VIONGOZI SIO shida! Shida ni sisi wananchi hatujielewi na wala hatuna maono ya kujisimamia, HATUJIPENDI kwaio kiongozi akiingia anajua asilimia kubwa watu wanaakili za hovyo ndio maana wanafanya ivyo anaona bora ajipigie zake asepe.. chukulia mfano MAGUFULI alivyopondwa na watu na ile hali alikuwa anatuamsha hivi kama tungemlinda kwa gharama yule RAISI kwa wingi wetu unafikiri angekufa kirahisi vile?? kwaio mwisho wa siku hata tukipata RAISI mzuri kama RAIA hatujitambui ni kazi bure. SISI tunatakiwa kujielewa kwanza kabla ya viongozi na hata sheria tutazisimamisha sisi na viongozi tutamuwaweka mzuri.
Baadhi ya viongozi wa afirika ni mazuzu ndiomana kwenye mazishi ya marikia walitengwa ata samia alienda kuchezea hela wakatuambia ameenda kwa faidi adi leo hatujaambiwa faida ya royotua zaidi ya maisha kuwa magumu tu.
Kulikuwa hamna haja yakutumia pesa zote izo Kwajili yakukodi ndege ya pesa nyingi ivyo..wakati ndege ya serikal ipo na hali za maisha ya wananchi wako wanaishi Kwa maisha magumu
Ndo tatizo la viongozi wetu wa Afrika yaani ni vurugu tu wakipata madaraka basi baada ya hapo wanawapa mikopo ya kutununua aiseee tuko nyuma ya muda Afrika
Amepewa mwaliko na rais wa US. Sasa kuna haja gani ya kubana matumizi? Kula tu. Ee shusha tu na soda ukiwa juu angani. Ndo maana Magufuli hakupenda kusafirisafiri kwenda huko ulaya na marekani. Anajua, atapata hasara kubwa sana sio faida kwa masikini. Wito: viongozi wa Africa. Tuache ushamba. Unaenda kwa wazungu kutafuta nini leo hii? Waje wao huku tule nyama choma ya hapa Tanzania au Kenya. Oky?
Ruto ni maskini kila jambo anapelekeshwa ndio amesaini wananchi wake wafilane na wasagane sasa wewe RUTO subiri adhabu ya Allah wala usijione mjaja utasaga meno muda si mrefu
Vibaraka wamagribi walioshindikana duniani 1 zelensky 2 ruto. Ruto ukiangalia ata sura yake kipua utajuwatu uyu ni mwizi bilashaka. Amekuwa akionge sana haana ata upanafrika uyu bwana
inchi km Kenya 'ni inchi zenye asili ya kiyahudi kwanini Kenya wahanze tena urafiki n'a marekani ni raisi mpumbavu ahana akili raisi km ruto akodi Ndege ?🫣🫣🫣🫣🫣🫣 ni ujinga viongozi wa afrika km uyo ruto siasa ajui ahiwezekani raisi kukodi Ndege maraisi wengi ajui wafanye n'ini niwezi
huyu jamaa amekuwa anatumiwa na watu wamagharibi juu ukiangalia huku kwetu madakatri na walimu wako nyumbani kwa mshahara duni alafu yeye ni mwenye kusafiri safari nyingi sasa hata anakoroga na hafai juu hazileti faida kivyovyote
Njia gani ya kwenda Marekani kwa bei nafuu hasa ukiwa Kiongozi wa Nchi, hivi kweli unapewa Mwaliko na Rais wa Marekani alafu ujibane kwenye Mashirika ya ndege na abiria kibao?? Rutto ana kasoro zake kama Binadam lakini kwahili vaa viatu vyake
Ndugu zetu tusiwalaumu sana wao washakua mashiga tayali sasa mikundu ikikosa breki unahisi vichwa vitaweza kufikilia ??? Wametuangusha sana ndugu zetu tangia waukubali ushoga na kuuhalakiaha mambo yamewaharibikia sana ndio maana hata papa wa kanisa katholic alivyotangaza uhalali wa mashoga kufunga ndoa Ajinsia moja makanisani hakuongea chochote ambao waliandamana walikua waisilamutu pekeyao laki waisilamu kenya siowengi kama wakristo ndio maana ilesheria ilipitishwa mungu atunusurutu 😮😮😮😮😢😢😢😢
Kwani Tanzania mashoga na wasagaji hawapo? Je imejalalishwa? Viongozi wanasiri kubwa usiongee ukamaliza, mbona hawakuliweka kwenye katiba ikiwa nirahisi?
