Mbosso Alipotembelea Kiwanda Cha Diamond Karanga

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 26 ก.ย. 2024

ความคิดเห็น • 138

  • @sallygoldwawatu4372
    @sallygoldwawatu4372 6 ปีที่แล้ว

    Mm nilikukubali kwanzia 2008...Wenye roho zao chafu wakule karanga na macho..Cmba ndio maanake naishi kukupenda bure....💃🙏👄❤#Cmba

  • @fatihiaanwar8879
    @fatihiaanwar8879 6 ปีที่แล้ว

    we mboso usile hizo karanga mana una hatari wazalisha wawili kwa mwezi mmoja hatari sana

  • @remanansubuga7106
    @remanansubuga7106 2 ปีที่แล้ว

    Wow👍👍👍❤

  • @fababindawood5842
    @fababindawood5842 6 ปีที่แล้ว +15

    Izi karanga cku nikisahau kununua bx wananangu wanagoma kwenda shule ha ha ha simba mungu anakuona.hongera xana.

  • @rahmatumam357
    @rahmatumam357 6 ปีที่แล้ว +1

    Mtabishana ooh diamond anaviwanda ooh kiba hna kitu at the end of the day they're moving forward ww unabaki kununua voucher daily kuingia u tube kuangalia mond kafanya nn kiba kafanya nn they even hv houses for their families maybe ww inabishana Huna hta kibanda cha kuku instead of kubishana take a step do something altleast even u anza kuuza karanga slowly by slowly and gradually u will find yourself unamiliki kiwanda kma him

    • @rahmatumam357
      @rahmatumam357 6 ปีที่แล้ว

      Even mond alipoanza hakutegemea kma atafika pale alipo watu walimcheka buh Allah kamjalia instead of kubishana mitandaoni try to get what u want with what u hv anything even if is kuchonga vichago kuuza mihogo

  • @furahayamoyo9193
    @furahayamoyo9193 6 ปีที่แล้ว

    Mbosso ako na energy nzuri ndiyo mana napenda akiwa presenter. Napiya songs zake powa sana.

  • @wangeuye6015
    @wangeuye6015 6 ปีที่แล้ว +25

    #Mofaya mnasema ya Alikiba naomba nionyesheni kiwanda chenu plz

    • @theonlydayonicedionis3294
      @theonlydayonicedionis3294 6 ปีที่แล้ว +2

      wange uye Fuatilia mambo,simu unayo unataka nn mbona lishawekwa wazii,,hahaaa

    • @vascogomano8089
      @vascogomano8089 6 ปีที่แล้ว +1

      wange uye 😂😂

    • @wangeuye6015
      @wangeuye6015 6 ปีที่แล้ว +1

      Bado mashabiki wa bishi mimi najua #Mofaya ipo South Africa tangu 2014

    • @againstallodds8548
      @againstallodds8548 6 ปีที่แล้ว

      wange uye nikweli usemayo lkn Alikiba ameingia hapo na yy kama business partner so naye anamiliki kiwanda hicho kwa sasa coz ana shares zake,tunakula karanga za diamond twateremsha na mofaya ya Alikiba hawa wote ni ndugu zetu lazma tuwasupport

    • @theonlydayonicedionis3294
      @theonlydayonicedionis3294 6 ปีที่แล้ว

      ABCD 000007 Ndo maana nimemwambia simu anayo hafuatilii mambo anakulupukaa,,nafikr ameelewa

  • @silasomolo3095
    @silasomolo3095 6 ปีที่แล้ว +5

    Vijana wapate ajira kupitia wasanii. # Diamond Karanga

  • @hassanissah7064
    @hassanissah7064 6 ปีที่แล้ว

    msijipee sifaa mond yeye ni balozi uo uomladi ni wa clouds clouds media

  • @BigZhumbe
    @BigZhumbe 6 ปีที่แล้ว +5

    Iki kiswahili cha mfanyakazi wa kiwandani vipi.....?

