Mtabishana ooh diamond anaviwanda ooh kiba hna kitu at the end of the day they're moving forward ww unabaki kununua voucher daily kuingia u tube kuangalia mond kafanya nn kiba kafanya nn they even hv houses for their families maybe ww inabishana Huna hta kibanda cha kuku instead of kubishana take a step do something altleast even u anza kuuza karanga slowly by slowly and gradually u will find yourself unamiliki kiwanda kma him
Even mond alipoanza hakutegemea kma atafika pale alipo watu walimcheka buh Allah kamjalia instead of kubishana mitandaoni try to get what u want with what u hv anything even if is kuchonga vichago kuuza mihogo
wange uye nikweli usemayo lkn Alikiba ameingia hapo na yy kama business partner so naye anamiliki kiwanda hicho kwa sasa coz ana shares zake,tunakula karanga za diamond twateremsha na mofaya ya Alikiba hawa wote ni ndugu zetu lazma tuwasupport
Hicho Kiwanda ni cha huyo mzungu alievaa koti jeupe diamond hatoe wapi pesa ya kuanzisha Hicho Kiwanda? Diamond ni jina tu kwenye hiyo product Kiwanda kina wenyewe
usipokubali mafanikio ya mwenzako lazima utapata taabu xana nakukubali xana simba endelea kufanya yako ili wenye akili utupe hasira kufikia ulipo na pengine zaid. lkn wenye vijiroho mhh
Hata mie fan wa Mond ila nimekula karanga zake sio tamu, sijui Ni zangu tu packet nliouziwa au?wengine mnasemaje kwa utamu na ubora kama mmezila? Nimeisha kula better than hizo aina nyingine
Elisa Shekusa Acha ushabik wa Kijinga Kile kiwanda cha kiba Wakat kiwanda kipo South africa Na hawakusema Km cha kiba ilioneshwa Ilipotengenezwa Tena wamesema Co yake na ile Kampun Ishatengeza Vtu ving tu Kiba ni Baroz Unakataa ukweli unaokuuma Unakubal Uwongo ili ufulai 😂😂😂😂
oky lkn hatukuwahi ona kiwanda cha mond hadi baloz wa mofaya (ka unavyosema ) aanze kuonyesha kazi yake huo ni utoto mjipange ma brooo pesa minazo ila ndo basy 2 mnapenda upimzani sana
Masen Kaitaba kaka mimi sina umasikini ila na sema kweli mimi na pends ngoma zao but ubishow ume zidi kama hela niko na hela mimi sio kama wale wakutegemeya watu
ninacho kijua mimi Kiwanda cha Diamond karanga ni cha mr Hassan mlebanoni miliki wa chipssi Snaks Zile chama na Kiwanda kinaitwa Smart Indastrt kipo mwenge Diamond Plutonium ni balozi Sio mmiliki Wa Kiwanda cha Smart Na kuusu Ally na kiwanda cha mo faya kipo South na video za kiwanda you tobe zipo na mimi ninazo ally akiwa kiwanda fala uwezi Elewa
Mm nilikukubali kwanzia 2008...Wenye roho zao chafu wakule karanga na macho..Cmba ndio maanake naishi kukupenda bure....💃🙏👄❤#Cmba
we mboso usile hizo karanga mana una hatari wazalisha wawili kwa mwezi mmoja hatari sana
Wow👍👍👍❤
Izi karanga cku nikisahau kununua bx wananangu wanagoma kwenda shule ha ha ha simba mungu anakuona.hongera xana.
Mtabishana ooh diamond anaviwanda ooh kiba hna kitu at the end of the day they're moving forward ww unabaki kununua voucher daily kuingia u tube kuangalia mond kafanya nn kiba kafanya nn they even hv houses for their families maybe ww inabishana Huna hta kibanda cha kuku instead of kubishana take a step do something altleast even u anza kuuza karanga slowly by slowly and gradually u will find yourself unamiliki kiwanda kma him
Even mond alipoanza hakutegemea kma atafika pale alipo watu walimcheka buh Allah kamjalia instead of kubishana mitandaoni try to get what u want with what u hv anything even if is kuchonga vichago kuuza mihogo
Mbosso ako na energy nzuri ndiyo mana napenda akiwa presenter. Napiya songs zake powa sana.
