TUNDAMAN-HARMONIZE AMENILIPIA MILIONI,80 VIDEO,YA BADMAN BILA KUMUOMBA, HADI NAOGOPA ZITARUDIJE

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 7 ก.ย. 2024
  • All the African Music. Hottest SHOWS... Mapinduzi Ya Burudani
    Times FM Ni Redio ya Burudani Nchini Tanzania, Inayoongoza kwa kukupatia Habari za Burudani pamoja na Matukio yote yanayotokea ndani na nje ya Tanzania. #KiafrikaZaidi.
    Follow us on twitter / timesfmtz and on instagram / timesfmtz

ความคิดเห็น • 153

  • @emmakifimbo6792
    @emmakifimbo6792 2 ปีที่แล้ว +23

    Harmoniz mungu akubariki sana kaka

  • @rajabulipongo4135
    @rajabulipongo4135 2 ปีที่แล้ว +17

    Mm nimependa sana Kharidi umekuwa mkweli sana respect sana Harmonize

  • @digonzakeimbe8435
    @digonzakeimbe8435 2 ปีที่แล้ว +13

    Salute..dogo harmo..tunda kakubali...huo ndio ushirikiano ...🙏🙏

  • @didasstanley3769
    @didasstanley3769 2 ปีที่แล้ว +12

    Yaani wasanii wanaojielewa huwa hawana mambo mengi na mbwbwe wala kujisifuuu saaaanaaaa much love bro unaishi sana meen

  • @andyismailbuanado6703
    @andyismailbuanado6703 2 ปีที่แล้ว +17

    Tunda man go up 💪👏👏👏👏🙏

  • @georgebidance1399
    @georgebidance1399 2 ปีที่แล้ว +8

    Hapo kwa Dr. Magu ❤️🔥🔥😭

  • @hnassa4548
    @hnassa4548 2 ปีที่แล้ว +12

    Nimependa tundaman, Amekuwa mkweli sana, pia harmonize Amefanya kitu kikubwa sana amejitolea kiasi kikubwa sana sio jambo Dogo aisee ,, amemnyantua kapten kuludi Kwenye gem,, Mungu amuongezee @harmonize kila hatua ya mafanikio,

  • @mrlonsman9706
    @mrlonsman9706 2 ปีที่แล้ว +11

    Tundaman
    Badman
    YesSir 🐐🐐

  • @dianasamson9311
    @dianasamson9311 2 ปีที่แล้ว +9

    Nakupenda Harmonize

  • @loreenneema
    @loreenneema 2 ปีที่แล้ว +4

    Watching from Kenya....#TundamAn shikamoo

  • @johnamani8204
    @johnamani8204 2 ปีที่แล้ว +5

    Hongera kabisa, muzidi kupendana siku zote, Tundaman vs Bahresa

  • @olivermhando952
    @olivermhando952 2 ปีที่แล้ว +4

    Harmo, achananao,watakutafutatu.mungu yupo pamoja na ww.more 🔥 bro

  • @dominicomtesigwa1547
    @dominicomtesigwa1547 2 ปีที่แล้ว +1

    Dah..harmonize anasapoti mtu bila kumtangaza..hongera kwake anautu sana mshikaji

    • @wangash6144
      @wangash6144 2 ปีที่แล้ว

      nahivo ndio inafa wacha uliye msaidia akusifu yeye

  • @sponsor7882
    @sponsor7882 2 ปีที่แล้ว +15

    bonge la ngoma

  • @danpool5816
    @danpool5816 2 ปีที่แล้ว +8

    Mtuda kabisa 🇰🇪🔥🙏

  • @azkascenes7001
    @azkascenes7001 2 ปีที่แล้ว +1

    Support Support and Support lengo ni DREAM ....no competition ...lets hold hands ..it cost NoTHING ....imgne winning with your FREIND it BeCOMES GREAT ....