  • @salumnassornassor9733
    @salumnassornassor9733 6 ปีที่แล้ว

    Mimi nnaushauri mkiwa kiwandani funikeni vichwa vyenu. Maana nywele mbaya katika chakula

  • @5starsmoviecenter714
    @5starsmoviecenter714 6 ปีที่แล้ว

    Mbosso nywele hamjaweka chochote

  • @zaynabaly7319
    @zaynabaly7319 5 ปีที่แล้ว

    ngoja nikanunue kwanz saiv izo karanga nakujaaaa

  • @jessicamm3171
    @jessicamm3171 5 ปีที่แล้ว +1

    Great

  • @dullahkitabu8939
    @dullahkitabu8939 6 ปีที่แล้ว +1

    Nawe mshikaji wangu mbosso unapenda kula Hahahahhaha duuu kila unachokiona unataka kula haaaa ndio maana ile siku ulipofika nangurukuru ukala ngisi mix samaki mwishowe ukawa unahalisha

  • @josephcharles6443
    @josephcharles6443 6 ปีที่แล้ว

    Duu kwahiyo m nimekua wa mwixho kukoment

  • @dianaclara1413
    @dianaclara1413 6 ปีที่แล้ว

    Wow they look so sweet I wish to eat

  • @fatihiaanwar8879
    @fatihiaanwar8879 6 ปีที่แล้ว

    nimechelewa kucomment lakini sikitu siku ni siku muhimu ujumbe ufike tu

  • @esposwit5213
    @esposwit5213 6 ปีที่แล้ว +7

    ##karanga it moja tamu....mungu tu....##jamani onja.....

  • @jifunzetv5041
    @jifunzetv5041 6 ปีที่แล้ว

    Congratulations diamond on your Business @Jinfunze TV 📺. This natural food

  • @jeanmalilo6128
    @jeanmalilo6128 6 ปีที่แล้ว +4

    Diamond Karanga

  • @alvismumkaranja3360
    @alvismumkaranja3360 6 ปีที่แล้ว

    Natafuta job diamod nisaidie kwenye kiwanda chako pliz

  • @hamiswawa5872
    @hamiswawa5872 6 ปีที่แล้ว +1

    yani star anaenda kiwandani na ist wakati kuna bmw x6 haina kazi yeyote ile halafu kaongozana na meneja wake ricardo momo , mnaishuxha brand

  • @alhamdulillah5796
    @alhamdulillah5796 6 ปีที่แล้ว +1

    Sehemu inayotengenezwa chakula km hvo kiwandani nguo zenu mlovurugia nje huko wee mnaingia nazo.

  • @kaulimbiu181
    @kaulimbiu181 6 ปีที่แล้ว +1

    Waambie watumie disposable hair net kufunika nywele. Mutalisha watu nywele.

  • @perpsgiovanna1933
    @perpsgiovanna1933 6 ปีที่แล้ว

    Jamani hizi karanga zauzwa wapi Nairobi? Zimenipendeza sana

  • @hassansalehe2383
    @hassansalehe2383 6 ปีที่แล้ว +1

    Kuma wew kiwanda siyo chenu icho

    • @bonydimoso4781
      @bonydimoso4781 6 ปีที่แล้ว

      hassan salehe punguzamatusi. ndugukiba. namondi. oteewadogozakotu. ivomsiwagombanishee

    • @zeralucyntazimila6600
      @zeralucyntazimila6600 6 ปีที่แล้ว

      hassan salehe mama yako ana nini mpaka utukane hivyo?????

  • @Wastara001
    @Wastara001 4 ปีที่แล้ว

    Mpiga picha arudi kujifunza. Wewe mboso wapewa maelezo au ni wewe utowae maelezo. Maana naona wajipendekeza kwa boss wako.

  • @hassanlikaba9813
    @hassanlikaba9813 6 ปีที่แล้ว +1

    Ivi amna wa Tanzania wa kufanya kazi iyo had wageni

  • @blacksonismael2501
    @blacksonismael2501 6 ปีที่แล้ว +1

    Nogewa jirambe peace and love

  • @sylviaogolla4335
    @sylviaogolla4335 6 ปีที่แล้ว

    Twende kiwanda cha juice ya Mofaya ya kiba mwelekezi kwenye kiwanda hicho sikosei huenda Ni Hamorapa

  • @christmasmachele5589
    @christmasmachele5589 6 ปีที่แล้ว +4

    Hicho Kiwanda ni cha huyo mzungu alievaa koti jeupe diamond hatoe wapi pesa ya kuanzisha Hicho Kiwanda? Diamond ni jina tu kwenye hiyo product Kiwanda kina wenyewe

