Hawa viongozi Kuna vitu wanavitafuta naona Amani hawaitaki wanapenda Shari kabisa Sim zetu bando tunanunua kwa pesa zetu bado tunapangiwa mashariti nchi aitaki Amani
Si kwamba hawajui kitu wanafanya,.. ukweli nikwamba nchi uwa zina tabia ya kudukuwa data za watu ili kujuwa wanaongea nini wanaongeleaje viongozi n wana mipango gani juu ya serikari so wanashindwa kudukuwa vizuri cz watu wanatumia VPN
Kl siku wananchi wanalia ma matapeli kw kutumia msg pamoja na kupigiwa simu hata ukienda kureport polis ni bure hawan njia ya kumpata mtu na ni vitu vya kufuatilia tu namb imeingea kutok sehem gan lkn wanashindw kujua cha kushangaza wanatutangazia kufungwa jela kisa kutumia VPN ina maan watatumia ujuzi kujua mtu km amewash VPN lkn kumfatilia tapeli hapna😢
Tutatumia vpn usiku wa manane Tafteni kazi za kufanya basi mbona mnatuonea mara nguo tusivae mara vpn daaah magufuri wetu Mungu akulaze mahara pema peponi towara maraika
@GAMER36Rwewe pia ujielewi vpn sio ya machafu pekeyake. Kuna Whatsapp call imo na nyenginezo. Uwezi kuzungumza ukiwa na mtu inje ya inchi bila ya Vpn. Kwahiyo kabla uja mkosowa mwenzio unaitaji ufikirie kwanza.
@@bholili255ana anachoelewa fikra zake ni vpn kuangalia uchafu. VPN inaumuhim kwa mambo mengi ya maana. Haswa kwa calls za mitandao kama whatsapp imo na nyengineo. Wachana nae ajielewi.
Watajuaje kama natumia VPN wakati nikiiwasha location yangu haisomi bongo kifupi kwenye radar za bongo sisomeki 😂😂😂. Afu pia Ip Address yangu haipaswi kuingiliwa na mtu yoyote hii ni haki ya faragha, kama hamjui ni kwamba hao TCRA hawana ujanja wa kutambua mlipo mkiwa mmewasha VPN mpaka wawe na hiyo Ip Address 😂😂😂 sasa nyie jichanganyeni.
😂😂 nimekuelewa na sio rahisi kumtambuwa mtu au kujuwa kama anatumia au laaa. Sasa basi wenye simu lazma wawe makini coz najuwa watakapo mshika mtu kitu cha kwanza wataangalia simu kama ipo vpn... huku inje tuliko wameshindwa kumtabua mtu ila unapo simamishwa kitu cha kwanza Id na Simu. Sasa hapo....waiyone VPN😂😂😂😂
Wizi wa mtandao tu mpaka leo wameshindwa kuuzuia wataweza VPN, mtu akiwasha VPN inasoma US huko au UK, wanataka tusubmit public IP zetu ili iwe rahisi kutrace tunafanya nn 😂😂😂 Mshazuia na kufunga vitu kwenye internet acheni watu watumie VPN kwa uhuru kwanza ujua public ip ya mtanzania ya nn? Ni kinyume na sheria kuspy watanzania, ww kazi yako ni kufungia, sasa fungia watu wakitafuta namna nyingine ya kupata vilivyofungiwa fungia pia hiyo namna nyingine sio kuspy watu bhana
Hao nao wasituchoshe,wangetumia nguvu hiyo kwenye usajili wa line kwanza watu wanasajili laini hata kumi kwa kitambulisho kimoja🤗 na wapo wameka palee kama zombi la kale walilolifufua wanasayansi 😅😅
Bongo yangu hyo vitambulisho tuma hela kwenye namba hii ,tutawadhibiti bdo linaendelea mpaka leo ,sasa lipi litafanyika likakamilika ?kesho linaibuka lingine ,kesho tena linaibuka lingine kwanini tusifanye mambo tukajua tumefikia wapi kuliko kufanya kama tunavyofanya kisa tu kuna sheria zinawalinda akina fulani au kuna vifungu wanavijua akina fulani ,tuijenge inchi katika mfumo mzuri tutafika na itatusaidia kufikia malengo tuliyokusudia kwa vizaz vyote vilivyopo na vinavyokuja