  • @barakarobert9516
    @barakarobert9516 2 ปีที่แล้ว +1

    Toka uanze kuimba mzee baba unaweza hongera

  • @fuadshell5188
    @fuadshell5188 2 ปีที่แล้ว +9

    Ther's the way to go tunda man & harmonize.
    Song is great and you guys are great

  • @julietaantoniocosme1405
    @julietaantoniocosme1405 2 ปีที่แล้ว +4

    Parabéns harmonize

  • @alexalen6799
    @alexalen6799 2 ปีที่แล้ว +5

    Hapo kwa dr magufuri shikamoo

  • @mataizytembo4780
    @mataizytembo4780 2 ปีที่แล้ว +5

    Bless xana tunda man umefanya ngoma kubwa Sana tz na itaish miaka mingi🙏🙏🙏

    • @mussamgosi3358
      @mussamgosi3358 2 ปีที่แล้ว +1

      Mgosi.Niko.pamoja na ww tundamany

  • @omarikinyory5785
    @omarikinyory5785 2 ปีที่แล้ว

    Blessings sena konde boy jesh 🐘🐘respect sana TUNDA man kuwa true one love 💯

  • @Farajahelene23031
    @Farajahelene23031 2 ปีที่แล้ว +2

    god bless konde and tunda

  • @rustygee254
    @rustygee254 2 ปีที่แล้ว +1

    Blessed @Harmonize

  • @mr.vionge
    @mr.vionge 2 ปีที่แล้ว +4

    Tunda unaongea ukweli sana, nakubali

  • @lillianbarongo2807
    @lillianbarongo2807 2 ปีที่แล้ว +5

    Mbona anafanana na Alikiba...are they blood related? Kazi nzuri kiukweli 👏👏👏

  • @scannermbad7622
    @scannermbad7622 2 ปีที่แล้ว +14

    Tunda man anaongea kama alikiba. Huwa nawakubal sana

    • @annacosmus6613
      @annacosmus6613 2 ปีที่แล้ว +1

      Umeona eeh yan kigugumiz sio kigugumiz so funny 😂😂😂😂😂😂

    • @mahmoodalghefeili5370
      @mahmoodalghefeili5370 2 ปีที่แล้ว +1

      @@annacosmus6613 kama uyu kazid kigugumiz yan kama anamafua

    • @lillianbarongo2807
      @lillianbarongo2807 2 ปีที่แล้ว +1

      Honestly I said the same kabla ya kusoma comments😄

  • @dianasamson9311
    @dianasamson9311 2 ปีที่แล้ว +3

    Nakupenda Tundra Man
    .

  • @yussouphluambo959
    @yussouphluambo959 2 ปีที่แล้ว +1

    Hapo kwa dk magu kachukua 💯% 🔥🔥🔥🔥🔥

  • @gustavemwimbilwa330
    @gustavemwimbilwa330 2 ปีที่แล้ว

    Napenda sana wimbo huyu 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩

  • @devidjapani9039
    @devidjapani9039 ปีที่แล้ว

    AKILI MTU WANGU Tunda wewe Mkweli 🔥 🔥

  • @martinmbesi5551
    @martinmbesi5551 2 ปีที่แล้ว +3

    🥰🥰🥰🥰moto sana

  • @kamiibashingwa2522
    @kamiibashingwa2522 2 ปีที่แล้ว

    Nakubali Broo

  • @mwanajumamohammed6327
    @mwanajumamohammed6327 2 ปีที่แล้ว +3

    Mm nataka salam zimfikie kwa mtangazaji napenda jinsi alivyo jipamba uso nyusi hadi nyele

  • @athumanjames8274
    @athumanjames8274 2 ปีที่แล้ว

    Ngoma Kali sana sfananishi nangoma yeyote

  • @veryboyplatnumz80
    @veryboyplatnumz80 2 ปีที่แล้ว +1

    Chawa mpya in town tunda man
    Hongera

  • @hassanimussa5776
    @hassanimussa5776 2 ปีที่แล้ว +2

    Tunda tupo honest sana

  • @mkalitalkshow
    @mkalitalkshow 2 ปีที่แล้ว +1

    Mangwea ameacha fizi...💪

  • @tonnymasizi3331
    @tonnymasizi3331 2 ปีที่แล้ว +1

    🙏🙏🏼🙏🏼🙏🏼

  • @martinmbesi5551
    @martinmbesi5551 2 ปีที่แล้ว

    Juu sana brother wew ndie mkongwe sana

    • @hdmsasa3355
      @hdmsasa3355 2 ปีที่แล้ว

      Hd Msasa Oficial KITANZI gusa maandish ya blue ukasikie nilivyomkalisha MBOSO KHAN th-cam.com/video/Cdyxj5ymOR4/w-d-xo.html

  • @009biafra8
    @009biafra8 2 ปีที่แล้ว +3

    Kwahyo akimlipia iyo pesa Diamond 💎 anahusika vipi hapo? Au bila Diamond hakuna kinachowezekana