    • @inocentmwalongo5320
      @inocentmwalongo5320 6 ปีที่แล้ว

      christmas machele wefala umekariri sokilamzunga mmiriki w kiwanda

    • @matesokamonga8101
      @matesokamonga8101 6 ปีที่แล้ว

      Kwan hicho kiwanda kinaizidi tv mbona Cha kawaida Kwa simba

    • @dianaclara1413
      @dianaclara1413 6 ปีที่แล้ว

      The way you are talking to me its like you are jealous

    • @mzungualex3373
      @mzungualex3373 5 ปีที่แล้ว

      Illiteracy no doubt

  • @tinyaanosiatha1118
    @tinyaanosiatha1118 6 ปีที่แล้ว +3

    Hicho kiwanda kina wafanyakazi wangapi

  • @valentinamussa4212
    @valentinamussa4212 6 ปีที่แล้ว +1

    mbona hamvai kofia nawakati mwatengeneza chakula,manywele sasa kwenye karanga

  • @elizabethpaul5551
    @elizabethpaul5551 6 ปีที่แล้ว +1

    sili tena kalanga zenu kiwanda kichafu sana duuuuh

    • @jumashedafa5945
      @jumashedafa5945 6 ปีที่แล้ว

      elizabeth paul wewe mwenyewe mchafu uktaka uamn jitie kidole alafu nusa

  • @beatricemassawe601
    @beatricemassawe601 6 ปีที่แล้ว

    Mofayàaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa kwanda gan kichafu kama mmiliki

  • @Noname-gg6bx
    @Noname-gg6bx 6 ปีที่แล้ว +3

    Mbona kama mazingira machafu hivi

  • @ezapesambili2902
    @ezapesambili2902 6 ปีที่แล้ว +8

    Nime amin Cjui Diamond uwafanyie nn ili wakukuBali kwel kalanga zako kabisa

  • @qemueliemanueli5747
    @qemueliemanueli5747 6 ปีที่แล้ว

    simbaaaaaaa big up brooooooo

  • @latifamtanda6312
    @latifamtanda6312 6 ปีที่แล้ว

    Nice

  • @saumuhassan1365
    @saumuhassan1365 6 ปีที่แล้ว

    Mashallah, kila la khery Baba Dylan

  • @gloryanney5801
    @gloryanney5801 6 ปีที่แล้ว +1

    kazi Veep jmn

  • @annaniasbyarugaba5788
    @annaniasbyarugaba5788 6 ปีที่แล้ว

    Anaejua hiki kiwanda kipo maeneo gan kwa Dar anjulishe

  • @ChristianOzil
    @ChristianOzil 6 ปีที่แล้ว

    1

  • @AloisNashali
    @AloisNashali 6 ปีที่แล้ว +1

    Tour guide mbona kama ngarenaro arifuu

  • @sisihaogroup1538
    @sisihaogroup1538 6 ปีที่แล้ว

    mbona viroba vya azam

  • @kingbarostz3420
    @kingbarostz3420 6 ปีที่แล้ว

    Hi mbosso

  • @alhamdulillah5796
    @alhamdulillah5796 6 ปีที่แล้ว +1

    Sasa mmevaa gloves, mask, mbona hamjakava nywele zenu?

  • @ramacomedsaid1903
    @ramacomedsaid1903 6 ปีที่แล้ว +3

    aminia

  • @godgreyfwila6872
    @godgreyfwila6872 6 ปีที่แล้ว

    usipokubali mafanikio ya mwenzako lazima utapata taabu xana nakukubali xana simba endelea kufanya yako ili wenye akili utupe hasira kufikia ulipo na pengine zaid. lkn wenye vijiroho mhh

  • @hamzaseifrwambo5657
    @hamzaseifrwambo5657 6 ปีที่แล้ว

    Mwanzo mgumu mtafika tu ........hongereni sana

  • @hayatmohammed388
    @hayatmohammed388 6 ปีที่แล้ว +2

    Mboso umetia kampuni asara mana umetembea ukila karanga umo ndani😅

  • @khalifajuma5569
    @khalifajuma5569 6 ปีที่แล้ว

    heee!! hongera diamond kwa kumiliki kiwanda kikubwa hivi... na umeajili sijui mkongo uyoooo.... hongera sana.

  • @mdl6463
    @mdl6463 6 ปีที่แล้ว +2

    samahani lakini pachafu sana !!!!!

  • @ilovejesus9303
    @ilovejesus9303 6 ปีที่แล้ว

    Hata mie fan wa Mond ila nimekula karanga zake sio tamu, sijui Ni zangu tu packet nliouziwa au?wengine mnasemaje kwa utamu na ubora kama mmezila? Nimeisha kula better than hizo aina nyingine

  • @ShosiRashford10
    @ShosiRashford10 6 ปีที่แล้ว

    Nogewa jirambe🔥🔥🔥💯

  • @Millidady
    @Millidady 6 ปีที่แล้ว +1

    mbn local san

  • @chiefkaitaba.m.9466
    @chiefkaitaba.m.9466 6 ปีที่แล้ว +13

    Dah! huu mradi wote ni wa SIMBA!!?? hakika aliyepewa hapokonyeki

    • @juoanjuo
      @juoanjuo 6 ปีที่แล้ว

      Masen Kaitaba jina tu ndilo la Diamond.

