Kabisa wanaofanikiwa wana watu nyumaaaa Pia nyimbo za injili ni dawa ya kupona magonjwa dawa za stress dawa za majaribu pia ni faraja kwakweli safi sana da jane miso
Wao! I like that idea my dear keep up lvly sister barikiwa kwa huduma yako maana wa share nasi ulaji - ajira.Mungu autazama zaidi moyo wako wa upendo na kuwajali wengine hivyo hakika Mungu hataachilia nafasi adui kudumaza huduma yako zaidi atakuwekea walinzi na kumkemea yule adui mharibifu Ooooooh! more blessings dear God leads you........say amen
Umetishaaa umenena vema
Kabisa wanaofanikiwa wana watu nyumaaaa
Pia nyimbo za injili ni dawa ya kupona magonjwa dawa za stress dawa za majaribu pia ni faraja kwakweli safi sana da jane miso
ameen...dada jane....nakukubali saana kwa kusema kweli..love kama zote
Mungu akubariki sana kwa huduma nzuri nakuombea ufanikiwe kwa kila jambo jema ufanyalo, barikiwa sana dadaangu wa faida
Big up my sister in law
HEKIMA KUBWAA...MANENO KUNTUUUU
fact my sister
Safu hii kabisaaa
Umesema kweli mtumishi wa Mungu, kumbuka Injili ni moto hivyo inavita sana
Umeongea ukweli Mtumishi Wa Mungu
It doesn't matter what we are going through. As long as we got Jesus we will accomplish our destinyz.
Wao! I like that idea my dear keep up lvly sister barikiwa kwa huduma yako maana wa share nasi ulaji - ajira.Mungu autazama zaidi moyo wako wa upendo na kuwajali wengine hivyo hakika Mungu hataachilia nafasi adui kudumaza huduma yako zaidi atakuwekea walinzi na kumkemea yule adui mharibifu Ooooooh! more blessings dear God leads you........say amen
Amen my dear napokea kabisa by Jane Misso