MCHUNGAJI AKIRI UISILAMU DINI NZURI, NA KUSILIMU MMOJA KATIKA DA-WAA MITAANI SEHEMU YA 7(19-9-2020)

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 18 ธ.ค. 2024

ความคิดเห็น • 259

  • @rukiamatano7764
    @rukiamatano7764 4 ปีที่แล้ว +17

    ""Maashaallah mashekh wetu kazi ngumu ya kutangaza dini ya Allah.. Allah awalipe kheri inshaallah.

    • @YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp
      @YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp  4 ปีที่แล้ว

      Amin sote

    • @mapishiyetumazuri2312
      @mapishiyetumazuri2312 4 ปีที่แล้ว +1

      Amen tunazisubiri sana hizi video

    • @ikorouchamasu5726
      @ikorouchamasu5726 4 ปีที่แล้ว

      @@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp Marshall mung atawalipa kuelimisha wanadamu

    • @issakaroli1517
      @issakaroli1517 4 ปีที่แล้ว

      @@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp mimi natokea inchi ya Burundi iyi kazi ya Da-wAA Inatakiwa uwe nasubra Matayo 10:16 yesu anasema kuwe na busara kama nyoka na Kuweni wa pole kama Uwa jihadhalini nawaAdamu munaowafikisheni maneno ya Mungu watakufungeni hawo watakupigeni hawo watakuwekeni magelezani hawo lakini atakae vumiliya paka mwisho uyo ndiye atakae okoka

  • @thechallangeboystheawadh5195
    @thechallangeboystheawadh5195 4 ปีที่แล้ว +6

    MashaAllah MashaAllah MashaAllah sio mchezo wanacho kifanya Mashekhe wetu

  • @yusufmwangichannel6692
    @yusufmwangichannel6692 4 ปีที่แล้ว +5

    Masha Allah, kazi nzuri, Allah awalipe kheir hapa duniani na kesho akhera

  • @haseanatnsanya2079
    @haseanatnsanya2079 3 ปีที่แล้ว +1

    Maashaallaah mungu awaongoze mashekhe wetu wapenguvu nasubra

  • @sulehassanshall6140
    @sulehassanshall6140 4 ปีที่แล้ว +5

    Allah.Awanusuru mashekhe wetu....Pasta mungu Amuongoze

  • @bilalomar1185
    @bilalomar1185 4 ปีที่แล้ว +7

    MashaAllah Allah awalipe kilakheri Ameen.
    Mola Alipotueleza kwamba Ameturidhia Uislamu kuwa ni Diyn yetu na kwamba haitakubaliwa imani nyengine yoyote basi hapo sote twahitajika kufuata njia sahihi za Qur-aan na Sunnah bila ya kuterereka.

  • @ambarnelly6304
    @ambarnelly6304 2 ปีที่แล้ว +1

    Mungu akubarikini sana,walimu wetu kaz nzuri mungu atawalipa ishaalwah

  • @haseanatnsanya2079
    @haseanatnsanya2079 3 ปีที่แล้ว +1

    Hawajielewi hawo mwenye kuelewa ata-Fwa t a tunawaombea sana mashekhe wetu mungu awaongoze inshaallaah

  • @kibeginiblue7188
    @kibeginiblue7188 3 ปีที่แล้ว +2

    Mashaallah
    Sheikh Yusuph and Seikh Said
    I'm from 🇹🇿🇹🇿🇹🇿 Allah(s.w.a) wazidishie kila lenye neema inshaallah

  • @achanifumos1093
    @achanifumos1093 3 ปีที่แล้ว +1

    MashaAllah mungu awazidishie hikma na ilmu zaidi.. muzidi kuelimisha watu waingie kwa dini ya Allah

  • @siamabakwe4274
    @siamabakwe4274 4 ปีที่แล้ว +6

    Asante njia ya Allah ma sheikh's nawapenda sana Allah alipe asante

  • @omarsaid6744
    @omarsaid6744 4 ปีที่แล้ว +6

    MAA SHAA ALLAH KAZI MZURI ALLAH AWAJAALIE MINAL FAIZIN FII DUNIA WAL AKHERA,PAMOJA NA SISI SOTE WA FWASI WA MTUME MUHAMMAD S.A.W.