    • @hassanissah7064
      @hassanissah7064 6 ปีที่แล้ว

      kiwandaa ni cha clouds media yeye yeye mond ni baloz 2

    • @chiefkaitaba.m.9466
      @chiefkaitaba.m.9466 6 ปีที่แล้ว

      Hassan Issah una akili za ucku umasikini wako usiwe kikwazo kwenye maendeleo ya watu 😎

    • @chiefkaitaba.m.9466
      @chiefkaitaba.m.9466 6 ปีที่แล้ว

      Joan Gatwiri umeambiwa na nani?

    • @hassanovajunior6972
      @hassanovajunior6972 6 ปีที่แล้ว

      Hassan Issah kama mofaya sio

  • @godsonshoot7438
    @godsonshoot7438 6 ปีที่แล้ว +1

    Tucheki kuwa wa kwanza kutazama videoMOVIES zote Mpya za Bongo!!!!

  • @hassansalehe2383
    @hassansalehe2383 6 ปีที่แล้ว +1

    Kalanga zenyewe ngumu kama jiwe kuma nyie wcb wote

    • @dianaclara1413
      @dianaclara1413 6 ปีที่แล้ว +1

      Listen for your words before you bring out control your mouth

  • @boniphacetv739
    @boniphacetv739 6 ปีที่แล้ว +5

    Daah sasa ukienda kiwanda cha condom Utafanyaje Kama Umezoea kuonja mofaya

  • @hassanovajunior6972
    @hassanovajunior6972 6 ปีที่แล้ว +1

    Nogewa jirambe😋😋😋😋👍

  • @nasbakari1849
    @nasbakari1849 6 ปีที่แล้ว +1

    Mod ni balozi tu

  • @kiluwasalum5002
    @kiluwasalum5002 6 ปีที่แล้ว

    Uyo jamaa ni mkongo au simuerewi

  • @ashuramamaashuraaachekuvaa7798
    @ashuramamaashuraaachekuvaa7798 6 ปีที่แล้ว

    kwaiyo hii kampuni ukoapi?

  • @cleophacedarstan6524
    @cleophacedarstan6524 6 ปีที่แล้ว +3

    M b O s S o_

  • @moedavie1165
    @moedavie1165 6 ปีที่แล้ว +3

    wouyooooo wakwanza kucomment mimi

  • @alvynewilliams9376
    @alvynewilliams9376 6 ปีที่แล้ว +1

    Pwahahahaha acha nicheke

  • @rashidwasarashid8358
    @rashidwasarashid8358 6 ปีที่แล้ว

    karanga na zikubari sana

  • @chibutvonline8710
    @chibutvonline8710 6 ปีที่แล้ว

    lazima akauke hahahahaha

  • @yohanalapei3992
    @yohanalapei3992 6 ปีที่แล้ว +1

    Fisi mkle uozo

  • @yonathanyona2926
    @yonathanyona2926 6 ปีที่แล้ว +10

    baada ya kuona alikiba- anaonyesha kiwanda chake wameamua kuonyesha chao🐹🐹🐹🐹wamedadavua wakamchukua mbosso ili tusiwagundue kiurahisi@msema kweli

    • @BigZhumbe
      @BigZhumbe 6 ปีที่แล้ว +2

      Elisa Shekusa sasa point yako ni ipi????? Kiba ndo kaanza au kamkuta Mondi kwenye uanzilishi wa viwanda

    • @stevenlyando1801
      @stevenlyando1801 6 ปีที่แล้ว +1

      acha hizo kwani mondi hajawahi kutembelea hiki kiwanda????we wawapi?????

    • @kagileman5798
      @kagileman5798 6 ปีที่แล้ว +1

      Elisa Shekusa Acha ushabik wa Kijinga Kile kiwanda cha kiba Wakat kiwanda kipo South africa Na hawakusema Km cha kiba ilioneshwa Ilipotengenezwa Tena wamesema Co yake na ile Kampun Ishatengeza Vtu ving tu Kiba ni Baroz Unakataa ukweli unaokuuma Unakubal Uwongo ili ufulai 😂😂😂😂

    • @godfreychristopher4733
      @godfreychristopher4733 6 ปีที่แล้ว

      Kwel aisee,walikuwa wap wasionyesbe icho kiwanda?

