nawafatilia sana kutoka Canada kiukweli..yaani napata faraja sana ninapoona babu zangu japokua sikupataga bahati ya kuishi baraka ila one day inshallah 🤲nililelewa na bibi ambaye alikua naniadithia sana maisha ya baraka na huyu babu nakumbuka bibi aliwai kuniadithia enzi zao leo nashukuru nimemuona..dah rest in peace grandmum i miss u so much 😪😪😪😪
ACHANA NA WONGO TANGANIKA TV. MZEE ANA SEMA AJUWI MWAKA ALIO ZALIWA. VOUS VOUS BASEZ SUR QUOI POUR LUI DONNER 160ANS?? MZEE N’A PAS CET ÂGE LÀ. IL N’A MÊME PAS 100ans..///
izo habari nina mashaka na izo taarifa mlitumia kipimo gani kwa kujuwa iyo idadi ya iyo miaka NB:iyo miaka anayo taja ata mbembe wa kwanza ambae tuna mjuwa kufika fizi aja iyeneza.
Hakuna mwandishi mshamba nilopata kumuuona kama hili jamaa, sasa kama hutafsiri yanayosemwa wewe si tahira tu. Mzee angeongea kwa vituo huku unaelezea alichosema
Fatima kiruwasha .incho ni kibembe . Anasema ni mungu ndie aliemlinda na anaongeaga naye tokea ujana wake na alimulinda kwa kazi maalumu ya kulinda asili .wenzake wote walikufaga zamani .
Habari nzuri Sasa , alijuaje mwaka wake wa muzaliwa? Ana vitambulisho ( certificat de naissance) sahihi ? Kama La, wewe journalist una ugali Ka gani Kabila ya kutoa hii taarifa?
Hata Kondoa Itololo wapo wazee wenye umri mkubwa, umri wao unakadiriwa kwa kuangalia wajukuu zao ambao nao ni wazee,kwa mfano unakuta mzee alizaa watoto 6 ambao wote wametangulia mbele na ana mkujuu kutoka kwa mtoto wake wa 6 ambaye kwa wakati huo ana miaka 80! Njia nyingine ni matukio makuu kama njaa,vita, magonjwa,n k vilivyotokea zamani, kwa mfano mtu anakumbuka vita vya dunia alikuwa na miaka 50 au zaidi, ukijumlisha hapo unakadiria umri wake!
Mungu akulinde maisha mengine zaidi
Amen amen amen wow,Mungu akufikishie hadi 200
Hongera Babu mungu akupe zaidi y’a miaka teleeee
160 years he must be in Guinnessworld record book
nawafatilia sana kutoka Canada kiukweli..yaani napata faraja sana ninapoona babu zangu japokua sikupataga bahati ya kuishi baraka ila one day inshallah 🤲nililelewa na bibi ambaye alikua naniadithia sana maisha ya baraka na huyu babu nakumbuka bibi aliwai kuniadithia enzi zao leo nashukuru nimemuona..dah rest in peace grandmum i miss u so much 😪😪😪😪
Mungu azidi kukupa umri mrefu babu
Wandish gan hawa hawatafiri anavosema wandish WA ajabu
Mungu wetu ni mwema
Mungu akulinde tena
Ni mzee kweli lakini hana miaka zaidi ya 100
Babu yangu mungu azidi kukulinda
Miaka 70, ukipendelewa sana miaka 80.sasa hapo unasemaje.
Unaishi baba, kweli tunaye mungu anaye tujibu,mungu akupe maisha marefu kweli
Wow baraka kweli
Mzee wangu bado ukingali chuma cha kukutana naye...Mungu wetú abecha bongwe aohelele.
vichwa vya habari bwana hata hapo congo brazzavile hajawahi kufika anasema mzee mwenye umri mrefu zaidi upuuzi huu
❤❤❤❤
Week sio muandishi mzuri hujui
Babu ajui tena kitu jmn
Abarikiwe
Mwandishi hufai kwer mnaonge ujinga gan usiereweka
Wewe mwandishi mshamba sans
Kuishi long time ni nehema
Iyo sehemu alipo sema kua amezaliwa ni mji wazamani sana tokea wabembe hawafika tanganyika. Wangali milimani.
Samahani kwakuwa sikutapa jina langu mimi ni Anna. nahishi Canada
Huyu mzee hajafikisha miaka 120 bado.
Kama umeskia litombwe
Acheni uongo.leteni habari za ukweli.!.