Kilicho ongelewa hapa ni pesa aliyoitumia sio mambo ya ushoga au usagaji, shoga ni shoga na msagaji ni msagaji hayo ni maamuzi ya mtu mwenyewe akiona shetani ndie anaemuongoza, Tanzania mbona mashoga na wasagaji wapo wengi tu na wanajulikana,hatua gani wamechukuliwa? Huko sio kuwalea?
Na huko Pwani ndio mashoga mmejaaa kuwemo wewe ,ukiacha unafikiri utafika mbali ,mashoga wengi wana majina Fulani hivi , na wapo siku nyingiii sana ,tumia akili vzr na sio hisia
@@emmadora7848 mashoga hawana majina maalumu usiongozwe na hisia hata wewe, sio pwani wala nchi kavu,kila mahali mashoga na wasagaji wapo, na ingekua ni pwani tu nchi za wazungu wasingekua wanaongoza kwa mashoga na wasagaji
@@africanmandetraveler2847 Mnh ett nin!? Hv umesahau mama ametokea ktk mikono ya R I P nani vlee nadhani unamjuwa cz ata mabeberu waliisoma no.enzi za uhai wake hivyo ninaima mama hawezi kutuangusha istoshe anafahamu
Wee mwandishi Acha unoko mbona raisi wetu samia suruhusu anasafili saana tofauti na magufuri Hujawai sema au unaogopa kufa yenu yawashinda KAZI umbea tuu 😔😞😔
Mimi huwa nasema shida sio nchi za magaribi shida viogonzi wa kiafirica hao ndoo wanafanya Africa iwe masikini
UMEONA 👍🏿
VIONGOZI SIO shida! Shida ni sisi wananchi hatujielewi na wala hatuna maono ya kujisimamia, HATUJIPENDI kwaio kiongozi akiingia anajua asilimia kubwa watu wanaakili za hovyo ndio maana wanafanya ivyo anaona bora ajipigie zake asepe.. chukulia mfano MAGUFULI alivyopondwa na watu na ile hali alikuwa anatuamsha hivi kama tungemlinda kwa gharama yule RAISI kwa wingi wetu unafikiri angekufa kirahisi vile?? kwaio mwisho wa siku hata tukipata RAISI mzuri kama RAIA hatujitambui ni kazi bure. SISI tunatakiwa kujielewa kwanza kabla ya viongozi na hata sheria tutazisimamisha sisi na viongozi tutamuwaweka mzuri.
Kweli kabisaa
MIKATABA NDIOOO
INAWAPONZA NAKADHALIKA
Mimi mkenya ila raisi wetu mwehu sana
Samia na Ruto wanapenda sna ndege
😹😹
Hivi unaanzaje labda kutowa pesa zote hizo huku wananchi wanalia nja 😢 wakamuangalie Ibrahim Traore
AFRICA BILA
UZALENDO WETU
BAINA YETU NI NGUM
SANA KBS KUENDELEA
Sio uzalendo wan ubinafsi sana.
Kwahakika inasikitisha sana
Yaani ujinga ujinga ujingaaaaa kabisaaaa yaaani kiufupi hana hoja yoyote ile ya kujitetea
huyu Ruto alianza hii tabia mwaka 2013 mwezi wa tatu alitumia 100 million kenya shillings kuzunguka APA AFRIKA NA PRIVATE JET
Na bado anazitunia had uchaguz ujao watanyooka tuu
Hawa Kenya hawa nivigeugeu waiosomeka ni afadhali ya TANZANIA❤🎉
boss ruto si wakenya
Hanna kitu pia
😅😅Ndiooo_🤦🏿♀️ 😅😅
@@3erffeoui86 ni wa wp
Mimi ni mkenya sioni faida ya Ruto kwenda merekani
Huoni faida... Just go right now and see how many deals he has signed
@@MelodyDanteh98Ame saini ushoga tu 😢😢
😭😭
@@MelodyDanteh98what deals uko kenya kweli he was anable to fight floods which deals bro pple sufering out here and u r saying deals
siasa ya kwetu mbona mmeikalia kmy lipuwa na yakwetu tu maana afazali ya kenya
😂😂😂😂 thubutu wanaogopa ila kusema za wenzao tu hodari
Nasikia pesa ya kenya inathamani sana ngoja Ruto awafundishe jinsi ya kuitumia.
Eee bwana 1000 kwa 22000
😂😂😂😂😂
Kama niwamarekani ndio wana shida nasisi mbona yeye ndie ameenda Marekani? Afrika bado tuko watumwa kwanini yeye biden asije kenya😭😭
SUBUTU & SAHAU DUAA
Africa bado watumwa
NDIOOO KULIFAHAM LEO?