#Mofaya mnasema ya Alikiba naomba nionyesheni kiwanda chenu plz
wange uye Fuatilia mambo,simu unayo unataka nn mbona lishawekwa wazii,,hahaaa
wange uye 😂😂
Bado mashabiki wa bishi mimi najua #Mofaya ipo South Africa tangu 2014
wange uye nikweli usemayo lkn Alikiba ameingia hapo na yy kama business partner so naye anamiliki kiwanda hicho kwa sasa coz ana shares zake,tunakula karanga za diamond twateremsha na mofaya ya Alikiba hawa wote ni ndugu zetu lazma tuwasupport
ABCD 000007 Ndo maana nimemwambia simu anayo hafuatilii mambo anakulupukaa,,nafikr ameelewa
Vijana wapate ajira kupitia wasanii. # Diamond Karanga
msijipee sifaa mond yeye ni balozi uo uomladi ni wa clouds clouds media
Iki kiswahili cha mfanyakazi wa kiwandani vipi.....?
WAMALIKO LUMUMBA mkongo
Mimi nnaushauri mkiwa kiwandani funikeni vichwa vyenu. Maana nywele mbaya katika chakula
Mbosso nywele hamjaweka chochote
ngoja nikanunue kwanz saiv izo karanga nakujaaaa
Great
Nawe mshikaji wangu mbosso unapenda kula Hahahahhaha duuu kila unachokiona unataka kula haaaa ndio maana ile siku ulipofika nangurukuru ukala ngisi mix samaki mwishowe ukawa unahalisha
Duu kwahiyo m nimekua wa mwixho kukoment
Wow they look so sweet I wish to eat
nimechelewa kucomment lakini sikitu siku ni siku muhimu ujumbe ufike tu
##karanga it moja tamu....mungu tu....##jamani onja.....
Congratulations diamond on your Business @Jinfunze TV 📺. This natural food
Diamond Karanga
Natafuta job diamod nisaidie kwenye kiwanda chako pliz
yani star anaenda kiwandani na ist wakati kuna bmw x6 haina kazi yeyote ile halafu kaongozana na meneja wake ricardo momo , mnaishuxha brand
Sehemu inayotengenezwa chakula km hvo kiwandani nguo zenu mlovurugia nje huko wee mnaingia nazo.
Waambie watumie disposable hair net kufunika nywele. Mutalisha watu nywele.
Jamani hizi karanga zauzwa wapi Nairobi? Zimenipendeza sana
Kuma wew kiwanda siyo chenu icho
hassan salehe punguzamatusi. ndugukiba. namondi. oteewadogozakotu. ivomsiwagombanishee
hassan salehe mama yako ana nini mpaka utukane hivyo?????
Mpiga picha arudi kujifunza. Wewe mboso wapewa maelezo au ni wewe utowae maelezo. Maana naona wajipendekeza kwa boss wako.
Ivi amna wa Tanzania wa kufanya kazi iyo had wageni
Nogewa jirambe peace and love
Twende kiwanda cha juice ya Mofaya ya kiba mwelekezi kwenye kiwanda hicho sikosei huenda Ni Hamorapa
Hicho Kiwanda ni cha huyo mzungu alievaa koti jeupe diamond hatoe wapi pesa ya kuanzisha Hicho Kiwanda? Diamond ni jina tu kwenye hiyo product Kiwanda kina wenyewe
christmas machele wefala umekariri sokilamzunga mmiriki w kiwanda
Kwan hicho kiwanda kinaizidi tv mbona Cha kawaida Kwa simba
The way you are talking to me its like you are jealous
Illiteracy no doubt
Hicho kiwanda kina wafanyakazi wangapi
mbona hamvai kofia nawakati mwatengeneza chakula,manywele sasa kwenye karanga
sili tena kalanga zenu kiwanda kichafu sana duuuuh
elizabeth paul wewe mwenyewe mchafu uktaka uamn jitie kidole alafu nusa
Mofayàaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa kwanda gan kichafu kama mmiliki
Mbona kama mazingira machafu hivi
Nime amin Cjui Diamond uwafanyie nn ili wakukuBali kwel kalanga zako kabisa
simbaaaaaaa big up brooooooo
Nice
Mashallah, kila la khery Baba Dylan
kazi Veep jmn
Anaejua hiki kiwanda kipo maeneo gan kwa Dar anjulishe
1
Tour guide mbona kama ngarenaro arifuu
mbona viroba vya azam
Hi mbosso
Sasa mmevaa gloves, mask, mbona hamjakava nywele zenu?
aminia
usipokubali mafanikio ya mwenzako lazima utapata taabu xana nakukubali xana simba endelea kufanya yako ili wenye akili utupe hasira kufikia ulipo na pengine zaid. lkn wenye vijiroho mhh
Mwanzo mgumu mtafika tu ........hongereni sana
Mboso umetia kampuni asara mana umetembea ukila karanga umo ndani😅
heee!! hongera diamond kwa kumiliki kiwanda kikubwa hivi... na umeajili sijui mkongo uyoooo.... hongera sana.
samahani lakini pachafu sana !!!!!
