Shukran kwa kuitaja wcb. Maana hata umefatiliwa na medias.. Wasafi ndo kila kitu kama unaweza na ww tengeneza wasanii wako wafike level ya wasafi maskini tuna maneno Mnoo,
Majani ennz zako zmepita na akina necha hao wanaotoka WCB wanatoka wakiwa na pesa kabsa amini hivyo kama ukihataji kula naww unaliwa tu baadae unakua na jina kubwa WCB n mtaji tu acha akina vany na konde watoke washajitengenezea majina baada ya mwaka watasahau maumivu ya %
@@ahmedysaidy9874 Nambie label yyte iliyoweza kufanya makubwa kam wcb Africa hii😏😏 Tunajua nyiny n wale yatima cloud tumeshamuua babayenu sasa na nyiny mnatafuta kila namna kuchafua wcb. Kama una label yako inayowalea vzr na wamefka level ya wasanii wa Diamond. Nyoko njaa ztawauaa
music label zote zina wanasheria wanaosaidiana kutengeneza contract terms and conditions for their benefits, anakuja msanii ameshasota sana hawezi kukumbuka kupeleka kwa mwanasheria kumsaidia kutafsiri mkataba
#wcb_wasafi ni BIASHARA hapohapo no msaaada cz hawawz kusaini m2 mwenye jina kubwa wanataka ingzo jipya kbc kwenye games au msanii mdogo wamkuze #wcb4every1
Wote mliopo hapo mnatetea boss wenu ili uwe mkataba lazima uwe fair kwa pande zote mbili so kinachofanyika ni kuegemea upande mmoja kwakua huo upande kwa wakati huo unakua na shida so inapotokea kuweka marekebisho ya mkataba huo after ndo tatizo linapoanzia
This issue is very simple...uliza wanamuziki chipukizi kama wanaweza ingia contract WCB halafu sikiza majibu yao,hapo ndo utajua kama wcb ni wanyonyaji ama laa
Mnyonyaji ni yule anakulazimisha vitu ambavyo wewe hujui na anataka ukubaliane naye,sasa kama ulikubali makubaliano ya kunyonywa wewe ndio KIMBULU.....
Sawa kini jiulize hao anaosema wanadhurumiwa mbona ndo wasanii walio na majina makubwa na pesa ndefu kuliko wasanii anaowatoa yeye majani,waangalie Harmonize, Rayvany,Zuchu,Mbosso, Lavalava maisha yao yakoje,na hao akina Rapcha vp,na vp hao wasanii anaosema wananyonywa kwann wanakimbilia Wasafi wasiende kwake,na je hakuwaona,na kwann aseme sasa asiseme enzi zake coz wale wote wa zamani wamefulia wanaishia kuwatamani madogo akina Ray,Harmo wanavyoendesha mandinga Majumba pesa showz kibao mpaka nje ya nchi
Mkimkosoa bos wenu kazi hamna kinacho takia kaa katikati ya majani na bos wenu chambua kama watu ambao hawafanyi kazi na Wasafi wala Majan vinginevyo kila mnacho ongea hakina maana
Kwani we mutu akija qwako utafata venye watak we ama utafata venye watu wanasema kma nyumbn ni qwako watu lazim wafate Sheria zak c eti waseme cheny wanafikiria so wcb wakat Wana sign watu walipewa mikataba wakasoma sahii mutu wakati huo mbn hawakua wanasema kua wananyinywa mpka sahiii saingn musipende kujug vitu visivo wahusu tafuteni Hela Mungu ata fungulia njia qwa kila mutu c kutafuta Hela qwa kuingilia maisha ya wat
@@josephdavid7202 si ndo hp yn wnqtaka waseme uwongo kwn hao wanavyo saini uwa awsomi si wnasoma na wnapeleka HD kwa wnasheria wao na wanasain mbona cku zote awasemi km wnanyonywa wakitoka nto wmasema km. Wnanyonywa. Yn ni Tabia mbaya sn
@@nishaabdula5015 wajinga sana harmo wakati anaingia wcb watu walikua hawamutak kbxa diamond alitumia nguv nying sana kuwalazimish watu kish Leo hii utoke bure aiii ata mm ciezi kubal qwn leb ni ya mamayao na wengn wakij nitawasaidia na nn hebu waache ujinga
Mfumo wote tunaoishi nao ni kunyonyana tu, aliyenacho kumlalia masikinini. Ndio maana Tajiri anabaki kuwa tajiri na masikini ni vigumu kutoboa au itamcost nguvu kubwa
Kuna kitu hawa waandishi hawakiongei na sijui kwanini. Wanatuona sisi mafala. Wasanii hao wa WCB, ukitoa Zuchu, wote waliingia kipindi wana njaa fulani. Sasa mtu akiwa na njaa ni rahisi kumlaghai kwa kumpa mkataba wa kumnyonya kwa kumuahidi chakula cha fasta fasta. Baada ya kutoa njaa ndo mtu anashtuka kuwa aliingia chaka.
