2TIMOTHEO4:3-4 "Maana utakuja wakati watakapoyakataa mafundisho yeye uzima ;ila kwa kuzifuata nia zao wenyewe, watajipatia waalimu makundi makundi, kwa kuwa wana masikio ya utafiti,nao watajiepusha wasisikie yaliyo kweli,na kuzigeukia hadithi za uongo."!
AMANI YA YA MUNGU IDUM KWETU IDUM NA KWA WENGINE WOTE PIA UKWELI UTABAKI KUWA UKWELI HEKOOOOO KWAKO MWALIM BIAGAN BADAHERE HAKIKA ELIMU YA KIUTU KUTOKA KWA ROW WOMINIGE WA 786 NI UKOMBOZI WETU WATU ASANTE NA TUENDELEE KUBALIKIWA NA YA MUNGU MWENYE VYOTE
Ukiwasikiliza vizuri sana utakuta wana Logic za maana sana . Wanachangamsha Akili kwa kweli .Imani yao inashabihiana sana na Uislamu . Hii imani mtu akiisoma sana na kuifutilia ..........very Logical Teachings . Nimependa sana Logic zao . ISLAM is the SOLUTION . Thanks so much watu wa Jadi .
Msiwalaumu hawa wa dini ya jadi. Kuna mmoja wao humo humo atakutana na Yesu mwenyewe na huyo atatumiwa na Yesu mwenyewe kulisambaratisha kundi hilo. Nyie subirini wakati. Mnamkumbuka Sauli wa Tarso? Tuvute subira.
Ukristo ndio mpango mzima ndio maana inafatwa fatwa na maneno maneno watu wakate tamaa waiache waende jehanamu ya moto ni mpango wa shetani kuuukashfu ukristo maana anajua ndio pekee njia sahihi ya kumuona MUNGU
Hawa jamaa wana akili sana . Kuanzia dakika ya 26 hadi mwisho mwamba kamwaga moto kinoma .kaongea fact ngumu sana kumeza . Mafundisho yao na Namna wanavyoswali ......kunashabihiana sana na Islam. Sasa Wachokonozi wamepata ndugu zao . Hawa jamaa wana Logic za maana sana .
Hawa watu wa imani hii wamepotea mbali sana na Mungu wa kweli.Wanaabudu mungu wasiemjua kabisa miongoni mwa miungu ambayo Mungu katika amri zake aliagiza akisema "msiabudu miungu wengine" na zaidi sana wamebebwa na roho chafu za utafiti ambazo zimewatoa ufahamu na nguvu za ufahamu wa kweli ktk kuelewa tafsiri sahihi ya neno la Mungu wa kweli.
ulisha wai kujiuliza kabla ya Dini kufika africa wazee wako walikuwa wanasali vipi?? leo hii umepata imani ya mapokeo unaona una mjua mungu. kabla hujaponda jambo chukua muda kupima hoja ??
@@saidchanga5139 kwanza unapaswa kujua kuwa dini ni mapokeo ila jadi sio mapokeo,pili unapaswa kujua neno mungu hao walio tafsiri biblia walilitoa wapi,3na kama lilikuwapo afrika lilimaanisha mungu ni kitu gani,4 kama wazee wetu walifanikiwa kulitunza jina mungu bila shaka walijua namna ya kumuabudu mungu na ndo hivi ulivyo waona hao watu wanavyo abudu,( kwa faida tu walio leta hizi dini sio watu wema kwetu ndugu,hao wanataka mali zetu tu kaka utakaa kanisani muda wote wenzio wanachukua madini gesi nk) sisi woote ni wahanga tunatakiwa tuungane tujitoe kwenye utumwa wa fikra ndugu
Usimtukane maana unamtukana mpaka mwanzilishi wa kabila letu ambae hakuwahi kuishi hizi dini zetu mpya za mitume na akina marko,yohana na wengine wengi😅
@@AizackKalenge-ro5rc umenukuu vema sana ila mimi nakwambia hayo ni maneno ya watu tuu na kama unaamini ni maneno ya mungu soma soma isaya 23 : 17 ili ujue kwamba naye huyoo bwana atakuja kufanya ukahaba na falme za tiro🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
2TIMOTHEO4:3-4 "Maana utakuja wakati watakapoyakataa mafundisho yeye uzima ;ila kwa kuzifuata nia zao wenyewe, watajipatia waalimu makundi makundi, kwa kuwa wana masikio ya utafiti,nao watajiepusha wasisikie yaliyo kweli,na kuzigeukia hadithi za uongo."!