  • @ibrahimiddi3134
    @ibrahimiddi3134 3 ปีที่แล้ว +1

    Mashaallah kaz nzr sn mungu atakulipen kheri ishawah

  • @raelmonda1878
    @raelmonda1878 4 ปีที่แล้ว +4

    Allah awalipe kila la kheri hapa duniani na ahera Kwa kazi nzuri mnayoifanya.

  • @axmedcabdi3660
    @axmedcabdi3660 4 ปีที่แล้ว +4

    Shukran,Alxamdulillah kwa dini yetu ya uisilimu. Allah atuongoze

  • @jeylanisomo4122
    @jeylanisomo4122 4 ปีที่แล้ว +2

    Mnafanya kazzi, ngumu, Sanna ndugu zangu manshaalah, mungu Atawa lipeni

  • @jeylanisomo4122
    @jeylanisomo4122 4 ปีที่แล้ว +2

    Manshaalah, mashehe, wetu kazi ngumu sana Mungu Ata walipeni.

  • @noorking1119
    @noorking1119 4 ปีที่แล้ว +6

    May Allah grant you Jannah

  • @samxx411
    @samxx411 3 ปีที่แล้ว +1

    Sheikh napenda sana kazi yako na M/Mungu akulipe kwa hilo, sio sie mashehe wetu wanapingana wao kwa wao wanakera kweli

  • @issakaroli1517
    @issakaroli1517 4 ปีที่แล้ว +1

    Wahadhili wa kenya nimewapenda sana wakutangaza Dini ya Allah sijuwi jinsi ya kusema kazi Mnaifanya ningumu Allah ndie awalipe

    • @YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp
      @YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp  4 ปีที่แล้ว

      Amin sote

    • @issakaroli1517
      @issakaroli1517 4 ปีที่แล้ว

      @@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp mimi natokeya inchi ya Burundi iyi kazi ya Da-wAA Inatakiwa uwe nasubra sana yesu anasema Matayo 10:16 Kuweni na busara kama nyoka na Kuweni wa pole kama Uwa Jihadhalini nawaAdamu munaowafikisheni maneno ya Mungu watakufungeni hawo watakupigeni hawo watakuwekeni magelezani hawo lakini atakae vumiliya paka mwisho uyo ndiye atakae okoka

  • @haseanatnsanya2079
    @haseanatnsanya2079 3 ปีที่แล้ว +1

    Mungu akulinde na shar na hasad

  • @omarabeid1363
    @omarabeid1363 4 ปีที่แล้ว +3

    Kazi yanu yataka subra sana mashekh wetu Allah awajaze kheri

  • @حنةمنغا
    @حنةمنغا 4 ปีที่แล้ว +2

    Masha Allah tabaraka Allah Rahman,kazi mwaifanya kweli kweli,Allah awalipe humu duniani na peponi kwa ujila mwema.

  • @mohammadalfani8004
    @mohammadalfani8004 3 ปีที่แล้ว +1

    Wataamini tu... Fanyeni kazi ya Allah ma sheikh wetu

  • @ambbabu4122
    @ambbabu4122 4 ปีที่แล้ว +6

    Mashaa Allah... ALLAH mtukufu awajalie kila la kher kwa kazi nzuri mnayoifanya
    Atakae elewa aelewe ambae hataelewa mungu amuongoze

  • @nailahsaeed837
    @nailahsaeed837 4 ปีที่แล้ว +3

    Mashallah Allah awabarik shekh Muhammed Allah akubarik kwa jibu ulomjibu Huho Jamaa

  • @halmahashim2864
    @halmahashim2864 4 ปีที่แล้ว +3

    Allah wape subra hawa mashekhe wetu uwatie na moyo wakutangaza kitabu chako

  • @moanamohammed1406
    @moanamohammed1406 4 ปีที่แล้ว +3

    Masha Allah masheikhe wetu Allah awahifadh Inshaallah kaz ngumu sana munayoifanya