    • @alliykhamis7490
      @alliykhamis7490 2 ปีที่แล้ว

      hata huku Oman hio ngoma ni namba 1❤❤❤

  • @omarikinyory5785
    @omarikinyory5785 2 ปีที่แล้ว

    Ndio mahana yake John pombe magufuli 💔 💔 💔 💔 Ameacha fizzy Co pouwa TEAM BADMAN

  • @officialtinnyaltezza9878
    @officialtinnyaltezza9878 2 ปีที่แล้ว +1

    Wabadnations 🔥🔥🔥🔥🔥

  • @bonnysure8706
    @bonnysure8706 2 ปีที่แล้ว +2

    #Badman t-shirt Kali lkn sa wanawake watavaaje

  • @annacosmus6613
    @annacosmus6613 2 ปีที่แล้ว +1

    Yan anavoongea nimecheka mimi 😂😂😂😂😂😂

  • @francissamson8028
    @francissamson8028 2 ปีที่แล้ว +5

    Kabla ya nyimbo kutoka tunda man alisema harmonize alilipia video million 9 ghafra imekuwa million 80 😂😂😂😂😂

    • @009biafra8
      @009biafra8 2 ปีที่แล้ว

      Hao n utopolo tupu njaa zinawatesaa

    • @mahmoodalghefeili5370
      @mahmoodalghefeili5370 2 ปีที่แล้ว

      @@009biafra8 pamoja na nyie mnateseka visokorokwinyo

    • @009biafra8
      @009biafra8 2 ปีที่แล้ว

      @@mahmoodalghefeili5370 mpumbav pekee ndo anaweza kuvutiwa na ujinga wa Hamokinyesi

    • @kasimsaid7073
      @kasimsaid7073 2 ปีที่แล้ว

      Tunda nakuku bal umelud kwakas

    • @ezeedi871
      @ezeedi871 2 ปีที่แล้ว

      Muwe mnasikiliza interview nzima nyinyi mnadakia tuu kisa kuona kwenye title amesema huwa anawashangaa watu wanaosema video imegharam mil 80 Mara mil 70 ndo amekanusha kua hakuna kitu Kama iko

  • @charlesmasome249
    @charlesmasome249 2 ปีที่แล้ว

    Good

  • @zawadikininga5706
    @zawadikininga5706 2 ปีที่แล้ว

    Nice

  • @yusuphbuyobe8583
    @yusuphbuyobe8583 2 ปีที่แล้ว +1

    🔥🔥🔥

  • @beenize-zc1uk
    @beenize-zc1uk ปีที่แล้ว

    Tunda .an ameweza bana n konde namheshimu bana😅😅😅

  • @masungajp1
    @masungajp1 2 ปีที่แล้ว

    WASUKUMA BARIADI MASUNGA JOHN THE MAN.

  • @jaymapepefatma5936
    @jaymapepefatma5936 2 ปีที่แล้ว

    From Mozambique 🇲🇿. hormonze money ajakulipia muongo weweeeee

  • @geoffreysholo3434
    @geoffreysholo3434 2 ปีที่แล้ว

    Tunda Man#bahresa, watu wabadi

  • @mustalaabdala5628
    @mustalaabdala5628 2 ปีที่แล้ว

    Mimi nawa sapoti sana wale wanaio imba muziqi nizuri quwa sababu mimi siomulevi shabiqi mimi

  • @francisedapal9167
    @francisedapal9167 2 ปีที่แล้ว +1

    Hamonizi hanaweza

  • @roycashchiborhinokenya
    @roycashchiborhinokenya 2 ปีที่แล้ว

    Wamekopi nyimbo yangu tundaman

  • @philoteuslwena3082
    @philoteuslwena3082 2 ปีที่แล้ว

    Daaaa Harmo nizaizi ya nooooma

  • @rashidkabul4158
    @rashidkabul4158 2 ปีที่แล้ว

    Madee tip top connection ilienda wapi....

