MAPOROMOKO YA TOPE YAFUKIA SHULE NA NYUMBA 20 MBEYA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 5 ก.พ. 2025

ความคิดเห็น • 92

  • @ashrona9884
    @ashrona9884 9 หลายเดือนก่อน +12

    Ushauli wangu kwa taifa tumuombe allah msamha amekasilika

    • @kisoso890
      @kisoso890 9 หลายเดือนก่อน

      Babu hiyo nchi inalaana mimi nilishaliona hili miaka mingi ila hiyo nchi imelaanika ni nchi inayokumbwa na maaafa kila mwaka

  • @agnesjohn9382
    @agnesjohn9382 9 หลายเดือนก่อน +6

    Duu sijawahi ona hii jamani aise Mungu tunusuru waja wako pale tulipokosea tusamehe poleni sana

  • @deborahmwaipopo833
    @deborahmwaipopo833 9 หลายเดือนก่อน

    MUNGU Baba tusamehe sana pale tunapokosea. Ahsante pia hata kuwaokoa ndugu zetu, watoto wa Shule etc.
    Tunatubu na kujinyenyekesha kwako.
    Wana Mbeya wenzangu, ni muda sasa wa kuheshimu Nature. Tuache milima iwe milima.

  • @monicakimario2910
    @monicakimario2910 9 หลายเดือนก่อน

    Popeni sana wana Mbeya, Mungu awajaze na kila hitaji la moyo wenu

  • @aminatanzanya7475
    @aminatanzanya7475 9 หลายเดือนก่อน

    Dahh sijawh ona hii. Mungu tusamehe pale tulipokosea

  • @kisoso890
    @kisoso890 9 หลายเดือนก่อน

    Babu hiyo nchi inalaana mimi nilishaliona hili miaka mingi ila hiyo nchi imelaanika ni nchi inayokumbwa na maaafa kila mwaka taifa linamatendo machafu sana watanzania ni wanafiki hawana upendo wa kweli wengi ni masnitch upendo wa usoni tu ndio maana allah anaiangamiza tanzania taratibu

  • @semerodgers6997
    @semerodgers6997 9 หลายเดือนก่อน

    Umerepot vizuri sana

  • @MaryChahe
    @MaryChahe 9 หลายเดือนก่อน

    Mmmh mwenyezi Mungu atutetee hiii hali siyo poa daah

  • @nyamizimpangule8640
    @nyamizimpangule8640 9 หลายเดือนก่อน

    TUMSHUKURU MUNGU HAIKUWA SIKU YA MASOMO ,KUNGEKUWA NA WANAFUNZI DARASANI INGEKUWA MTIHANI MZITO EE M/MUNGU TUNUSURU😭😭🙏🏻

  • @rehemayona2223
    @rehemayona2223 9 หลายเดือนก่อน

    Kweli siku za mwisho zimefika mungu tuhulumie,🙏🙏

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 9 หลายเดือนก่อน +1

    Subhana llah

  • @BennyMahenge
    @BennyMahenge 9 หลายเดือนก่อน

    Poleni wana mbeya😮

  • @StevenTambi
    @StevenTambi 9 หลายเดือนก่อน +3

    Tusipoiondoa ccm madarakani Mungu ataendelea kutuadhibu.

    • @tinaabdallah5631
      @tinaabdallah5631 9 หลายเดือนก่อน

      Haya Ni mambo ya mungu sio ccm tunatakiwa kurudi kwa mungu tumuombe sana

    • @rereshap9416
      @rereshap9416 9 หลายเดือนก่อน

      Ondoka wewe kwanza

    • @DastanDastan-s3l
      @DastanDastan-s3l 9 หลายเดือนก่อน

      Acha siasa

  • @Neema-m6s
    @Neema-m6s 9 หลายเดือนก่อน

    Mungu turehemu taifa hili la Tanzania

  • @Mariasmith-c9q
    @Mariasmith-c9q 9 หลายเดือนก่อน

    M, Mungu atunisulu 🙏

  • @kelyjames5452
    @kelyjames5452 9 หลายเดือนก่อน

    Polenii sanaaa 😢😢😢😢Mungu waja wako tunusuru na majanga hayaa!!

