ความคิดเห็น •

  • @busatitv
    @busatitv 5 วันที่ผ่านมา +11

    *JE UPENDI CHAT ILA UNATAMANI KUPATA LINKS KWA GROUP?*
    Usijali sasa tumekusaidia njia Mbadala ya Wewe kupata Links kwa wakati bila kupata usumbufu wa Chat
    1. Tuna Group maalum la links. Group hili la Links tumelifunga ni admin pekee ndio utuma links za episode mpya hivyo hata ukiwa hauupo online unaipata link kwa wakati.
    Bonyeza maandishi ya blue kujiunga group letu la Links pekee. Pia tunatuma na links zetu za movie nyingine 👇🏻👇🏻
    chat.whatsapp.com/Jf3PLbJkKbTLEiNFD1aJ3o
    Lakini pia tuna WhatsApp Channel...
    Hii itakusaidia zaidi kupata habari zetu zoote bila usumbufu wa aina yoyote.
    Na hakuna Mtu ambaye anaweza kukuona kama ume follow WhatsApp channel yetu 👇🏻👇🏻
    whatsapp.com/channel/0029VaEXYzkEVccPBP347F2c
    *KARIBU BUSATI TV BURUDANI BILA KIKOMO*

  • @tausimct
    @tausimct 9 วันที่ผ่านมา +169

    Naombeni like 20 tu tujuanea tunaoa kesha yotubu 😂😮asanteni ndugu zangu leo mie ndo ninae ongoza kwa like zenu 🎉

  • @zeynab7617
    @zeynab7617 9 วันที่ผ่านมา +126

    Tangu niaze kuangalia episode ya kwanza Hadi Leo sijawahi pata like hata moja Mimi pia Leo naomba like 😢

    • @busatitv
      @busatitv 9 วันที่ผ่านมา +3

      😃

    • @zeynab7617
      @zeynab7617 9 วันที่ผ่านมา +1

      @@busatitv wacheka kweli mm nitacomment mbele ila sipati like ata moja ,aliyecomment nyuma yangu atapata like kama zote

    • @user-xr8qv9mw9v
      @user-xr8qv9mw9v 9 วันที่ผ่านมา +1

      Pole

    • @azizawaziri9190
      @azizawaziri9190 9 วันที่ผ่านมา +2

      Aki masozi na mwenzie wanaend kuwa wapenzi hahaahahahhah

    • @zeynab7617
      @zeynab7617 9 วันที่ผ่านมา

      @@user-xr8qv9mw9v Asante sana

  • @JacklineNicolaus
    @JacklineNicolaus 9 วันที่ผ่านมา +9

    Mm Toka nianze sijawahi pata like hata Moja naombeni ha kumi tuu

  • @Enocky-pv5ui
    @Enocky-pv5ui 9 วันที่ผ่านมา +74

    Leo nimekupa 10 naomba like zangu 🎉🎉🎉

  • @damasanita
    @damasanita 9 วันที่ผ่านมา +134

    nimewahi leo jamanii,..😢😢likes hata mbili😅😅😅

    • @MaryElizaElizabeth
      @MaryElizaElizabeth 9 วันที่ผ่านมา

      ❤❤❤❤❤❤❤❤❤😂😂😂😂😂😂

    • @user-qq1kt3hg1l
      @user-qq1kt3hg1l 9 วันที่ผ่านมา +2

      Usiku huu unaomba likes zitakupa nn

    • @user-pn9kx9ps3f
      @user-pn9kx9ps3f 7 วันที่ผ่านมา

      Mbona namba 20 hatuyioni

  • @Rizikialiamechannel763
    @Rizikialiamechannel763 9 วันที่ผ่านมา +116

    Nyie kujeni nipeni like mkitaka mctake sio za kwangu kaajili ya Kai na zuu from Oman 🇴🇲 team felus taali😂😂😂