Yaa true 😎😎😎👍👍👍
AMEENDA KU LEGALIZE USHOGA KENYA .
Kenya Rwanda,agenti, wa nchi za magaribi,,,vivan uganda
Eeweeeeeh_🤔
ndio maana Tanzania mtazidi kua maskini.
Baadhi ya viongozi wa afirika ni mazuzu ndiomana kwenye mazishi ya marikia walitengwa ata samia alienda kuchezea hela wakatuambia ameenda kwa faidi adi leo hatujaambiwa faida ya royotua zaidi ya maisha kuwa magumu tu.
Ameenda kuwauzaa wakenya cc mama alienda kutuuza ufaransa
Wafe wote kwa jina la yesu MUNGU amewapima awafae
Hahaha😂😂😂
Mchambue pia ya kwenu sio ua wenzenu naya kwenu yana washinda
Kulikuwa hamna haja yakutumia pesa zote izo Kwajili yakukodi ndege ya pesa nyingi ivyo..wakati ndege ya serikal ipo na hali za maisha ya wananchi wako wanaishi Kwa maisha magumu
Hata hangezitoa hizo pesa, je raia wangezipata?
SUBUTU KBSAAAAAA
Hapo, Umechambuwa ukweli kaka" Mimi nimu Kenya, nampenda vile una fafanuwa.
Ruto ni snitch tu kikaragosi wa marekani huyo,
Kenya wana ndege nyingi kwann hakutumia moja wapo kuepuk huu ufujaji wa pesa
Wanandege 3 tu nyingine za kukodi
Si bora kenya vipi kuhu😢Tanzania mnajua mama yenu anatumia kiasi gani kila siku kuzurura
Jingazzzz we unatoka kenya ipi??? Pumbavu sana kama sio mkenya usiongele Kenya.
@@aaa64sa13 poor mind
Hajawahi kukodi ndege ya bei hiyo
@@hashimchaoga9566 huna unalojua bora unyamaze
Hovyo, rais bwege
Ruto kama nikweli kafanya ivyo bass kichwa chakwe ni nimweeeeeeeeeeeeee
Kuna mambo makubwa yatakuja kutukuta Ukanda wetu wa East Africa viongozi wetu wanatusinich sana
Bona wa Kenya wana madege kwanini hajachukua hata denge monja ..jiga sana
Hapa ndio ninapomkumbuka Mavufuli, miaka minne mpaka anakufa hajapanda ndege kuwafgata hao majizi wa mali zetu.
Samia kaenda juzi tu kikazi Marekani
China Haina mpinzani
Ame kwenda kuchukuwa Tax America
Hustler
Hana tofauti na bibi titi juzi kati alimkumbatia Macron .
Viongozi wengi wa kiafrika wanapenda sana anasa na kujilimbikizia mali wanapenda vitu vya kifahari
Wananunuwa watu weusi waende wauwawe tu, ambapo nzungu awezi kufa kwa ajili ya mtu mweusi.
Mbona wakenya wanalalamika mbona sisi bi mkubwa anasafiri kila mara??? Au shida kukodi ndege ya TZ??
Kenya washamba sana
Asante kwa hilo jina ubarikiwe
Watu wanateseka Sana aki yeye anatumia pesa hivo 😢😢😢😢😢
Hatuwataki marekani africa
Yani huyu mungu ndio atakae mtosha
Sasa Wakenya wanapiga kelele za nini..wao si ndo wanasemaga wanapesa East Africa😆 na hela Yao kubwa..basi..hela kubwa lazima itumike kikubwa
Wewe hujui unacho kiongea
ndio hapo sasa halafu nimeipenda sana hii koment yako kuhusu wa kenya wanavyosemaga😂😂😂
Na mimi mashangaaaa jamaniii😅😂😂😂
Wanajiona wao ni matajiri😀😀😀😀😀😀😀
@@user-pg2tw8yt4lZarau hizi dunia duaraa jamani cheka leo
Ndo tatizo la viongozi wetu wa Afrika yaani ni vurugu tu wakipata madaraka basi baada ya hapo wanawapa mikopo ya kutununua aiseee tuko nyuma ya muda Afrika
Rais wa ghana alikuwa huku 2008
Kwani Dokta Samia si ameenda US mara kibao sana...😮😮....unasemaje tangu miaka 16...
Kenya bado koloni la wazungu
Huyo mama yenu alipozindua filamu alikuwa nchi gani?? Pambaneni na hali zenu zetu mtuachie mwanzo hamziwezi.