  • @MkisiStylish
    @MkisiStylish 9 หลายเดือนก่อน +1

    Hizi ardhi hizi si mlibeba udongo mkapeleka kwa mwamposa komboa ardhi sasa mbona kama imekua bomoa ardhi😂Nchi tumrudie Mungu wa kweli dhambi zimezidi tunapenda miuujiza kuliko kumpenda Mungu

    • @barakakusa7606
      @barakakusa7606 9 หลายเดือนก่อน

      Kweli 😂😂😂😂

  • @FredaMwakalisa
    @FredaMwakalisa 9 หลายเดือนก่อน

    Mungu Asante kwa kuwaokoa wanangu cjui ningekuwa ktk Hali gani😢😢

  • @fatmamohammed9851
    @fatmamohammed9851 9 หลายเดือนก่อน

    Mungu awasaidie

  • @Aishahamza-jk3uf
    @Aishahamza-jk3uf 9 หลายเดือนก่อน

    Polenisana nduguzetu mwenyezimungu awafanyie wepesi

  • @ashirawaziri3195
    @ashirawaziri3195 9 หลายเดือนก่อน

    Ee mungu mola wetu tusamehe sisi watanzania 😢😢😢yallabi

  • @ashrona9884
    @ashrona9884 9 หลายเดือนก่อน +1

    Subhanallah

  • @ashachitemo7816
    @ashachitemo7816 9 หลายเดือนก่อน

    Aalah atusamehe sana na atunusuru

  • @mariamngonyani2296
    @mariamngonyani2296 9 หลายเดือนก่อน

    Poleni sana.

  • @annamsemwa1946
    @annamsemwa1946 9 หลายเดือนก่อน

    Mungu amekasirika. Turudi tufanye Toba ya kweli.

  • @faustermathias3209
    @faustermathias3209 9 หลายเดือนก่อน

    Yesu wangu tutetee 😭😭😭🙌🏼

  • @HellenMakori-ky4dm
    @HellenMakori-ky4dm 9 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu mwema wana itezi tumepona japo watu wamepoteza makazi

  • @ESTERMWAKAPALILA
    @ESTERMWAKAPALILA 9 หลายเดือนก่อน

    Dah washukuriwe wanakijij Kwa kutuokolewa watoto wetu katika shule ya generation 🙏😭😭🙏🙏

  • @georgemwandonga
    @georgemwandonga 9 หลายเดือนก่อน

    Atali sana

  • @rubeniflano
    @rubeniflano 9 หลายเดือนก่อน

    Mungu atunusuru nikwangu maeneo haya

  • @MaimunaSikumbili
    @MaimunaSikumbili 9 หลายเดือนก่อน

    Tufanye toba ya kweli,, dhambi zimezidi

  • @sabojanvierjaja2007
    @sabojanvierjaja2007 9 หลายเดือนก่อน +1

    😢😢😢😢 Dha ni hatare sanpoleni sanna kwa waathirika wa janga hilo

  • @dayana5513story
    @dayana5513story 9 หลายเดือนก่อน

    Tanzania kuna jambo maombi yanaitajika

  • @LiadiMohamed
    @LiadiMohamed 9 หลายเดือนก่อน

    Ukataji wa mitu na kilimo holela milimani ndio chanzo, mbeya imezungukwa na milima vipara,