  • @happymkama2295
    @happymkama2295 9 วันที่ผ่านมา +58

    Nimewahi tena nipeni like

  • @mwanaakidaomar4663
    @mwanaakidaomar4663 9 วันที่ผ่านมา +9

    Kila kukicha nnazid kuupija mwing hongeren❤

  • @Protais-Tv
    @Protais-Tv 9 วันที่ผ่านมา +39

    Watu wa 🇧🇮Burundi munipe like basi🙏🙏

  • @irakozeshela1809
    @irakozeshela1809 9 วันที่ผ่านมา +31

    sicelewi ata segonda moja naomba nipewe mauwa yangu❤❤🎉🎉🎉🎉

  • @user-rm2lk8se3w
    @user-rm2lk8se3w 9 วันที่ผ่านมา +50

    Nmeifatilia hii movie toka mwanzo paka hii ep ya 19 nmeamua kucoment aky Kai uko poa sana

  • @user-fh5ko7he2z
    @user-fh5ko7he2z 9 วันที่ผ่านมา +20

    Waaaaa huku kumekucha kumbe, nyie watu mnao omba like huwa mwasifanyia nn jamani mbona mm sijawa kuomba like, leo naomba nami nisikie kama nyie team kai 😂😂😂😂

  • @fatumabakari2640
    @fatumabakari2640 9 วันที่ผ่านมา +22

    Da thuu wa kwanza😂😂😂 maua yangu🎉🎉🎉

  • @ShillahNafulaWanjala
    @ShillahNafulaWanjala 9 วันที่ผ่านมา +18

    Kazi Safi sana, twende nalo

  • @WardaNgombo
    @WardaNgombo 9 วันที่ผ่านมา +22

    Wa kwanza 🎉🎉🎉

  • @nurusaid4698
    @nurusaid4698 9 วันที่ผ่านมา +6

    Ameni Ata Mmi Nimeibaridi Ndoa Ya Kai Na Zuu❤❤❤❤❤😂😂😂

  • @kemutonyamanya2496
    @kemutonyamanya2496 9 วันที่ผ่านมา +36

    Kai tulia kwa zuu mm nko kwa pande ya baba like ya zuu na kai ❤❤ am from Kenya 🇰🇪

  • @EsterFrance-zp1os
    @EsterFrance-zp1os 9 วันที่ผ่านมา +9

    Kutoka iringa ndoa yazuuh ipo jamn🎉🎉

  • @JudyDee-dt2fe
    @JudyDee-dt2fe 9 วันที่ผ่านมา +31

    Na si muache kuomba like uku 🙄🙄🙄ama mnalipwa😂😂anyway tuachane na hayo nipee zangu mbili nilale

    • @JudithSimiyu-ps7ee
      @JudithSimiyu-ps7ee 9 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂😂😅😅😅

    • @user-Ambani
      @user-Ambani 8 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂😂😂😂

