Kma biashara yko n ya halali unaruhusiwa lkn sio kuuza chakula ilhal ww umefunga aikubaliki biashara hio pili kma n chakula unakubaliwa kuuza baada ya muadhn wa magharbi
Weye kuna watu wanauza ftari bara barani ambao awawezi kufika kwao mapema wananunua basi tusinge kuwa tuna pika adi tufungue kwanza @@AishaMohamed-v8f
As Salam aleikum y sheikh mm nimeposa lakini nk mbali je yafaa kuozeshwa online
Kama uko na kakako muliozaliwa tumbo moja anawezakuolea Kisha wewe ukienda ndio akaandikisha cheti cha ndoa au babako anaweza kukuolea pia
Assalamualaikum
Suala langu
Mzee ambaye anapoteza fahamu mara anafahamu mara hafahamu na hatambui kufunga jee alipiwe fidia ya sawm?
Ustadh mm nna swali nimetatizika mm nafanya biashara na hapa nlipo wabara wengi ndio wanunuo na ndio inaonipa rizki jee kwa hii Ramadhan nafaa huuzaa
Biashara gani sasa mbonaa hujasemaa
Kma biashara yko n ya halali unaruhusiwa lkn sio kuuza chakula ilhal ww umefunga aikubaliki biashara hio pili kma n chakula unakubaliwa kuuza baada ya muadhn wa magharbi
Weye kuna watu wanauza ftari bara barani ambao awawezi kufika kwao mapema wananunua basi tusinge kuwa tuna pika adi tufungue kwanza @@AishaMohamed-v8f
Fzxzzxzźxxzxz
Fzxzzxzźxxzxz
Wayuwa
Assalam Aleykum