Ata mm nishawahi toa upepo gari nikiwa mdogo😅😅😅😅😅nishadokoa sana nyama na mamangu alikuwa mkali balaa😅😅😅 watoto wa uswahilini loh😅🤣🤣🤣🤣🤣 zai nakupenda mmy wangu nikiwa na pesa nitakualika kwangu mombasa uje utembee😅😅
NA kumbuka mwak 200 nilivunja mkono mama angu alinipiga mafagia ndio nikapelekwa hosptal nibembea kitanda vilikuwa 2 vimeweka pamoja nimepishan kidog tu mie tena ni kapata bembea
VINGUNGUTI INATOWA WATU JAMANI BURUDANI TU
DKT KUMBUKA
MASHALOVE
ZAI KIJIWE NONGWA
NK ✊✊✊✊✊
Asalam alaeikum warahmatulah tatizo letu uswahilini tu wadekeza Sana watoto wetu
Da zai utanivunja mbavu zangu😄😄😄😄 nakupenda bure jmn ....na Da Geah anavyocheka mie cna Hali huku😄😄😄😄😄
Zai unavaaa uhusika wajambo, nakupenda dear
Jamani yafaa serikali impe ulinzi huyu dada
Ata mm nishawahi toa upepo gari nikiwa mdogo😅😅😅😅😅nishadokoa sana nyama na mamangu alikuwa mkali balaa😅😅😅 watoto wa uswahilini loh😅🤣🤣🤣🤣🤣 zai nakupenda mmy wangu nikiwa na pesa nitakualika kwangu mombasa uje utembee😅😅
Nimefanya hio ya upepo😂😂😂😂
Nampenda sana huyu dada jamani ❤❤❤❤❤❤
Hahahahaha nampenda sana huyu dada Zai ❤️❤️❤️❤️❤️mie Mcongomani ila Tz ni second motherland 😂😂😂😂😂😂😂
Karibubsana deborah
Zai utaniua jamani Mimi nacheka Hadi naanguka
Mwenye ameona pub ya Kijiwenongwa mpe Zai like zake 👋👋
Nyieeee 😂😂😂😂😂😂zai anapotea akija anakuja na kubwa kuliko
Yaan kila siku ana story mpya
Kkkkkkkkkkkkkkkkkk
Nimecheka wallah da zai mungu anakuona
Hahahahahaha ivi uyu dada anakaa sehem gani vingungut nimpelekee zawad
Anakaa kijiwenongwa
Love the vibe.she talks so cool.love from kenya
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 walai zai kila siku nasena MUNGU akuweke maana mimi binafsi unanipa raha sana
Hahaha..Zai unamastory balaa😅😅🔥
Haha hahaha nimecheka
Nimekupenda bure Da Zai ishi na hiyo chukua ✊🤸🤸🙏🏿🙏🏿
Shoga angu mwenye kumitpa stress jmn aiiiii nacheka jadi kujisahau walah
DAda Zai mungu awatunze sana na dada Gea
Maisha ya uswazi we yaache tu unaona kama porojo lakini ndivyo ilivyo
Jamani watoto wanataka maombi mtawaua na kipigo
Zai unaniua kwa kicheko😊😊😊😊😊
We love you Zai ❤️❤️
Wallah nataman nikiludi nikutane na zai kijiwe nongwa wallah nakupenda mno
NA kumbuka mwak 200 nilivunja mkono mama angu alinipiga mafagia ndio nikapelekwa hosptal nibembea kitanda vilikuwa 2 vimeweka pamoja nimepishan kidog tu mie tena ni kapata bembea
😅😅😅😅😅zai km zao yaaan I love you so much 😘😘😘
Astaghafirullah mwenyez mungu nijalie kizazi chemaa Maanaa Aibuu
Jmn zai naksikiag2 clouds ifm jmn nakupenda Sana zai
Nafurahia sana story zako yani ndo tumekua ivo waswazi
Huyu dada kafanana sana na, dr kumbuka mchunguzeni mtaniamini
Zai kwenu nomaaa🙌😂😂😂😂😂😂😂❤
We love you zai
❤
Jamani Zai tunakupenda jamani 🥰🥰
Da Zai Nakupenda mbaka naumwa🥰🥰🥰🥰🥰🥰
Jmn Zai akaigize KOMBOLELA 🤣🤣🤣
Hahahahaha da zai jamani mbavu zangu mie 😂😂😂😂
Jamn Ninacheka had machoz wwe dada wanimalizia bando
watoto wa huko kiboko,
Tunamshukuru awwa
😃😃😃mbavu zangu jamani da zai weweeee
Nimecheka bwana muheshimiwa
Nampenda kumsikiliza
Zai I like u
Alafu nguvu zakua siriasi ivi uwa unaitoa wap jamani😂😂😂
Hhhhhhh kwamirungu hiyo nimeshek mpak naonekana chizi
Zai unajua kunivunja mbavu.