  • @tonnymasizi3331
    @tonnymasizi3331 2 ปีที่แล้ว

    🙏🙏🏼🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻

  • @victorbugobola2276
    @victorbugobola2276 2 ปีที่แล้ว +2

    Et milioni 80 Dah Bongo bhna kwa Maneno ya Kuambiwa... aisee kwl tunaongoza kwa kuFake life

    • @paulorichard739
      @paulorichard739 2 ปีที่แล้ว

      Kama huwamini basi hutaamini kwamba Kuna kufa

    • @hdmsasa3355
      @hdmsasa3355 2 ปีที่แล้ว

      Hd Msasa Oficial KITANZI gusa maandish ya blue ukasikie nilivyomkalisha MBOSO KHAN th-cam.com/video/Cdyxj5ymOR4/w-d-xo.html

    • @maestro1902
      @maestro1902 2 ปีที่แล้ว

      Maneno ya kwambiwa changanya na yako

    • @maestro1902
      @maestro1902 2 ปีที่แล้ว

      Million 80 😁

    • @ezeedi871
      @ezeedi871 2 ปีที่แล้ว +1

      Sikiliza tena hiyo interview yote ndo utud ukomment hapa na siyo kudakia dakia vichwa vya habari kumbe ujasikiliza ndan

  • @mamass7481
    @mamass7481 2 ปีที่แล้ว

    Mm tunanakukubal una saut yakipekeyee yan yakibabe.

  • @eliaatumigwe9527
    @eliaatumigwe9527 2 ปีที่แล้ว

    🤝🤝🤝💪🏿👊🏿

  • @shammysoulaiman7288
    @shammysoulaiman7288 2 ปีที่แล้ว

    Ki ukweli ile nyimbo ni kubwa sana hanrminze amefanya vitu vya watu ndo mana ni mtu wabatu

  • @stellah3844
    @stellah3844 2 ปีที่แล้ว

    Jaman si alisema million 9 leo tena kazdisha

    • @ezeedi871
      @ezeedi871 2 ปีที่แล้ว

      Msikilize mwanzo had mwisho ndo ujijibu mwenyewe

  • @fuadshell5188
    @fuadshell5188 2 ปีที่แล้ว +4

    Mtunfa mzuri unazaa matunda matamu

  • @rayaali7551
    @rayaali7551 2 ปีที่แล้ว

    KWAKWELII PONGEZI ZA KWANZA ZIWAENDEE WAZAZI BABA NA MAMA MZAZI WA HARMONISE UKIWA NA MTI WENYE RUTUBA NJEMA OFFCOURSE NA MATUNDA YAKEE HUWA MATAM

  • @amourmasoli4377
    @amourmasoli4377 2 ปีที่แล้ว

    Yani kutoka million 10 mpaka million 80 duuuuuhh 😁

  • @ramadhanijumakishai7783
    @ramadhanijumakishai7783 2 ปีที่แล้ว

    Bwege ww m 80 kwa video gn imezi m 2

  • @makokoaizack2531
    @makokoaizack2531 2 ปีที่แล้ว

    Masanii ya bongo bado Sana Yan kutaja take fedha ndio mme geuza ujumhe kwa Wana nchi. Hovyo Sana kuna watu wanna uhitaji mitaani huku achen huo utoto jmn

  • @wardamunguakuzidishew9399
    @wardamunguakuzidishew9399 2 ปีที่แล้ว

    We mtangazaji iko kichwa Vp manake apo kwanza nncheke😁😁😉😉😂🤣🤣

  • @dicksonmwenyembegu2523
    @dicksonmwenyembegu2523 2 ปีที่แล้ว

    mbona kwenye maongezi hesabu imeishia M.13 tu

    • @ezeedi871
      @ezeedi871 2 ปีที่แล้ว

      Wewe inaonesha umeangalia interview yote Ila hujaelewa kitu Tunda kasema ukweli kua audio pamoja na video kwa ujumla gharama yake inafika mil 13

  • @kabebemazambi194
    @kabebemazambi194 2 ปีที่แล้ว

    Tunda

  • @anjelinakasembe845
    @anjelinakasembe845 2 ปีที่แล้ว

    Amonize katokea kwenye shida sana anafanya fadhila kutokana na shida zake. Anaroho nzuri kama yangu lakini hana Bahati lakini sikuzote tunaoonekana tuna roho mbaya ndio mungu anajulikana tunapata mafanikio mafanikio yake uwezi wake bdio maana kuna watu wanamchukua

  • @rogerabdallah439
    @rogerabdallah439 2 ปีที่แล้ว

    Nyimbo yako hamo alipe 80 kweli kk

  • @evanswanyama800
    @evanswanyama800 2 ปีที่แล้ว +1

    Eti million 80 za Zimbabwe labda,, kivideo kimechanika na kupauka

    • @dixminderjngao1056
      @dixminderjngao1056 2 ปีที่แล้ว

      acha chuki na uchawi shetan wewe

    • @evanswanyama800
      @evanswanyama800 2 ปีที่แล้ว

      @@dixminderjngao1056 Ibilisi wewe,, shughulika na comment lako,, kinacho kuwasha washa kisikulete na hicho kiherehere kwngu,, mwanzo uchawi na comment vinaingiliana kivipi,, ww ndo uliniingiza kw huo uchawi

