Tunasema kazi iendelee, lets the work continue mambo mazuri huko na safari njema kuelekea katika maendeleo ili tuendelee tunaihitaji watu, ardhi siasa safi na uongozi bora . !!! 🇹🇿🇹🇿🇹🇿✅⚒️
Jamani hata Mimi nampenda Madam president huku Arusha National park kitongoji Cha momela wananijua nnavyompenda Kwa ni birth mate wangu 27 January ❤❤kazi iendelee siku nikionana naye live I will be very happy keep it on madam president 🎉
Mwanasiasa mkongwe nchini Mdhihiri,aliwahi kusema,wanasiasa wengi wakati wa Uchaguzi,wanajishusha sana .Kama haitoshi wanaweza kuonekana wa ajabu.Rais kukaa na mtu wa kawaida.Hapo kampeeni simeanza.Chezea ccm ww! Mwandishi,tengeneza kiwango cha taaluma yako,maswali ya. kizamani mno .Eti usalaama wa Taifa ?
Aliandaliwa kukaa na rais ndio maana walimnyanyua na kumuonyesha wapi akakae na watakuwa wamemfuatilia ni mtu wa aina gani haikuwa tishio kwa usalama wa Rais maana ni mwanamke mzee bibi !
Waliogundua uyu mama ni Kitengo mstaafu nipe like😂
Ilikuwaje akawa mualikwa watu wa vitengo hawa
Mimi sigo mutanzania.Niko mukimbizi kutoka DRC kivu.Namupenda mama samia saana.Mama mupe.anajishusha.Niko Zambia.Mama ukija Zambia natamani nikusalimiye.Mungu akubariki.akupe maisha malefu.
Itakuwa mstaafu usalama wa Taifa. Hata majibu yake yako makini hakurupuki.
Tunasema kazi iendelee, lets the work continue mambo mazuri huko na safari njema kuelekea katika maendeleo ili tuendelee tunaihitaji watu, ardhi siasa safi na uongozi bora . !!! 🇹🇿🇹🇿🇹🇿✅⚒️
Mama ana utulivu fulani ambao nimeutamani. Hekima ya kujibu inaonesha wazi kuwa ni mcha Mungu
❤❤ Bibi ni M Christo Mkatololiki
Jamani hata Mimi nampenda Madam president huku Arusha National park kitongoji Cha momela wananijua nnavyompenda Kwa ni birth mate wangu 27 January ❤❤kazi iendelee siku nikionana naye live I will be very happy keep it on madam president 🎉
Acha Janja janja mamangu 🤣🤣🤣🤣🫡
Wow it was so amazing
Hongera mama Mosha,umetisha.
Oyo nae usalama
Mama mosha umewakilisha karume
Yuko smart sana
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤huu mama mansha nimependa kuongea kwakwe anahekima sana
Mwanasiasa mkongwe nchini Mdhihiri,aliwahi kusema,wanasiasa wengi wakati wa Uchaguzi,wanajishusha sana .Kama haitoshi wanaweza kuonekana wa ajabu.Rais kukaa na mtu wa kawaida.Hapo kampeeni simeanza.Chezea ccm ww! Mwandishi,tengeneza kiwango cha taaluma yako,maswali ya. kizamani mno .Eti usalaama wa Taifa ?
Kumbe aliandaliwa
Aliandaliwa kukaa na rais ndio maana walimnyanyua na kumuonyesha wapi akakae na watakuwa wamemfuatilia ni mtu wa aina gani haikuwa tishio kwa usalama wa Rais maana ni mwanamke mzee bibi !
Nlijua ni mama anna mkapa
Uyo nae usalama
Mashallah
Kweli ni mstaagu Huyo wa usalama
Mama kama mama alikaa kwenye trn kwa sababu
Hongera sana mama. Hii nafasi ni km kuokota kitu cha thamani. Mungu akkutanishe nae tena km ilivo tamanio lako.
Nilimwambia akae na mm akakataa😢😢
Danganya toto hiyo
Hahaha
Nataman ningekuwa n mm ninmekaa siti moja na Mama Samia jmn dah'wenzetu wanabahat
😂 sawa tumekulewa
Watu kwa Kupiga Ramli Hodari
Mama anajituma sana. Mh. Rais miwezeshe apate nyumba ya wapangaji japo vyumba 20 apumzike na biashara
🙏🙏🙏
Kama taifa tunasafari ndefu sana kama habari ndio hizi
Mwamkie mama/bibi ndo uendelee na mahojiano
Huyu mama namkumbuka alikuwa anafanya kazi kwenye jengo moja Azikiwe karibu IPS jijini Dar es Salaam
Kipenyo...
Kila kitu mnajua kukikuza ajab n ip
Kampuni binafsi Haina jina😢
Angempisha rais dirishani. Halafu alikuwa anaperuzi! Amekosa vinono!
Komando SGR
Hongera mama😊
Acha maswali hujasoma cuba
RAIS HAWEZ KUKAA NA WATU FROM NOWHERE HUYU LAZMA ALIKUWA MTU WA VITENGO😂😂
HIYO SITI ALIYOKAA RAIS NI PANA NI MAALUM KABISA KWA AJILI YAKE RAIS IPO KAMA KITANDA CHA 6 KWA 6
Wabongo.bhna mna mambo ya ajabu sana
Lakni wabogo kila kitu ni ushamba
😂😂😂 yaan tayar imekuwa stor kukaa tu bibi hiv wabongo lini mtafanya kazi maana? Hiv kuna maajabu gan kukaa karibu na rais? Du
nenda na wew kakae nae kama n rahis
tazama bonge la movie recaps Kali za MAPENZI YA LEO 🔥🔥🔥🇹🇿
th-cam.com/play/PLAdDZHUkCaMgi0p4TzXzJ0YfqF7cX-fP_.html&si=oPyPJ1s7aqI1GWaM
Bibi mkakamavu kbsa huyu atakuwa mstaafu huyu
Mm natamani kukaa na Yesu.. Binadam wanakufa wenye madaraka kuna wakati wanawekwa jela 😎
Yesu pia ni binadamu
@@SalmaBinyaga uaminivyo wewe mm naamini kama ni Mungu nasijakulazimisha kuamini hivyo
Kama unataka kukaa nae basi unashauriwa kufa kama Yeye!
Wangu haina haja ya kufa kwan Yuko hai alisha kufa akafufuka. Nadhan unamjua alie kaburini mpk Leo huyo ndo nakushauri wewe umfate alipo
Acha chuki Kuna roho chafu ndani yako
Bando langu