DIAMOND amewakimbiza DAVIDO,BURNABOY na WIZKID kwa kujaza watu wengi kwenye show moja,ashika namba..
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 7 ก.ย. 2024
- Please subscribe now on our TH-cam channel to be the first to hear about latest news and updates on Time.
#middlesimba
#WeAreEverywhere
#diamondplatnumz
Simba🦁 Ajawaiii muacha Mtu salama ...
. Bigapuu sana 🇹🇿
Diamond Platnumz ni level nyingine , mi huwa nawashangaa watu wanaomfananisha na wasanii wengine ambao hata Burundi hawajawahi kufanya show huko
Simba nimkubwa teana sana kuona msani anaeimba Swahili mpaka anafika apo sio kazi ndogo nivile tuu watuu hawariziki 🤌🤌kwaio tumupe respect yake kama msani kutoka Afrika mashariki ❣️❣️Mimi wakwanza namupa heshima yake 🙏
Allah akuzidishiye kila laheri inshaalah diamond akulinde nahsuda za mwanadamu akuzidishiye riski ameen
QATAR WATCHING💯
Tatizo letu ss mashabi uwa tunashabikia bili kuchunguza ila kiukweli diamond platnumz anatufanya ss mashabiki zake Tue na furaha sana ❤❤❤
🔥🔥🔥🔥🔥 Simba East Africa
Ogera sana mr diamond platnumz
Wcb wasafi tujuane apooh ndugu zanguni ❤❤❤❤
Simba big one
We zombie!!🔥🔥🔥🔥
Haujui
Mashaallah diamond🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤
Kweli middle Simba umekuja n'a fact Kila mtu ashinde merch zake , Diamond Plantamz anatuwakilisha East Africa
Good job
courage Diamond Platnumz je t'aime fort malgré je suis congolais 🇨🇩
🔥🔥🔥
🦁 simba 🔥
Simba in Africa 🔥🔥🔥
Ooooh les golois où es tu? 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
😂😂 français swahili
Noma sana
Il faut savoir parler
WA kwanza nipewe like zangu
Wanaongea sana ila mwishowe simba anawin🎉🎉😂😂
💥💥🔥🔥🔥🦁🦁
Simba
Sikupingi Middle uko sahihi kaka mkubwa akili kichwani😅
Washabiki wa harmonize huku wakizani diamond alikua anaboost watu 😂
😂😂😂😂
Mnaamini ujinga kutoka kwenye channel za wajinga, hv huyu awe wakwanza kupost ishu kama hyo bila wasafi? Acheni kukurupuka watu wabafosi viewers kwenye channel zao ili waingiza pesa
😮😮we vipi kwahiyo unataka ku mlinganisha diamond plantumz na harmonize? Harmonize msanii mkubwa ww sio levo za diamond plantumz.
@@DjemsTorontos Harmonize ana ukubwa kwa vigezo gani?
Daaa hiyoo ngoma au hilo biti Linalo lia mwisho ngoma gani please
💥💥💥💥🤝🙌
𝓝𝓲𝓹𝓸 ❤
Uyo ndo msani mwenye nguvu apo kwenu tanzania alikiba yy anajua redio tu na mademu 😂😂😂
Simbaaaa
big unahuwa sana
❤❤❤❤❤
Kwenye wasani wenye wamefanya vizuri kwaku jaza watu kwa kweli diamond platnumz ayupo ata kwenye top 10 barani Africa
Huyu Somali nae wawapi kw maana Kila mara yy akonyuma na masaa!!!😂😂😂
Toa list yako basi tuone
Wezombie🦁
Simba i love you so much I'm from kenya but huyu KRG the don ako na utoto sana please middle simba can you explain to this ktg about currency pay ,,he disrespect diamond platnumz because he is from Tanzania
I understand Diamond is ur boss 😂😂😂😂😂😂
Oyaa hiki kiumbeee kina barha
The one and only 💯💯💯
now tunajua
Simba🔥🔥🔥💐💐💐💐💐
SIMBA 🔥🔥 MUNGU AKUZIDISHIE MAISHA MAREFU ILI UZD KUTUWAKILISHA WATZ.
