Huyu Baba kwa kweli anaongeaga point sana , Mungu akubariki sana
Kiukweli huyu Mzee Makamba Mungu azidi kukutetea, una Hekima kubwa sana mzee wetu
Mzee makamba hongera sana baba Wa hekima big up walisishe wanao waongea pointi mwanzo mwisho
Loh! Ndugu zetu was Tz, munaiva kisiasa kweli. Muendeleye nakutaja jina la Mungu katika siasa yenu na bila ubaguzi wa dini. Sijawahi kusikiya Islam anahusiyana vizuri na mkristo. Hongera kubwa na mubarikiwe sana. Mimi toka Bukavu, D. R. Congo
Huyu Mzee amekomaa kisiasa yuko vizuri sana
makamba unanivutia kuingia kwenye siasa,nakupenda sana mzeee wangu makamba
Mungu amrehem jpm
asante sana simu tv mnatusaidia sana sisi watanzania tuliopo nnje ya Tanzania.
Baba tupo vizuri tunamiliki sim siku hizi na ......... sifa ya muongo mwenye shibe ni kunywea maji. Sawa mzee
Hapo sawa
Usiwaguse masihi wa Bwana ukiwagusa umeguaa mboni ya jicho la Mungu
Mzee noma, I love you, Makamba wangu
Unaakili sana mzee maneno yako ni zaidi ya chochote nakupenda Sana mzee wang
Leo hii ni mgombea wa CCM kiti cha Ubunge Kawe.
Nakukubali mtumishi makamba
Nampenda sana huyu mzee basi amezeeka mungu ampe Afya njema
🤣🤣🤣🤣 very interested but badala ya wapinzani tukabatizwa wote kwa moto🤣🤣🤣🤣
Napenda Sana speech za huyu mzee
"Juhudi zetu hapa hatumpigi mtu kamba. Na mwisho tuna malizia kwa salam za Makamba! Baba yetu Makamba.....
Weweeeee wasambaaa mkoapiiiii👏👏👏👏👏👏👏👏👏hebu tujipigie makofi wasambaaaa
Haleluyaaa
safi sana baba
Mzee Makamba ulitoa neno lakini kuna waliokuchukia hapo walikua wskijichekesha tu sasa unayaona binadamu wabaya sana
makamba umetisha
Maneno yanadumu ba hayabadiliki ila alieyasema anabadilika
Kama umesikia kimemo cha makamba kimekataliwa tuonane😂
Maneno mazuri sana, ya Mh makamba,
Nafurahia sana hotuba zako mh
Kwa hiyo na ccm yatoa utume na kazi yake ni ya mungu
Siku ukikosea moja tu, jibaba anakumwaga kaa uharo!
Maneno mazito yenye hekima na busala
Huyu si mtanzania mzarendo ni bonge la nafiki,Rip JPM
Nampenda sana makamba,
Hapo sasa ndipo unadhibitika usemi anaopenda kusema mheshimiwa rais Magufuri kuwa msema kweli ni mpenzi wa Mungu mzee umeudhihilishia umma wakitanzania kuwa wewe humumnyi mdomo huo ndiyo mzee wewe ndiyo jembe la CCM nakwaminia sana majipu sugu hayahitaji kupasuliwa kwa ngazi ni makavu hivyo hivyo kwani chama chetu bado kina misingi imara wala visitokee vibaraka kujikweza eti wanaipenda CCM hao ni wanafiki wakuwa wepesi wakutanguliza kauli zao mbaya baadae wanasahau kauli zao nimefurahi sana hotuba zako mzee mwenzangu ni zautu uzima hazna unafiki ndani yake inabaki aibu kwa yule kwa kusema kwake hakuweka pazia...!usemi wa wahenga usitukane wakunga uzazi ungalipo...!
Yaani fasihi yako ipo njema ingawaje hiyo hotuba naona itaelewka kwa kwa kundi dogo sana lkn big up babake
Safi xana Mzee makamba
Asiyatie kichwani mwake maneno yenu maana mlitufikisha pabaya
Safi sana mzee makamba
Sasa Kama mlitaka apamban na mafisad Magufur kwann mlimuhuwa Mungu ana wasubili kwa amu
Watanzania ni wanafiki xana xana,,.ya leo yanafurahixh xna
Duuh....!!!! Kweli kwa upinzani huu ni ubatizo wa moto 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Luwasa sijui kama anasikilizaga hii kumbe nifisadi/ngwajima naye nimuongo duh? Chama hicho kinasema leo hii wapo tena ccm.
Mzee lowasa kaunga juhudi yuko nyumbn amerudi ufisadi kauacha wapi.....!???
Ok mkuu nakuelewa
huyu mzee daah nimechelewa kumjua na kumfuatilia ila nimegundua ana hekma sana
Alimnadi mwisho wapicha alipigwa chini hiyo ndo ccm
Duuuh mzee makamba. Umenikosha mnoooo. Namuombea Mungu hekima zako na zaidi
Kweli kifo hakina huruma.