30% ambazo management ya majani inochukuwa za msanii, kamwe huwezi mfanya msaNii huyokuwa mkubwa jamani .waulize hizi collabo za kimataifa kiasi i gani wasafi wanalipia ,na video kias gani inawagarimu,hapo ndo utajua kwanini Hao wasanii ambao yeye hawanyonyi mafaniko kwanini hawana. Je wanapataje pesa yote hiyo kulipia ili wawe huru,? Jibu wamewekezewa hela na wamepata faida
Akuna record label yoyote kubwa duniani ambayo msaniii anakula percent kubwa kuliko label nenda ata marvin uko lebo ya wizkid uo upuzi aupo uyo mjaniii aache ukuda
Ila mbn anaingia akiwa Hana hata nguo lakini akitoka ana kila anachohtaji sio gar sio nyumba kamaa kanyonywa vit angevipata wapi na mpaka mademu wakali pia
I think Tanzania need to know n learn recording lebals everywhere take some percentage n one need to get a lawyer before signing so that the lawyer can read n translate what is written n you can request change of some clauses
Remeber the time they sign wcb there underdogs poor low profile no one nows them so of course u cant say anything just u want to sign and be in wcb family. but when they become superstars big names thats they see i get small parcent i dont blame kondeboy rayvany
Hayo maelezo yametolewa kwa kiswahili na ukayaelewa kabisa kwa kiswahili haya hicho kizungu kimekujaje sasa tuseme hujui kutyp kwa kiswalili au ni comment kwa ajili ya kimataifa hahahahh
@@abdallahally842 tena amchukue hamo wa BSS na wa wasafi kisha alinganishe ,,, Akimaliza apo aende akawaangalie walio chini ya lekodi lebo ya King music na wanaomilikiwa na majani Maisha yao yakoje? Hivi kweli mtu alienyonywa anaweza kumiliki mandinga mijengo na lebo ?? Muulize huseni machoz chini ya kid bway aliambulia simu ya ef60 miaka yote alokaa pale
Ivi kama WCB wangekuwa wananyonya wasanii huyu kijana RAYVANNY angetoa wapi hizo 800milion za kuwalipa WcB anapovunja mkataba,Huyu majani aache chuki zake binafsi,watu wakumbuke kuwa hiyo hela ambayo msanii analipa ni kiasi ambay angelipwa bila yeye kuvunja mkataba,waache chuki bana
Ukiwa unaumwa na unatakiwa ufanyiwe upasuaji ukapewa katasi za kusahini sijui kama utasoma yaliyo andikwa utacho waza ni kupona tu badae utapo kutana na bill ndiyo utasaga meno
Mikataba ndio hivyo atasie tupo nchi za watu pia tunamikataba ukikatisha unadaiwa2 nautanywanganywa passport mpaka ulipe ghalama kama alikuleta sio kunyonywa ukikatisha makubaliyano ndio hivyo lazima ulipe2
Tatizo watanzania hawajui kz yao kuendekeza chuki na wkitokea mtu km ivi akisema bc wmaelibeba ss tupo nchi za wt ndo tunqjuwa haya Ukiingia mkataba ukikatusha lazima ulipe km u apesa akuuze apate pesa yk ipo ivyo
@@nishaabdula5015 Sana tena mie nashukru mungu sijawai kulipishwa na moyo wauvumilivu tena sie tuliokuja mwanzo atukuja na mikataba mie mikataba nimeanza nikiwa nishamaliza miaka minne
m ninacho shangaa kwani makubaliano. yao hamkuwepo alafu p mbona wasanii wako wote ulio watoa mbona sahv hawapo hata kusikika. lkn ukija kwa dai japokuwa yapo matatizo. kawaida lkn wakitoka wanauwezo wakujitegemea kwaiyo ukitaka kumpawenzio bad personality. yako je yako sawa mbona wasanii wako ndio sahv wapo wanaomba wasaidiwe na dai
Walifungiwa baadhi ya media analipa wasitoe nyimbo ndio maana young lunya aliona mbali akaamua kuondoka kwenda kwenye level ingine apa bongo asingeweza kutoka kwasababu ya WCB ata wasanii wanaochipukia kazi zao zinatupiwa kapuni kisa pesa tu ya unga aliyokuwa nayo kutoka kwa salama sk ndio Ina mpa jeuri
@@ahmedysaidy9874 kwanini wasikatae toka mwanzo wa mkataba wanasubili washapata umaharufu ndio wanasema wanabanwa kwan mkataba kusain si mpka usome kwanza au hata huyo p kawazurumu weng tu na ndio maana wasanii wengi wa lebo yao hawasikiki kabisaa look at asley yuko wapi sahv mbona yao hawayasemi
Anachukua asilimia 30 msanii 70 sasa mbona hao wa asilimia 70 wote njaa njaa tu? Haoni kama hao wa 40% wanakaa magorofani, kwao na wanavuta magari ya kifahari? Halafu si kuna msanii kanunulia MTU zawadi ya Range Rover mbili , alipata hela ya kulipa na kutoka na sasa anakula bata? Sasa wake wa 70% wako wapi?