Rangi ya wazungu inawatisha awathamini uafrika wao....
Wanauza raslimali za afrika kwa kuthamini ngozi ya wazungu....
Apo saw
Kaenda kupaisha ushoga kenya kula chuma hicho
Ukimaliz ya Ruto tupe tasimi ya mama Samia katumia sh ngap kweny safar zake
😮😮😮😮😮
Allah atustiri na wamagharibi... wasije wakafanya njia ya kuja tz
We nae si ameweka mzizi hapa ni nani ananyanya raiya huko mbugani Serengeti?
Waje mara ngapi?
Viongozi wa afrika wanafell hapo yaan HUU ni ujinga uliopitiza
Pesa yao inasamanii sana jmn achaaa haitumiee tuuu😂😂😂
Freedom of speech kitu ya maana sana, TZ mnachabua za Kenya lakini hakuna mmoja wa TZ ako na guts kuongelea serikali yao. Waoga tupu.
Kenya mnahera kubwa wacha wapunguze kidogo msije mkashitwa kubeba😂😂
😂😂😂
😂😂😂
Majuto:ubarikiwe
😂😂😂
Amepewa mwaliko na rais wa US. Sasa kuna haja gani ya kubana matumizi? Kula tu. Ee shusha tu na soda ukiwa juu angani. Ndo maana Magufuli hakupenda kusafirisafiri kwenda huko ulaya na marekani. Anajua, atapata hasara kubwa sana sio faida kwa masikini. Wito: viongozi wa Africa. Tuache ushamba. Unaenda kwa wazungu kutafuta nini leo hii? Waje wao huku tule nyama choma ya hapa Tanzania au Kenya. Oky?
Ruto Mutumishi wa wazungu
Ruto ni maskini kila jambo anapelekeshwa ndio amesaini wananchi wake wafilane na wasagane sasa wewe RUTO subiri adhabu ya Allah wala usijione mjaja utasaga meno muda si mrefu
Hakuna hajasaini popote
Kenya kenya inanuka shidah kila kona RUTO UNAHARIBU KENYA YETU NYANGUMI WEWE
wakwetu sisi je?
Ndo kusema Kenya hawana ndege ya Rais? Au hawana ndege za kutosha kwa Rais kuweza kusafiri?
Kikaz?? Kwan mama samia hakwenda kikaz??
Usijaribu kulinganisha rais wetu na Samia
Kenya kashaliw koboga zamani. Ushoga ni,hatari kwa African
Jinga Sanaa hili Ji mtu Mfisadi mkubwa watu tuna dhiki kumbwa mlo kwa siku watushinda🤔
Wa kenya tuko sawa
Pumbavu zenu
Ally samahani uhuru kenya si aliendaga wakati wa trump mpaka akatia aibu kwenye mapokezi na trump na mke wake au hyo ilikuwa ni sio ziara au vp
Ruto pumbavu sana hata hata ushoga atakubari
Wakenya tunao tu mpaka waseme
Kenya nao wanasota kama tz
Kenya moto unawawakia kama sisi tu wa tz hatuchekan 🤣🤣🤣🤣
Bora hata nyie kunamakonda anazunguka hatakama sio kote lakini Sisi wakenya hatuna hata wakumlilia
Bora hata nyie kunamakonda anazunguka hatakama sio kote lakini Sisi wakenya hatuna hata wakumlilia
Mmmmm haya bwana😅😅😅😅😅
The problem of Africa is their leaders nothing else
Vibaraka wamagribi walioshindikana duniani
1 zelensky
2 ruto. Ruto ukiangalia ata sura yake kipua utajuwatu uyu ni mwizi bilashaka. Amekuwa akionge sana haana ata upanafrika uyu bwana
Izzo ni gaharama za usafiri.Malazi,hoteli itafika m400😂😂
Zakayo ni bure sana
Mpuuzi italeta matunda wakati italeta ushoga na usagaji na kuibiwa rasilimali
Wanaongozaaaa mbumbu ndo mana cha kuwafanya hatuna daaaaa
amefanya ujingasana
Upumbavu uhuu
inchi km Kenya 'ni inchi zenye asili ya kiyahudi kwanini Kenya wahanze tena urafiki n'a marekani ni raisi mpumbavu ahana akili raisi km ruto akodi Ndege ?🫣🫣🫣🫣🫣🫣 ni ujinga viongozi wa afrika km uyo ruto siasa ajui ahiwezekani raisi kukodi Ndege maraisi wengi ajui wafanye n'ini niwezi
Hasra sio poa
Uyu ame anza kuharibu mapema