  • @iddyally4439
    @iddyally4439 4 ปีที่แล้ว +4

    Mashekh wetu Allah awazidishie awalinde na maadui nimependa sana mkiona watu wengi na makelele ondokeni kabisa nashauri km vp kwenye wiki mgetembea mara tatu daawa mitaani

    • @hilaliali7464
      @hilaliali7464 4 ปีที่แล้ว +1

      Asalamu alaykumu, Mimi Nina maoni tu kwa wale ambao itakuwa wanakuwa wapizani sana kwenye mijadala muwaalike sehemu malumu ili na sisi tunaosikiliza tupate kuwasikia zaidi na wao wapate kujua ukweli zaidi kuliko kuwakimbia kabisa.

    • @YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp
      @YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp  4 ปีที่แล้ว

      Amin sote

  • @sabriyasuluh3002
    @sabriyasuluh3002 3 ปีที่แล้ว +1

    Mashaallah Allah awajaalie kila la kher katk kuisambaz dini ya haki (uislamu) aminn

  • @mohammadalfani8004
    @mohammadalfani8004 3 ปีที่แล้ว +1

    Uyo mama wa mwisho nimshindani Mungu amuongoze katika njia

  • @mahmoudkilowe5213
    @mahmoudkilowe5213 4 ปีที่แล้ว +4

    Mashaallah, Allah yu pamoja nanyi

  • @jnrhassan4629
    @jnrhassan4629 4 ปีที่แล้ว +3

    MashAllah namuona sheikh mohamed hapo .unifikishie salamu pia

  • @siyaaraentertainment6973
    @siyaaraentertainment6973 4 ปีที่แล้ว +3

    Mashaaa allah ustaad Yusuf Allah akupei kheri

  • @haseanatnsanya2079
    @haseanatnsanya2079 3 ปีที่แล้ว +1

    Wabishi sana hayajielewi duuu yataka subra sana

  • @mustaphajuma8654
    @mustaphajuma8654 3 ปีที่แล้ว +1

    Mungu atujalie mwisho mwema waislam inshallah

  • @ismailyussuf1805
    @ismailyussuf1805 4 ปีที่แล้ว +4

    Shk Yussuf.Hapo tanataka MHADHARA MKUBWA SANA.

  • @ayushiabubakar1930
    @ayushiabubakar1930 4 ปีที่แล้ว +2

    Ya rabii mungu awape subra mashk wetu kwa kazi zito

  • @fatumaali352
    @fatumaali352 4 ปีที่แล้ว +1

    Allah awajaze imani katika kazi mnayo ifanya

  • @bisimwashamboko5713
    @bisimwashamboko5713 4 ปีที่แล้ว +3

    Shukran kwa dawaa.

  • @seifmansour7327
    @seifmansour7327 3 ปีที่แล้ว +1

    Mashaallah mungu awape afya njema na awaondolee mazito katika kazi nzito munayo ifanya mungu awape umrimrefu na awaondeshee maradhi

  • @wadimtwana7286
    @wadimtwana7286 4 ปีที่แล้ว +2

    Maashaallah nafurahi uislam ukienea zaidi

  • @sakinamohamedi2396
    @sakinamohamedi2396 3 ปีที่แล้ว +1

    Hakika mnafanya kazi ngumu mungu atawalipeni inshaallah

  • @andallaathman3856
    @andallaathman3856 4 ปีที่แล้ว +1

    Kazi mzuri ndugu zetu mungu awabriki na wape nguvu na afya mzidi kusambaza dini yetu ya Amani

  • @wadadawanagsan7961
    @wadadawanagsan7961 4 ปีที่แล้ว +4

    Masha alah sheikh yetu ubarikiwe

  • @ummohamed4404
    @ummohamed4404 4 ปีที่แล้ว +1

    Allha awabari hata cc tunafaidika saana

  • @omaar5693
    @omaar5693 4 ปีที่แล้ว +2

    Dah alhamdulillah, yani hapa nimejifunza...

