Woooooo mpoji leo umanifurahisha kwa kweli😢😢😢😢akili yako n ndefu sana waja mungu azidi kukuonekania 🎉🎉jukua hyo mtoto ukae naye siku mama shadya atakuja kuleta ujinga weka yy ndani kwa jela ashike adabu😢hila baraka pia yy ajui kinacho endelea musimutoe makosa jameni 😢😢waja mungu akutie nguvu kwa mmbo unayo pitia nawapenda sana tugonge like n kusema amen tukisonga🙏🙏🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🔥🔥🔥🔥🔥
Mponji hongera sana magi yani umesahau kabisa kama mama shadia hakutakii mazuri mpka unataka mkukasirisha mponji usiwe hivo magi utapoteza ladha ya ndoa alafu nawapenda nyote kinomaa 🎉🎉❤❤❤😊😊😊
Mponji upewe maua yako baba na uendelee vivyo hivo🎉🎉🎉🎉🎉. Mama Shadya kumbuka hakuna kitu ulipanga ukafanikiwa tafuta kazi ufanye lazima utoke jasho ndio upate pesa hakuna vya bure😂😂😂😂😂😂
Huyu baraka saivi anasinya eti ndoa iharishwe, na vyenye nasubiri ubwabwa😂,na keki, Wangapi wanamkubali Mponji kwa kumfuatilia mama Shadya, wekeni like zenu tukingoja ubbwabwa😂😂😂😂
Baraka ana zingua ndoa Kwanza mengine yafuate kama unasapoti ndoa kwanza nipe sapoti kwa like hapo make mtoto kwanza hajatekwa.❤❤❤❤ mama shady pran ime shindikana.
Nimepend msimamo wa mponj hongera.sana 😂😂😂😂 yaan kama namuona baraka akipata.taarifa.mponji pleas.tuletee.kesho ep ya 50.da! Hadi raha ❤❤❤❤❤❤ half mama hajra kichw cha boga kwe jaman
Nimepeda hio hogela mpoji kazi safi sana na wewe mage suga sana usipotese ndoa yako kwa ujiga munafiki balaka muodoe kwa maisa yako mama sadia mama mujiga
Woooooo mpoji leo umanifurahisha kwa kweli😢😢😢😢akili yako n ndefu sana waja mungu azidi kukuonekania 🎉🎉jukua hyo mtoto ukae naye siku mama shadya atakuja kuleta ujinga weka yy ndani kwa jela ashike adabu😢hila baraka pia yy ajui kinacho endelea musimutoe makosa jameni 😢😢waja mungu akutie nguvu kwa mmbo unayo pitia nawapenda sana tugonge like n kusema amen tukisonga🙏🙏🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🔥🔥🔥🔥🔥
Dhu nami leo nime wait aisee kama nawe una angalia saivi gonga like hapo.🎉🎉🎉
Mumuponji.kazinzuli.acana.namag.nabalaka
😊😊😊😊😊😊😊😊😊@@KhadijaKhadija-cz1yh
Jaman mponji una akili sana kaka hongera kwa kazi nzuri ❤❤❤❤❤
Very gud mponji
Hadi rahaa hongera saana Mponji akili kuuubwa 🎉🎉🎉🎉
Hongera mponji 🎉🎉🎉🎉🎉 njia ya muongo ni mfupi 😅😅😅😅😅😅
Mponji unahakili sana hongera sana kazi yako nizuri sana❤❤❤❤❤
muponji kazi nzuri nimependa msimamo wako 🇱🇷👍
Sana tu laiki zk izo
Akili ya kupewa chagaya na yako saf sana mponji chukua maua yako 🎉🎉🎉🎉❤❤❤