Si kwamba hawajui kutu wanafanya,.. ukweli nikwamba nchi uwa zina tabia ya kudukuwa data za watu ili kujuwa wanaongea nini wanaongeleaje viongozi n wana mipango gani juu ya serikari so wanashindwa kudukuwa vizuri cz watu wanatumia VPN
ha kwani ni mtandao wenu tanzania mukisha kuona uchaguzi ndo mnno yenu mnakuwa watu mkitaka kura tu muogopeni mungu nyinyi hakuna ane himili adhab ya Allah
Huu uchaguzi niwamoto naskia samia anapungua kg kila kukicha yupo manyara msisahau kaingia kanisani muislam tena mkuu wa waislam patam apo nitaanza kutumia VPN kumbe inakua vigumu kudukua hahahaha hapa nimwendo wa shaaaa vpn
Wawaambie Google waziblock area hii, kusema kwamba unafungwa huko Ni kuonea t nyie Kama hamtaki zifumike u just talk to Google waziblock 😂😂😂😂😂NAY ALISEMA BONGO AKILI NDOGO INAONGOZA AKILI KUBWA,,,,,AND NOW I COME TO REALIZE THE STATEMENT
Hawa viongozi Kuna vitu wanavitafuta naona Amani hawaitaki wanapenda Shari kabisa Sim zetu bando tunanunua kwa pesa zetu bado tunapangiwa mashariti nchi aitaki Amani
tanzania 🇹🇿 sio nchi ya kuishi ila basi tu ndio mana young dee iliimba bongo bati mbaya
China na technology yote ila VPN inafanya kazi.ccm mnawakati mgumu Sana
Mbona jera tutaenda wengi mammae
Kwel sim ninunue jaman na inipeleke jera
Si kwamba hawajui kitu wanafanya,.. ukweli nikwamba nchi uwa zina tabia ya kudukuwa data za watu ili kujuwa wanaongea nini wanaongeleaje viongozi n wana mipango gani juu ya serikari so wanashindwa kudukuwa vizuri cz watu wanatumia VPN
Ngoja nitumie mpaka tarehe 29 alafu nijifikilie kwenda jela tanzania OYEE
Mtatufunga wengi sana😢😢😢😢!
Ningekuwa na uwezo wa kutamka neno "kufa"na mtu akafa kweli,bac tanganyika tungekuwa na uongozi wa muhula wa saba.
😢😢😢 Diamond anawumwa hauongee anaomba msadaa kwa maombi lakini sioni tarifa 😢😢
Tuzingatie yanayosemwa na TCRA wao wanazingatia yakwetu. Ikiwezekana tutawadukua nawao mbona hizi selikali zabongo hovyo sana
Kl siku wananchi wanalia ma matapeli kw kutumia msg pamoja na kupigiwa simu hata ukienda kureport polis ni bure hawan njia ya kumpata mtu na ni vitu vya kufuatilia tu namb imeingea kutok sehem gan lkn wanashindw kujua cha kushangaza wanatutangazia kufungwa jela kisa kutumia VPN ina maan watatumia ujuzi kujua mtu km amewash VPN lkn kumfatilia tapeli hapna😢
ndio tz hio
Tutatumia vpn usiku wa manane Tafteni kazi za kufanya basi mbona mnatuonea mara nguo tusivae mara vpn daaah magufuri wetu Mungu akulaze mahara pema peponi towara maraika
@GAMER36Rkwamba wewe ndo unaulewa sana jeeh jifunze ukimya itakusaidia
@GAMER36Rwewe pia ujielewi vpn sio ya machafu pekeyake. Kuna Whatsapp call imo na nyenginezo. Uwezi kuzungumza ukiwa na mtu inje ya inchi bila ya Vpn. Kwahiyo kabla uja mkosowa mwenzio unaitaji ufikirie kwanza.
