Tumia majani ya maboga ...utapendwa na kutunzwa Kama kote

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 27 ส.ค. 2024

ความคิดเห็น • 502

  • @gerudafesto7353
    @gerudafesto7353 3 ปีที่แล้ว +26

    Jmn video iko powa dada jitahid kupunguza maelezo ni mengi , jaribu kupunguza maelezo ongea in short unawachosha hazira

  • @alimatambwe3402
    @alimatambwe3402 2 ปีที่แล้ว +5

    MashaAllah Jazakhallahu kheiri 👏

  • @alesiakayoka9121
    @alesiakayoka9121 2 ปีที่แล้ว +27

    Kila mtu alipewa nyota yake na Mungu, hata majani nayo yalipewe Radha tofauti tofauti. Hapo Mimi kama Mimi naamini Kuwa Mungu kama amepanga iwe ni amepanga tu hakuna tofau na hapo,, Dawa ni Mungu pekee

  • @elishampoki8751
    @elishampoki8751 16 วันที่ผ่านมา

    Mimi ni Mungu mwenye wivu usiwe na miungu mingine Ila Mimi, tumepewa jina la Yesu kristo, ili kuleta miujiza katika maisha Yetu,

  • @nasramohamed8575
    @nasramohamed8575 2 ปีที่แล้ว +6

    asante sana mpenzi wang mungu akulipe

  • @fatmakiruwasha2378
    @fatmakiruwasha2378 3 ปีที่แล้ว +13

    Hehehehe haro mungu watu km hakupendi hata utumie majani ya vitungu

    • @gressjoseph5615
      @gressjoseph5615 3 ปีที่แล้ว

      HahaaaAaaaaaaaaa umeona eh

    • @esternkulikiye9893
      @esternkulikiye9893 3 ปีที่แล้ว

      Kabisa kama Mungu hajapanga hata utumie pilipili utafeli atakupenda kwamda ila mwisho ataludi kwa mwenyewe

    • @fatmakiruwasha2378
      @fatmakiruwasha2378 3 ปีที่แล้ว +2

      @@esternkulikiye9893 ndungu yangu kwanza mapenzi ya kufsi siku zote haya faida utaambulia kulia wewe kila siku kisa nn mm niacheni nimtengeme mungu mafuta niache kupaka nikawana ngozi nzuri nitengeneze ili nipendwa sifanya upumbavu haka pepo ya wasiyo pendwa na wanaopendwa wate nja nimoja tumuamini mungu jamani

  • @kepeswai153
    @kepeswai153 2 ปีที่แล้ว +5

    Unastory nyingi dada 🥲😶😒😑 go straight to thy point

  • @pendosiame-ns2de
    @pendosiame-ns2de ปีที่แล้ว +2

    Mungu akupe maisha malefu

  • @amosmwalungokenyalekenyale7694
    @amosmwalungokenyalekenyale7694 2 ปีที่แล้ว +3

    Asante sana cute ...lakini hata kama mm nakupenda naweza kukutaja kutumia hii dawa. Mm n mkenya napenda mawaida tako,shida n majina ya vitu haya fanani kabisa.

  • @zawadiombeni749
    @zawadiombeni749 ปีที่แล้ว +2

    very nice

  • @j.takhurmia1743
    @j.takhurmia1743 3 ปีที่แล้ว +3

    Wow hakika uko vizuri my dear unaeleweka mnoo hongera

  • @SuzanaKereti
    @SuzanaKereti 4 หลายเดือนก่อน +1

    Nimeipenda asante sana

  • @kalengaomarbudget8206
    @kalengaomarbudget8206 2 ปีที่แล้ว +6

    Asante dada yangu ila unipe namba yako ya Whatsapp yako ajili tuwasiliane nipo congo drc

  • @patrickmbanya1411
    @patrickmbanya1411 2 ปีที่แล้ว +1

    thenk you mungu akusifizie megi

  • @ziadasalum7345
    @ziadasalum7345 3 ปีที่แล้ว +10

    Vizuri sana.lkn punguza kuzunguka sana kimaelezo.

  • @officialkafyu1952
    @officialkafyu1952 2 ปีที่แล้ว +9

    Ila dada mm nmekupenda unabidii sana ya kuonyesha uchawi wako hadharani hata huna hofu ya mungu your confortable kudanganya cardamnance

    • @evelynmagogwa9161
      @evelynmagogwa9161 2 ปีที่แล้ว +1

      Sio uchawi huu dear ni spell tu za nguvu za universe hakuna uchawi hapo dear.

