Nenda mahakamani katafute haki yako,si umwambie mo adhamini vilabu vilivyobaki na yeye kama ana pesa kweli,mnataka vilabu vishindwe kujiendesha halafu mpeleke bahasha zenu ili muwe mabingwa?
Tunapozungumza ligi hatuongelei tim tatu,naona wew mpira huujui,ulishaona wap mwanachama na mshabik wa club Moja anaanza kudhamn vilabu vingine wakt ndan ya ligi anatim kuu anayoidhamin,,hiyo haipo Dunia nzima haipo
@@adammwandambo4143dunia nzima unayoijua? Emirates kwenye UEFA inadhamini Arsenal, Psg, Madrid, AC Milan, nk. Hiyo ni ligi moja. Acheni ujinga kolozidad.
Hapo Simba ilipochukua miaka 4 ilikuwa inachukua kwa sababu ya kuwanunua wachezaji wa Yanga . Kumbuka Simba iliifunga Yanga 4-1 na ikabainika kuwa kuna wachezaji wameuza timu wakiwemo, Jaffar, Juma Abdul, Yondani, Shishimbi na Yanga ilipogundua iliwafukuza wote kwa hiyo hayo huyasemi
Simba homa hiyoooo INA homa siku hizi hawana kiwango na viporo hawana ndio maana wanalalamika waongeze juhudi tu wakuze kiwango ,hawajui kuwa waamuzi wengi ni wao hats wanachama wao wanalijua hilo
Kweli haya makolo akili zao mbovu mpaka vichwa vyao na haya ndio machizi yanayotaka kutuharibia ligi tunaijua hiyo hamkuanza leo mtabweka sana mbwa nyie
Nchi imegubikwa na shetani baya kuliko yote Duniani nalo ni RUSHWA. Baadhi ya wafanya biashara hawalipizwi kodi stahiki matokeo yake wanakua na pesa haramu zaidi ya uhutaji wao ' wamevimbilwa ' . Bahari mbaya sana pesa za rushwa haziwekwi bank badala yake zinagawiwa kama njugu. Leo mnalalamikia ftt kukiuka taratibu na hii itaiingia kwenye taasisi nyingine tu hapa kwetu
Katika ligi ijayo mechi zote za Simba nitaangalia kwa sababu pale kuna Mpira wa kweli.Kukamiana,Kuumizana,Kubadishs viwanja,marefa kujizima data.Wachezaji wakivuka walau wakapata nafasi ya 2,Simba nusu finali Africa anafika.
Tff wanamasirahi na Gsm ndio maana wanangata maneno nabahati mbaya ya simba wamewekwa mfukoni niwazito kufanya maamzi magumu ila ingekua niviongozi wa yanga tayari wangekua wameshawasha moto
Pia udhamini wa Azam kwa Yanga pekee huo nao usngaliwe haieezekani AZAM idhamini timu zote 16 kidha iwe na tena Yanga pekee hiyo sio fair play hilo nalo liangaliee vinginevyo udhamini huo ujumuishee kwenye udhamini mama wa timu zote 16
Hapo kweli hakuna Fair Competition. TFF wasilifumbie macho hili mbona lipo wazi sana. GSM ni mwekezaji/mfadhili mkuu wa Yanga anazitumia hizo timu ndogo kuipatia points za bure Yanga. Mpira ni biashara kama TFF wameshindwa kukemea na kurekebisha hili Simba ilipeleke hili jambo FAIR COMPETITION BOARD na Takukuru. Hapa kuna viashiria vya rushwa.
Hiv www utampiga baba anaekupa ulaji TFF AMKENI HAKUNA MWANACHAMA NA MSHABIKI MKUBWA PIA MDHAMIN ET ARUHUSIWE KUDHAMIN TIM ZAID YA MOJA NDAN YA LIG MOJA,,HAIPO HIYO DUNIAN KOTE
Huyo bwana hajiulizi simba baina ya timu zingine mechi zinakuwa ngumu kwa simba? Ila kwa yanga hizo zingine mechi inakuwa ya kilafiki? Acheni utani tuta enda fifa tuka lalamike
Simba mna matatizo ya uelewa. Mnajua tofauti ya Mwenye timu, mdhamini na mfadhili? Azam ana timu kwenye ligi kuu na amedhamini timu zote. Mbona mko kimya. Mudi alidhamini Simba, Lipuli, Singida United mbona mlikaa kimya. Halafu GSM siyo mmiliki wa Yanga.