Nimekumic sana mzee wangu
Ndio maana mm nasemaga gwajima mnafki Sana Ila tripu hii kanyoshwa na mama
Ubatizo wa Wa moto sasa wanaupata mzee baba nishida Mjini!!
Ubatizo wa moto sasa unatupata wote manaa jua linawaka mpaka vyumbani
Makamba aise angekuwa bado Kijana angegombea Uraisi na Angeshinda
Vita vya Gwajima na kikwete muda mrefu.pia Gwajima alianza kumtetea Magufuli muda mrefu.na Magufuli alijua sifa hizi zina sababu.iliJanuary Makamba awe waziri mkuu.
Anayo kazi mchumia tumbo gwajima kondoo awawezi iyo mchumia tumbo tutajua mengi mzee makamba ubalikiwe cn na mungu!!!!!
Yan mnahangaika kipind hii du polen
Mzee makamba tunakushukuru kwa ushauri wako lakini pia tutakumiss sana
Mzee upo sahihi
Huyu mzee anaunabii ndani yake sema hajijui tuu
Leo gwajima anaonekana ni mzuri
Sema ucogope sema
Majanga tuuu yumo akufuru
Wagombea mbona walikuwa wengi?Sasa Leo lnageuka alijitokeza mmoja eti nitume Mimi umegeuza maandiko mzee.swali hilo ktk Bblia liliulizwa hawakujitokeza zaid ya mmoja.kama ndvo kwa CCM walijitokeza weeengi kupitia mchakato na akabak mmoja
Nitofaut na jins umekalili kwenye Bbilia Umeonopa
Hukumuelewa. Mheshimiwa alikataa kuwa mwenyekiti wa ccm. Walitumia hekima kumuomba. Sababu tamaduni ya ccm ni kuwa raisi ndio anabeba dhamana ya uenyekiti wa chama. Ila yeye alishinda uraisi ila walipotaka wamkabidhi uenyekiti wa chama alikataa. Sababu ukiwa raisi na mwenyekiti wa chama unajifunga kuna baadhi ya mambo huwez fanya kwa ajili ya kurinda heshima na hadhi ya chama katika jamii
Kilasiku wewe kwenyeutubayako umesoma kwa waluteti tumechoka
Mzee makamba bhana
Hapa ndipo tunajifunza uwezo wa kufikiri ulivyofifishwa na elimu yetu.Leo ccm na gwajima tena kampeni manager makamba hahaha...
ccm ya unafiki mbona gwajima yupo. bungen
😂😂makamba hatare Sana.
Mzee makamba ishi miaka miambili katika jina layesu aameni
Sasaivi upo kitaa unalia na ccm imekutupa
Kana ongea haka kafupi
MAKAMBA HII KAULI ILIKUWA NI YA KIFISADI TU. ULIKUWA UNAJIPENDEKEZA KWA RAIS ILI UPATE KULA VYA BURE. LAKINI MAGU ALLIGUNDUA HILO .MSIMAMO WA MAGU UKAWA NI KUTUMBUA TU MPAKA WEWE MAKAMBA UKAAMUA KUSUSA NA KIKAO DODOMA MWAKA HUU 2020.
Safi
Gwajima nje nje na Makamba
Mafarisayo
Mzee Makamba na misemo ya vitabu vya Imani.
Nina huko Leo gwajuma huko mbungeni CCM...
Huyu anayesemwa ni gwajima yupi?
Alikosea kumgeuka Lowasa
Duuuh mzee ulikua jembe
Usimguse masihi wa. Bwana.Usimtukane mkuu wa watu.
1à111
Tuna.Wazee.wenye.busara.sina.shaka
Mnafiki tu huyu
Makamba Kwa kweli unafaa saana kwani unasema ukweli
wapinzani ubatizo wa moto
Mzee ni mhubiri ni kiplan
Gwajima mgombea ubunge kawe
Aliona mbali. Jpm amebatiisa kwa moto. Mimi no mkenya nampenda sana.
Nafasi za uongozi za ukuu wa wilaya , ukijipendekeza kwa Rais unapata. !!!
Duuuuh .... !!!!!
Mmmmmm upande mwingine madongo yamewafikia wenyewe wahusika
Nimeipenda umri mzigo tutakukumbuka wakati wote mzee Makamba
Babu kulikoni??
Sasa hivi. Mzee kwisha ulimfagilia mwisho wake Sasa hivi kimya jamaa hashauriki
Kumbe Gwajima alianza uwongo kitambo sana.
Yaako waapi leo maneno mzr ya wazee wetu?
Gwajima mnafiki tu wakawaida
"atawabatiza kwa moto"lakini leo mmemruka wakati mlimtuma awabatize wapinzani kwa moto.
hilo ndio jambo nililolichukia kuhusu ccm.
Nice speech. Mheshimiwa Yusuf Makamba Mola akubariki😘😍👍