe kbs

  • @allymachejo2996
    @allymachejo2996 8 หลายเดือนก่อน +4

    Mimi: Kwaiyo hatuwaoni tena?
    RC. : Kote mwanang tumepiga lock
    Wananch wenzangu : kicheko 😂😂😂😂😂😂😂 🙌🙌🙌🙌

    • @rehemamajaliwa
      @rehemamajaliwa 8 หลายเดือนก่อน +1

      🤣🤣🤣🤣🤣

    • @user-wj4gl5ly8r
      @user-wj4gl5ly8r 8 หลายเดือนก่อน +1

      😂😂😂😂 umejua mwamba Mimi mwenyewe nilicheka kwa kweli

  • @EthanPerfect-gb5fv
    @EthanPerfect-gb5fv 8 หลายเดือนก่อน

    Umejibu vzr mkuu wa mkoa

  • @estonmnthali3719
    @estonmnthali3719 28 วันที่ผ่านมา

    Kazi zuri sana Mc

  • @abdulwahababdulkadir9965
    @abdulwahababdulkadir9965 8 หลายเดือนก่อน

    Anachokisema mama huyu ni kua kwa vile walizoea kuosha mikono yao kwa kutumia haja ndogo si bora waachiwe tu waendeleee kunawia maana watabaki wakiwa na uchafu mikononi

  • @lucaschisamalo2852
    @lucaschisamalo2852 8 หลายเดือนก่อน

    Uchaguzi ukikalibia wote wanaludi mnatuchezea mchezo tu hapo

  • @braviuscosta1430
    @braviuscosta1430 8 หลายเดือนก่อน

    Kama itawezekana upite mfagio wa ukiwakuta wauawe kimyakimya Rc good job nakubali baba naona wanapanga chumba kimoja wanalala 9

    • @efraimjohn4956
      @efraimjohn4956 8 หลายเดือนก่อน

      na mafisafi ambao wanaiba wabako hai, kwasababu hao wawili wanaofanya wamekubaliana. basi tupitishe sheeia ya kunyinga wala rushwa kwanza

  • @Mtazyinstrumental
    @Mtazyinstrumental 8 หลายเดือนก่อน

    Jaman swali hili angeulizwa mwenye nguvu za kiume ata kibaka akipata chaka moja awes enda kwingine

  • @jacksonamos2008
    @jacksonamos2008 8 หลายเดือนก่อน

    Maji na madanguro bora nini 😢

  • @petermsangi2701
    @petermsangi2701 8 หลายเดือนก่อน

    Ungeanza na mashoga bana,hai madada poa muwasake muwape mitaji maana kujiuza ni ziki hakuna anayependa kufanya hivyo ni umaskn,Narudia wapeni elimu yabiashara then muwape mitaji.

  • @georgemovieproduction1842
    @georgemovieproduction1842 8 หลายเดือนก่อน

    Acha ilo la huyo dada Sasa ngono zembe na maradhi yanarudi kwa spidi..mkoa isio na hao madada ukimwi ni mwingi sana magetoni dry sana..kama kweli hawatakuwepo hao mtasema tu

  • @salumsamata6500
    @salumsamata6500 8 หลายเดือนก่อน +4

    🎉🎉🎉 congratulations

  • @jacksonmtazama2821
    @jacksonmtazama2821 8 หลายเดือนก่อน

    Huyo dada kaulizwa swali LA msingi San sema tu kwavile 🤭🤭🤭 anyway ila kama kwel mmedhamilia kusomesha basi mkomeshe na Kule Whatsapp

  • @wamoyothenumberone4356
    @wamoyothenumberone4356 8 หลายเดือนก่อน

    Chalamila nakukubali sana unajua naunajua teena

  • @user-if8nd9cg7w
    @user-if8nd9cg7w 8 หลายเดือนก่อน

    jonas manyika njoo umsikie Mh Chalamila anasema m'bomoaji Ame bomolewa

  • @yordanyona1234
    @yordanyona1234 8 หลายเดือนก่อน

    uje Na Banana eneo airwing .....yamejaa pembeni ya bar 。。。。tunaogopa hata kupita mkato unaweza onekana umetoka huko

  • @user-po8hz7xw9j
    @user-po8hz7xw9j 8 หลายเดือนก่อน

    Wanao watetea hao hawana akili kwani mwanaume siwaoe watu hawatoi kwa sababu yahao watu