MUNGU awahurumie sana
@@cosmasmilanzi7117 huyo timotheo wewe yako niyapi leo ktk kuishi watu
Irudiwee hawajaelewa
Msekilizaeni vizuri tu anaongea pwenti acheni ushabiki ndio mtamuelewa
Jamaa wanaelewa sana,,,na wanamajibu sahihi
Raha Sana karne hii 😂😂 SENDE ESUPRIY DEWO OCHI.
AMANI YA YA MUNGU IDUM KWETU IDUM NA KWA WENGINE WOTE PIA
UKWELI UTABAKI KUWA UKWELI
HEKOOOOO KWAKO MWALIM BIAGAN BADAHERE
HAKIKA ELIMU YA KIUTU KUTOKA KWA ROW WOMINIGE WA 786 NI UKOMBOZI WETU WATU
ASANTE NA TUENDELEE KUBALIKIWA NA YA MUNGU MWENYE VYOTE
Ukiwasikiliza vizuri sana utakuta wana Logic za maana sana . Wanachangamsha Akili kwa kweli .Imani yao inashabihiana sana na Uislamu . Hii imani mtu akiisoma sana na kuifutilia ..........very Logical Teachings . Nimependa sana Logic zao . ISLAM is the SOLUTION . Thanks so much watu wa Jadi .
safi sana watu waambiwe ukweli
Msiwalaumu hawa wa dini ya jadi. Kuna mmoja wao humo humo atakutana na Yesu mwenyewe na huyo atatumiwa na Yesu mwenyewe kulisambaratisha kundi hilo. Nyie subirini wakati. Mnamkumbuka Sauli wa Tarso? Tuvute subira.
pia jadi ni mila au kwa mapana zaidi waweza sema ni mfumo wa maisha ya mtu mweus ambayo ndio njia pekee aliopewa aishi kwayo hivyo suio dini
Wasikilizwe,wana points
Mambo yamechangamka,,huwezi kuwatoa kasoro😅😅😅😅
Aliye kwambia NYOTA NI SAYARI NANI? Ukosefu wa elimu ndo chanzo cha huu ujinga
Hiko kitabu kinapatikana wapi na ni bei gani? Mm makazi yangu ni Arusha na Dar es salaam
Njoo kwahoja usije kwamatusi wewe unakuaje naimani yakweli afu unatukana njooo kwahoja wewe sinajiita dini hako inaukwel njooo kwahoja utajuwa umepotenzwa wap naunaishikwavitu gani acheni uwazangu njooeni kwahoja
Sawa kabisa
UKWELI NI UKWELI TU NA UTABAKI KUA UKWELI
Tufwilanile😂😂😂😂😂bado hatujathema mpaka tutheme situagile nyali twe ba mandeleni
Nyota ni sayari kwenye mamb ya kiulimwengu na dunia hii siyo sayari
Siku zaja kweli itatuweka huru
Hekoo sana mwalimu
🎉🎉🎉
Sasa hawa kwanini huwa WANANG'ANG'ANA NA UKRISTO eti dini za wageni kwani UISLAMU siyo dini ya kuja?? Kwanini hamuichambui hiyo au MNAOGOPA kuuawa?😂
Ukristo ndio mpango mzima ndio maana inafatwa fatwa na maneno maneno watu wakate tamaa waiache waende jehanamu ya moto ni mpango wa shetani kuuukashfu ukristo maana anajua ndio pekee njia sahihi ya kumuona MUNGU
#JADIYETU ON TH-cam CHANNEL mtaelewa zaidi sio kuleta ubishani bila uelewa.Hekoo
Hekoo waalimu
BANGI MBICHI SIO NZURI KABISAA
Hawa jamaa wana akili sana . Kuanzia dakika ya 26 hadi mwisho mwamba kamwaga moto kinoma .kaongea fact ngumu sana kumeza . Mafundisho yao na Namna wanavyoswali ......kunashabihiana sana na Islam. Sasa Wachokonozi wamepata ndugu zao . Hawa jamaa wana Logic za maana sana .
