Africa hakuna Democracy bali kuna ukandamizaji.. angalia chama cha chadema kinavyotendewa?? Halafu linganisha na chama cha upinzani Marekani. Wewe unachokiona Ulaya na Makerekani ni ushoga tu kana kwamba kila mtu ni shoga. Hawa kina Keness Bwire wako Marekani je ni mashoga?? Ushoga anaamua mtu mwenyewe…Sema tu Ulaya na Marekani ukiamua kuwa shoga hawakukatazi. Hapa ndiko kuliko na shida.
Africa ifanye vitu vyao wenyewe
I support kamala to be President of US
Sisi kwetu tunademokrasiya mtuacha na amani Afrika kuna huuru sana ulaya wapi demokrasiya hamnaa
wilaya mbulu vijijini
mkoa manyara
Kamala Harris oyeee
Israel ikiua watoto Sio ugaidi lakini Palestine/hesbola wakirusha bomb Israel Ni gaidi..
Ndo nashindwa nadunia, na Hamasi wakiua islaelian sio shida lakini wakijilinda wamewua wato namama, wa islaelian sio watoto ama wamama waliwuwawa?😂
Sisi waafrika tuko na demokrasia yetu sio lazima kufuata yenu ambayo inataka kutlazimisha serikali zetu zikubali ushoga. Hilo tunapinga na ni laaana .
Africa hakuna Democracy bali kuna ukandamizaji.. angalia chama cha chadema kinavyotendewa?? Halafu linganisha na chama cha upinzani Marekani. Wewe unachokiona Ulaya na Makerekani ni ushoga tu kana kwamba kila mtu ni shoga. Hawa kina Keness Bwire wako Marekani je ni mashoga?? Ushoga anaamua mtu mwenyewe…Sema tu Ulaya na Marekani ukiamua kuwa shoga hawakukatazi. Hapa ndiko kuliko na shida.