NO MORE MISTAKES (DAY 2) - PASTOR SUNBELLA KYANDO
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 6 ก.ย. 2024
- Neno lolote linalotamkwa huwa linabaki na kukaa katika ulimwengu wa roho likisubiria muda ili litimie.Neno hilo linaweza kuwa zuri au baya.Lakini pia unatakiwa uwe makini na watu waliokuzunguka maana sio kila mtu anatakiwa ajue habari zako.
Karibu ujifunze kutoka kwa Pastor Sunbella Kyando.ni somo ambalo litakuinua sana na litabadilisha mtazamo wako juu ya mahusiano.
UNAWEZA WASILIANA NASI AU KUTUMA SADAKA YAKO KWA NAMBA HII : 0657 173 322
Unaweza kutufuatilia katika mitandao yetu ya kijamii
Like our Facebook: / therealityof. .
Follow our Instagram: / realityofch. .
Subscribe our TH-cam: www.youtube.co....
Your the one of the best Pastors in Tanzania, kwakweli unafundisha vitu ambavyo makanisa mengi hawayagusi na ni vitu halisi sana kuliko vinavyoonekana. Wengi wamebase na mambo yanayoonekana ambayo ni temporary na yasionekana ndiyo halisi sana. Especially haya mambo ya generation curses and fault foundation hii kitu ni uhalisia sana na Biblia iko wazi . Mungu azidi kukubariki na kukutumia Pastor Sunbella. You're going places..
Amen mtumishi barikiwa sana
Tupo pamoja mtumishi kwa mafundisho haya mbaka nivuke na mimi, ili siku moja na mimi nishuhudie matendo makuu ya Mungu, Ubarikiwe sana pastor
MAN OF GOD umetembea sana kimaarifa. You actually transcend the ordinary standards. GLORY TO GOD.
Amen
Amen 🙏
Natamani kuja kushiriki ibada hii ila sijajua muda wa semina hii inaanza muda gani
Tafadhali naomba kujua
Ibada zetu ni kila Jumapili saa 3 Asubuhi na Jumatano na Ijumaa kuanzia saa 11 jioni
@@realityofchristchurch asante, nashukuru sana.
Powerful 🙏🏿🙏🏿🙏🏿...thank you pastor
Season 3 natamani kujua inaanza lini..One the Best seminars🙌🏽
Kweli kbs mtumish Mungu akubariki mnooo
Mtu anaeza nipea link ya day3 please
Nimebarikiwa na bado nazid kubarikiwa
Kweli
🙏
Jamani day 3 ipo?
Maana naitafuta siioni. Naombeni hata link tu