  • @Yangaza
    @Yangaza 9 หลายเดือนก่อน

    Diwani anafaa kuwa Bungeni

  • @ashurajengela3926
    @ashurajengela3926 9 หลายเดือนก่อน

    Tutubu zambi kila siku Mungu atusamehe 😢😢

  • @barakakusa7606
    @barakakusa7606 9 หลายเดือนก่อน

    Mwamposa ombea hayo mafuriko yaishe😢

  • @anamsangi2666
    @anamsangi2666 9 หลายเดือนก่อน

    MUÑGU MFARIJI MKUU ,AWAPE WEPESI NDUGU ZETU HAWA NA KUWAAGU

  • @neemakitashu2732
    @neemakitashu2732 9 หลายเดือนก่อน

    Jamani poleni Sana wenzetu wanambeya

  • @paulnovemysanga9607
    @paulnovemysanga9607 9 หลายเดือนก่อน +1

    Hatari sana

  • @amosmselepete6293
    @amosmselepete6293 9 หลายเดือนก่อน

    Mungu aturehemu hatujasahau hananga tena mbeya

  • @BardenBensonMwamfupe-dk3yg
    @BardenBensonMwamfupe-dk3yg 9 หลายเดือนก่อน

    Poleni sana

  • @jacksonlaizer7785
    @jacksonlaizer7785 9 หลายเดือนก่อน

    Poleniwana mbea kwaathari mbaya ilio wapata

  • @ROZITHOMAS-y4q
    @ROZITHOMAS-y4q 9 หลายเดือนก่อน

    Kulima mashamba milimani na kukata miti hovyo

  • @YashukraJuma
    @YashukraJuma 9 หลายเดือนก่อน

    Polen wahanga😂😂

  • @Doacl
    @Doacl 9 หลายเดือนก่อน +1

    HALI ZOTE HIZO ZINATOKA KWA ALLAH

  • @StevenTambi
    @StevenTambi 9 หลายเดือนก่อน

    Hii Ni laana ya kuongozwa na viongozi wanafiki, kila kukicha ni majanga tu.

  • @anjelomsafi7133
    @anjelomsafi7133 9 หลายเดือนก่อน

    Iloo tope ikinyesha Leo itez inafukiw 😢😢😢

  • @mchangweje
    @mchangweje 9 หลายเดือนก่อน +1

    Du pole sana

  • @MiriamAbdallah
    @MiriamAbdallah 9 หลายเดือนก่อน

    Poleni wana mbeya

  • @Kisahira_003
    @Kisahira_003 9 หลายเดือนก่อน +1

    Mbona hatarii

  • @noelbryson7840
    @noelbryson7840 9 หลายเดือนก่อน

    HII NCHI INAENDELEA KUKUMBWA NA MAJANGA MENGI KIASI HIKI ? ..TUNAHITAJIKA KUSALI SANA😭

  • @japhetmininga5748
    @japhetmininga5748 9 หลายเดือนก่อน +1

    Aiseee God help us😢

  • @laurentwilson-db4ir
    @laurentwilson-db4ir 9 หลายเดือนก่อน +1

    Poleni sana ndugu Zangu

  • @kesterkanyala7718
    @kesterkanyala7718 9 หลายเดือนก่อน

    JAMANI ,JAMANI ..NI OMBI KWA WATANGANYIKA WOTE...TUKISHIRIKIANA NA WATANZANIA WENZETU.....TUOMBE " TOBA"...KWA MWENYEZI MUNGU....WETU WA KWELI
    -KWELI HALI ,INAZIDI KUWA MBAYA....
    -MAFURIKO ,MAPOROMOKO,MAZISHI ARUSHA,...MLIMA HANG...VITA VYA IRAN NA ISRAELI..ARDHI NGORONGORO
    - SAA YA TOBA NDIO SASA....

  • @hafidhimarijani4961
    @hafidhimarijani4961 9 หลายเดือนก่อน

    Kuna sehemu tumejichanganya ila kuna watu hawatakubaliana na mimi.

  • @victorjames3730
    @victorjames3730 9 หลายเดือนก่อน

    Diwani Hana heshima anasema wananchi tumewaswaga kwani wananchi ni mifugo

  • @aminitu3766
    @aminitu3766 9 หลายเดือนก่อน

    Duh polen xna familia zilizoadhirka

  • @magdalenachuwa2884
    @magdalenachuwa2884 9 หลายเดือนก่อน

    Sasa mlijenga shule chini ya mlima mnategemea nini

  • @Tumaini-mj4fs
    @Tumaini-mj4fs 9 หลายเดือนก่อน

    God save us

  • @dallasmusic6465
    @dallasmusic6465 9 หลายเดือนก่อน

    Kuna namna nchi yetu imekubaliana na watu wa Giza kufanya kafara hzi hii Hali sio ya kawaida Tanzania 🇹🇿 Kila sku ni maafa tu

    • @ShadrackMwambugi
      @ShadrackMwambugi 9 หลายเดือนก่อน

      Wewe maneno Gani hayo😮

  • @israelkisaila8401
    @israelkisaila8401 9 หลายเดือนก่อน

    Haloo,tope linavyotembea utadhani reli!😢

  • @gloriadiyami5864
    @gloriadiyami5864 9 หลายเดือนก่อน

    Ukataji miti na ujenzi kupandisha milima ni hatari..