  • @WardaNgombo
    @WardaNgombo 9 วันที่ผ่านมา +23

    Nipeni like zang🎉🎉🎉🎉

  • @neemamichael-iv3jp
    @neemamichael-iv3jp 9 วันที่ผ่านมา +13

    Waoooh nmefurah kumuona Warii😘

  • @faithkemuma9113
    @faithkemuma9113 9 วันที่ผ่านมา +20

    Leo nmewai nipe like zangu kutoka Gulf ❤❤❤ kazi nzuri Sana kaka ebu

  • @user-pp3vo8rw5j
    @user-pp3vo8rw5j 9 วันที่ผ่านมา +7

    Kai wacha kulia hio ndio mambo ya dunia😢😢😢❤❤❤but you are very good dear

  • @user-xh7xf2ki3r
    @user-xh7xf2ki3r 9 วันที่ผ่านมา +25

    Daah naona mashaghala leo hamlali kweli nyie team strong 🤣🤣🙌

    • @Maryam123-vh6sq
      @Maryam123-vh6sq 9 วันที่ผ่านมา +1

      😅😅😅😅

    • @Zipporahsoita-ox7ne
      @Zipporahsoita-ox7ne 9 วันที่ผ่านมา +1

      😂😂😂😂😊

    • @user-gc7xt5sf7q
      @user-gc7xt5sf7q 9 วันที่ผ่านมา +1

      Tulale tulale vipi na tumependwa na bosi zetu

    • @aishahamis1609
      @aishahamis1609 9 วันที่ผ่านมา +1

      😅😅😅😅😅

    • @nasramkopi
      @nasramkopi 9 วันที่ผ่านมา +1

      😂😂😂😂😂😂

  • @user-st3wo7qi2v
    @user-st3wo7qi2v 9 วันที่ผ่านมา +17

    Safi sana mapema ndio best ❤❤

  • @FadhilyChanay-ly4yi
    @FadhilyChanay-ly4yi 9 วันที่ผ่านมา +23

    Wakwanza

  • @happymkama2295
    @happymkama2295 9 วันที่ผ่านมา +14

    Tasha namkubali Mr mipango

  • @Saidy-eu1hc
    @Saidy-eu1hc 9 วันที่ผ่านมา +7

    Naomben like time oman

  • @ignitiussilungwe7930
    @ignitiussilungwe7930 9 วันที่ผ่านมา +7

    Assalam alayumu walhama tullahiwa barakatuh
    Shukran kazi nzuri

  • @MawazoJustin-fw2ws
    @MawazoJustin-fw2ws 9 วันที่ผ่านมา +12

    Jamani atulali tunapenda sana ❤❤❤❤❤

  • @SharifaJumanne
    @SharifaJumanne 9 วันที่ผ่านมา +7

    Jmn zuu mko vzr sana asubuhi na mapema tayari kitu hiki hapa 😂😂❤❤❤ safi sana

  • @BintiAmina-kh9oh
    @BintiAmina-kh9oh 9 วันที่ผ่านมา +12

    Wakwanza leo twawapenda sana ❤❤❤

  • @user-eq7vb3yo2v
    @user-eq7vb3yo2v 9 วันที่ผ่านมา +7

    Angalau nimewah jmn naomb like

  • @Jackiline-kw3zq
    @Jackiline-kw3zq 9 วันที่ผ่านมา +15

    Waoo ❤❤ 🎉🎉 hii mov noma sana naikubali sana

  • @osadgstuy5746
    @osadgstuy5746 9 วันที่ผ่านมา +58

    Leo nmekua wa kwanza, wanao muependa zuu na kai gonga like hapa ❤

    • @user-ss1rf9hv7t
      @user-ss1rf9hv7t 9 วันที่ผ่านมา

      Kwan mtu anajijuaje kama ye ndo wakwanza

    • @DullyBreakar
      @DullyBreakar 8 วันที่ผ่านมา

      Nampenda piah

    • @DullyBreakar
      @DullyBreakar 8 วันที่ผ่านมา

      Tatizo wanachelewa

  • @EvaJoel-og8fw
    @EvaJoel-og8fw 9 วันที่ผ่านมา +7

    🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 penda sana movie 🎉🎉🎉

  • @user-gt6in2ru1b
    @user-gt6in2ru1b 9 วันที่ผ่านมา +15

    Nimekua wa kwanza Leo🔥🔥🥰🥰

  • @user-wk5yv4um4m
    @user-wk5yv4um4m 9 วันที่ผ่านมา +51

    Wakwanza❤❤❤jamen😂😂😂😂 Alf muache wivu munipe like zangu

  • @MWANAKOMBONGANGAKARISA
    @MWANAKOMBONGANGAKARISA 9 วันที่ผ่านมา +7

    😂😂😂😂😂wale tunaomuona masozi na shemeji wa mchongo huku jaman 😂😂😂😂😂😂😂raha na machakula vishanoga 😂😂😂😂😂❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @user-ko2dk1iy7s
    @user-ko2dk1iy7s 9 วันที่ผ่านมา +26