Nyie kama media mlitakiwa kuongea facts na sio kutetea upande wa WCB, mfano nilitegemea mtatatuletea fact kwamba mkataba wa WCB na msanii uko hivi, na mnaona uko fair, apo mnaonekana kama washabiki.. Or mngetafuta pande zote mbili ili story iwe na balance. As a respected and well-known established media, huo ni udhaifu mkubwa.. Chukueni hiyo
Kwiyo ukitaka waseme vp ss waseme ujinga alo Sema uyo mjinga mwenzenu ivi unajuwa mana ya mkataba ww na kwani kipindi wanasain wanakuwa wnalazimishwa au si wnasoma na kuelewa ndo wmasaini ss kwann wakifanikiwa wlaitaka kutoka wnasema wnanyonywa acheni fiti a na chuki kujifanya mnajuwa kila kitu
Hivi tunategemea hawa watatuambia ukweli na wenyewe wanalipwa mshahara na mtuhumiwa. This is not neutral ground, kuna influence n shuldn't even be considered
Inayo muda ukikaa HD muda wk ikiisha ukitaka kuongeza unaongea km utaki bc unaenda na uwez Lipa maana umemaliza mkataba ukikatusha mkataba ndo inabidi ulipe km ivi walivyo Lipa
Lazima mtete boss wenu najua mkisema kazi itakuwa imeisha acheni kuongea pumba ukwl utabaki pale pale WCB ni wanyonyaji hakuna msanii mwenye maendeleo na kama mnabisha Sasa tuangalie rayvan atakavyokuwa na maendeleo kuanzia Sasa.
WCB jamaa inanyonya vipi?ngoja niwaeleze Bana,wanachukua 60 to 70 % Kwa kila show na digital platforms,halafu ujue msani ameekewa kua atoe Ngoma mbili Tu ndio wanasmamia kila kitu,msani anapiga show ngapi Kwa mwaka?nyingi sana kwaio kila show asilimia 70 ni nyingi sana Kwa kumkubalia arekodi Ngoma mbili Tu Kwa mwaka jamaa,yatakiwa pia muongee hio sio kutetea Tu,msani anapiga show nyingi sana Kwa mwaka,halafu Ngoma anatakiwa atoe Ngoma mbili Tu ndio zinasmamiwa?hio ni fea kweli?
Sasa walimwengu munashangaza San wakati Wana sign hawakuosoma mikataba ama hawajafika shul ama nn muhimu apo unatok kweny Lebo yec fata mashart muliokubalian unaezaj kupangia watu shuhuli zao watu hawewez wapangia wcb wafany kipi juu hiyo ni shuhuli zao kila mutu anafat maish yake
kwa kufanya video za laki mbili ndio aseme ameekeza kwa huyo msanii wake? atuache P FUNK kishazeeka sasa aende kanisani akatubu kishazeeka sasa aache watu wafanye kazi
Majani anaweza kumpush Rayvanny au Harmonize? Anaweza kuweka hela kwa hao wasaniii japo mmoja tu?😂😂😂😂 Mnazungumzia kunyonya mmesahau kuwa Lavalava japo hawawezi kusema WCB hela waliyowekeza na iliyorudi ni Loss mpaka sasa?mbona hamzungumzii gharama wanazowekeza? Kumbuka Ray alikuwa analipa ada ya PAULA na ananyomywa hapo😂😂😂😂 halafu Majani ndo akawe na hela ya kuweka kwenye muziki wa Rayvanny ukue? Watanzania tuache zama za Ubugabire na Unyarubanja huko....Dunia ndo maana inatuacha tupo tu na biashara za maandazi na nyanya mafungu matatu
Msanii wa majani hata mimi naweza kuwa manager wake, Video za pesa ndogo na hazina ubora wa kumkuza Msanii, kwenye usafiri Rapcha anasafiri anakwenda wapi?? Kwenye mavazi anavaa kawaida sana. Kiufupi mtu yeyote mwenye akili timamu anaweza kuwa manager wa rapcha kwa sababu ni Msanii asiye na gharama na sioni juhudi za kumfanya awe na gharama
Shukran kwa kuitaja wcb. Maana hata umefatiliwa na medias.. Wasafi ndo kila kitu kama unaweza na ww tengeneza wasanii wako wafike level ya wasafi maskini tuna maneno Mnoo,
Harmonize ft Rayvanny th-cam.com/video/XTyrqyX30Vg/w-d-xo.html
th-cam.com/video/XTyrqyX30Vg/w-d-xo.html🇹🇿🇹🇿🇹🇿🔥
umeeleweka
Mnoooo
@@youngweezy3846 tuna maneno mnoo watu tusio na pesaa