Wajina wangu du sijawai kuacha kucheka
Haki Zai una vitukooo🤣🤣🤣🤣🤣🙆♀️
Zai wangu mie🥰🥰🥰😂😂😂😂😂
Mbona Murungu
Weeeee kiboko unambambambaaa
Zai wangu mie
jaman kwanin nayey asishilik kombolela🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Etc unamkimbiza makalio yanapepea
Duuh comed inaiweza aisee
Duh da zai hapo kwenye moka😅😅😅😅😅
Jamani mbona huko balaa
zai jamani eti unamuona mkono wote kaukunjua
Jamani ww Dada wanivunja mbavu
Haaaaaaa da zaii wewe kiboko ndio watoto
😢😢
Unaweza kumpiga akasema sijaumia.
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂nyie naipenda nchi yangu
Kweli zai we we kiboko kwa histori 😁😁
Zai noma😄😄
Watoto
wa tanzania punguzeni kuzaa
Mhhh
Watoto wanatoka kwa Mungu unaweza kumaliza majira Yote Mungu akipanga ingie hata uitoe haitoki ndugu
mie nimeiyona hiyo hela haraka sannna kwenye sigiria kifuwani😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣jamani zai🙌🙌
Watoto wote wako hivyo, hata wa ushuani🤣🤣🤣
Mmmh wa ushuani hawakimbizi wazungu bana
Am addicted to this yaani nachekaa
Watoto wa kijiwe nongwa sio mchezo😃😃
Da zai 😂😂😂😂 unaju kutufurahisha
et viboko unavomtia mpaka mwenye gar anarudisha hela😂😂😂😂😂
Zai huishiwi na vituko jmn😁😁😁😁😁😁😁😁
Zaiii weee!
Hiyo ALLAH alivoitaja sasa😅😅😅
😂😂😂😂yani nimecheka had basi
Na nimekuta ii ina masaa 16
🤪🤪🤪🔩mama anakata upepo
Toto usiseme hongo mecheka mimi jmn 😂😂😂
Watoto hao jmn😄😄😄😄😄.
😂😂😂Zai wwee mungu anakuona co kwa kunichekesha huku jmn kha mzugua unanichekesha wewe
Zai khaaa!! 😄 🤣🤣🤣
Jamani yaani UKWELI mtupu
kikojoo zai una laana😂😂😂
🤣🤣🤣😍zay eti mirungu 🤣🤣🤣🤣
Nimecheka hadi basi
Kijiji hadi kijiji.....matako yanapepea😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
😁😁😁😁😁😁😁😁
et anakukimbiza kijiji n kijiji matako yanakupepea😂😂😂😂😂😂😂😂😂 zai haki nakupenda
Eti Mama akili huna🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂hatr mma kwa mirungu
Mbon MLUNGU MLUNGU 😃😂😂😂🙌🔥
Zai ataniua wallah khaa
😅😅😅
😀😀😀
😂😂😂😂😂😂
mbavu xangu
🤩🤩🤩
Dàa zai ww
Zai mm unanivunja mbavu🤣🤣🤣
Jamani zai🤣🤣
Hahaha 🤣 Wajna wang Nakupenda buleeeeee
iyo bar sikai😂😂😂😂
Kono la jini ngaaa🤣
Huyu dada ni chizi hataree