    • @yonathanyona2926
      @yonathanyona2926 6 ปีที่แล้ว

      oky lkn hatukuwahi ona kiwanda cha mond hadi baloz wa mofaya (ka unavyosema ) aanze kuonyesha kazi yake huo ni utoto mjipange ma brooo pesa minazo ila ndo basy 2 mnapenda upimzani sana

  • @Swahiliplay
    @Swahiliplay 6 ปีที่แล้ว +4

    first comment first viewer

  • @kizugecomedianholysmile595
    @kizugecomedianholysmile595 6 ปีที่แล้ว

    safi Sana

  • @mapendoshantale8969
    @mapendoshantale8969 6 ปีที่แล้ว +1

    ??

  • @Aaa-nh7gw
    @Aaa-nh7gw 6 ปีที่แล้ว +1

    Usinzipimieee kwautam

  • @daviddaud3624
    @daviddaud3624 6 ปีที่แล้ว

    poa mkaki

  • @nickymeel986
    @nickymeel986 6 ปีที่แล้ว +1

    Upate mofaya plus mondi karanga..utamu mtupu

  • @subirajohn728
    @subirajohn728 6 ปีที่แล้ว

    wenye wivu wajinyonge

  • @chibutvonline8710
    @chibutvonline8710 6 ปีที่แล้ว

    nogewa ujirambe kumamae

  • @youngmadibajr.2481
    @youngmadibajr.2481 6 ปีที่แล้ว +1

    Mofaya

  • @clementarts131
    @clementarts131 6 ปีที่แล้ว

    Nomanoma

  • @chikidahboy9969
    @chikidahboy9969 6 ปีที่แล้ว +1

    Mumuzidi na masifa sana mume anza kuni chosha

    • @chiefkaitaba.m.9466
      @chiefkaitaba.m.9466 6 ปีที่แล้ว +2

      chikidah boy umaskini wako isiwe sababu ya kutuletea shombo sie

    • @chikidahboy9969
      @chikidahboy9969 6 ปีที่แล้ว

      Masen Kaitaba kaka mimi sina umasikini ila na sema kweli mimi na pends ngoma zao but ubishow ume zidi kama hela niko na hela mimi sio kama wale wakutegemeya watu

    • @abdallahsaidaowamekosanaki9601
      @abdallahsaidaowamekosanaki9601 6 ปีที่แล้ว

      chikidah boy Kwan ww nani hasa hadi una sema ivyo

    • @munashabanimunashabani9976
      @munashabanimunashabani9976 6 ปีที่แล้ว

      chikidah boy unatumwa utizame

    • @emmanuelmanga25
      @emmanuelmanga25 6 ปีที่แล้ว

      Unavyoonekana km shoga hivi, halafu nilishawahi kukuona pale Sinza makaburini j'mos moja usiku ukiwa umejipodoa.

  • @omondiomondi1903
    @omondiomondi1903 6 ปีที่แล้ว

    Nogewa jirambe

  • @jsggroup3702
    @jsggroup3702 6 ปีที่แล้ว

    Aka kamchina kanalipwa na mondi da nkma sana

  • @shodristvtv6121
    @shodristvtv6121 6 ปีที่แล้ว +3

    Sombaaa

  • @athanastheonest6728
    @athanastheonest6728 6 ปีที่แล้ว

    Chibu karanga usisahau kusubscribe account yangu

  • @hamzaadrin941
    @hamzaadrin941 6 ปีที่แล้ว +1

    ninacho kijua mimi Kiwanda cha Diamond karanga ni cha mr Hassan mlebanoni miliki wa chipssi Snaks Zile chama na Kiwanda kinaitwa Smart Indastrt kipo mwenge Diamond Plutonium ni balozi Sio mmiliki Wa Kiwanda cha Smart Na kuusu Ally na kiwanda cha mo faya kipo South na video za kiwanda you tobe zipo na mimi ninazo ally akiwa kiwanda
    fala uwezi Elewa

  • @mapendoshantale8969
    @mapendoshantale8969 6 ปีที่แล้ว +1

    ??

  • @ahadiesube7919
    @ahadiesube7919 6 ปีที่แล้ว +7

    Mbosso mwenye tabasamu

  • @johnsonchonja4032
    @johnsonchonja4032 6 ปีที่แล้ว +2

    mmmmh namm nangoja siku yangu ya kupewa ifike

  • @samueltumaini3396
    @samueltumaini3396 6 ปีที่แล้ว

    Kiwanda chenu ni kali

  • @yusufalmamari4236
    @yusufalmamari4236 6 ปีที่แล้ว

    Safiii diamond platinum