    • @ruthyohanesy3739
      @ruthyohanesy3739 ปีที่แล้ว

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣yupo vzr afu haogopi

  • @lydiampayo597
    @lydiampayo597 2 ปีที่แล้ว +2

    Hata shetani atatukataa kwa hali hii 🙈😴😴mapenz shikamooo 😂😂😂😂

  • @mashamashamashah1878
    @mashamashamashah1878 ปีที่แล้ว +2

    Wow thank you cute

  • @YusufuChinunga
    @YusufuChinunga 10 หลายเดือนก่อน +1

    Ahsante...Kwa elimu hii

  • @maryberege3093
    @maryberege3093 ปีที่แล้ว +1

    Mungu ndio kila kitu hiyo ni mboga ya kula acha kumdanganya watu na uchawi wako kweupe tena kwenye umati wa watu. Mboga hiyo inaongeza damu tumeambiwa tule tusitumie kwa vitu vya kijinga

  • @lydiaswai8967
    @lydiaswai8967 3 ปีที่แล้ว +8

    Sasa dada wengine tunarud majumban uusiku tufanyeje na unatengeneza kila wakat au ndio hiohio siku 7?

  • @AthumanSimba-h9p
    @AthumanSimba-h9p หลายเดือนก่อน +1

    Nimeipenda san

  • @irenenyangasi9227
    @irenenyangasi9227 2 ปีที่แล้ว +3

    I love it

  • @mercyobare5306
    @mercyobare5306 2 ปีที่แล้ว +1

    Ni nice one 👍

  • @subiraothman6166
    @subiraothman6166 2 ปีที่แล้ว +2

    Nimeipenda

  • @LucianaNgowi-se4sr
    @LucianaNgowi-se4sr ปีที่แล้ว +3

    Mm ctaki hiyo majan ya maboga....nilidhan nafundishwa kupika mlenda for sure kama unapendwa unapendwa tuu....mtu asiwaze hela akuwaze wew akuuu chitaki hii mamboo.....kama wako ni wako tuuu akii mbona wazee wetu hawakufanya hiz mamboo aseee....pls do for yr self usitupoteze kiiman shindwa pepo utafika mbinguni umechokaaa.....

    • @user-tm4ll6zz9c
      @user-tm4ll6zz9c 5 หลายเดือนก่อน

      😂et unafundishwa kupika mlenda😅😂😂

    • @LucianaNgowi-se4sr
      @LucianaNgowi-se4sr 5 หลายเดือนก่อน

      @@user-tm4ll6zz9c wacha gabisa best ang

  • @naomnyaboke6475
    @naomnyaboke6475 2 ปีที่แล้ว +3

    Am ready for the universe to surprise me as its surprising others.. in Jesus Name.. Amen

    • @akasunday4786
      @akasunday4786 2 ปีที่แล้ว

      My ex came back to me few days ago ❤️ i got help from a Relationship Restorer Dr Ben who was able to mend back my broken relationship and make my ex to come back and beg. For a second chance. He can bring your ex back, and he also do a lot of work also like financial problem, and court case,

    • @akasunday4786
      @akasunday4786 2 ปีที่แล้ว

      W-hatsap him⏬⏬::::::::W-hatsap him⏬⏬::::::::

  • @sophiajulius24
    @sophiajulius24 ปีที่แล้ว +4

    Dada acha kuwapotesha wanawake wenzio, haipo dawa ya ivyo! Na nyie wanawake wenzangu mnamsapoti huyo aliye potea! Ili upendwe na mwanaume ni ukalimu tu kwa mwenza wako na kumuombea kwa Mungu.

