Good said broo Addition tu kaka Kujitambua ni awareness kwa maana nyingine ambayo ni recognize the truth about your self with consideration of life style,body and environment.Lakini pia understanding your emotion,motives,character and Desires Ni kujua umeumbwaje na unafanyaje kazi.Sasa binadamu ni bidhaa kama zilivyo bidhaa nyingine lakini mwanadamu mtengenezaji wake ni MUNGU.Bidhaa zinazodumu na kuishi muda mrefu sokoni ni zile ambazo ubeba utatuzi.Kikawaida bidhaa imeundwa na kukamilika katika mfumo utakaowezesha bidhaa husika kuleta solution(UTATUZI) iliyowekwa ndani yako. So tukisema kuwa bidhaa imejitambua ni pale inapofahamu namna ya kutumia mfumo/system iliyopo ndani yake kuzalisha SOLUTION(UTATUZI).Sasa kwa mtu kuwa amejitambua ni pale anapojua ameumbwa vipi na anamfumo gani wa utendaji ndani yake unaofanya kazi kumsaidia ili kutimia matakwa ya mtengenezaji.Mfano uwezi tengeneza simu ikawa haina spika, moja kwa moja haiwezi fanya kazi japo kusudi lake ni kuzalisha sauti. Kwa leo inatosha kaka>>>>>>>>>Mimi ni zao la Chimbo school of thought tangu ilipokuwa pale kamanyola sinza karibu na shule ya Mugabe. Nilikuja siku moja tu...ilitosha kabisa kuendelea mbele kwenye safari ya kujitambua ASANTE SANA KAKA Harris Kapiga Ukipata nafasi pita kwenye chanell yangu>>>th-cam.com/video/hDNdz2q-0ko/w-d-xo.html
Good said broo
Addition tu kaka
Kujitambua ni awareness kwa maana nyingine ambayo ni recognize the truth about your self with consideration of life style,body and environment.Lakini pia understanding your emotion,motives,character and Desires
Ni kujua umeumbwaje na unafanyaje kazi.Sasa binadamu ni bidhaa kama zilivyo bidhaa nyingine lakini mwanadamu mtengenezaji wake ni MUNGU.Bidhaa zinazodumu na kuishi muda mrefu sokoni ni zile ambazo ubeba utatuzi.Kikawaida bidhaa imeundwa na kukamilika katika mfumo utakaowezesha bidhaa husika kuleta solution(UTATUZI) iliyowekwa ndani yako.
So tukisema kuwa bidhaa imejitambua ni pale inapofahamu namna ya kutumia mfumo/system iliyopo ndani yake kuzalisha SOLUTION(UTATUZI).Sasa kwa mtu kuwa amejitambua ni pale anapojua ameumbwa vipi na anamfumo gani wa utendaji ndani yake unaofanya kazi kumsaidia ili kutimia matakwa ya mtengenezaji.Mfano uwezi tengeneza simu ikawa haina spika, moja kwa moja haiwezi fanya kazi japo kusudi lake ni kuzalisha sauti.
Kwa leo inatosha kaka>>>>>>>>>Mimi ni zao la Chimbo school of thought tangu ilipokuwa pale kamanyola sinza karibu na shule ya Mugabe.
Nilikuja siku moja tu...ilitosha kabisa kuendelea mbele kwenye safari ya kujitambua ASANTE SANA KAKA Harris Kapiga
Ukipata nafasi pita kwenye chanell yangu>>>th-cam.com/video/hDNdz2q-0ko/w-d-xo.html
Amina
Nakupenda sn
good sana
Mzee nipo America hila nakufuatilia sana tena sana mzee wangu👏
Brother naomba mungu akuzidishie maana in vingi sjui
ilove you my brother
yani broo unamaneno mazur sana
Jamaa unajua sana
Good presenter
Sawa kaka ila utajuaje kitu gani kilichokuleta duniani
asante harris
God bless you
nice
Nice
Nimekusoma kaka!
nakuelewa Sana
owk bro kapiga
nimejitambua
pia mimi au ww n mmoja kati ya sperm million 300, ambao walitakiwa kuwa wao lkn nikawa mm.. of course bro we are special to something