Msimu Uliopita Simba Umempa Yanga “Point” Sita (6) nyie mnadhaminiwa na GSM?. Mmeishiwa Hoja, tafuteni Wapi Mnakosea Mkibaki na Malalamiko yasiokuwa na Msingi Mtaendelea Kufungwa kila Msimu.
Makolo wamezowea kuhonga. Si mnakumbuka Enzi zile za kina BENARD MADALE, sasa timu zina pata PESA za kutosha hawataki HONGO. KAMA MAKOLO WANAOGOPA WAJITOWE !!!!.
Hivi mashabiki wa simba najitambua kweli!! Yaani simba amefungwa na yanga mfululizo unamaana nao wamefadhiliwa na GSM? Simba mjitahidi kuboresha timu yenu ili mpate mafanikio.
Tuwashawishi VIONGOZI Wetu na jopo la wanasheria Wetu,iusishwe TAKUKURU WATUPE UTAALAMU WA VIASHIRIA VYA RUSHWAA ILI TUPELEKE CAF NA FIFA WENYE MPIRA WAO.
Hivi kama simba wanaona gsm kudhamini timu sita ,pengine ndo maana yanga anazifunga timu hizo, je simba isiyodhaminiwa na yanga na ni timu kubwa mbona imegeuka kuwa ngoma. Kila mara simba imekuwa inakula kipigo. Ndg zangu uwezo..
Kwahiyo simba mlitoa point sita alifadhiriwa na GSM
kwa kweli GSM anaharibu mpira wetu sana hiyo sio sawa kabisa
Nenda mahakamani katafute haki yako,si umwambie mo adhamini vilabu vilivyobaki na yeye kama ana pesa kweli,mnataka vilabu vishindwe kujiendesha halafu mpeleke bahasha zenu ili muwe mabingwa?
@@georgelyimo2138Mo hawezi nimchungu sana bairi kama nini
Simba alipigwa inje ndani poiti sita vp nae kazaminiwa na gsm? Sajilini wachezaji
Mungu amlaze mahali pema peponi daah magufuli
Wamegundulika ujanja kwishaaa
Simba ya saba amechangia point Tisa je amezaminiwa na Gsm acha kumhoji huyo mjinga
Nilitaka kutoa mawazo hayo hayo umenifilisi
The problem is way of thinking, arguing without reasoning
GSM kaja kuharibu Moira wa Tanzania
Wanasimba tupeleke barua CAF hili jambo litatuumiza sanaa tuamkeni jamaniii
Kabisa wana Simba pigeni kelele hili jambo halijakaa sawa kabisa
Makolo mnaongea sanaaaa!! Mwambieni MO azidhamini timu 10 zilizobaki 😂😂😂
Fungueni kesi, kama Mzee Magoma tu, peleka GSM na TFF mahakamani tu
mbeya city,mbeya kwanza zlikuwa na mpira mzuri zilixhuka ................7bu ya kukataa iyo ktu ya gsm
Huitaji kukaa darasani kuelewa hoja ya kiongozi wa mpira pesa
umeongea vyema mwenyeliti;keep it up
Kweli mnajitoa ufahwaamu sportpesa boss aba vis talimba mwana yanga aliwafadhiri nyinyi simba na timu ilifanyavizuri mbona hatukusikia hizi kelele
Woga tu wanao Simba msitoe sababu Hanna kiwango tu,juzi goli NNE mmebebwa na refa hamsemi hill ondoeni woga.huyo Maria no Simba anaheshimu sheria
Kwani Azam sports Club imedhaminiwa na GSM.Mbona imefungwa 4-1.
Simba nayo imefungwa 1+0. Je imefadhiliwa na GSM.
Tunapozungumza ligi hatuongelei tim tatu,naona wew mpira huujui,ulishaona wap mwanachama na mshabik wa club Moja anaanza kudhamn vilabu vingine wakt ndan ya ligi anatim kuu anayoidhamin,,hiyo haipo Dunia nzima haipo
Bahresa kadhamini ligi nzima wakati yeye ni mdhamini wa Azam@@adammwandambo4143
@@adammwandambo4143dunia nzima unayoijua? Emirates kwenye UEFA inadhamini Arsenal, Psg, Madrid, AC Milan, nk. Hiyo ni ligi moja. Acheni ujinga kolozidad.