  • @fadhilamunisi1061
    @fadhilamunisi1061 3 ปีที่แล้ว +4

    Asante sana Cute flora

  • @vnkenyanv3697
    @vnkenyanv3697 2 ปีที่แล้ว +1

    Asante

    • @akasunday4786
      @akasunday4786 2 ปีที่แล้ว

      My ex came back to me few days ago ❤️ i got help from a Relationship Restorer Dr Ben who was able to mend back my broken relationship and make my ex to come back and beg. For a second chance. He can bring your ex back, and he also do a lot of work also like financial problem, and court case,

    • @akasunday4786
      @akasunday4786 2 ปีที่แล้ว

      W-hatsap him⏬⏬::::::::W-hatsap him⏬⏬::::::::

    • @akasunday4786
      @akasunday4786 2 ปีที่แล้ว

      *@✛2349061308010⏯⏯❤️눈‸눈*(⌐■-■)

  • @vickylaizer4287
    @vickylaizer4287 2 ปีที่แล้ว +1

    Asante kwa somo zuri

  • @oderamoses3166
    @oderamoses3166 2 ปีที่แล้ว +1

    Thanks alot may God bless you and you keep it up.

  • @rashidakhamis7332
    @rashidakhamis7332 2 ปีที่แล้ว +1

    Her haya majani kilasiku mengine kwa siku Sana au Yale Yale naomba jibu

  • @queenkanutijohn
    @queenkanutijohn 16 วันที่ผ่านมา

    sawa nimeeelewa

  • @vumisungwe7405
    @vumisungwe7405 2 ปีที่แล้ว +1

    Asante kutufundisha dada tunashukuru

  • @evamussa4409
    @evamussa4409 2 ปีที่แล้ว +1

    Asante kwa somo zury

  • @vickilenad1406
    @vickilenad1406 3 ปีที่แล้ว +6

    Dada tujbu unaoga haho hayo muda wa skusaba au unatngnez mengne

  • @halimamfinanga8461
    @halimamfinanga8461 3 ปีที่แล้ว +8

    Mhh mtengemee Mungu pekee yake atafanya yootee hayo

  • @safiaazizi6598
    @safiaazizi6598 3 ปีที่แล้ว +3

    Fresh sana mwalim

  • @simonkariuki8174
    @simonkariuki8174 2 ปีที่แล้ว

    Asante sana nakama yule mtu ako bali napia haupayani nifanyenje

  • @imeldawenceslaus288
    @imeldawenceslaus288 3 ปีที่แล้ว +6

    Inamaana nitakuwa napasha hayo hayo mpk Sik Saba au mpk nitengeneze nyingine

  • @grollyjoseph5383
    @grollyjoseph5383 3 ปีที่แล้ว +6

    Acha uongoo Mungu akusaidie

  • @masungamasungajoseph9822
    @masungamasungajoseph9822 ปีที่แล้ว

    Kwaio Dr huwezi kunuia vyote kwa pamoja

  • @neemamabiki4496
    @neemamabiki4496 3 ปีที่แล้ว +3

    Hivi wewe dada vya kufundisha vimeisha umeamua kuwa mganga wa kienyeji🤣🤣🤣🤣jamani mbona mnadanganya Sana watu duuh!!

    • @gressjoseph5615
      @gressjoseph5615 3 ปีที่แล้ว

      😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆umeona eh

  • @athmanbushra2639
    @athmanbushra2639 2 ปีที่แล้ว +1

    Majani haya maboga ni matango ama ni maboga yapi coz mimi Niko Kenya mti huu huzaa matango Je kule tz mti huu ndio

    • @rehemamsengo2805
      @rehemamsengo2805 2 ปีที่แล้ว

      Hapana majan ya maboga yanatoa maboga

  • @walizanasiri4963
    @walizanasiri4963 2 ปีที่แล้ว +3

    Dada akuna ya kupunguza maziwa yani nyonyo?

  • @user-iu8jo8bq1j
    @user-iu8jo8bq1j หลายเดือนก่อน

    Asante kwa elim nzur

  • @ShabbyJuma
    @ShabbyJuma 14 วันที่ผ่านมา

    Nataka anipende xana

  • @mutebigodblessyou2956
    @mutebigodblessyou2956 3 ปีที่แล้ว +5

    Can I prepare another receip when it gets over before seven days?

