MZEE MGALILAYA AMTAJA KIONGOZI ALIEMPELEKA KIBU DENIS YANGA/KIBU HANA SHUKURANI SIMBA TUMEMPA URAIA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 16 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 12

  • @makamesaid9137
    @makamesaid9137 2 หลายเดือนก่อน +1

    Hakuna mwananchi atakayeiga sanda

  • @JeremiaBanyikwa
    @JeremiaBanyikwa 2 หลายเดือนก่อน +1

    Kama mnabuni mmechukua mara ngapi kuliko yanga?

  • @issapagali1330
    @issapagali1330 2 หลายเดือนก่อน +1

    YANGA SC, ILIANZISHWA MWAKA 1935 na baadae wengine walifuata.

  • @simonndunguru1629
    @simonndunguru1629 2 หลายเดือนก่อน

    Sanda Sanda Hana jipya Umalile Wenga Ubwela kwano
    Toka namba 1 hadi namba 3 ktk msimamo wa Ligi Kuu NBC yalianza kufukuzwa CRDB BANK FA sasa yameangukia Shirikisho wanazidi kaporomoka.
    Mna Mhoji Kolo chakavu Hajui hata kujieleza

  • @PhilkevinFelix
    @PhilkevinFelix 2 หลายเดือนก่อน

    HUYO MANARA KAJIPENDEKEZA. NENO UBAYA UBWELA KUTOKA ENZI KIITIKIO CHAKE NI UDUGU UMALA. SISI WENYE KABILA LETU NDIO WENYE HATIMILIKI NA NENO HILO NDIO TUNAEJUA KWAMBA UBAYA UHABWELA NDIO HOUMALILA UDUGU.

  • @daudkondo4069
    @daudkondo4069 2 หลายเดือนก่อน

    Mtulie sindano iwaingie ileile ya Fei ndo itumike

  • @issapagali1330
    @issapagali1330 2 หลายเดือนก่อน

    Kapige mswaki, "KANG'ATA MAVI".

  • @LinusKyando
    @LinusKyando 2 หลายเดือนก่อน

    ACHENI KUWAPA URAIA WACHEZAJI WA KIGENI ILI MSAJIRI WACHEZAJI 13 HUO NI UHUNI NA NI BIASHARA YA MAGENDO

  • @MagangaJuma-w9d
    @MagangaJuma-w9d 2 หลายเดือนก่อน

    Kajambe urare

  • @SalvatoryMtunga
    @SalvatoryMtunga 2 หลายเดือนก่อน

    Angalieni clip ya Manara akitangaza kuwa yupo huru, ndiye aliyesema undugu umala.

  • @SalvatoryMtunga
    @SalvatoryMtunga 2 หลายเดือนก่อน

    Sasa kila mchezaji akitoka kwenu mnasema ni mzee, au awashukuru, awashukuru kwa lipi? Watu wanazungumza utafikiri huwa wanatoa hata senti, Yanga, simba hawana hela, timu ya Yanga na simba wanaosaidia yote ni GSM na MO na wadhamini fullstop.

  • @SalvatoryMtunga
    @SalvatoryMtunga 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mlimalizia ubaya ubwela, MANARA ndo alisema undugu umala.