    • @SalmanMughal-lq5lt
      @SalmanMughal-lq5lt 6 หลายเดือนก่อน +1

      MashaAllah.uislam.unakufanyamtu.kutembeaKifuaMbele.kujiamin..hakunashaka

  • @halimamistri8638
    @halimamistri8638 3 ปีที่แล้ว +1

    Allah akuifdhi wewe na said

  • @babauna3458
    @babauna3458 4 ปีที่แล้ว +3

    Mashaallah jazzakallah ustadh yusuf very beutifull, Loudly and clear message, Alhamdulillah .

  • @shabanirukundo4272
    @shabanirukundo4272 4 ปีที่แล้ว +2

    Mashaallah masheikh wetu Allah Awape heri

  • @makenakendi282
    @makenakendi282 4 ปีที่แล้ว +4

    Mashaallah ALLAH BARIIK always

  • @jamalathman6219
    @jamalathman6219 4 ปีที่แล้ว +1

    Mashallah ustadh Allah akupe maisha marefu upate kufikisha ujumbe wa mungu

  • @aaibrahim4487
    @aaibrahim4487 4 ปีที่แล้ว +3

    Wakristo huamini sana Yesu kuliko Mungu Mwenyewe hapo ndipo hukosea, Maana hio miujiza yote ni kwa ajili ya Mungu Mwenyewe...Allah awalainishie moyo wakuelewa, Maana mpaka miujiza ya mtume walikataa

  • @princebabu6977
    @princebabu6977 4 ปีที่แล้ว +3

    Allah awalipe Kheiri nyingi sana bila hesabu

  • @HassanAli-eq8ko
    @HassanAli-eq8ko 2 ปีที่แล้ว +1

    Mashaallaah shukran jazakum llaah kheir dawa mpaka kima

  • @nininahazweally7793
    @nininahazweally7793 3 ปีที่แล้ว +1

    Manshaallah mung atawalipa mnafanya kazi nzito nawafuatiliy nikiwa🇧🇮

  • @mwanaishahussein2635
    @mwanaishahussein2635 4 ปีที่แล้ว +2

    Mmmh, ALLAH awalinde na awape subra kupitisha Da'awa maana naona ibilisi ametawala😳😳😳🇰🇪

  • @ashrafissa778
    @ashrafissa778 4 ปีที่แล้ว +3

    Allah wajaliee khr inshallah

  • @omarabeid1363
    @omarabeid1363 4 ปีที่แล้ว +4

    Masha Allah Allah ibarik

  • @salumkaisi4907
    @salumkaisi4907 4 ปีที่แล้ว +2

    Huyo Dada alietoa andiko la neno la hapo mwanzo kulikuwako neno mpe 17:3 yohana linasema na uzima wamilele ndiyo uhuu wakujue wewe mungu wapekee na Yesu uliemtuma

  • @saumuseif9189
    @saumuseif9189 4 ปีที่แล้ว +2

    Kwakweli nikazi Allah awalipekherii

  • @hamiduharuna9122
    @hamiduharuna9122 4 ปีที่แล้ว +2

    Allah akbaru yusufu + saidi + mhamadi nawapenda kwaajiri ya Allah * Allah awalipe kilalakher

    • @YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp
      @YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp  4 ปีที่แล้ว +1

      Amin sote

    • @hamiduharuna9122
      @hamiduharuna9122 4 ปีที่แล้ว

      @@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp naitwa hamidu haruna kutoka Tanzania sheikh yusufu nakupenda kwa ajiri ya Allah