  • @emillyzeeh1173
    @emillyzeeh1173 3 ปีที่แล้ว +5

    Asante sana dada cute Flora naweza kutumiea mboga yoyote kama Spinat ? Asante kwa ujumbi naiona kutoka ujeremani 🙏🙏🙏🙏🇩🇪

  • @euniceboniphace5483
    @euniceboniphace5483 2 ปีที่แล้ว +1

    Ahsante dada

  • @halimasaid9044
    @halimasaid9044 3 ปีที่แล้ว +2

    mungu akuwekke uzidi kutusaidia

    • @mpmp3195
      @mpmp3195 3 ปีที่แล้ว

      À senti wabongo🎤💃💃🎤💃

  • @fatmaidi8650
    @fatmaidi8650 ปีที่แล้ว

    Mashallah baraqallahu kheir

  • @MartinKongo-g7h
    @MartinKongo-g7h หลายเดือนก่อน

    Kuna hile mm naitaji, sio hiyo ya maboga, naomba inbox tafazali

  • @magrethngowi6544
    @magrethngowi6544 3 ปีที่แล้ว +1

    unatumia hayo uliochemsha siku hiyo au unachemsha kila siku

  • @boscojamaljamal1600
    @boscojamaljamal1600 2 ปีที่แล้ว +1

    Nzur san

  • @jamesmburu2954
    @jamesmburu2954 ปีที่แล้ว

    Iyo n mboga acheni zenu,,sasa mnataja mungu hapa kwa izo uongo zote?na watu wamejaribu wamechoka,bona mkipigiwa msisaidie mtu ivyo

  • @FilomenaEfremu
    @FilomenaEfremu 2 หลายเดือนก่อน

    Unaitwa nani mimi nataka nikutengenezee wew uniwaze

  • @leylashabaan5730
    @leylashabaan5730 3 ปีที่แล้ว +2

    Kama tupo katika ndoa lakn tupo mbali mbali kikazi ikatokea ugonvi je nikifa ya hivyo itafaa na je kila sku unachemsha majan mengine au unaongezea tu please naomba jibu mitihan ipo KATKA maisha

  • @firstborncalvin2545
    @firstborncalvin2545 3 ปีที่แล้ว +5

    Huo n uchawi

  • @thelighttv2376
    @thelighttv2376 ปีที่แล้ว

    Hili jani moja litumike mara3 au kila siku utatengeneza nyingine

  • @manumunemanumune-uj6jq
    @manumunemanumune-uj6jq 2 หลายเดือนก่อน

    Maelezo unayakokota saana vitu vidogo ynavifanya virefu utakimbiwa nawatu dada make shortcut

  • @LinetClementina
    @LinetClementina 6 วันที่ผ่านมา

    ❤❤❤

  • @ifeomaeloke4125
    @ifeomaeloke4125 3 ปีที่แล้ว +3

    I like to listen to your channel but you help us speak English

  • @happycharles6886
    @happycharles6886 2 ปีที่แล้ว +2

    Nimependa ushauli wako

  • @SamidaKhamis-vm7od
    @SamidaKhamis-vm7od ปีที่แล้ว

    shukran cute flora WACHA tujitibu

  • @linahmbelwa8756
    @linahmbelwa8756 3 ปีที่แล้ว +1

    Unarudia rudia vituu bnaa nenda straight

  • @rodsconehenry4249
    @rodsconehenry4249 3 ปีที่แล้ว +1

    Sijaona vidio za wa bongo za namna ya kutengeneza kitu flani mostly ngono tuu

  • @martinmushonga-4486
    @martinmushonga-4486 4 หลายเดือนก่อน

    Nahitaji kupokea vidéo kila wakati

  • @ashurakabura7268
    @ashurakabura7268 2 ปีที่แล้ว +2

    asante saana kwa ushauri yako,sasa ikiwa ntapika hayo maji je ntaoga yote lwa mara 1 ili kseho nipike mengine ao ntacukua madogo madogo kwa yale ntakua nimepika?

  • @aishaabubakar2949
    @aishaabubakar2949 3 ปีที่แล้ว +3

    Nikitaka kusafisha nyota tu maana nina mme was mtu aifanyi kazi?

  • @firstborncalvin2545
    @firstborncalvin2545 3 ปีที่แล้ว +5

    Kila kitu mungu ndo anapeana ikosi wewe ni illuminati

    • @frankhoffa8356
      @frankhoffa8356 3 ปีที่แล้ว

      Shida ya illuminate wanaua basi! ila mengine waliyonayo yote tunayatumia

  • @adelajohn87
    @adelajohn87 2 ปีที่แล้ว +1

    Hayo maji uliyo kwisha kuyaandaa unayatumia kila siku ukitaka kuoga au mpaka utengeneze upya?

