Mubarikiwe sana
Najisikia furaha kwa nyimbo zenu Mungu awabariki
Hakika sichoki kuusikiliza huu wimbo! Sauti zimepangika! Mungu awafikishe mbali.
Mungu awabariki mkafike mbali kwa utukufu wake
Inzamba mnanibariki saaana... neema ya Mungu iwe juu yenu siku zote
Mungu awabariki msonge mbele tunaendelea kubarikiwa na nyimbo za inzamba
Sauti zenye utulivu wa Pekee zinainua Myoyo yetu na kutupatia tafakuri kubwa saan Be Blessed Inzamba 🙏
Mbarikiwe Sana watu wa mungu
Mbarikiwe sana wapendwa, kwa kuendelea kutufwatilia.
Safi sana
Kundi la kiume lenye nguvu kubwa Tz kwa sasa..najivunia kuwasikia ndugu zangu maana nyie ni mbaraka wa pekee kwangu
Big up INZAMBA.... Wimbo mtamu sanaa
Hiyo sus2 ni amizing hapo mwisho...
Amina
Mbarikiwe sana hadi tufike mbinguni