Tatizo Ma Regard Hawana Hela Alafu Wanawivu Wanapo Ona Mtu Anafanikiwa Mchaga Og Nmekuelewa 🔥
Majani ennz zako zmepita na akina necha hao wanaotoka WCB wanatoka wakiwa na pesa kabsa amini hivyo kama ukihataji kula naww unaliwa tu baadae unakua na jina kubwa WCB n mtaji tu acha akina vany na konde watoke washajitengenezea majina baada ya mwaka watasahau maumivu ya %
Kweli leo muna ongeya point sana
Pimbi kasema ata mfanya kazi wako wandani ukimpa pesa zisilzoeweka nayo pia niku nyonya . Big up mr pimbi
Huyo majani njaa na uzee unamsumbua na hakuna kitu kibaya kama kuwa maarufu alaf ukazeeka maskini 😭😭😭
Majani hana njaa labda nikwambie tu ukwel usilolijua ni bora ukae kimya sio tu una comment pumba Hawa wcb ni wanyonyaji ukwl upo wazi
Majani hana njaa! Wacha shobo wewe!
Na mimi ngoja niongeze. Kwa taarifa nilizozisikia, majani sio mwenzako. He is rich.
Kwa pesa zinazoznguka wcb pale majani n kapuku ivo lazma ateseke.. Kama ana pesa awekeze kwa wasanii wake alaf awape asilimia 50/50😏
@@ahmedysaidy9874 Nambie label yyte iliyoweza kufanya makubwa kam wcb Africa hii😏😏 Tunajua nyiny n wale yatima cloud tumeshamuua babayenu sasa na nyiny mnatafuta kila namna kuchafua wcb. Kama una label yako inayowalea vzr na wamefka level ya wasanii wa Diamond. Nyoko njaa ztawauaa
Lava Lava mbona anaishi kinyonge
Unayo gari kama analotembelea lava lava
Asa mnaokula sambamba mbona wasanii wenu hawana hela?
music label zote zina wanasheria wanaosaidiana kutengeneza contract terms and conditions for their benefits, anakuja msanii ameshasota sana hawezi kukumbuka kupeleka kwa mwanasheria kumsaidia kutafsiri mkataba
Yupo bwanaa
Huyo majani nae kubwa halafu halijielewiiii senge kwelii yaaani
Ao wake alokuwa hajawanyonya wako wp?
Mie mwandish wa habar sjafunzwa kuwaponda waajir wanga hat kam ni kweli always still stand withe them hat kam cleim zinazotolew ni kweli
Amuwez kusema kwel wasenge nyny
Alimchoka baba yako msenge wewe wasanii wa wasafi unaweza kuwafananisha na wasanii wa majani
Wngeangamizwa wange kuwa na maendeleo jmn na kumiliki magar ya kifahar jmn kaa
#wcb_wasafi ni BIASHARA hapohapo no msaaada cz hawawz kusaini m2 mwenye jina kubwa wanataka ingzo jipya kbc kwenye games au msanii mdogo wamkuze #wcb4every1
inakuaje wasafi yenyewe ijiseme vibaya kwani kama kuna ukweli ndani yake amuwezi mukasema acheni utoto
P funk got jealous with wcb,let's face it maisha ya rapcha na ya zuchu ipi zaidi?
Unachanganya mafanikio na umaarufu😀
@@inocentlema5574 rapcha kazidiwa vyote ulivyovitaja umaarufu mpk mafanikio
Yani nyinyi hamuwezi kuizungumzia vibaya label ya radio yenu hata siku moja
Chuiii NLM
Sasa unadhani mtamsema boss wenu mamaee
Acheni kutetea tumbo....mbona kuna mikataba ya kinyonyaji ipo tu
Lazima ukinge unga
Sasa ukubwa wa rapture ata bado watoto mtaan awamjui lakn zuchu katoa sukar tu mbaka mimba zinamjua zuchu inamaana wcb wanakufanya uwe mkubwa sana
Wote mliopo hapo mnatetea boss wenu ili uwe mkataba lazima uwe fair kwa pande zote mbili so kinachofanyika ni kuegemea upande mmoja kwakua huo upande kwa wakati huo unakua na shida so inapotokea kuweka marekebisho ya mkataba huo after ndo tatizo linapoanzia
Haujui kitu wew cheupe tulia p fank yuko sawa kabisa watu wanakubali mikataba kwa sababu ya njaaa kama sio njaa na kuaso wasinge kubali
Ivi konde boy au rayvanny waliwai sema wamenyonywa?
