NAMSIFU ELISA || HADITHI ZA USHINDI Official Video
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 27 ก.ย. 2024
- Barikiwa unapotazama wimbo huu wa hadithi za ushindi, wimbo unaelezea namna itakavyokua furaha tukiwa mbingun, tukiwa tunasikiliza hadithi ya kisa cha ukombozi huku tukiimba na malaika tukiwa tunapiga vinanda na vinubi.
Barikiwa unapoutazama na kusikiliza pamoja nakushiriki mbaraka huu na rafiki.
Mwimbaji aliye na Roho wa Mungu utamuona katika tunzi za nyimbo zake zilizojawa na uelewa wa Maandiko, hakuna bla bla katika mlingano wa sauti, pia mbwembwe za kujionyesha... Kwake agenda kuu ni kumuinua Yesu.
Sister Namsifu, umekidhi vigezo vyote, MWENYEZI MUNGU akubariki sana tena sana. Unanibariki sana sana sana.
Amen doctor Magufwa katika ratiba zako usisahau kuniombea
Hongera saaana dada yangu Mungu akujalie saaaana ufke mbali❤️ur my role model kipenz❤️❤️❤️❤️
Amen
I can't wait to listen it a whole to express my feelings that this song is for sure a heart touching one. It has brought me a hundred steps more close to Jesus.
Let's for sure miss not the heaven. It sounds better here, how about IN heaven!
Amen
Nabarikiwa na uimbaji wako dada angu
Nampenda sana huyu dada, Mungu akubariki sana unanibadiki mno
Barikiwa sana wajina❤
On that day ..ooh on that day ..I want to be there in heaven
Amen
Amina barikiwa sana🙏🙏
Dada huu wimbooo kwakweli daaaaaah nabarikiwa sana
Ubarikiwe mno Dada Namsifu, tafadhali uweke tena Nyimbo za Album ya Jerusalem hazipo😢
Aminaaa
Usijali naziweka
Barikiwa sana my lovely pacha❤
Karibu pacha
Barikiwa sana kwa wimbo mzuri
Aminā
Barikiwa sana dada Namsifu
Sifa kwa Mungu aliekupa uwezo, na maarifa kuandika wimbo huu mzuri sana sanaaa
Amen
Barikiwa sana namsifu 🙏
Amen
Barikiwa sana Dada wangu mzuri
Amen. Wimbo mzuri sana
Uko vzr namsifu Mungu akuinue juu zaidi ,wimbo umenigusa😊
Thanks for the nice and courageous song namsifu
huu wimbo ni mtamu mno
Asante kwa nyimbo zenye mguso ktk mioyo ya watu,Mungu azidi kukuinua
Ubarikiwe sana Dada Namsifu
wimbo mzuri.
Barikiwa Sana Namsifu Bwana akuinue zaidi na zaidi kwa huduma yako hii njema 🙏🙌🙏 Nimebarikiwa na wimbo wa Hadithi za ushindi.
Amen
Hadithi za ushindi❤
Amina
Ubarikiw
very nice
stay blessed
Wooww, from Congo tunakupenda sana mjakazi wa Bwana. Hongera kwa kazi njema
Amen salimia Congo inji li Family
Jaman jaman jaman so blessed
Goood song
Mungu akubariki dada Namsifu
Ubarikiwe Chombo kinachotumiwa naMungu kuteka na kuhifadhi Kundi kubwa la Matunda Yenye Ladha
Muziki ni ibada kama ukitumiwa chini ya uongozi wa Mungu Aliekuita Akusimamie na kukufikisha mbali💚
Amen my dear
Nice
Namsifu wewe ni hazina
Chukua mau yako... wimbo mzuri sana🎉🎉🎉
Thank you dear
Amen
Dada ubalikiwe natamani nitoe naw wimbo ata mmoja tu
Wimbo mzuri sana, melody, maneno saut ziko vzr sana, zinainua hali ya kumtafuta Bwana ili kwenye sauti za ushindi zitakazosikika na zetu ziwemo, Ubarikiwe sana dada Namsifu
Amen🙏
My favorite song ever God bless you
Huu wimbo ni wa kipekee sana dada Namsifu, kwakweli sio wewe bali ni Roho Mtakatifu aliyekuongoza kuandika wimno wenye maneno mazito na yaliyojaa mguso wa hali ya kipekee sana. Ubarikiwe mno, Mwenyezi Mungu aendelee kukutumia ktk uinjilisti huu kwa njia ya nyimbo.
Ameen tuombeane ili kazi ya Baba iendelee
Ameen
Anointed ❤
Wimbo mzuri ajabu .
Amen
Keep that fire burning Namsifu! You have my prayers
Amen
Hellow naweza pata namba Yako tafadhali
Amina
Amen Amen Amen Amen Amen
Barikiwa mnoo Mpenzi dada Namsifu... Huu ni wimbo wangu pendwa sanaa ❤
Bwana akubariki mnoo...
Akazidi kukuinuia zaidi.
Amen
I love u alot dada namsifu❤❤
Mungu wetu atukuzwe sana wokovu mkuu aliyotutendea
Hadithi za Ushindii❤
Mungu wambinguni akubariki wimbo mzuri mziki mzuri sna
Amina kubwa. Sabato njema
Amina kubwa dada mdogo barikiwa🙏
This is Nice song
Am finding you On spotify but unsuccessful
Help meb
Daaa maadam ❤❤❤ mependa huu wimbo
Hadithi za ushindi
Amen
Live performance ya Makambi kimara2024 umefanya vizuri sister huu wimbo uishi sana
Be Blessed Beloved Sister Namsifu....
Hongera mwalimu wangu nakuona unakitumia vyema kinanda, barikiwa namsifu kwa wimbo wenye mguso songa mbele.
Amen
Hadithi za ajabu kweli, Asante sana
Haleluyaaaa
What a master piece 🔥 🔥
Mungu ni mwema. Barikiwa Kwa kila njia Kwa kutumika katika kueneza injili.
Amen