    Wakwanza leo like zangu nipewe

  • @MohammedyJuma-wf3jc
    @MohammedyJuma-wf3jc 9 วันที่ผ่านมา +16

    Am waiting house girl 💘💘 Big up Kai 💪💪💪💪

  • @NousNovah-
    @NousNovah- 9 วันที่ผ่านมา +9

    Nijibiwe… hizo like mnauza😏😁

    • @aishahamis1609
      @aishahamis1609 9 วันที่ผ่านมา

      Jamani sipati like hizo like wapiiiiiiiii au mpo kwa cendy

  • @mohaamswaki6139
    @mohaamswaki6139 9 วันที่ผ่านมา +6

    Jamani like naombeni boy from 254

  • @user-ky7cf6nm8d
    @user-ky7cf6nm8d 9 วันที่ผ่านมา +7

    Waouh Masha Allah 🥰 na penda sana Kai Na zuu 🎉🎉🎉

  • @AquilinaPius-gq1bl
    @AquilinaPius-gq1bl 9 วันที่ผ่านมา +6

    Saruti kwa busati naipenda house girl kuliko kitu chengine chochote

  • @Sofiashabani780
    @Sofiashabani780 9 วันที่ผ่านมา +11

    Naona notification nikajipa shuhuli kwaza😂😂😂

  • @Melvy-kb3lc
    @Melvy-kb3lc 9 วันที่ผ่านมา +6

    Ashindwe kwa jina la yesu candy hpo vpi😂😂😂😂😂😂

  • @irenemwenda6374
    @irenemwenda6374 9 วันที่ผ่านมา +7

    Woow final zuu imefanya ile kitu acha kendi imkabe roho sasa tupite tuki like 😂😂pamoja busu like ukipota

  • @tabithanzisa9755
    @tabithanzisa9755 9 วันที่ผ่านมา +5

    Nmechelewa ju ya kuwa busy bt nafurahi nmepata mda nkawatch my favourite movie😊❤❤❤

  • @DidaAlly-iz1it
    @DidaAlly-iz1it 9 วันที่ผ่านมา +7

    Nimecherewa tuseme2 ukweriii jmn hii move hinapangiriwa vzr na wanaitoa kwa wakati kwa anayeona km ninavyoona mimi anipe Like 🎉🎉🎉🎉🎉

  • @HabibaBakari-u1x
    @HabibaBakari-u1x 9 วันที่ผ่านมา +10

    Nice naipenda sana jamani sema inachelewa but Iko vizuri vipenz

  • @user-wu7ho7sx8q
    @user-wu7ho7sx8q 9 วันที่ผ่านมา +10

    𝑊𝑎𝑝𝑖𝑙𝑖 𝑗𝑚𝑛𝑖.❤

  • @chundimuaminifo8951
    @chundimuaminifo8951 9 วันที่ผ่านมา +16

    ❤ like zangu

    • @user-dn3sn2fk9v
      @user-dn3sn2fk9v 9 วันที่ผ่านมา

      Ndo salam😂😢😂😢😂

  • @hlimaa5182
    @hlimaa5182 9 วันที่ผ่านมา +10

    Masha Allah tabarakaallah hongera sana wana familia yaani hata sijui ni comment wapi niache wapi ila masozi kapagawa na bwana wa mchongo 😂😂😂BB nae duh katoa ushauri hadi basi hongera sana kipenzi 🥰 bb yetu nikirudi kwa baba mukwe namalizia nikisema Ameen Allah humma Ameen 🤲🏼 yaarabbi Kai na kipenzi 🥰 Zuu ndoa yenu ikawe ya kheri in sha Allah ❤❤❤❤❤❤