This issue is very simple...uliza wanamuziki chipukizi kama wanaweza ingia contract WCB halafu sikiza majibu yao,hapo ndo utajua kama wcb ni wanyonyaji ama laa
Yn ww ndo mbuluku kbs ivi Ana i anakataa kujiunga na wsafi yupi anaweza kataa
Mnyonyaji ni yule anakulazimisha vitu ambavyo wewe hujui na anataka ukubaliane naye,sasa kama ulikubali makubaliano ya kunyonywa wewe ndio KIMBULU.....
Kila mtu atetee kwake au sio
huuo mzee anatafuta kiki ili wasaniwake wajulikae mana kila wakitoa nyimbo hazihit kabisa
Mti wenye matunda lazima upigwe mawe so Diamond yeye asonge mbele wangebaki huko wangepata walichoondoka nacho wcb🐣
Kwan nyie niwasanii
Nyie.pia.hajuwi.kitu.wcb.baye.bayee.hio.zuchu.kabaki.kuzura.ufarasa.na.vichupi.mtani.hajitambu.na.yeye.ipo.siku.atatemwaa.km.big.jii
Kama wcb wanapata 40% na wanamaisha mazuri kuliko huyo wa 70% basi ujue kuna uhuni uko nyuma ya 70%
Kweli kabisa
Majan hajakosea zad2 hapo mnamtetea bos wenu
Sawa kini jiulize hao anaosema wanadhurumiwa mbona ndo wasanii walio na majina makubwa na pesa ndefu kuliko wasanii anaowatoa yeye majani,waangalie Harmonize, Rayvany,Zuchu,Mbosso, Lavalava maisha yao yakoje,na hao akina Rapcha vp,na vp hao wasanii anaosema wananyonywa kwann wanakimbilia Wasafi wasiende kwake,na je hakuwaona,na kwann aseme sasa asiseme enzi zake coz wale wote wa zamani wamefulia wanaishia kuwatamani madogo akina Ray,Harmo wanavyoendesha mandinga Majumba pesa showz kibao mpaka nje ya nchi
Tumia akili yako vizuri
Mkimkosoa bos wenu kazi hamna kinacho takia kaa katikati ya majani na bos wenu chambua kama watu ambao hawafanyi kazi na Wasafi wala Majan vinginevyo kila mnacho ongea hakina maana
Kwani we mutu akija qwako utafata venye watak we ama utafata venye watu wanasema kma nyumbn ni qwako watu lazim wafate Sheria zak c eti waseme cheny wanafikiria so wcb wakat Wana sign watu walipewa mikataba wakasoma sahii mutu wakati huo mbn hawakua wanasema kua wananyinywa mpka sahiii saingn musipende kujug vitu visivo wahusu tafuteni Hela Mungu ata fungulia njia qwa kila mutu c kutafuta Hela qwa kuingilia maisha ya wat
Wameongea ukweli kwnai ni uwongo. Walicho ongea ila mpuuz km ww usie juwa nn maaana ya mikataba ndo utamuowa. Ajani kapatia
@@josephdavid7202 si ndo hp yn wnqtaka waseme uwongo kwn hao wanavyo saini uwa awsomi si wnasoma na wnapeleka HD kwa wnasheria wao na wanasain mbona cku zote awasemi km wnanyonywa wakitoka nto wmasema km. Wnanyonywa. Yn ni Tabia mbaya sn
@@nishaabdula5015 wajinga sana harmo wakati anaingia wcb watu walikua hawamutak kbxa diamond alitumia nguv nying sana kuwalazimish watu kish Leo hii utoke bure aiii ata mm ciezi kubal qwn leb ni ya mamayao na wengn wakij nitawasaidia na nn hebu waache ujinga
Watu wote tunaishi kwa kunyonyana ukiangalia hata viongoz wetu tupu wanatunyonya , so matabaka Ni sehemu ya kunyonyana
Mfumo wote tunaoishi nao ni kunyonyana tu, aliyenacho kumlalia masikinini. Ndio maana Tajiri anabaki kuwa tajiri na masikini ni vigumu kutoboa au itamcost nguvu kubwa
Alitakaje?,
Kuna kitu hawa waandishi hawakiongei na sijui kwanini. Wanatuona sisi mafala. Wasanii hao wa WCB, ukitoa Zuchu, wote waliingia kipindi wana njaa fulani. Sasa mtu akiwa na njaa ni rahisi kumlaghai kwa kumpa mkataba wa kumnyonya kwa kumuahidi chakula cha fasta fasta. Baada ya kutoa njaa ndo mtu anashtuka kuwa aliingia chaka.