huyu jamaa amekuwa anatumiwa na watu wamagharibi juu ukiangalia huku kwetu madakatri na walimu wako nyumbani kwa mshahara duni alafu yeye ni mwenye kusafiri safari nyingi sasa hata anakoroga na hafai juu hazileti faida kivyovyote
Ruto niwakala wawazunguu
Nachukiyasana hilo kama mkenya
Mnatuchanganya nyie
Kwani ruto ameanda kuuza meno au naona yeye tu meno yako inje sina simo
Njia gani ya kwenda Marekani kwa bei nafuu hasa ukiwa Kiongozi wa Nchi, hivi kweli unapewa Mwaliko na Rais wa Marekani alafu ujibane kwenye Mashirika ya ndege na abiria kibao?? Rutto ana kasoro zake kama Binadam lakini kwahili vaa viatu vyake
Waafrica nyie ni waginga sana nitamkumbuka magufuli wngu
Mnachambua Sana Habali za Selekali za nchi nyingine mbona Tanzania hamjawahi
ukapimwe akili kwanza ndiyo uje ukomenti
Wakat tz kunaumaskin wakunuka bado wana ng,ang,ania kuchambua injizawatu
Ndugu zetu tusiwalaumu sana wao washakua mashiga tayali sasa mikundu ikikosa breki unahisi vichwa vitaweza kufikilia ??? Wametuangusha sana ndugu zetu tangia waukubali ushoga na kuuhalakiaha mambo yamewaharibikia sana ndio maana hata papa wa kanisa katholic alivyotangaza uhalali wa mashoga kufunga ndoa Ajinsia moja makanisani hakuongea chochote ambao waliandamana walikua waisilamutu pekeyao laki waisilamu kenya siowengi kama wakristo ndio maana ilesheria ilipitishwa mungu atunusurutu 😮😮😮😮😢😢😢😢
Kwani Tanzania mashoga na wasagaji hawapo? Je imejalalishwa? Viongozi wanasiri kubwa usiongee ukamaliza, mbona hawakuliweka kwenye katiba ikiwa nirahisi?
Kilicho ongelewa hapa ni pesa aliyoitumia sio mambo ya ushoga au usagaji, shoga ni shoga na msagaji ni msagaji hayo ni maamuzi ya mtu mwenyewe akiona shetani ndie anaemuongoza, Tanzania mbona mashoga na wasagaji wapo wengi tu na wanajulikana,hatua gani wamechukuliwa? Huko sio kuwalea?
Na huko Pwani ndio mashoga mmejaaa kuwemo wewe ,ukiacha unafikiri utafika mbali ,mashoga wengi wana majina Fulani hivi , na wapo siku nyingiii sana ,tumia akili vzr na sio hisia
@@emmadora7848 mashoga hawana majina maalumu usiongozwe na hisia hata wewe, sio pwani wala nchi kavu,kila mahali mashoga na wasagaji wapo, na ingekua ni pwani tu nchi za wazungu wasingekua wanaongoza kwa mashoga na wasagaji
Hakuna katiba humu nchini Kenya imekubaliwa jambo la usagaji,weka akilini
Ruto 😂😂😂
Wakenya gani acha porojo wewe nkt
Vitu mtu anakata taxe adi watu wa TH-cam
Mnh tz tuwe makini na kenya
Nawakongomani
SuleimaniSalim:Tz ndio wakamilifu duniani?acha zarau usione ndio mmefika sana dunia duara
@@user-ui5zo9re8bukisema unawajuwa watu wenu😂ndio wazuri utashangaa ukiwa peke yako kuna mengi usiyoyajuwa kuhusu ndugu zako
Unadhania samia akiitwa hataenda ,mbona juzi kaenda kwa mfaransa juzi na mfaransa ana kataliwa sana Africa ya magharibi.
@@africanmandetraveler2847 Mnh ett nin!? Hv umesahau mama ametokea ktk mikono ya R I P nani vlee nadhani unamjuwa cz ata mabeberu waliisoma no.enzi za uhai wake hivyo ninaima mama hawezi kutuangusha istoshe anafahamu
Ujinga mtupu
Wee mwandishi Acha unoko mbona raisi wetu samia suruhusu anasafili saana tofauti na magufuri Hujawai sema au unaogopa kufa yenu yawashinda KAZI umbea tuu 😔😞😔
Ruto malekani wakikusifia ujuee wewe ni shonga
Ujinga huwo bora wangejenga shure au kupunguza codi kwa wananchi
Kabisaaa❤