Mponji hongera sana magi yani umesahau kabisa kama mama shadia hakutakii mazuri mpka unataka mkukasirisha mponji usiwe hivo magi utapoteza ladha ya ndoa alafu nawapenda nyote kinomaa 🎉🎉❤❤❤😊😊😊
Yan baraka wew sio mtu mzuri kwa rafiki Yako
Saana umeona ee
Mponji upewe maua yako baba na uendelee vivyo hivo🎉🎉🎉🎉🎉. Mama Shadya kumbuka hakuna kitu ulipanga ukafanikiwa tafuta kazi ufanye lazima utoke jasho ndio upate pesa hakuna vya bure😂😂😂😂😂😂
100%dear wallai n heri ageomba tu mponji pesa 😃😃😃 Alf najua nikuigiza kusema tu ukweli huyu Hajira alienda Shule kweli wallai 😃😃🤦
@@buru1235 Alijua tu akiomba hatapewa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🎂
Mponji hongera sana
Hahahaaaa hajra Hana hakiri kudanold tyu yaaani hanatumia hakili za watu, wew mage hacha ujinga wewe funga ndoa, mauwa kaka mponji❤❤💚💚💚💚
Huyu baraka saivi anasinya eti ndoa iharishwe, na vyenye nasubiri ubwabwa😂,na keki,
Wangapi wanamkubali Mponji kwa kumfuatilia mama Shadya, wekeni like zenu tukingoja ubbwabwa😂😂😂😂
😂😂😂naungoja sana huo ubwabwa kwa kweli 😂
Nimependa hiyo mponji hongera sana ama kweli siku za mwizi ni arubaini🤣🤣🤣🤣
Baraka ana zingua ndoa Kwanza mengine yafuate kama unasapoti ndoa kwanza nipe sapoti kwa like hapo make mtoto kwanza hajatekwa.❤❤❤❤ mama shady pran ime shindikana.
😂😂😂😂nimeipenda hio mponji congratulations san❤❤❤❤❤
❤😂🎉muponji hongera sana broo Yani unaakili kweli umenifuraharisha sana ila baraka nimunafiki sanaa sasa ushajuwa ukweli harusi tunayooo🎉🎉❤❤😂😂
Mpaka nione ndo nitaamin lasivyo ndoa
Mungu niodolee marafiki kama Hawa wanafiki
Your views, likes, comments, share and subscriptions mean the world to me. Love y'all ❤❤❤
Mponji nakupenda sana unahakili sana
Hongeraa sana mponji 🎉🎉🎉🎉kz nzuri wapenzi ❤❤❤
Narudi tena ongera mponji umefanya vizuri hi filamu inapendeza sana nimefulai
Hio macho ya mama shadia nikama kashetan vileee
Du h ni nzur sana na inafindisha sana❤❤❤❤
Wew baraka siutoe wew hio milioni 10
Waoooo mponji hongera sn alafu mage aca kiherehere 😢😢😮😮😮😮🎉🎉🎉🎉❤❤❤😂😂😊
Kamtoe wew baraka si unauchungu sana kwnin usiende kwa baba yake mzaz alipe ela mwanae apew baraka taila kwl
Hongera mponji kwa msimamo wako🎉🎉🎉 nakupenda sana
Duh jamn leo watano uku mkuje mkuje mkujeeeeeeeee❤❤❤❤❤❤
Nimewahi leo kazi poa sana mfunge ndoa acha na vitisho vya mama shidiya
Hhhhhhh huu mchezo unafundisho zito sana,Mungu akubariki Mponji,,kila hatua nisomo
AMINA.