Jamani Majani hajazuongea kuhusu kuvuja mkataba. Bali amesema wasanii wanyonywa kwenye asilimia za mapato yatokanayo na biashara yasanii husika.
ila si uliona kwenye mkataba na ukakubali kwa mala ya kwanza na ukasign sasa unalia nini wakati umesign mwenyewe?
Majani kavurugwa aangalie biashara zake mpuuzi tu ajiheshimu
Mnaongea mbambamba tu
30% ambazo management ya majani inochukuwa za msanii, kamwe huwezi mfanya msaNii huyokuwa mkubwa jamani .waulize hizi collabo za kimataifa kiasi i gani wasafi wanalipia ,na video kias gani inawagarimu,hapo ndo utajua kwanini Hao wasanii ambao yeye hawanyonyi mafaniko kwanini hawana.
Je wanapataje pesa yote hiyo kulipia ili wawe huru,? Jibu wamewekezewa hela na wamepata faida
Majani ni mpuuzi tu mtu mzima ivyo tu
Mm ata naona wanafevewa San hawa wasanii wa wcb
Ukitaja wasanii wakubwa sita tz bc wote wanatoka wcb kma unabish unipe facts c kujiongelea tu apo
Akuna record label yoyote kubwa duniani ambayo msaniii anakula percent kubwa kuliko label nenda ata marvin uko lebo ya wizkid uo upuzi aupo uyo mjaniii aache ukuda
@@h169_Jo ya majani😂😂😂😂
Rapcha huwa anavaa bei rahis mpaka sasa hata gari hana
Ila mbn anaingia akiwa Hana hata nguo lakini akitoka ana kila anachohtaji sio gar sio nyumba kamaa kanyonywa vit angevipata wapi na mpaka mademu wakali pia
😁😁😁nakuelewa
I think Tanzania need to know n learn recording lebals everywhere take some percentage n one need to get a lawyer before signing so that the lawyer can read n translate what is written n you can request change of some clauses
Remeber the time they sign wcb there underdogs poor low profile no one nows them so of course u cant say anything just u want to sign and be in wcb family. but when they become superstars big names thats they see i get small parcent i dont blame kondeboy rayvany
Hayo maelezo yametolewa kwa kiswahili na ukayaelewa kabisa kwa kiswahili haya hicho kizungu kimekujaje sasa tuseme hujui kutyp kwa kiswalili au ni comment kwa ajili ya kimataifa hahahahh
@@abdallahally842 tena amchukue hamo wa BSS na wa wasafi kisha alinganishe ,,, Akimaliza apo aende akawaangalie walio chini ya lekodi lebo ya King music na wanaomilikiwa na majani Maisha yao yakoje? Hivi kweli mtu alienyonywa anaweza kumiliki mandinga mijengo na lebo ?? Muulize huseni machoz chini ya kid bway aliambulia simu ya ef60 miaka yote alokaa pale
yotee aya kayataka harmonize kutembea na mke wa babu yetu ona sasa ameanza kusema kunyonywanyonywa
Hahaha kunyonywa nyonywa nn?
Kwani diamond kawakosea nin hawa wazee
wasenge tu hao
Ivi kama WCB wangekuwa wananyonya wasanii huyu kijana RAYVANNY angetoa wapi hizo 800milion za kuwalipa WcB anapovunja mkataba,Huyu majani aache chuki zake binafsi,watu wakumbuke kuwa hiyo hela ambayo msanii analipa ni kiasi ambay angelipwa bila yeye kuvunja mkataba,waache chuki bana
*Jamani mtu mzima kateleza* 😂😂😂
Harmonize katusababishia matatizo!!! Maaana kumchukua kajala mzeewetu kachanganyikiwa kaaanza kutaoatapa.. Harmonize apigiwe cm amrudishe kajala mapema kabla mzee wawatu hajawa mwehu
😂😂😂
Wachukuwe ww uwawezeshe bureeeeee
Ww jamaa una akilii sanaaa
Ache uwongo majani yy achukue 30 msani achukue 70 kaa ache uwongo alafu amfanyie msani kila kitu kwa iyo 30 mjinga majani
Biashara ni biashara mbona huku ulaya ni kitu.cha kawaida.jamani watanzania tuache ujinga twende shule na tupambane tutatajirika sana.