  • @bonnysure8706
    @bonnysure8706 2 ปีที่แล้ว

    Million 9 imekua million 80 Tena🤔🤔🤔👈

  • @roycashchiborhinokenya
    @roycashchiborhinokenya 2 ปีที่แล้ว

    Amekopi ngoma yangu kutoka TH-cam in a four weeks TH-cam yao ina two weeks kwenye TH-cam

  • @franccoz94
    @franccoz94 2 ปีที่แล้ว

    Akulipe hela inayoingiza sasa isijekua ka h baba

  • @azizintalla7348
    @azizintalla7348 2 ปีที่แล้ว +1

    tunda man captain mwanza huendi kuisapot simba mnyama

  • @maestro1902
    @maestro1902 2 ปีที่แล้ว

    Apo million 80 kamba izo ile video sio ya million 80

    • @ezeedi871
      @ezeedi871 2 ปีที่แล้ว

      Muhusika ashakwambia ametoa video ya mil 10 we umekazana mil 80 unashida wewe.

  • @jumakajala1807
    @jumakajala1807 2 ปีที่แล้ว

    Konde fundi

  • @michaeljoachim8517
    @michaeljoachim8517 2 ปีที่แล้ว +1

    Milioni 80 video duuuh! Mbona aionekani kama video ya garama? Naeza kuamini kuwa harmonize kakupa 80 milioni lakin kuamini kuwa video imegarimu 80 milion ningumu sana tena sana coz video nikali sana lakini kwa garama ya 80 video ni yakawaida sana tena sana!

    • @TheUraniumz
      @TheUraniumz 2 ปีที่แล้ว +1

      Sikiliza interview vizuriiii

    • @ezeedi871
      @ezeedi871 2 ปีที่แล้ว

      @@TheUraniumz ukiona hivyo ujue hawasikiliza interview nzima wameishia njian au wamesoma tuu kichwa Cha habari

  • @Rhymesandtunes
    @Rhymesandtunes 2 ปีที่แล้ว

    Mbona wimbo yenyewe iko kwa youtube channel ya Harmonize na si yako? Hii ndio inaitwa kutumiwa vibaya

    • @mahmoodalghefeili5370
      @mahmoodalghefeili5370 2 ปีที่แล้ว

      C ni ya harmo

    • @Rhymesandtunes
      @Rhymesandtunes 2 ปีที่แล้ว

      @@mahmoodalghefeili5370 wimbo ni ya Tundaman..harmonize alimlipia tu video

    • @ezeedi871
      @ezeedi871 2 ปีที่แล้ว

      Sikiliza alichokizungumza interview nzima ndo urud ukomment hapa tena

    • @Rhymesandtunes
      @Rhymesandtunes 2 ปีที่แล้ว

      @@ezeedi871 Wimbo ni wa Tundaman na umewekwa kwa TH-cam channel ya Harmonize..hauna macho?

  • @abdulmohd6880
    @abdulmohd6880 2 ปีที่แล้ว +1

    😂😂😂 eti milioni 80 vdeo ya m80 nd ile🤣🤣🤣

    • @ezeedi871
      @ezeedi871 2 ปีที่แล้ว

      Ndg yangu kabla ujacoment uwe unasikiliza interview yote Tunda anasema Kuna watu huwa wanadanganya kua ametoa video ya mil 80 kumbe ni uongo amedai hakuna msanii wa kibongo amewah toa video ya mil 80

  • @hdmsasa3355
    @hdmsasa3355 2 ปีที่แล้ว

    Hd Msasa Oficial KITANZI gusa maandish ya blue ukasikie nilivyomkalisha MBOSO KHAN th-cam.com/video/Cdyxj5ymOR4/w-d-xo.html

  • @chybuwagwantaz8054
    @chybuwagwantaz8054 2 ปีที่แล้ว +1

    Mil 80 video imepauka vile😂😂😂

  • @barakakoi5976
    @barakakoi5976 2 ปีที่แล้ว

    Unajidharau ww ndomkubwa kulko hamoniz ndomana akakul collabo yaharaka kutembelea mgongo wako lakin ww hujitambui