    • @busatitv
      @busatitv 9 วันที่ผ่านมา +2

      Asante sanaaaa Halima mtu na nusu ww sikusahau tenaaaaa

    • @hlimaa5182
      @hlimaa5182 9 วันที่ผ่านมา +2

      @@busatitv 🤣🤣🤣wakumbuka kumbe pamoja 🤝sana Brother

  • @esterkimalio8846
    @esterkimalio8846 9 วันที่ผ่านมา +6

    Waooooh,, Wally na Tam Tam wapo huku

  • @fayojarso3777
    @fayojarso3777 9 วันที่ผ่านมา +7

    Mimi na patia like zu na kendi na baba ya kendi, mimi kutoka kenya asante sana,hi movie ni tamu sana kweli,

    • @busatitv
      @busatitv 9 วันที่ผ่านมา

      🙏🙏

  • @user-eo2ff1ki7u
    @user-eo2ff1ki7u 9 วันที่ผ่านมา +10

    Best broo niko nachungulia next kazi safi❤❤

  • @raphaelvarane-rv9bv
    @raphaelvarane-rv9bv 9 วันที่ผ่านมา +5

    Jamani mimi natamani KAI amuowe maramoja Zuuu

  • @brendanawanga
    @brendanawanga 9 วันที่ผ่านมา +2

    Kama bro Kay utaoa zuuuu ninakuomba mtafutia nyumba nyingine wasikae pale ndani na yy watamtemga zuuu bado tunamhutaji Pana bro , yaani hapo umepata mke zuuu ❤❤❤💍💍hiyo dada

  • @user-pr3hf4lm9o
    @user-pr3hf4lm9o 9 วันที่ผ่านมา +6

    Eee nimechelewa jamani lakini sio Sana like please nipo njombe Tanzanian

  • @rodahmsimbi6137
    @rodahmsimbi6137 9 วันที่ผ่านมา +14

    Jamani atakama nimechewa leo vi like viwili vyanitosha😢😢😂😂

    • @busatitv
      @busatitv 9 วันที่ผ่านมา

      😍

  • @EzraBoboloy
    @EzraBoboloy 9 วันที่ผ่านมา +5

    Jamani mbona house girl ndonaona kama ndo inaanza inaenda kunoga 👌👌❤❤🇧🇮🇧🇮🇧🇮

  • @MaryMbithi-nw5sr
    @MaryMbithi-nw5sr 9 วันที่ผ่านมา +7

    Kumbe ivi doh shetani utuangalia tukiomba busati hongereni much love from Kenya 🇰🇪 ❤❤

  • @JoyceJackson-sk7lu
    @JoyceJackson-sk7lu 9 วันที่ผ่านมา +9

    Tunalala Kwa house girl tunaamkia na house girl yaan mamb ni 🔥🔥🔥🔥

    • @busatitv
      @busatitv 9 วันที่ผ่านมา

      😍😍😍

    • @Russia-se8jt
      @Russia-se8jt 9 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂

    • @user-bk7je8xl3c
      @user-bk7je8xl3c 3 วันที่ผ่านมา

      Mi nashindwa adi kufanya kazi mda wakazi nasinzia nashinda house girl❤❤😂🎉

  • @user-ie8cu9vm6p
    @user-ie8cu9vm6p 9 วันที่ผ่านมา +4

    Noma sana nawapenda nyote kaz nzuri sana ❤❤❤❤❤❤

  • @FrankMaendeleo247
    @FrankMaendeleo247 9 วันที่ผ่านมา +4

    Jamani hizo like mnazoomba huwa mnakulaga mnashindwa kutoa maon juu ya kazi et mnakalia kuomba like achen upuuzi huo

  • @HanifaAme
    @HanifaAme 9 วันที่ผ่านมา +7

    Habari
    Mlituahidi juzi mtatuletea vipand vi2 cha 18 na 19 pamoj mbn mmetusalit lkn 😢 please 🥺 Alf muwe mnaongeza dkk kweny vipand jaman😢

