Broh Tinny, sipo hapa kucoment hii movie, but to talk about you broh, kaka before you die, your the best comedian artist in tanzania, in fact ulitakiwa upate tuzo ya heshima lakini hii ndio nchi yetu. Keep going broh we appreciate you✊
Nilisahau pia kuzungumzia Ringo, I mean both of you, for sure your collaborations ni kitu ambacho hatutakuja kukiona tena kwenye hii dunia kwa upande wa tasnia ya filamu za kuchekesha tanzania. Ringo and Tinny, hata kama watu hawawasemei, lakini aminini kwamba hatutakuja tena kupata watu wa Aina yenu kwenye tasnia hii. Ninatamani siku moja nikutane na nyinyi niwashike hata mikono. Your real my celebrity and my admire. I real appreciate you brothers. Mungu aendelee kuwaweka ili tuendelee kufurahia. God bless you 🙏✊
Tuliotoka kwa ALADINI tujuane kwa like👍👍😁
Nko fuatilia sana nasubilia 13
👌
Tupoooo
Nimekubari
Ruxha nyingine
Wangapi tunapenda kolabo ya ringo na tin since day 1.. tujuane na likes
Toka kitambo sana hawa Jamaa nawaelewa sana
Im the one who likes this so nice and wonder
P
Mm napenda sana combination ya Hawa watu 😂😂😂😂 kwanzia movie ya utani daah much love
Kazi juu ya kazi🙌🙌🙌🙌🙌🙌
Team #Tinwhit like zenu jmn kaka angu anaupiga mwingu huyu #TinwhitAladin kazi juu ya kazi kaka anajuwa anajuwa anajua tena 🙌🙌🙌🔥🔥🔥🔥
Alieona tin white miwani imemtulia gonga like apa😂😂😂
Broh Tinny, sipo hapa kucoment hii movie, but to talk about you broh, kaka before you die, your the best comedian artist in tanzania, in fact ulitakiwa upate tuzo ya heshima lakini hii ndio nchi yetu. Keep going broh we appreciate you✊
Nilisahau pia kuzungumzia Ringo, I mean both of you, for sure your collaborations ni kitu ambacho hatutakuja kukiona tena kwenye hii dunia kwa upande wa tasnia ya filamu za kuchekesha tanzania. Ringo and Tinny, hata kama watu hawawasemei, lakini aminini kwamba hatutakuja tena kupata watu wa Aina yenu kwenye tasnia hii. Ninatamani siku moja nikutane na nyinyi niwashike hata mikono. Your real my celebrity and my admire. I real appreciate you brothers. Mungu aendelee kuwaweka ili tuendelee kufurahia. God bless you 🙏✊
Much love 👊👊👊👊
Tunashukuru kwa kutuludishia kijana wetu ringo
Nice combination Ringo na tiny
Tin mungu awabariki daa kupitia nyie ua nafurai sana🙏😄
Sikupingi tup pamoja Happy tu
Hongera tin white kwa kazi nzuri
Tinwhite Ringo masantula nawakubali movie poa sana
Nakubali sana matin boy🔥🔥🔥
Brother tin tunakukubali sana kaka na team yako,ila tunaomba kama inawezekana Aladin utuangushie kila siku au kila baada ya siku moja
Aladin naona km ndo iko mwsho mwsho ivi 😂
@@Salhiya-hr7dy nayo ni kweli maana sio kwa jinsi mtelezo ulivyo wa thamthilia
Wewe unaisi teseme ndio umebeti sasa unaisi hata wewe unaobetibutakuwa salama hamna kabisa😂😂🤣
Yeah
Ringo na tini toka utani mnamechi mpaka leo namikubali sana Yan Kama pita na Paulo
Tin hakuna mchekeshaji anae nikosha Tanzania zaid yako Ila ushaur wangu ungetumalizia kwanza aladin
DIRECTOR
ALADIN MENDRAD WHITE
🔥🔥🔥🔥Nzito kwa Nzito jiwe juu ya jiwe 🔥🔥🔥#whitefilms
Be blessed bro tiny
Yani nmefurahi sana kuona mnaigiza tena pamoja tin na ringo
Wa❤lah ata mungu yuwajua mwachekesha mana yeye ndo amewapa hicho kipaji
Dah hatari Sana dingii 😂😂
Ringooo ndaniiii daaah😂😂😂😂😂😂
Wa kwanza wapi likes zangu😁🙏🙏
Nimefurahi kuwaona mnafanya kazi pamoja
Mm sio mtabiri ila km Aladini ipo mwsho mwsho ivi 😂😂😂😂😂
Ringo angeonekana Kwenye aladini ingekua poa sana From Tanga
Ahhahaah kwel Yan ingenoga zaid, kwa woga wa Ringo...🤔