  • @husnaodhiambo6848
    @husnaodhiambo6848 4 ปีที่แล้ว +1

    Mashallah. Pia mimi nilihama kwa sababu ukristo aijisimamishi

    • @zainabyussuf738
      @zainabyussuf738 4 ปีที่แล้ว +1

      Allah azidi kukuongoza lov

    • @fatumamwalimu5765
      @fatumamwalimu5765 4 ปีที่แล้ว +1

      @@masterantojbeatz7884 ,wewe endelea kukaa uko maana hauko kwenye hii miadhara kujifunza bali uko kwa shabiki, ukitaka kujifunza bali utaelewa maana ukiristo haujisimamii wala kujitetea, na ikiwa ukiristo ni dini nataka uniambie hau ujibu swali hili 👉👉👉👉UKIRISTO UMETOKANA NA JINA LA KIRISTO, JE, WALIOKUWEPO KABLA YA YESU KRISTO KUZALIWA WALIJIITA WAKINA NANI? hiyo bibilia yenu pia inasema hivi👉👉BAADA YA MWAKA MZIMA KUKUSANYIKA WANAFUNZI WALIITWA WAKIRISTO KWANZA HAPO ANTOKYA, NA HILO NI JINA LAKUPANGA TU WALILOLITUMIA WAPAGANI 👈👈👈👈sasa tuambie hapo vipi, tena hiyo ni baada ya miaka mingi yesu kuondoka duniani, alafu neno KANISA maana yake ni MKUTANO, na bibilia maana yake ni mkusanyiko wa vitabu,vitabu vya MUNGU ni vitabu vinne tu na bibilia haipo lakini Paulo alitaka kupoteza watu na alipiga mafundisho yote ya yesu

    • @fatumamwalimu5765
      @fatumamwalimu5765 4 ปีที่แล้ว +1

      MashAllah dadangu Allah azidi kukupa afya njema, wachana na sarakasi mara yesu mungu, mara yesu ni nabii,mara yesu ni mwana wa mungu, mara yesu ni mkate, yesu kwenye msikiti wao kanisani, wamejitungia mambo ya ajabu na ndio yesu alisema 👉watu hao UNIHESHIMU KWA MIDOMO LAKINI MATENDO YAO YAKO MBALI NA MIMI 👈👈wanawageza manabii wa MUNGU kuwa miungu na kuwafanya wana wa MUNGU ambapo hiyo ni kufru kubwa, yesu alisema watu wangu wamekua kondoo na wachungaji wao wamewapoteza, pia yesu alisema 👉👉👉SIKUTUMWA ILA KWA KONDOO WALIOPOTEA WA NYUMBA YA IZRAEL, 👈👈👈yesu alipoulizwa na wanafunzi wake ni hipi sheria yakwanza?yesu akajibu hivi👉👉YAKWANZA NDIO HII,WAKUJUE WEWE MUNGU WAPEKEE WAKWELI NA YESU KRISTO ULIEMTUMA 👈yesu alipo ondoka duniani Paulo aliingia kwenye masnagogi akawauwa watu na baada ya hapo akawashartisha kukufuru, akawaambia waseme yesu ni mwana wa MUNGU na hata ikafika atua kuwaambia waseme yesu ni mungu, na ndio huyo aliekuuliza pia imani yake anasema yesu ni mungu!!!!Na yesu yuko na ukoo, sijui ADAM aliekuwepo katika hii dunia bila baba wala mama atamuitaje

    • @hirammbugua7593
      @hirammbugua7593 3 ปีที่แล้ว

      hukuelewa.

    • @pilimusa7770
      @pilimusa7770 3 ปีที่แล้ว

      @@fatumamwalimu5765 👏👏👏👏👏🏽❤👍

  • @jamilaomariomari8328
    @jamilaomariomari8328 4 ปีที่แล้ว +2

    Allah azidi kuwapa subra.

  • @rastaman6319
    @rastaman6319 4 ปีที่แล้ว +4

    Masheh mnakazi sana.