    • @Mary-ug6oc
      @Mary-ug6oc 9 วันที่ผ่านมา

      Kweli wametusaliti sana

  • @user-ll7vg8wf3o
    @user-ll7vg8wf3o 9 วันที่ผ่านมา +2

    Weeee hiuyu baba kai nae sikidogo kumbe kazi nzuri sanaa

  • @fayojarso3777
    @fayojarso3777 9 วันที่ผ่านมา +37

    Bibi kubwa ya kendi mimi siwezi patia like yangu, kwasababu yeye amenyanyasa zu maskini ya Mungu,

    • @busatitv
      @busatitv 9 วันที่ผ่านมา +1

      🤣🤣

  • @mohamedlopa8410
    @mohamedlopa8410 9 วันที่ผ่านมา +10

    Ambao hatujalala kusubilia serious ya house girl tujuane kwa like zakutosha tusiache ata moja....😂😂😂😂

  • @ChacelineRuhungo
    @ChacelineRuhungo 9 วันที่ผ่านมา +5

    Kai n'a zuu nawapenda sana mimi Niko Congo 🇨🇩🇨🇩 ombi langu tuwili kusiku❤❤❤

    • @busatitv
      @busatitv 9 วันที่ผ่านมา

      😍😍😍

    • @aishahamis1609
      @aishahamis1609 9 วันที่ผ่านมา

      Baba oyeeeeeeeee

    • @aishahamis1609
      @aishahamis1609 9 วันที่ผ่านมา

      Zuuu jicho hilooooooooo nimelipenda😊

  • @user-kq8ze5lw1i
    @user-kq8ze5lw1i 9 วันที่ผ่านมา +40

    Na mimi piya nimejitaidi Leo nipeni like zangu❤❤

  • @zainabmkwepu5498
    @zainabmkwepu5498 9 วันที่ผ่านมา +11

    Wangapi wanajua master wa filamu hii ya house girl mnipe like zetu

  • @christinewangili
    @christinewangili 9 วันที่ผ่านมา +7

    Kazi safi ❤❤

  • @leatimoth3611
    @leatimoth3611 9 วันที่ผ่านมา +8

    Team strong nimefika mapema oyeeeeh

  • @user-qq1kt3hg1l
    @user-qq1kt3hg1l 9 วันที่ผ่านมา +5

    Nimependa hiyo smile ya kai na zuu jaman wapenzi wanaenda kufunga ndoa ya baraka ya baba

    • @busatitv
      @busatitv 9 วันที่ผ่านมา +1

      🙏🙏🙏🙏😍😍😍

  • @JaneChaula
    @JaneChaula 9 วันที่ผ่านมา +5

    Soon nitakuwa kwny penzi na dada wa kaz hatimae kai akawa 😊🎉

  • @Ummyrahy6666
    @Ummyrahy6666 9 วันที่ผ่านมา +10

    ❤❤❤❤kitu ichoo😊

  • @BalengaTanda-fz4cl
    @BalengaTanda-fz4cl 9 วันที่ผ่านมา +35

    😂😂kuna muhuni kani time ku coment haya shusha like hapa😅😅😅

  • @Makonde-
    @Makonde- 9 วันที่ผ่านมา +6

    Kai leo nimekukubali SN 🎉🎉💪💪💪🇲🇿🇲🇿🇲🇿

  • @robertsalaibey5383
    @robertsalaibey5383 9 วันที่ผ่านมา +3

    can't wait episode 20.... favourite ever..... try to post twice a day please...here from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @ErnestineNene
    @ErnestineNene 9 วันที่ผ่านมา +44

    Kwani watu mnalala youtube
    dada zuu I love you
    Candy ww siyo mke bora
    Wanawake tujifunze tusiw watu wa kuombaomba like tu