Hiii moja kaaaaliiiii kabisa wadau nakubali san
Dah kidanlob yaani mie nimgonjwa wa moyo nafarijika sana ninapotizama mouv zenu
Brother Tin respect to you
Sanaa lingo now uende kama kibonge mayare anamwelewa white
Muna tiisha sana tin🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Na kucoment pia ni mm wa kwanza
Kazi nzuri naipenda sana
Tin for life
Niliumia sana enzi zile walivyo kuwa mbali mbali ila now naenjoy sanaaaaaaa love your more
Kaz nzuri kk
Nakubali blood😂😂👹👹
Ramadan kareem 🌙💫💫💫💫
Tini wit kiboko
Sehemu ya pili naisubiri Kwa hamu🤰🤰🪒✌️🚴🇹🇿🌻🛌
Atal sanaaaaa
Waisha part 2 mzee babaa...Watching from Nairobi
Ringo and tin🔥🔥🔥🔥
😁😁😁😁 raha ipo uku big up sana bro tin
Ilaa mie naona aladin inaelekea ukingon ad nguvu zinaniishia😖🥴🥴🥴
Mumezidi sasa✔✔✔🔥🔥🔥
Kazi nzuri sana
Tunaomba na Ringo awekwe kwenye aladini
Ringo ndo anaenda kununua nyumba uyo
Kwenye seemu ya kilangaso ndo angekaa lingo
@@rehemaathuman6669 kilangaso kafiti pale
Kilangaso hapo ndo kawezea sanaa
Jamaa katisha sana yani sema akiwekwa Ringo itakua tam sana kuliko savi
Movie nzur sana Kaz nzuri
😁😁 DONDOSHA KWANZA ALADIN BABUUU
Back from Ukraine 🇺🇦 hiii movie hatar story nimeandika mwenyewe ,,,, natafuta tajir tufanye nae kazi...
Wee kubwa kuliko 🔥🔥
gonga like kwa sisi wa mwazo
Kazi nzuriiiii🔥🔥🔥🔥
Natamani kufanya Kaz na wewe kaka, Ila naamini one day yes
Hiii mov nikiisbr kwa hamu sana,,,, Asante san white film kwa kutukmbk na kutbrdsh mashafk zenu
Nawakubali sana Wakali wangu cku zote hamkosea One love broh!
😄😄🤣🤣🤣 wa kwanza kulalekiii
Haaaa mwanangu wamekupiga kidanilopu👌
😊😊😊 Hawa watu wawil wanatisha san nawakubali
Yaan nilikuw naisubri kwa hamu zotee
Wakwanza kama dawa... from Kenya
Haha mimi wapili toka USA WAKWANZA SIMUONI
Wakwanza Mimi...!!
@@reginankalyani3229 🤣🤣🤣mm ndo niliwai wakwanza 🔥🔥
@@abdulbora812 🤣🤣Abdul unanionea wivu mm ndo wakwanza
Haha sijakataa but shikilia hapo mimi wa pili wakwanza simuoni hahaha
Kubwakuliko😂😂
Kali tu sna frm 254
Kaz nzur mabro
Hahahahahaha daah hii kali shusha vitu broo
Hili #BATO ni 🔥🔥🔥
Mweupe mzee wangu we kila match we ni fainal umeua
Mweupeeeeee Kama mweupeeeeee tiny white 🤪😜✌️
Daaaah sory tin mm sio wa kwanzaa🥺🥺🥺🥺nisamehee hvo hvoo
Kaz nzur
Ety mchawi mwenzangu🤣🤣🤣
Kazi iyenderee
Kaka ww n kipaj Cha kuigiza umebarikiwa na Mungu hiki Si tu kujifunza Mungu azid kupa maarifa
Battle LA utani limerudi tenaaa
Nakubari wazee wakunitoa mawazo
Kazi nzur
TINWHIT
UMEZINGUA
SANA UMEKUWA
MCHAWI SANA
unaalibu vipi mimba za watu
Vip bwana mjinga sana wewe
Mumetisha sana
Dingo na tini toka utani mnamechi mpaka leo
Na wakubali sana
TIN x Ringo x Masanyula 🔥🔥🔥
Masantula naww
Afu kwa nn Ringo asiwepo kwenye kitimtim jmn
Et mchawi mwenzangu 🤣😆🙌
White Jojo yuko wapi. Nammiss sana
Mwanangu wamekupiga kidownlow 🤣🤣🤣
Kazi juu ya kazi hongereni sana
Umetisha Sana martin
Mwendelezo lini
Ringo Salamu umezipata🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Namuuliza Tin na Ringo. Mahokaz iliishia wapi?
Sikiza hivi mchawi mwenzangu
Sasa cjui wa kwanza ☝️ nani
Kazi iendelee
Nakukubali San kaka
ALADINI amenileta huku kwa speed ya kimbunga aseeee
Lingo anajitetea kwa mkewe ajiongeze
Tin white uchawi unakupendeza Broo
Mashallah Asante sana washilika
Hahahahaha aaaaaaaaaa pembe lang!mbe noma ringo
nzr brother
Hawa watu wakiigiza pamoja wanatisha sanaa
YaaaaAn tin ni fund lkn ww tin Ringo ndo mnaendana balaaa na pale pa masoud angekaaa Ringo ingeua xanaaa,,,ngawa kilangaso amepatendea haki
🔥❤🔥