@@bholili255ana anachoelewa fikra zake ni vpn kuangalia uchafu. VPN inaumuhim kwa mambo mengi ya maana. Haswa kwa calls za mitandao kama whatsapp imo na nyengineo. Wachana nae ajielewi.
Amini 🙏🏼😢
@GAMER36Rshida yako wewe unajua kutumia kwa uchafu tu
Watajuaje kama natumia VPN wakati nikiiwasha location yangu haisomi bongo kifupi kwenye radar za bongo sisomeki 😂😂😂. Afu pia Ip Address yangu haipaswi kuingiliwa na mtu yoyote hii ni haki ya faragha, kama hamjui ni kwamba hao TCRA hawana ujanja wa kutambua mlipo mkiwa mmewasha VPN mpaka wawe na hiyo Ip Address 😂😂😂 sasa nyie jichanganyeni.
😂😂 nimekuelewa na sio rahisi kumtambuwa mtu au kujuwa kama anatumia au laaa. Sasa basi wenye simu lazma wawe makini coz najuwa watakapo mshika mtu kitu cha kwanza wataangalia simu kama ipo vpn... huku inje tuliko wameshindwa kumtabua mtu ila unapo simamishwa kitu cha kwanza Id na Simu. Sasa hapo....waiyone VPN😂😂😂😂
Uchaguzi huu niwamoto kwakweli tusali Sana Samia atatuuza
Wizi wa mtandao tu mpaka leo wameshindwa kuuzuia wataweza VPN, mtu akiwasha VPN inasoma US huko au UK, wanataka tusubmit public IP zetu ili iwe rahisi kutrace tunafanya nn 😂😂😂
Mshazuia na kufunga vitu kwenye internet acheni watu watumie VPN kwa uhuru kwanza ujua public ip ya mtanzania ya nn? Ni kinyume na sheria kuspy watanzania, ww kazi yako ni kufungia, sasa fungia watu wakitafuta namna nyingine ya kupata vilivyofungiwa fungia pia hiyo namna nyingine sio kuspy watu bhana
Tunahitaji upatikanaji wa habari bila kikwazo cha serikali.
wasitutishe tunatumia kam kawaida
mimi leo nimetumiwa meseji ya "ile hela tuma kwenye namba hii"
Wengine tutaziwasha usiku wamanane
Hayo Magereza yatajaa na hayatatosha.Maana wafungwa watakuwa wengi sana.
Hawa TCRA wamekosa kazi sio 😂😂😂
Watatutufunga wengi sana
Hao nao wasituchoshe,wangetumia nguvu hiyo kwenye usajili wa line kwanza watu wanasajili laini hata kumi kwa kitambulisho kimoja🤗 na wapo wameka palee kama zombi la kale walilolifufua wanasayansi 😅😅
😂😂😂😂
😂😂😂
😅😅
Ha
Serikali isiyozuia uhuru wa mtandao haitufai.
Yote hii ili tusitumie Mange kimambi app,uchafu wenu tutaujua tu hata mkabe hizo VPN
Hakuna sababu ya kuzuia teknolojia inayotusaidia kuwa salama mtandaoni.
Hii inakwenda kinyume na mwelekeo wa kidigitali na kufungua milango ya udukuzi.
VPN Ina umhimu gani Kwa mtanzania wameshindwa kusimamia mambo mhimu wanafatilia vitu vya ajabu
Upuuuzi huu
Wanakusanya DATA, wajue mnatumia VPN gani sana sana then waziblock kabisa na hizo VPN
😂😂😂😂😂😅😅😅Ila tz bana 🤣🤣🤣🤣🤣tunawapenda bure, usiku mwema🤣🤣🤣🤣🤣
VPN inatusaidia kuepuka udukuzi usiohitajika na kutunza faragha yetu.