Duuuuuh,,,,,,hongera sana mponji umenifurahisha sana duuu,,,basi ukichelewesha muendelezo maana nahisi inayokuja nitamu mnooooo
Mponji hongera sana 🎉🎉🎉🎉
Mipango kwisha jameni 😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅mupoji Leo nimekushukuru
hajra mwaka wako huu jua linazidi kukuwakia
Hongera mponji kwa maamuzi yko
Mponji weee hongera
Next plea😂 haki mama shadya wewe😂😂kiburi na ujinga ndio zako😅
natokea kenya 🇰🇪 pamoja Jamani like zenu hata kama nitano🎉🎉🎉🎉
Barakaa jana nilikuambia wew nishogaa tena mkubwaaa,,unasapot mwizi
Kweli mponji una akili yaani nimependa huo ujasiri🎉🎉❤❤
Shadia baba😂😂😂😂😂😂
Muponji unacheza gemu vizuli❤❤ ongela sana
Nimeipenda hiyoooo mwaaa
Mponji nimeipenda hiyo
❤❤❤❤❤❤❤kazi safi
Hongera sana mponji kwakutumia akili🎉🎉❤
Safi sana mponji kazi nzuri
Mambo ni moto ❤
Nimepend msimamo wa mponj hongera.sana 😂😂😂😂 yaan kama namuona baraka akipata.taarifa.mponji pleas.tuletee.kesho ep ya 50.da! Hadi raha ❤❤❤❤❤❤ half mama hajra kichw cha boga kwe jaman
Kumekucha Yani patamu hapo 🤣🤣🤣🤣nimecheka kwa sauti xana kwa nyumba zawenyewe daa
Vizuli sana mponji simama kama mwana ume
Ajikaze sio😂😂😂 nalonalo mwamba
Hahaha mphonji mungu azidi kukuongoza haki uwajue wajanja
Waoo mponji nimekupenda bule
KAZI nzuri jamani ❤🎉🎉
Hapo patamu sana
Ila mama shadia mzur mashaAllah
Mponji hongera sna umenifurahisha endlea n huo msimamo wko usibadili mmi nasubiri ubwabwaa 😂😂❤😊
😂😂😂😂😂Mponjii umemkiss vipi huyo mwenzako jaman 😅😅😅😅
Jamani taamu ❤❤❤❤
Niatari kbs 😅😅
❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉mauwa ya mponji 🎉🎉🎉to 🎉 Next please
Good
Hogera sana mponji umeogea kama wanaume mia
Nimepeda hio hogela mpoji kazi safi sana na wewe mage suga sana usipotese ndoa yako kwa ujiga munafiki balaka muodoe kwa maisa yako mama sadia mama mujiga
Big up Mr mponji hakika mama shadia kaumbuka leo
Hahahaha 😂 jamani imeishia pazuri aisee naomba mwendelezo
Baraka,shadya anaye baba
😂😂😂😂ngoja leo nicheke
😂😂😂😂mage mpuuzii wewee daaah hatariiii
Safi sana mponji simamia msimamo wako huohuo
Patamu hapo 💗💗💗
Baraka unakera bhaaaaaan😂😂😂
Hongera sana Mponji kwa busara zako ona sasa Shadya kapatikana kirahisi tu 😂😂😂Mama Shadya kaumbuka hadi aibu jamani LOH!
Goood❤
Mponji maua hayooo🎉🎉🎉🎉🎉
Mponji 😂 nice dah nikajua utakubali kutapeliwa kiboya bila kuchunguza😂😂😂😂
Magee nagupenda sana❤️❤️❤️🇧🇮
Mashadiya nawe zumbukuku kweli😂😂😂 acha tu usishindane na mponji kwa sasa❤❤🎉🎉 nawapenda
Mponji, kwa kweli, umepambana sana. Hajira huyu anakusudi la kukufanya maskini.
Jaman yiyo ndowa inafugwa au haifungwi maana tumeshoka kusubili😊
Wee mage moumbavu Sanaa mjinga kabisa
😂😂😂😂❤🎉🎉 mponji una akili nyingi sana
😂😂😂😂Shadya Baba utajichukia
Baraka si mtu mzuri
Sikupendi baraka fisadiii tooo
Kkkkk mama shadya bwana mbona vituko
Kamtafute wewe mbaraka safi sana mponji
😂😂😂😂 mwisho wa ubaya ni aibu kimekuramba mama shadya
Baraka nyoko zako
😂😂😂😂😂 weeeh mponji unaakili naye hajira mpango wake umefail
Hajraaa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 aibu naona mm
Asanteeeeee ukweli umejulikana duhhhhhh hadi raha
Baraka acha roho mbaya
😂😂nimeipe hiyo
Mbona Baraka anakuwa kigeugeu simuewi
Mna nifulahisha sana jamani❤