ACHANA NA WONGO TANGANIKA TV. MZEE ANA SEMA AJUWI MWAKA ALIO ZALIWA. VOUS VOUS BASEZ SUR QUOI POUR LUI DONNER 160ANS??
MZEE N’A PAS CET ÂGE LÀ. IL N’A MÊME PAS 100ans..///
izo habari nina mashaka na izo taarifa mlitumia kipimo gani kwa kujuwa iyo idadi ya iyo miaka
NB:iyo miaka anayo taja ata mbembe wa kwanza ambae tuna mjuwa kufika fizi aja iyeneza.
Wewe sio muandishi mzuri hujatafsir na hats hajui idadi ya watoto na mwanae was kwanza amezaliwa mwaka gani na familia Kwa ujumla Ili tuweke uino
Acheni uwongo uyo mzee hata miaka 120 ajafika
Huyo mzee hana zaidi ya miaka 90-96 Kama Nelson Mandela ✍🏽
ivyo uyo mzee na Mwinyi hawapishani
Huyo mzee hata miaka 115 haja fikia à
We unajuaje
Kama hivyo kafanyeni DNA itakua kitu muhimu sana hogera babu
Kama Ana birth certificate muipeleke World Guinness Book ajulikane duniani pote.
Acha amaliziye tu
Mbona hakuna sauti, please.
Una uhakika gani kabla kutoa taarifa hii?
Wewe muandish usifanye kaz hiyo hujui
Jmn tz musiwape kaz watu bila kupewa interview kuhakikisha anajua
Kasomee uandishi hujui unasikia ww tu
Unatia aibu Tanzania
Angalia wenzio wanavotangaza
Bado nashangaa
Abondelwa Mibula ya m’atú mikelele ya ng’ombe
Mmm yaani muojiano ajui hata kuongea anaoji eti siri yakuishi nini mmmm fikiria kabla yakuhuliza swali
Jambo wandungu zangu kuna mtu ambaye anahitaji number yenu kwa ajili ya mzee
Tutafute WhatsApp Kwa maelezo zaidi +353 89 426 3576
Nyinyi waandishi ni watangnyika kweli?au mnajifanyatuu?hatuelewi hiyo lugha, wala hakuna tafsiri
Uongo, huyo hana miaka hiyo,
Hakuna mwandishi mshamba nilopata kumuuona kama hili jamaa, sasa kama hutafsiri yanayosemwa wewe si tahira tu. Mzee angeongea kwa vituo huku unaelezea alichosema
M
Labda 120
Samahani jamani hirunga gani
Kibembe
Fatima kiruwasha .incho ni kibembe . Anasema ni mungu ndie aliemlinda na anaongeaga naye tokea ujana wake na alimulinda kwa kazi maalumu ya kulinda asili .wenzake wote walikufaga zamani .
Habari nzuri
Sasa , alijuaje mwaka wake wa muzaliwa?
Ana vitambulisho ( certificat de naissance) sahihi ?
Kama La, wewe journalist una ugali Ka gani Kabila ya kutoa hii taarifa?
Ni babu yangu mzaa baba ivyo vitabulisho nihuyo kaka yangu mdo anamsahidiya kuvichunga
Hata Kondoa Itololo wapo wazee wenye umri mkubwa, umri wao unakadiriwa kwa kuangalia wajukuu zao ambao nao ni wazee,kwa mfano unakuta mzee alizaa watoto 6 ambao wote wametangulia mbele na ana mkujuu kutoka kwa mtoto wake wa 6 ambaye kwa wakati huo ana miaka 80!
Njia nyingine ni matukio makuu kama njaa,vita, magonjwa,n k vilivyotokea zamani, kwa mfano mtu anakumbuka vita vya dunia alikuwa na miaka 50 au zaidi, ukijumlisha hapo unakadiria umri wake!
Au zamani mtu anakumbuka nyakati za kutawazwa watemi yeye alikuwa na umri gani,ikijulikana mtemi alitawazwa lini wanajumlisha na kukadiria umri wake
Acheni utani nyie miaka150hawezikia hivyo acheni sifa za kikongo miaka150anasahau kila kitu na hua anabebwa tu
Wewe steve mwkisimba . Unaweza sema nini maana ya neema? Zamani kunawatu walifikisha miaka miatatu na kupitisha .
@@bayombejean3959 siyo chips mayai ya kisasa, hapo chakula asilia.