Hawa TCRA wamekosa kazi yakufanya...tumechoka
Wanangu wa pilau mnalalamika sana 😂😂😂
Naona hii bendela🇹🇿 wanataka iongezeke rangi zilizopo azipendezi
Hizo jela mnazo lakini za kuwafunga watu wote hao😂😂😂
Internet ya Bure ime endaaaa hvyoooo😢
Wambieni tanesco UMEME huku unasumbus
😂😂😂😂 mange app 😂😂😂😂
Kwa maana hiyo unaweza tumia vpn kwa matumizi hali tu wengi utumia vpn kwa kupata internet tu
Tumia VPN ndiomaana zimewekwa kwenye simu kubwa nchi zilizoendelea hutumia VPN au wife bure
Twendeni
Watu wa mange kimambi 😅😅😅
Bongo yangu hyo vitambulisho tuma hela kwenye namba hii ,tutawadhibiti bdo linaendelea mpaka leo ,sasa lipi litafanyika likakamilika ?kesho linaibuka lingine ,kesho tena linaibuka lingine kwanini tusifanye mambo tukajua tumefikia wapi kuliko kufanya kama tunavyofanya kisa tu kuna sheria zinawalinda akina fulani au kuna vifungu wanavijua akina fulani ,tuijenge inchi katika mfumo mzuri tutafika na itatusaidia kufikia malengo tuliyokusudia kwa vizaz vyote vilivyopo na vinavyokuja
Hovyo
Khaa wengi wataenda jela.
washamba tu waende shule kwanza wajue hata namna ya ku locate mtu alipo
Hatupaswi kuwa na vizuizi kwenye teknolojia inayosaidia mawasiliano na upatikanaji wa habari.
Nchii hii ni ya hovyoo sana looh !
Mm natumia VPN sababu ya internet hii ya serikali sijailew mm
Watanionea wapi mda huo Niko geto nacheza zangu pull
Wanachekesha kbs yaan
WANAKUWA KAMA SIO WASOMI BHANA, WAMEPANDISHA BANDO ALAFU WANATEGEMEA NINI SASA😁
washushe bando
Si kwamba hawajui kutu wanafanya,.. ukweli nikwamba nchi uwa zina tabia ya kudukuwa data za watu ili kujuwa wanaongea nini wanaongeleaje viongozi n wana mipango gani juu ya serikari so wanashindwa kudukuwa vizuri cz watu wanatumia VPN
How about cracked VPN? @sky
Hapa zimekiukwa haki za binadam
Ata sijaelewa 😂😂😂
DM nikueleze
Hiyo wanafanya kwasababu ya CLOUB HOUSE 😂 Maana kule SAUTI YA WANANCHI imekuwa tishio 😂
Kaka uchaguzi kaka Samia ameanza kukonda naskia
@@alexmalyango1405 🤭🤭🤭🤭 sijataja jina mimi nimesema clobhouse tu 🤭🤭🤭 Shauliyako mimi simo
Mangekimambi anamalizwa kisiasa Tanzania😅
Serikali inapaswa kuzingatia uhuru wa mtandao kama kichocheo cha maendeleo.
Hapa kila kitu ni cha mzungu wanaogomba ni TCRA
Yamekuwa hayo jama.
hehee duhh hapa wanataka ku monitor wale wa Mange na wale wapingaji ..!! China yenyewe kwa u dictator wake hawazuuu VPN.. Na ndio maana Virtual ..!
Kupata huduma za mtandao bila kizuizi ni haki yetu ya msingi.
Najuta kuwa mtanzania,
Bora ningezaliwa huko GAZA.
Acha upuuzi
Siuhame...au nyie ndio wale wa kuandamana mitandaoni🙄🙄🙄
@@magretangel5242
Mm siandamani
Mimi nasonga FRONT,
hapa penyewe najiandaa niruke Palestine nikampige myahudi.