Hicho kitabu kiwekeni kwenye softcopy
@@SalumZengula-hu6jp ili iweje nenda ununue upate ukweli wa kiutu
Ili iwe rahisi kueneza dini ya jadi itakuwa ni vizuri mkifanya hivyo
Pengo linaonyesha
Hii ndiyo yenyewe
Wachache wene akili ndio watakuelewa
Huu ni wakati wa mwisho wa dunia
@@PaulKaisi dunia ipi yenye mwisho na ili uwe mwisho kipi imefanya hiyo dunia?
Halafu mbona hicho kitabu kimeandikwa kwa lugha ya kigeni, au chanzo cha jadi yenu ni wapi
Hico ni KIBANTU,na asili yetu sisi Ni UBANTU
Naomba maana ya maneno hayo kwa kiswahili
Hawa watu wa imani hii wamepotea mbali sana na Mungu wa kweli.Wanaabudu mungu wasiemjua kabisa miongoni mwa miungu ambayo Mungu katika amri zake aliagiza akisema "msiabudu miungu wengine" na zaidi sana wamebebwa na roho chafu za utafiti ambazo zimewatoa ufahamu na nguvu za ufahamu wa kweli ktk kuelewa tafsiri sahihi ya neno la Mungu wa kweli.
@@ignasikikoti mwisho wa siku utakujaga kuujua ukweli ni swala la muda tu
😢😢😢😢😢
@@FungoJacobo😢😢😢😢
ulisha wai kujiuliza kabla ya Dini kufika africa wazee wako walikuwa wanasali vipi??
leo hii umepata imani ya mapokeo unaona una mjua mungu. kabla hujaponda jambo chukua muda kupima hoja ??
@@saidchanga5139 kwanza unapaswa kujua kuwa dini ni mapokeo ila jadi sio mapokeo,pili unapaswa kujua neno mungu hao walio tafsiri biblia walilitoa wapi,3na kama lilikuwapo afrika lilimaanisha mungu ni kitu gani,4 kama wazee wetu walifanikiwa kulitunza jina mungu bila shaka walijua namna ya kumuabudu mungu na ndo hivi ulivyo waona hao watu wanavyo abudu,( kwa faida tu walio leta hizi dini sio watu wema kwetu ndugu,hao wanataka mali zetu tu kaka utakaa kanisani muda wote wenzio wanachukua madini gesi nk) sisi woote ni wahanga tunatakiwa tuungane tujitoe kwenye utumwa wa fikra ndugu
Ninamshukuru Yesu kwa kuniponya baada yakulogwa na wabantu
Hawa watu wanaoamini kwamba kuna jehanamu ?
Mmmmmh! Ni moyo tu?
hekoooooo
😅😅😅😅
Hekoo
😅😅
Kumbe ROHO YA KUANZISHA MAKANISA BADO INAKUTAFUNA na hapo umeshazeeka sasa.
Wewe Mpumbavu Matendo ya mitume4:12
😢😢😢
Usimtukane maana unamtukana mpaka mwanzilishi wa kabila letu ambae hakuwahi kuishi hizi dini zetu mpya za mitume na akina marko,yohana na wengine wengi😅
@@AizackKalenge-ro5rc umenukuu vema sana ila mimi nakwambia hayo ni maneno ya watu tuu na kama unaamini ni maneno ya mungu soma soma isaya 23 : 17 ili ujue kwamba naye huyoo bwana atakuja kufanya ukahaba na falme za tiro🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