  • @SolongeLwanzo
    @SolongeLwanzo 5 หลายเดือนก่อน

    Jambo dada, na itaji namba yako tafazali. Niko congo

  • @irenemoraa8818
    @irenemoraa8818 2 ปีที่แล้ว +4

    That's imagination

  • @gracemunubi7773
    @gracemunubi7773 2 ปีที่แล้ว

    Na Kama hauna asali na iyo chumvi unatumia nn ingine kando na izo

  • @SolongeLwanzo
    @SolongeLwanzo 5 หลายเดือนก่อน

    Jambo dada, na itaji namba yako tafazali. Niko congo 9:50

  • @mohamedkahindi9327
    @mohamedkahindi9327 2 ปีที่แล้ว

    Asante Kwa elimu Yako.

  • @fatemafatema1169
    @fatemafatema1169 3 ปีที่แล้ว +1

    Haya alotumia aje kutupa mrejesho hapa

  • @saraouma8163
    @saraouma8163 2 ปีที่แล้ว

    Napenda San mafundisho yako mmy

  • @danielmwakatuma1438
    @danielmwakatuma1438 3 ปีที่แล้ว +1

    Thanx for her suggestions

  • @foodcook3626
    @foodcook3626 ปีที่แล้ว

    Iyi majani ina uhusiano gani nakujua uyu nimfata bibi za watu ili isikutumikie ! Kwangu Mimi Qur'an inatosha!

  • @everlinenjuguna2281
    @everlinenjuguna2281 2 ปีที่แล้ว +1

    Thanks cute Flora

    • @bintiomarmohammed2377
      @bintiomarmohammed2377 ปีที่แล้ว

      Asante dd Ila nauliza nitaandaa maji mwengine baada yatumia ama nabakisha hayo tu kila siku

  • @ernestinerimoy6612
    @ernestinerimoy6612 3 ปีที่แล้ว

    Dhukrsni ssna my Caty

  • @nasasanga2241
    @nasasanga2241 2 ปีที่แล้ว +1

    Good

  • @nonogustave-oq3nq
    @nonogustave-oq3nq ปีที่แล้ว +1

    Asante san

  • @jilloadam
    @jilloadam หลายเดือนก่อน

    Ni majani ya mti gani hayo

  • @shabanidesire9821
    @shabanidesire9821 3 ปีที่แล้ว +3

    Sehemu yakuogea maji hao nisehemu gani sahihi?

  • @bakaryyusuph5943
    @bakaryyusuph5943 2 ปีที่แล้ว

    Unaoga au unafanya vp

  • @furahavanessa7812
    @furahavanessa7812 2 ปีที่แล้ว

    Mambagahiyo nimbagagani sikuerewa kama nimajanigani niambiye

  • @rayanassor8898
    @rayanassor8898 2 ปีที่แล้ว

    Asmte sana

  • @hapsamabrouk2551
    @hapsamabrouk2551 2 ปีที่แล้ว

    Vp Dada maji Chopin unakoqea

  • @neemachales9643
    @neemachales9643 ปีที่แล้ว

    Nikifanikiw ntafurah san

  • @halimasingano7108
    @halimasingano7108 2 ปีที่แล้ว

    We noma

  • @everlinenjuguna2281
    @everlinenjuguna2281 ปีที่แล้ว

    Jamani dada mafunzo yako yanavutia kweli,japo maelezo ni mengi sana,tafadhali mm naomba u just shorten the story,yaan go straight to the point

  • @user-fq1gn4zy7n
    @user-fq1gn4zy7n 6 หลายเดือนก่อน

    Wow

  • @juliashukuru7358
    @juliashukuru7358 2 ปีที่แล้ว

    Asate sana dada,mimi Niko Congo minafuraichwa n'a namfundicho Yako saaana,Niki itaji kuasiliana nawewe nitanya Nini?

  • @MariamHassan-re7hs
    @MariamHassan-re7hs 2 หลายเดือนก่อน

    Aomba namba yako ya simu

  • @BeatriceJulias
    @BeatriceJulias 22 วันที่ผ่านมา

    Kama sina asali naganyaje

  • @jeniphermallya3358
    @jeniphermallya3358 3 ปีที่แล้ว +2

    Kweli uganga hadi humu duuuuh!