@@HassanHassan-si2rt😅😅😅😅😅
😂😂😂😂😂Yaan
Çhristianit church movement
Ila tcra tafuten kazi ya kufanya
VPN zenyewe tunatumiaga pisi zikila nauli🤣 ko wameona tunafaidi
😂😂😂 wanawazimu
Hawana hakiri kwel
Kichefuchefu
Shamba la bibi kula usimbakishie baba 😅😅😅😅
Hawa watu hawana kazi za kufanya shenzi nchi ime kuwa ya ovyo sana
ha kwani ni mtandao wenu tanzania mukisha kuona uchaguzi ndo mnno yenu mnakuwa watu mkitaka kura tu muogopeni mungu nyinyi hakuna ane himili adhab ya Allah
Kuzuia VPN inakandamiza uhuru wa kujieleza na kushirikishana habari.
Wameona vita vyingi DUNIANI mavi yamebana
Huu uchaguzi niwamoto naskia samia anapungua kg kila kukicha yupo manyara msisahau kaingia kanisani muislam tena mkuu wa waislam patam apo nitaanza kutumia VPN kumbe inakua vigumu kudukua hahahaha hapa nimwendo wa shaaaa vpn
Kilicho baki watawafungia mpaka kwenda chooni, ndio mtajua amjui... Cheza na Tz wewe
Kuzuia VPN ni kuingilia faragha yetu kwa njia isiyofaa.
Hii nchi ngumu hiii 😆😆😆😆😆
Siuhame...au nyie ndio wale wa kuandamana mitandaoni🙄🙄🙄
Kunahitajika tupate elimu juu ya vpn kiundani zaidi kwa sababu walio wengi hatujui vpn ni nn na inafanya kazi gani
Kwel kabsaaa
Tutafugwa wengi😂😂😂
hivi hawa watu wanajua maana ya VPN
Wawaambie Google waziblock area hii, kusema kwamba unafungwa huko Ni kuonea t nyie Kama hamtaki zifumike u just talk to Google waziblock 😂😂😂😂😂NAY ALISEMA BONGO AKILI NDOGO INAONGOZA AKILI KUBWA,,,,,AND NOW I COME TO REALIZE THE STATEMENT
Kwann niwape IP address yangu mnataka ya nii
Wa Block Onion kama Wanaweza Nimekaa pale !
Wenzenu tunatumia vpn bila tatzo
pumbav punguzen bei mchel unga saruji kod uko app yenu hiy au
Bora niende jela nikale sembe lao maana huku mtaani kugumu,alau watanipunguzia bajet ya mwaka,tumechoshwa watuloe vipesa vyetu halafu watunyanyase
😂😂😂we kijanaa
😂😂😂😂😂
✌️👍👊
Jamana vpn iwe bure watatupata
Msiogope tcra haina technology ya kufunga VPN za watu. Hawajui lolote wanajua kubekwa tu
Eti uwape ip address yako😂😂😂 kila mtu ana haki ya faragha
UsipoJISALI?? Ndio nini 😂
kama imei tu ilikua noma vpn 😂😂😂
Wengine tutaanza kutumia usiku. Mpka usiku. Usiku wa manane
Watajuaje? Watakagua simu ya kila mtu?
@allthings1302 we tumia tu halafu utajua watajuaje😂
Huwa natamani siku atomic likitumwa huko ukraine libadili muelekeo lije tz, lichakaze tudanji wote huenda mbeleni kikazaliwa kizazi chenye akili
@@HamicRashidhujui unachoongea wewe ilo bomu lije lipige familiar yako tu wote wafe
Vtu gan ambavyo n tofaut nakati burna boy n chuga boy huez rogwa ukitumia maelekezo watu wale ganzi ganja shada kwa mstar maan rais asha tuvuruga
Shida yote hiyo nikuwashindwa mange na kigogo ,ebu tushushieni bei mafuta ,,maisha magumu vpn ndo nn
Mafuta ya gari Gani 😂😂😂Hilo la mkeo alilohongwa na mwanaume mwenzako
@@magretangel5242shushu la TCRA huna ata aibu waache watu watoe maoni Yao bhana na sio kuwatukana hii ni nchi huru
@@magretangel5242 sio yagari jamaa😂😂😂mafuta yamboga
Tcra wanagongwa