Shaban shoga anatunzwa na changudoa muuza juisi sokon
Kwa mini ligi daraja la kwanza
Kariaa akiondoka mtaliaa sana
Azochukua kwasimba inakuwaje
Simba chezeni mpira gsm hachezi mpira wachezaji ndio wanacheza
Hapo Simba ilipochukua miaka 4 ilikuwa inachukua kwa sababu ya kuwanunua wachezaji wa Yanga . Kumbuka Simba iliifunga Yanga 4-1 na ikabainika kuwa kuna wachezaji wameuza timu wakiwemo, Jaffar, Juma Abdul, Yondani, Shishimbi na Yanga ilipogundua iliwafukuza wote kwa hiyo hayo huyasemi
Yaan ubora wa yanga kwenye peach wala huonekani, hi hoja zaifu sana
Hapo Tff wamekaribisha rushwa mpirani
Mngekuwa na timu bora hizo taarabu zisingekuwepo, hizo ni riwaya ni baada ya kujishtukia timu yenu usajili mbovu, so mnajihami mapema,
Mo dewji hata Leo anaruhusiwa,Hana huo uwezo
Simba katowa pwent ngap kwa yangaaa
Kama Kuna ukwel katika hizi hatua ichukuliwe haraka sana
Hakuna mtu aliyezuiliwa kusajiri mo vipi azim vipi
Hawa Simba kweli ni mbumbumbu, GSM anadhamini vilabu 6, sio kufadhili ni kudhamini. Hivi Simba na Azam wote wamefungwa je nao wanadhaminiwa na GSM?
Hivi Azamu mbona anafadhili timu zote ninyi hamsemi,Sasa mwambieni Mo Afadhili timu zilizobaki
Yaani ajajibu swali japo mojaaa
Ana bwabwajaa tuuu
Jibu swali we kumaa
Mtangazaji unasumbuka huyo anawewesuka anaihofia Yanga
Simba imefungwa gori Sabamulinunuliwa na gsm acha woga ushangalia timu ya ulio sajili mbovu munaanza visingizio
Kwani Mo akitaka kudhamini vilabu 6 mtalalamika?Hizo ni chuki endeleeni kujenga timu yenu
Waloanzisha hii mada sidhan Kam wako timamu!!! Hawana facts
Simba homa hiyoooo INA homa siku hizi hawana kiwango na viporo hawana ndio maana wanalalamika waongeze juhudi tu wakuze kiwango ,hawajui kuwa waamuzi wengi ni wao hats wanachama wao wanalijua hilo
Hilo jamaa halina hoja lina bwata tu😅😅
Simba vichaa badala ya kutengeneza timu mnawaza ujinga😂😂😂😂😂😂
Hao waandishi wazingua wanajua ila wanatufanya cc mapoyoyo.
Akili hama nyinyi mnaoshindwa kuhudumia hata familia zenu,wewe ulishawahi miliki hata paka Mia acheni vilabu vinashida ya pesa
Uyu ana jipya mweu tu
Hayo maneno ya wakosaji
Huna akili kalale Kwan mo anashindwa kudhamin zilizobak
Kweli haya makolo akili zao mbovu mpaka vichwa vyao na haya ndio machizi yanayotaka kutuharibia ligi tunaijua hiyo hamkuanza leo mtabweka sana mbwa nyie
WEWE MWAMBIE HUYO ACHE UJINGA MBONA BAHARESSA AMEZAMINI LIGI NZIMA
Kwanini na nyie msimshawishi Dewji adhamini timu 10
Yani shida uyu kwer zipo janan
Nchi imegubikwa na shetani baya kuliko yote Duniani nalo ni RUSHWA.
Baadhi ya wafanya biashara hawalipizwi kodi stahiki matokeo yake wanakua na pesa haramu zaidi ya uhutaji wao ' wamevimbilwa ' .
Bahari mbaya sana pesa za rushwa haziwekwi bank badala yake zinagawiwa kama njugu.
Leo mnalalamikia ftt kukiuka taratibu na hii itaiingia kwenye taasisi nyingine tu hapa kwetu
Huyu mwehu Azam hujui kadhamini vilabu vingapi
Katika ligi ijayo mechi zote za Simba nitaangalia kwa sababu pale kuna Mpira wa kweli.Kukamiana,Kuumizana,Kubadishs viwanja,marefa kujizima data.Wachezaji wakivuka walau wakapata nafasi ya 2,Simba nusu finali Africa anafika.