  • @mariammohamed6762
    @mariammohamed6762 9 หลายเดือนก่อน

    Kwa experience yangu Hanang yalianza matope Kisha maji ni vyema watu kuchukua tahadhari

  • @wilsonjaphet5547
    @wilsonjaphet5547 9 หลายเดือนก่อน +1

    Tanzania Kuna kitu Tumekosea MUNGU tumuombe atusaidie

    • @StevenTambi
      @StevenTambi 9 หลายเดือนก่อน

      Tatizo ni kuichagua ccm Mungu anatuadhibu

  • @TOUNDISELASSIE-xj8oy
    @TOUNDISELASSIE-xj8oy 9 หลายเดือนก่อน +1

    Haitajiki akili kubwa kutambua madhara yametokana na nini. Kawaida mizizi ndio inashikilia udongo uliorundikana, hasa kama udongo huo ni tifutifu ama kichanga. Ushauri wangu eneo hilo ipandwe miti yenye mizizi inayokwenda chini na inayosambaa ikiwa ardhini. Eneo hilo ipandwe ile miti ya Christmas.

    • @HellenMakori-ky4dm
      @HellenMakori-ky4dm 9 หลายเดือนก่อน

      Kabisa mwanzo walipanda miti mingi saizi walitoa yote na watu wamelima sana yaani tumepona kwakweli

    • @TOUNDISELASSIE-xj8oy
      @TOUNDISELASSIE-xj8oy 9 หลายเดือนก่อน

      Vizazi vilivyotangulia waliheshimu sana mazingira. Na kufuatilia tabia zake. Kizazi cha sasa tumelisau jambo hili.

  • @jacklinehaule9784
    @jacklinehaule9784 9 หลายเดือนก่อน

    Polen 😢

  • @AlHamra-k4u
    @AlHamra-k4u 9 หลายเดือนก่อน

    @user hivi ww unaakili kweli?? Mungu na ccm wapi na wapi. Baada useme kuwa watu wanafirana kinyume na maumbile wanaume wanaoana mwenyewe kwa mwenyewe, Familia zinauana baba wanawaingilia mabint zao watoto wa kiume wanabaka mama zao Mungu atunusuru ww unasema ccm.

  • @SamwelLukuwi-g9w
    @SamwelLukuwi-g9w 9 หลายเดือนก่อน

    kwanini mlime had mliman milima ibak kua milima isivamiwe kwanini porin uko milima haiporomok ije iporomoke kwenye makaz ya watu .tuache kufata milima

  • @thomassenga2526
    @thomassenga2526 9 หลายเดือนก่อน

    Acheni kuvamia milima mtakwisha

  • @hildamponzi
    @hildamponzi 9 หลายเดือนก่อน

    Peleni sana

  • @NestymwampambaMwampamba
    @NestymwampambaMwampamba 9 หลายเดือนก่อน +2

    Jaman watu wamepona.?

  • @edmundnkarangu134
    @edmundnkarangu134 9 หลายเดือนก่อน

    😭😭😭🙏

  • @boniimsokwa8627
    @boniimsokwa8627 9 หลายเดือนก่อน

    wapande miti ya kutosha hapo

    • @ConfusedElectricCar-yo9ep
      @ConfusedElectricCar-yo9ep 9 หลายเดือนก่อน

      Miti IPO ila udongo wa eneo lile ni lain miti IPO yakutosha na hakuna mashamba

  • @robertigohe7477
    @robertigohe7477 9 หลายเดือนก่อน

    All Tanzanians should repent

  • @michaelndilima6210
    @michaelndilima6210 9 หลายเดือนก่อน

    Poleni sana

  • @Winfrida-b6p
    @Winfrida-b6p 9 หลายเดือนก่อน

    Poleni sana

  • @WilibroadPatrick
    @WilibroadPatrick 9 หลายเดือนก่อน

    Poleni sana

  • @khadijanjama8721
    @khadijanjama8721 9 หลายเดือนก่อน

    Poleni sana

  • @ADRIANONYALUSI
    @ADRIANONYALUSI 9 หลายเดือนก่อน

    Poleni Sana