  • @richardsineno6720
    @richardsineno6720 3 ปีที่แล้ว +3

    Maashallah,but huyu mama mwisho tumuombeeni coz yeye ndie mpinga kristo kwa sababu ana pinga maandiko

  • @AbdulmajidHyder
    @AbdulmajidHyder 4 ปีที่แล้ว +6

    Allah Akbar

  • @michellenorbert8705
    @michellenorbert8705 ปีที่แล้ว +1

    Eeeh Allah wasaidie wa2 hawa jmn ili waokoke hapa dunian na kesho akhera

  • @ummua5006
    @ummua5006 4 ปีที่แล้ว +1

    Jazakumu Llaahu khairan

  • @ashtube1333
    @ashtube1333 3 ปีที่แล้ว +1

    Subhanallah

  • @hussenihusseni2761
    @hussenihusseni2761 2 ปีที่แล้ว +1

    Mitume na manabii wote wa mungu wameabud kwa kusujudu nope andiko kwa nini hauswali kwa kusujudu kama mitume na manabii wote wa mungu acha umbumbu kasome vitabu Ili ujue sio unafata mkumbo wa kupelekwa pelekwa kama lingombe acha ujinga kasome mwenyewe na wewe ujue

  • @kibeginiblue7188
    @kibeginiblue7188 3 ปีที่แล้ว +1

    Yani siku ya kiama watu watajuta Sana AllahuAkbar

  • @jasminmohamed6145
    @jasminmohamed6145 4 ปีที่แล้ว +4

    Masha Allah

  • @mugosolo1602
    @mugosolo1602 2 ปีที่แล้ว

    Nimefuatilia sana hii channel yenu na nawashukuru sana waalimu.
    Tangu nislimu napata raha sana kwa uislamu

  • @abdirazaqhussein1429
    @abdirazaqhussein1429 4 ปีที่แล้ว +4

    MAA SHA ALLAH

  • @aminaamulavu1338
    @aminaamulavu1338 4 ปีที่แล้ว +1

    Hawa mapastor wanakubali haki akislimu kanisa yote insha Allah

  • @mohammedsuleiman4408
    @mohammedsuleiman4408 3 ปีที่แล้ว +1

    MashaAllah

  • @haseanatnsanya2079
    @haseanatnsanya2079 3 ปีที่แล้ว +1

    Patakiwa hikima kubwa sana

  • @adamsaid5772
    @adamsaid5772 4 ปีที่แล้ว +2

    Hho is african mother where she came from where is the familly root who is the Sfrican fother en in which decade they live by which porpperse.

  • @omarykusah9719
    @omarykusah9719 ปีที่แล้ว +1

    Hawasom kazi kuwadanganya kuimba

  • @mwidinijuma8214
    @mwidinijuma8214 3 ปีที่แล้ว +1

    Mashaalh,

  • @profs.a5412
    @profs.a5412 4 ปีที่แล้ว

    🤠🤠🤠🤠🤠..shetani yupo kaziniiiiiii🤠🤠🤠🤠.......naye anataka kuwabeba watu wa kutosha kwenda nao jehanam🤠

    • @znz9083
      @znz9083 4 ปีที่แล้ว +1

      Muhimu unafatilia Basi majuto yake utayaona karibuni.. Maana hautakua na ya kujitetea kwa sababu ujumbe umekufikiaa vzr saana

  • @sabriyasuluh3002
    @sabriyasuluh3002 3 ปีที่แล้ว +1

    Mashaallah Allah

  • @eastafrica6858
    @eastafrica6858 3 ปีที่แล้ว

    Mana kasema mmungu neno kaumba dunia na neno pia kaumba yesu na vingine sio akisema neno ndio yy mungu neno awe yy neno no kama binadam anavyo amrisha kwa maneno mfano chukua ni amri na mungu anamrisha kitu kifanyike ni yy anamrisha sio yy neno kama kumbumba yesu bila baba ni miujiza kwa mmungu kuamrisha

  • @makenakendi282
    @makenakendi282 4 ปีที่แล้ว +4

    Huyo Dada ameelewa vizuri sana but nishetani huyo ndugu zangu muwe Na subra ndugu zangu nasiku wakagusa mtu ndio watajua vizuri kama SS Na watu waamani natukibadilika niwatu wabaya hawana lolote hao ni wafuasi wa shetani kazi yao nikupoteza wenzano ALLAH BARIIK always