Manguli hao ❤❤❤simba
Oya tunaangalia international west Africa ndio wababe ni hilo tu,🙌
middle simba am ur big fun from 254 say hi to mee plz
❤
Sasa kumbe😂😂😂
dimond tunamukubari🎉🎉🎉 sisis
Wow fally ipupa
Anawanyoosha bila huruma❤❤❤
Pongezi sana middle 🦁
Big mwongo san sikuelewag
Simba la Simba
First from namibia
Simba noma Mungu mbariki sana ❤❤❤
Mapenz ua sio nakiwango
Kweli
We tunakujua kama choko daimondi anakugonga na ndomaana unamsifia hata akiwa hafanyi kit cha kueleweka labda awazidi kutoboa toboa pua
Yaa nimekubali
🙌🙌🙌
Simba si mchezo
Vipi kuhusiana na numbers kwenye digital platforms kama Spotify na nyinginezo
Kamulize mamaako
simbaaaaa
Simba mNyama mwingine wewe mwacheni alivyo
Middo hiyo goma ya nani please nisaidie jina lake.l ask for help support
Sasa wasifia Simba mtu ambaye anajaza Africa aenda uko o2arena mambele we wamsifia apa kweli hauko sawa
Fuatilia Hapo Juu Kabla Middle Hajasema Akili Kumkichwa
Sasa 02 arena inauwezo wakubeba watu elfu 60 pekeake wakati mwamba kashajaza watu laki mmoja Ethiopian akili kichwani zombie 😅😅😅
Acha utoto diamond hiyo amejaza South Sudan wa naijeria hata pale kwao kwa nini washindwe kujaza hivyo, hata kama wamewahi kujaza pale nyumbani kwao iyo dadi ingaliwekwa kwenye mkeka acheni roho mbaya
😂😂😂 toka wacha kudanganya watu
Diamond mnao mchujulia poa endereeni tu ila huyu mtu sio wakitoto tuache naziea ukisikiriza rekodi hizi ndio unajua diamond sio wamchezo
Ndiomana wabongo wengi hawaelewi wanapoambiwa Mondi ni msanii mkubwa wanataka awe anaongea kizulu au kifaransa ndipo watakubali
Kuna watu hawamini kuhusu diamond😂..hata kukisema burna boy aje bongo na diamond aende nigeria lzma mondi ampiku burna😂
Simbaa anatisha
hiyo ni kitambo sana wewe ndo unasema saizi
Bro samahani sana nimefatilia ila nimeshindwa naomba nisaidie jina la song linalool play nyuma apo ukiwa unaongea pleasee
Jamaa balaa na nusu
Bonn yan wakajaze mambeke hilo sasa
Alf unaskia alikiba akijitamba kua nimsanii mkubwa kumzidi mwamba kweli?? Ahahahahah 😂
😂😂😂😂😂😂 tunajitekenya na kucheka 😅😅😅😅😅
ni simba la Masimba dangote
Mond ni habari nyengine
Kajaza wapi we naye mjinga wewe middlia simba harmonize msanii mkubwa kuliko uyo diamond plantumz wenu mjinga mwenzenu 😮😮
Maskini yaani mna force harmonize mahali kuna facts wow
mbona haukuzungumuzia arena England kama diamond nimusani mkubwa anawazidi wasani kutoka Nigerian
Kk mbona sijasikiya uyoo harmo ambaye iko nataka kushindana na mondi
We middle sijui km hukanyagwi watu wanajaza arena unasigia east afrika 😂
Acheni utoto sisi tu naangalia numbers kwa nini wao washindwe kujaza hata pale nyumbani kwao Ah! Bro mbona ingaliwekwa kwenye mkeka pia
Uyu atakua anakanyangwa na mondi
DPM weka mbali na watoto ni noma
Burna boy South Africa ame Jaza watu laki 100.000 mbona sioni apo fake news
Nyinyi ni wapuuzi mliokuwa hathamini vya kwenu hiyo ni moja ya record ambazo mpaka sasa wasanii wa naijeria hawajaweza kuvunja na wataumia sana
Hakunaga laki 100 mkuu
sinbaaaaaa
Mwamba. Anapepeaa
Toka uko muongo wewe
W2 wabixh takwim bado wabixhna
👏👏👏👏👏👏👏
Simba
Simbaaaaa
Simba
Simba
Simba
Simba
Simba
Simba