Mabulah Leonard kasafishe
Hata mie fan wa Mond ila nimekula karanga zake sio tamu, sijui Ni zangu tu packet nliouziwa au?wengine mnasemaje kwa utamu na ubora kama mmezila? Nimeisha kula better than hizo aina nyingine
Nogewa jirambe🔥🔥🔥💯
mbn local san
Dah! huu mradi wote ni wa SIMBA!!?? hakika aliyepewa hapokonyeki
Masen Kaitaba jina tu ndilo la Diamond.
kiwandaa ni cha clouds media yeye yeye mond ni baloz 2
Hassan Issah una akili za ucku umasikini wako usiwe kikwazo kwenye maendeleo ya watu 😎
Joan Gatwiri umeambiwa na nani?
Hassan Issah kama mofaya sio
Tucheki kuwa wa kwanza kutazama videoMOVIES zote Mpya za Bongo!!!!
Kalanga zenyewe ngumu kama jiwe kuma nyie wcb wote
Listen for your words before you bring out control your mouth
Daah sasa ukienda kiwanda cha condom Utafanyaje Kama Umezoea kuonja mofaya
Nogewa jirambe😋😋😋😋👍
Mod ni balozi tu
Uyo jamaa ni mkongo au simuerewi
kwaiyo hii kampuni ukoapi?
M b O s S o_
wouyooooo wakwanza kucomment mimi
Moe Davie saf
Pwahahahaha acha nicheke
karanga na zikubari sana
lazima akauke hahahahaha
Fisi mkle uozo
baada ya kuona alikiba- anaonyesha kiwanda chake wameamua kuonyesha chao🐹🐹🐹🐹wamedadavua wakamchukua mbosso ili tusiwagundue kiurahisi@msema kweli
Elisa Shekusa sasa point yako ni ipi????? Kiba ndo kaanza au kamkuta Mondi kwenye uanzilishi wa viwanda
acha hizo kwani mondi hajawahi kutembelea hiki kiwanda????we wawapi?????
Elisa Shekusa Acha ushabik wa Kijinga Kile kiwanda cha kiba Wakat kiwanda kipo South africa Na hawakusema Km cha kiba ilioneshwa Ilipotengenezwa Tena wamesema Co yake na ile Kampun Ishatengeza Vtu ving tu Kiba ni Baroz Unakataa ukweli unaokuuma Unakubal Uwongo ili ufulai 😂😂😂😂
Kwel aisee,walikuwa wap wasionyesbe icho kiwanda?
oky lkn hatukuwahi ona kiwanda cha mond hadi baloz wa mofaya (ka unavyosema ) aanze kuonyesha kazi yake huo ni utoto mjipange ma brooo pesa minazo ila ndo basy 2 mnapenda upimzani sana
first comment first viewer
safi Sana
??
Usinzipimieee kwautam
poa mkaki
Upate mofaya plus mondi karanga..utamu mtupu
wenye wivu wajinyonge
nogewa ujirambe kumamae
Mofaya
Nomanoma
You
Noma
Mumuzidi na masifa sana mume anza kuni chosha
chikidah boy umaskini wako isiwe sababu ya kutuletea shombo sie
Masen Kaitaba kaka mimi sina umasikini ila na sema kweli mimi na pends ngoma zao but ubishow ume zidi kama hela niko na hela mimi sio kama wale wakutegemeya watu
chikidah boy Kwan ww nani hasa hadi una sema ivyo
chikidah boy unatumwa utizame
Unavyoonekana km shoga hivi, halafu nilishawahi kukuona pale Sinza makaburini j'mos moja usiku ukiwa umejipodoa.
Nogewa jirambe
Aka kamchina kanalipwa na mondi da nkma sana
Sombaaa
Chibu karanga usisahau kusubscribe account yangu
ninacho kijua mimi Kiwanda cha Diamond karanga ni cha mr Hassan mlebanoni miliki wa chipssi Snaks Zile chama na Kiwanda kinaitwa Smart Indastrt kipo mwenge Diamond Plutonium ni balozi Sio mmiliki Wa Kiwanda cha Smart Na kuusu Ally na kiwanda cha mo faya kipo South na video za kiwanda you tobe zipo na mimi ninazo ally akiwa kiwanda
fala uwezi Elewa
??
Mbosso mwenye tabasamu
mmmmh namm nangoja siku yangu ya kupewa ifike
Kiwanda chenu ni kali
Safiii diamond platinum