  • @wezadaprince5728
    @wezadaprince5728 2 ปีที่แล้ว

    Video jumla million 15 afu caption etiii million 80 we mwanaa kum be manaandaziiii Yaani pigo zakingeseee Fuck

  • @lolosaid7003
    @lolosaid7003 2 ปีที่แล้ว

    Leo unaongea kuw umelipiw milion80 kesho n kesh kutw utakuj kuongea n kumpond kuwa ajakulipia ngoj tuon ukwer n kwamb ujakipiwa iy pesa

    • @hashimchaoga9566
      @hashimchaoga9566 2 ปีที่แล้ว

      Kwanza walisema milioni 10 .Sasa eti milioni 80 hiyo kweli. Hizo gharama zimetumika kugharamia nini wakati video haina vitu vya kukodi kama vile magari private jet hata umbali wa kufanya shooting na hana wingi wa watu. Video imepigwa hapa hapa nyumbani haina washirika wengi wa kuwalioia malazi na chakula milioni 80 zinafikaje? Quality ya kimataifa Mimi siioni.

  • @dyanamotz
    @dyanamotz 2 ปีที่แล้ว

    😂😂 apo mwisho nimecheka et bongo yenyewe naitafuta kwa tochi

    • @BrylSam
      @BrylSam 2 ปีที่แล้ว

      🤣🤣🤣🤣

    • @hdmsasa3355
      @hdmsasa3355 2 ปีที่แล้ว

      Hd Msasa Oficial KITANZI gusa maandish ya blue ukasikie nilivyomkalisha MBOSO KHAN th-cam.com/video/Cdyxj5ymOR4/w-d-xo.html

    • @hdmsasa3355
      @hdmsasa3355 2 ปีที่แล้ว

      Hd Msasa Oficial KITANZI gusa maandish ya blue ukasikie nilivyomkalisha MBOSO KHAN th-cam.com/video/Cdyxj5ymOR4/w-d-xo.html

  • @tingbatuuka7278
    @tingbatuuka7278 2 ปีที่แล้ว

    🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Mdogo kamlipia mkubwa

  • @gabylove4602
    @gabylove4602 2 ปีที่แล้ว

    🤭🤭😂😂😂

  • @augustinofifi
    @augustinofifi 2 ปีที่แล้ว +1

    Diamond ndio anawazidia hapo unaamua kuikuza account you tube ya mwenzako yako inalala. Kwann usiweke kwako ili kuipromote account yako. #poor

    • @mdalamgir-gu9hu
      @mdalamgir-gu9hu 2 ปีที่แล้ว +1

      We msenge sana.wajua alicho sema.alitumia akili kua nyimbo iwe kwa amonize ili usukumwe na yy pia apate mauzo ma ela irud.falaww wacha wivu na akili ndogo

    • @009biafra8
      @009biafra8 2 ปีที่แล้ว

      Diamond 💎 hana takataka ya kumkaribia hata zuchu tu anawazid

    • @augustinofifi
      @augustinofifi 2 ปีที่แล้ว

      @@mdalamgir-gu9hu sasa matusi ya nini? Inaonekana hujielewi. Hata kuandika hujui. #shemeonyou

    • @augustinofifi
      @augustinofifi 2 ปีที่แล้ว

      @@009biafra8 anajisifia kufikisha views laki nane kwa siku. Tena video wakati wasafi audio zinagonga mpk million nne.

    • @ameirzapy1318
      @ameirzapy1318 2 ปีที่แล้ว

      Kilaaaza

  • @barakakoi5976
    @barakakoi5976 2 ปีที่แล้ว

    Kwenda huko acha umama ww nmtu mzima

  • @smfkingdom9944
    @smfkingdom9944 2 ปีที่แล้ว

    Kamti🌴 pombe
    th-cam.com/video/EoUNzHZowFY/w-d-xo.html
    Isikupite hii kal sana

  • @CHITUS
    @CHITUS 2 ปีที่แล้ว +1

    Salute..dogo harmo..tunda kakubali...huo ndio ushirikiano ...🙏🙏

  • @kylesmeight4837
    @kylesmeight4837 2 ปีที่แล้ว

    Tunda

    • @ismailynguhwe7528
      @ismailynguhwe7528 2 ปีที่แล้ว

      Tundra,uko poa lakin umesema sema kweli lazima kama una akili utafute njia ya kutokeaGood 2 kaka.