    • @HidayaMbodze
      @HidayaMbodze 9 วันที่ผ่านมา

      Wanakera wanakimbia kuomba likes 😂😂 awaangalii kisa kinaendaje

    • @user-ko6wq3xg7n
      @user-ko6wq3xg7n 9 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂😂

    • @rahmamusa8548
      @rahmamusa8548 9 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂😂

    • @buru1235
      @buru1235 9 วันที่ผ่านมา +1

      😂😂😂😂😂😂Yani kila MTU anaomba likes hdi zangu zinaisha wallai

  • @NGWALULUTONJA-lc6kp
    @NGWALULUTONJA-lc6kp 9 วันที่ผ่านมา +6

    Nmekuwa wa Kwanzaa leo

  • @Fatma99-ve7ys
    @Fatma99-ve7ys 9 วันที่ผ่านมา +2

    Eye eee nipeni like ata 2 nimependa sana kz kz tu

  • @YohanaOmben
    @YohanaOmben 9 วันที่ผ่านมา +2

    Nice jaman ni move yeny mafunzo kunajifunza hapo

  • @RahimaMct-ik8mr
    @RahimaMct-ik8mr 9 วันที่ผ่านมา +6

    Leo wakwanza alhamdullah❤❤❤😂😂😂

  • @AmnaAmna-bm3xe
    @AmnaAmna-bm3xe 9 วันที่ผ่านมา +3

    Nakupend Sanaa zuu ❤

  • @MwanamvuaNassoro
    @MwanamvuaNassoro 9 วันที่ผ่านมา +5

    Aya bibi kapewa kichambo 😂😂😂😂

  • @EzeKaniki
    @EzeKaniki 9 วันที่ผ่านมา +3

    Imependeza sana❤❤❤❤❤

  • @user-bm1oe9lh1m
    @user-bm1oe9lh1m 9 วันที่ผ่านมา +5

    Nimkimbia san kweli😂😂sijachelewa❤❤...watu wangu w team strong gonga like😢😢😂

  • @mwanajumakomar3831
    @mwanajumakomar3831 9 วันที่ผ่านมา +2

    Japo naumwa jino lkn siachi kuangalia penzi la House girl 😢kai na zuu hoyeeeee ❤❤

  • @MwanalimaAbdallahkea
    @MwanalimaAbdallahkea 9 วันที่ผ่านมา +5

    Shagala kachukua mume peupe 🎉🎉🎉😂😂😂

    • @aishaomar2287
      @aishaomar2287 9 วันที่ผ่านมา

      Alfajir na mapema

    • @Saidy-eu1hc
      @Saidy-eu1hc 9 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂😂😂

  • @Kai_busati
    @Kai_busati 9 วันที่ผ่านมา +7

    Kai Zuu🔥

  • @Emeraldlady16920
    @Emeraldlady16920 9 วันที่ผ่านมา +5

    Na wapenda sana wahusika

  • @JoyceElias-bd3kt
    @JoyceElias-bd3kt 9 วันที่ผ่านมา +1

    Bab mkwe kiboko 🤣🤣🤣 Kai tunae na tunatamba nae walele🤣🤣🤣🤣

  • @akimanakathykelly1673
    @akimanakathykelly1673 9 วันที่ผ่านมา +5

    Number one from Burundi 🇧🇮

  • @AlatwiklaNjiku
    @AlatwiklaNjiku 9 วันที่ผ่านมา +4

    Jamn watu hamlali kumbee 😅😅

  • @DelphinaJeremiah-ii1rv
    @DelphinaJeremiah-ii1rv 9 วันที่ผ่านมา +3

    Mimi ni wa 20 naomba hata like 1😅😅😅

  • @user-su5oi5wb6c
    @user-su5oi5wb6c 9 วันที่ผ่านมา +2

    Babu hongera sana kwa baraka zako ulizotoa kwa kai na zuu naimani ndoa yao itakua yenye furaha na amani inshallah 🙏🏼 😢😢❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