  • @fatumaabdhul8620
    @fatumaabdhul8620 3 ปีที่แล้ว +1

    MASHALLAH

  • @malakisaimonmalakisaimon7259
    @malakisaimonmalakisaimon7259 3 ปีที่แล้ว

    YESU NI MUNGU NA tena. Ndio mwanzo na mwisho

    • @YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp
      @YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp  3 ปีที่แล้ว

      Yohana 3:16,na MWANA ni Nani kama yesu diye MUNGU na diye mwanzo na mwisho(mathayo 27:45 anaye Lia musalabani ninani?)

    • @hussenihusseni2761
      @hussenihusseni2761 2 ปีที่แล้ว

      Acha umbumbu mungu mungu gan anaekunya mavi kama wewe kuwa na akili

    • @SalmanMughal-lq5lt
      @SalmanMughal-lq5lt 6 หลายเดือนก่อน

      Astaghafiliru.llah

  • @amanchatila2083
    @amanchatila2083 3 ปีที่แล้ว

    ukiwa muislamu kuwa hivyo ukiwa mkristo kuwa hivyo basi inatosha tusizalauliane

  • @emilyibraimo5032
    @emilyibraimo5032 4 ปีที่แล้ว +2

    Wakristo wanatiya hasira

  • @maherzain615
    @maherzain615 3 ปีที่แล้ว +1

    Nimempenda huyo mama wa githurai huyo nywele za red. Shda wengne wavivu hawataki kujisumbua kusoma.ukisoma huwa raha sana huwa rahisi kuelewa

  • @ayanabdi77
    @ayanabdi77 4 ปีที่แล้ว +1

    May Allah guide this people

  • @MohamedHassan-yo7rt
    @MohamedHassan-yo7rt 4 ปีที่แล้ว +6

    Allah awajalie umri mrefu masheikh wetu na awafanyie wepesi 🙏🙏🙏 let's all Subscribe plz to get more update

  • @gitargitar8332
    @gitargitar8332 4 ปีที่แล้ว +2

    Yesu atakuja syria

  • @hirammbugua7593
    @hirammbugua7593 3 ปีที่แล้ว +1

    lazima mkristo avae msalaba????

  • @abdiazizmohammed6505
    @abdiazizmohammed6505 4 ปีที่แล้ว +3

    Mashallah

  • @samxx411
    @samxx411 3 ปีที่แล้ว +1

    Sheikh Yussuf kama huyo dada alosema kuhusu neno mpe mfano wa gari; mwanzo kulikuwa na gari, gari ikapelekwa kwa fundi nalo gari ni fundi. Je gari ni ???

  • @omarykusah9719
    @omarykusah9719 ปีที่แล้ว +1

    Watu Kama wanatakiwa wasomeshe

  • @ramlamohamed4580
    @ramlamohamed4580 4 ปีที่แล้ว +2

    yusufu si msomar ni msomali
    ukisema msomar niile Nail

    • @pilimusa7770
      @pilimusa7770 3 ปีที่แล้ว

      Ile msumali means nail. Msomali mtu kutoka somalia

  • @ambarnelly6304
    @ambarnelly6304 2 ปีที่แล้ว +1

    Mh kazi ngumu sana ila kazeni masheh zangu mana hawa watu wanahitaji elimu ya kutosha kabisa mana hawataki hata kusikiliza maandiko yao wenyewe kwenye biblia

  • @samxx411
    @samxx411 2 ปีที่แล้ว +1

    Hawa ndugu zetu wakristo wanafurahisha, eti yesu mungu kwasababu kazaliwa bila ya baba, mi nahisi bora waseme Adam hakuwa na baba wala mama au eve (hawa) na yeye hakuwa na baba na mama mbona hawasemi pia ni waungu

    • @SalmanMughal-lq5lt
      @SalmanMughal-lq5lt 6 หลายเดือนก่อน

      TatizoWamelishwaSumu.toka.wadogo