😢😢😢😢 sitaki kuamini
TFF haipo.kiluchobaki ni siasa . mpira umebaki nijukwaa lakampeni laccm hilohalina ubishi
Hatuna Imani na. Tff
Huyu fala kina Aziz ki Pacome , Chama wamesajili wafanye kazi gani,?
Anaaribu ushindani wa mpira uyu sigara sm. Mana G mshamba akuna😂😂😂
Mwambieni mo nayeye adhamini hakuna shida
Unaonaje ikiwa kinyume yake kwamba hizo timu nyingine waifunge Yanga. Point 36 + 6 za Simba na mke mdogo Azam 6 = 48. Yanga kweli Bingwa!
mnatutia hasira tabu ipo palepale mnaanza kuogopa eenh.
Tff wanamasirahi na Gsm ndio maana wanangata maneno nabahati mbaya ya simba wamewekwa mfukoni niwazito kufanya maamzi magumu ila ingekua niviongozi wa yanga tayari wangekua wameshawasha moto
Pia udhamini wa Azam kwa Yanga pekee huo nao usngaliwe haieezekani AZAM idhamini timu zote 16 kidha iwe na tena Yanga pekee hiyo sio fair play hilo nalo liangaliee vinginevyo udhamini huo ujumuishee kwenye udhamini mama wa timu zote 16
Hapo kweli hakuna Fair Competition. TFF wasilifumbie macho hili mbona lipo wazi sana. GSM ni mwekezaji/mfadhili mkuu wa Yanga anazitumia hizo timu ndogo kuipatia points za bure Yanga. Mpira ni biashara kama TFF wameshindwa kukemea na kurekebisha hili Simba ilipeleke hili jambo FAIR COMPETITION BOARD na Takukuru. Hapa kuna viashiria vya rushwa.
Anachoongea brother tupo sahii kabisa. Uwezi kuwa na tm 8 kwenye league Moja. Upangaji wa matokeo inaanziaga kwenye mtindo huo.
Na wewe huna akili kumbe Kuna tofauti kati kudhamini na kuwekeza
Simba ni wivu unawasumbua nawashauri na wao watafute timu wazi thamini waache utoto na mawazo ya umasikin8
Ati mliondoa wote waliosababisha mkafungwa home and away,,mbna hao wapya pia mlidingwa kimoja
Tenge nezeni timu yenu mbona tulifungwa na yanga mechi za ligi zote na ngao jumla goli name tumezaminiwa na Gsm acha maneno😅😅😅😅
Hata tff wamehongwa na gsm
Kwanza huyu mwandishi ni kolo na amekomalia sana suala la udhamini
Tuliwapiga makolo ndani , mbona Simba tulimpiga tano
Hiv www utampiga baba anaekupa ulaji
TFF AMKENI HAKUNA MWANACHAMA NA MSHABIKI MKUBWA PIA MDHAMIN ET ARUHUSIWE KUDHAMIN TIM ZAID YA MOJA NDAN YA LIG MOJA,,HAIPO HIYO DUNIAN KOTE
Kama wanadhani ni rahisi hivyo si wamwambie Dewji naye afadhili timu nyingine..... Fanyeni mazoezi siyo kulalamika tu ovyooo
Huyu jamaa anapiga kelele as if yuko sokoni lkn pia hajui kuongea
We ni kiazi mo nae adhamini vilabu vilivyobaki
Huyo bwana hajiulizi simba baina ya timu zingine mechi zinakuwa ngumu kwa simba? Ila kwa yanga hizo zingine mechi inakuwa ya kilafiki? Acheni utani tuta enda fifa tuka lalamike
Tatizo vilabu hawawajibu hawa wehu mpira ni pesa bila wadhamini timu zitajiendeshaje? Tarimba wa Sport pesa na Azam mbona hamuwataji?
Mashabiki wa simba ni vilaza sana mwambie Mudi azamini vilivyobakia na nyinyi muchukue point za bure
Simba mna matatizo ya uelewa. Mnajua tofauti ya Mwenye timu, mdhamini na mfadhili?