Mnajitekenya afu mnacheka kwendraa
Ukiwa unaumwa na unatakiwa ufanyiwe upasuaji ukapewa katasi za kusahini sijui kama utasoma yaliyo andikwa utacho waza ni kupona tu badae utapo kutana na bill ndiyo utasaga meno
Umeongea points big up bro
Mikataba ndio hivyo atasie tupo nchi za watu pia tunamikataba ukikatisha unadaiwa2 nautanywanganywa passport mpaka ulipe ghalama kama alikuleta sio kunyonywa ukikatisha makubaliyano ndio hivyo lazima ulipe2
Tatizo watanzania hawajui kz yao kuendekeza chuki na wkitokea mtu km ivi akisema bc wmaelibeba ss tupo nchi za wt ndo tunqjuwa haya Ukiingia mkataba ukikatusha lazima ulipe km u apesa akuuze apate pesa yk ipo ivyo
@@nishaabdula5015 Sana tena mie nashukru mungu sijawai kulipishwa na moyo wauvumilivu tena sie tuliokuja mwanzo atukuja na mikataba mie mikataba nimeanza nikiwa nishamaliza miaka minne
Basi huyo Rayvany aende Kwa majani akachukue Sabini
m ninacho shangaa kwani makubaliano. yao hamkuwepo alafu p mbona wasanii wako wote ulio watoa mbona sahv hawapo hata kusikika. lkn ukija kwa dai japokuwa yapo matatizo. kawaida lkn wakitoka wanauwezo wakujitegemea kwaiyo ukitaka kumpawenzio bad personality. yako je yako sawa mbona wasanii wako ndio sahv wapo wanaomba wasaidiwe na dai
Walifungiwa baadhi ya media analipa wasitoe nyimbo ndio maana young lunya aliona mbali akaamua kuondoka kwenda kwenye level ingine apa bongo asingeweza kutoka kwasababu ya WCB ata wasanii wanaochipukia kazi zao zinatupiwa kapuni kisa pesa tu ya unga aliyokuwa nayo kutoka kwa salama sk ndio Ina mpa jeuri
@@ahmedysaidy9874 kwanini wasikatae toka mwanzo wa mkataba wanasubili washapata umaharufu ndio wanasema wanabanwa kwan mkataba kusain si mpka usome kwanza au hata huyo p kawazurumu weng tu na ndio maana wasanii wengi wa lebo yao hawasikiki kabisaa look at asley yuko wapi sahv mbona yao hawayasemi
Anayenyonya WCB anaweza kumlele mtu mtoto unyonyaji uo nautaka
mbona hatujaona hawa wasanii wa majani wivuu tuuu hakuna rikingine mkata wowote ukivunja unaripa hata serikarini sasa wasafi wanamkandamiza na
Anachukua asilimia 30 msanii 70 sasa mbona hao wa asilimia 70 wote njaa njaa tu? Haoni kama hao wa 40% wanakaa magorofani, kwao na wanavuta magari ya kifahari? Halafu si kuna msanii kanunulia MTU zawadi ya Range Rover mbili , alipata hela ya kulipa na kutoka na sasa anakula bata? Sasa wake wa 70% wako wapi?
Nyie kama media mlitakiwa kuongea facts na sio kutetea upande wa WCB, mfano nilitegemea mtatatuletea fact kwamba mkataba wa WCB na msanii uko hivi, na mnaona uko fair, apo mnaonekana kama washabiki.. Or mngetafuta pande zote mbili ili story iwe na balance. As a respected and well-known established media, huo ni udhaifu mkubwa.. Chukueni hiyo
Ww ata unachekesh unawambia vyakufany qwan ww ndo unawalipa
Russia interview tena😂hujaelewa bado
Rudia
Kwiyo ukitaka waseme vp ss waseme ujinga alo Sema uyo mjinga mwenzenu ivi unajuwa mana ya mkataba ww na kwani kipindi wanasain wanakuwa wnalazimishwa au si wnasoma na kuelewa ndo wmasaini ss kwann wakifanikiwa wlaitaka kutoka wnasema wnanyonywa acheni fiti a na chuki kujifanya mnajuwa kila kitu
Pande mbili na nani yn umtafute majani na mondi wjadili mkataba WA wsafi yy wk Nani anaujadili na yy km Nani hs we mwehu nn
Majani mwehu uyo yeye ao wasaniialio watoa km ziki wakowapi mpaka ana wasema wasf au ndo anataka afulikane maana tulisha msahau nguluwe poli uyoo
Bora hata ww unasem kama n biashara hajawamsaidia na konde boy walifanya biashara
Mkataba wa WCB unamuda gani ...?
10 years
Hivi tunategemea hawa watatuambia ukweli na wenyewe wanalipwa mshahara na mtuhumiwa. This is not neutral ground, kuna influence n shuldn't even be considered
Nyie hamjui lolote sio wasanii, endeleen kupiga domo ili mulipwe laki5 zenu kwa mwezi
ww ndio hujui matako wewe
Mimi swali langu ni je..mikataba hiyo Ina muda maaulumu?au ni lifetime contracts?maana kama Ina muda maaulumu basi kusingekua na matatizo
10 yrs
Inayo muda ukikaa HD muda wk ikiisha ukitaka kuongeza unaongea km utaki bc unaenda na uwez Lipa maana umemaliza mkataba ukikatusha mkataba ndo inabidi ulipe km ivi walivyo Lipa
Lazima mtete boss wenu najua mkisema kazi itakuwa imeisha acheni kuongea pumba ukwl utabaki pale pale WCB ni wanyonyaji hakuna msanii mwenye maendeleo na kama mnabisha Sasa tuangalie rayvan atakavyokuwa na maendeleo kuanzia Sasa.