Azam ana timu kwenye ligi kuu na amedhamini timu zote. Mbona mko kimya.
Mudi alidhamini Simba, Lipuli, Singida United mbona mlikaa kimya.
Halafu GSM siyo mmiliki wa Yanga.
Ukwel unakuuma ww fikiria t kwa hiz akili zako ambazo sio kilaza ina uhalali mt 1 kuwa mdhamin wa vilabu 6
@@simonnjovu586 Azam amedhamin haki ya matangazo kuonesha live azam hajamvisha mt nembo yake yy kanunua matakazo aoneshe live kuwen na akili
Yanga wamezoea ubingwa wa kununua miaka yote
Azam mbona inadhamini klabu zote na Wana timu ya Azam fc Hilo wanasimba hamlioni mnaona ya gsm tu
Cheese, cheesecake factory
Udhamini sio ufadhilii... Halafu brother ukipelekwa TAKUKURU utatoa ushahidi?
KWELI KAKAYANGU UMESEMA AKUNA MPIRA
Hili suala lipelekwe CAF na FIFA FTT na na bodi ya ligi wameshindwa kuliweka sawa
Kuna tofaut kati mwekezaji na mdhamini.
Kwanini na Mo alikuwa anaifadhili African lyon ameiacha nasasa ameamua kuifadhili Simba? We huna point unabwabwaja tu, chezeni mpira
Kwa Nini Simba tu mnalalamika kwani moo Hana uwezi wa kudhamini vilabu vingine vilivyobaki
GSM aachwe awekeze simba tengenezeni timu imara madunduka wote na hao waandishi wa habari wanaojo udhamini wa timu nyingi akili hawana wote😂😂😂😂😂
Msimu Uliopita Simba Umempa Yanga “Point” Sita (6) nyie mnadhaminiwa na GSM?. Mmeishiwa Hoja, tafuteni Wapi Mnakosea Mkibaki na Malalamiko yasiokuwa na Msingi Mtaendelea Kufungwa kila Msimu.
Wajumbe wa Tifua tifua ote wala rushwa tu mamae zao😏
Makolo wamezowea kuhonga. Si mnakumbuka Enzi zile za kina BENARD MADALE, sasa timu zina pata PESA za kutosha hawataki HONGO.
KAMA MAKOLO WANAOGOPA WAJITOWE !!!!.
Hivi mashabiki wa simba najitambua kweli!!
Yaani simba amefungwa na yanga mfululizo unamaana nao wamefadhiliwa na GSM?
Simba mjitahidi kuboresha timu yenu ili mpate mafanikio.
Tuwashawishi VIONGOZI Wetu na jopo la wanasheria Wetu,iusishwe TAKUKURU WATUPE UTAALAMU WA VIASHIRIA VYA RUSHWAA ILI TUPELEKE CAF NA FIFA WENYE MPIRA WAO.
Kaka umeongea ukweli mtupu
Akuna sheria yakimpila duniani inayo kubaliana na tff eti gsm iko sawa duniani ni Tanzania tu mwambieni wambula kama anajua sheria zampila tuojiane
Anayedidimiza ligiii ya Tanzania ni karia na bodi. Take. Uwezi. Kuwa na. Kanuni ya udhamini huoo. Ni rushwaaa
Hakuna jambo linafanyika bila sheria na kanuni, unataka bila sheria wala kanuni mtu achukuliwe sheria?
Acheni janja janja chezeni mpira
Hivi kama simba wanaona gsm kudhamini timu sita ,pengine ndo maana yanga anazifunga timu hizo, je simba isiyodhaminiwa na yanga na ni timu kubwa mbona imegeuka kuwa ngoma. Kila mara simba imekuwa inakula kipigo.
Ndg zangu uwezo..
Halafu ukiendelea kumjadili GSM ndugu yangu utakufa na kihoro kumbe hapo ndo mnapofeli mnaacha kujadili simba yenu mda wote agenda in GSM
Tuache ubabaishaji kama vip Simba wajitoe watafte ligi nyingine wahamie huko ili tumua he GSM na vilabu vyake aendelee kuvidhamin
Si timu nyingine zipo amwambie mo asanili uyu ana jipya
Huyyuuuu chzzzz
Nyie wapuuzi xna msimu ulopita mumeichangia Yanga pointi 6 hv munaweza kutueleza inamaanisha nn?😂😂😂