Huwezi kusukuma gari ukiwa ndani yake
Kwan hao wasanii kabla hawajaingia kwenye mkataba si walikubaliana ndo wakaanza kaz ama vp
Mtaanzaje kukubaliana😂
Acheni ujinga nyinyi
Mleteni mwanasheria wenu , na mikataba ya wasanii tuone maana mnaongea tu
Kajambeni.huko.ngonja.yakufikeni.mutajuwaa
rejendari anataka kufanya vizuri zaidi hivyo lazime aingie anga za diamond. sasa jamaa inamuuma nn.halafu yy alitaka wasafi wafuate mkataba wake?.
WCB jamaa inanyonya vipi?ngoja niwaeleze Bana,wanachukua 60 to 70 % Kwa kila show na digital platforms,halafu ujue msani ameekewa kua atoe Ngoma mbili Tu ndio wanasmamia kila kitu,msani anapiga show ngapi Kwa mwaka?nyingi sana kwaio kila show asilimia 70 ni nyingi sana Kwa kumkubalia arekodi Ngoma mbili Tu Kwa mwaka jamaa,yatakiwa pia muongee hio sio kutetea Tu,msani anapiga show nyingi sana Kwa mwaka,halafu Ngoma anatakiwa atoe Ngoma mbili Tu ndio zinasmamiwa?hio ni fea kweli?
Sasa walimwengu munashangaza San wakati Wana sign hawakuosoma mikataba ama hawajafika shul ama nn muhimu apo unatok kweny Lebo yec fata mashart muliokubalian unaezaj kupangia watu shuhuli zao watu hawewez wapangia wcb wafany kipi juu hiyo ni shuhuli zao kila mutu anafat maish yake
Ebo anzisha yako tuione utawapa ngapi
Jina lenyew ushasikia mjani na mjani mnajua madhara yake
Uwongo mavoko alienda na akaunt TH-cam wamemporaa
Uyu mzee mpuuzi Sana akili zake ziko matakoni
kwa kufanya video za laki mbili ndio aseme ameekeza kwa huyo msanii wake? atuache P FUNK kishazeeka sasa aende kanisani akatubu kishazeeka sasa aache watu wafanye kazi
30% ukimlipa meneja wake kumtafutia kumbi usafiri ukimrekodia video ukimpromoti halafu unabaki na nini? Hiyo si ndio Mrema aliita biashara kichaa.?
huwo ni wizi.....kumbuka wakati wasanii wanaingia kwenye contract wenu huwaga desperate so they just agree to anything
Mnatetea ugali wenu
Majani anaweza kumpush Rayvanny au Harmonize?
Anaweza kuweka hela kwa hao wasaniii japo mmoja tu?😂😂😂😂
Mnazungumzia kunyonya mmesahau kuwa Lavalava japo hawawezi kusema WCB hela waliyowekeza na iliyorudi ni Loss mpaka sasa?mbona hamzungumzii gharama wanazowekeza?
Kumbuka Ray alikuwa analipa ada ya PAULA na ananyomywa hapo😂😂😂😂 halafu Majani ndo akawe na hela ya kuweka kwenye muziki wa Rayvanny ukue?
Watanzania tuache zama za Ubugabire na Unyarubanja huko....Dunia ndo maana inatuacha tupo tu na biashara za maandazi na nyanya mafungu matatu
Msanii wa majani hata mimi naweza kuwa manager wake,
Video za pesa ndogo na hazina ubora wa kumkuza Msanii, kwenye usafiri Rapcha anasafiri anakwenda wapi?? Kwenye mavazi anavaa kawaida sana.
Kiufupi mtu yeyote mwenye akili timamu anaweza kuwa manager wa rapcha kwa sababu ni Msanii asiye na gharama na sioni juhudi za kumfanya awe na gharama
Tunasubir mboso au lavalava waongee ndo tuta waelewa nyie msitupgie kelel
Ni kweli. Na laizer
Ndio hawao wengine si hatuwaelew
Atuache na wcb yetu mbwa huyo
Ofunk vuta tuuu wewe Enzi zako umeisahau watu wakija kurukodi unatoa bastola Sasa it comes around fulll
Guys you don't know nothing
Ugali ugali,unatetew
Kaeni hapo mumtetee mume wenu... Lindeni ugali wenu inaeleweka... Sahizi hata nyie hamlipwi ipasavyo... Unafki mtupu
Hakika wanawake wote wanastahili pongezi na shukrani za dhati 🙏 th-cam.com/video/iYjijfV-YRw/w-d-xo.html