WAKENYA wachukizwa baada ya kudaiwa RAIS RUTO amekodi NDEGE kwa TZS Bil.3.9 kwenye ziara ya MAREKANI

แชร์
ฝัง

ความคิดเห็น • 173

  • @user-es7jn7cp5d
    @user-es7jn7cp5d 28 วันที่ผ่านมา +59

    Mimi huwa nasema shida sio nchi za magaribi shida viogonzi wa kiafirica hao ndoo wanafanya Africa iwe masikini

    • @atutweve4160
      @atutweve4160 28 วันที่ผ่านมา +7

      UMEONA 👍🏿

    • @GodahMartin
      @GodahMartin 28 วันที่ผ่านมา

      VIONGOZI SIO shida! Shida ni sisi wananchi hatujielewi na wala hatuna maono ya kujisimamia, HATUJIPENDI kwaio kiongozi akiingia anajua asilimia kubwa watu wanaakili za hovyo ndio maana wanafanya ivyo anaona bora ajipigie zake asepe.. chukulia mfano MAGUFULI alivyopondwa na watu na ile hali alikuwa anatuamsha hivi kama tungemlinda kwa gharama yule RAISI kwa wingi wetu unafikiri angekufa kirahisi vile?? kwaio mwisho wa siku hata tukipata RAISI mzuri kama RAIA hatujitambui ni kazi bure. SISI tunatakiwa kujielewa kwanza kabla ya viongozi na hata sheria tutazisimamisha sisi na viongozi tutamuwaweka mzuri.

    • @paulinewangila-cs6ys
      @paulinewangila-cs6ys 28 วันที่ผ่านมา +7

      Kweli kabisaa

    • @allahisone6386
      @allahisone6386 28 วันที่ผ่านมา +2

      MIKATABA NDIOOO
      INAWAPONZA NAKADHALIKA

    • @john_1trader
      @john_1trader 27 วันที่ผ่านมา +1

      Mimi mkenya ila raisi wetu mwehu sana

  • @sponsor7882
    @sponsor7882 28 วันที่ผ่านมา +9

    Samia na Ruto wanapenda sna ndege

  • @user-zm8nq6xv8o
    @user-zm8nq6xv8o 28 วันที่ผ่านมา +21

    Hivi unaanzaje labda kutowa pesa zote hizo huku wananchi wanalia nja 😢 wakamuangalie Ibrahim Traore

    • @allahisone6386
      @allahisone6386 28 วันที่ผ่านมา +1

      AFRICA BILA
      UZALENDO WETU
      BAINA YETU NI NGUM
      SANA KBS KUENDELEA

    • @user-uo8xw9kr4b
      @user-uo8xw9kr4b 27 วันที่ผ่านมา

      Sio uzalendo wan ubinafsi sana.

    • @user-zm8nq6xv8o
      @user-zm8nq6xv8o 27 วันที่ผ่านมา +1

      Kwahakika inasikitisha sana
      Yaani ujinga ujinga ujingaaaaa kabisaaaa yaaani kiufupi hana hoja yoyote ile ya kujitetea

  • @3erffeoui86
    @3erffeoui86 28 วันที่ผ่านมา +10

    huyu Ruto alianza hii tabia mwaka 2013 mwezi wa tatu alitumia 100 million kenya shillings kuzunguka APA AFRIKA NA PRIVATE JET

    • @idatonymassawe
      @idatonymassawe 28 วันที่ผ่านมา +3

      Na bado anazitunia had uchaguz ujao watanyooka tuu

  • @matukiotvonline6366
    @matukiotvonline6366 28 วันที่ผ่านมา +21

    Hawa Kenya hawa nivigeugeu waiosomeka ni afadhali ya TANZANIA❤🎉

    • @3erffeoui86
      @3erffeoui86 28 วันที่ผ่านมา

      boss ruto si wakenya

    • @mwawekomiuda9779
      @mwawekomiuda9779 28 วันที่ผ่านมา +1

      Hanna kitu pia

    • @allahisone6386
      @allahisone6386 28 วันที่ผ่านมา


      😅😅Ndiooo_🤦🏿‍♀️ 😅😅

    • @matukiotvonline6366
      @matukiotvonline6366 27 วันที่ผ่านมา

      @@3erffeoui86 ni wa wp

  • @TakarTeko
    @TakarTeko 28 วันที่ผ่านมา +36

    Mimi ni mkenya sioni faida ya Ruto kwenda merekani

    • @MelodyDanteh98
      @MelodyDanteh98 28 วันที่ผ่านมา

      Huoni faida... Just go right now and see how many deals he has signed

    • @MamyHamso
      @MamyHamso 28 วันที่ผ่านมา +4

      ​@@MelodyDanteh98Ame saini ushoga tu 😢😢

    • @allahisone6386
      @allahisone6386 28 วันที่ผ่านมา


      😭😭

    • @john_1trader
      @john_1trader 27 วันที่ผ่านมา +1

      ​@@MelodyDanteh98what deals uko kenya kweli he was anable to fight floods which deals bro pple sufering out here and u r saying deals

  • @show...002
    @show...002 28 วันที่ผ่านมา +11

    siasa ya kwetu mbona mmeikalia kmy lipuwa na yakwetu tu maana afazali ya kenya

    • @HansChuma
      @HansChuma 28 วันที่ผ่านมา +2

      😂😂😂😂 thubutu wanaogopa ila kusema za wenzao tu hodari

  • @omarybakunda2554
    @omarybakunda2554 28 วันที่ผ่านมา +7

    Nasikia pesa ya kenya inathamani sana ngoja Ruto awafundishe jinsi ya kuitumia.

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 28 วันที่ผ่านมา +1

      Eee bwana 1000 kwa 22000

    • @golebenson4597
      @golebenson4597 27 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂😂😂

  • @BHTV-ly4jf
    @BHTV-ly4jf 28 วันที่ผ่านมา +7

    Kama niwamarekani ndio wana shida nasisi mbona yeye ndie ameenda Marekani? Afrika bado tuko watumwa kwanini yeye biden asije kenya😭😭

    • @allahisone6386
      @allahisone6386 28 วันที่ผ่านมา +1

      SUBUTU & SAHAU DUAA

  • @slowdns3694
    @slowdns3694 28 วันที่ผ่านมา +16

    Africa bado watumwa

    • @allahisone6386
      @allahisone6386 28 วันที่ผ่านมา

      NDIOOO KULIFAHAM LEO?

    • @user-nb6yh2bn9y
      @user-nb6yh2bn9y 28 วันที่ผ่านมา

      Yaa true 😎😎😎👍👍👍

  • @khadijaalimohd1320
    @khadijaalimohd1320 28 วันที่ผ่านมา +3

    AMEENDA KU LEGALIZE USHOGA KENYA .

  • @paschalfausitine7108
    @paschalfausitine7108 28 วันที่ผ่านมา +12

    Kenya Rwanda,agenti, wa nchi za magaribi,,,vivan uganda

    • @allahisone6386
      @allahisone6386 28 วันที่ผ่านมา

      Eeweeeeeh_🤔

    • @mwalimunyerere
      @mwalimunyerere 27 วันที่ผ่านมา

      ndio maana Tanzania mtazidi kua maskini.

  • @user-gx4jx4gv9l
    @user-gx4jx4gv9l 28 วันที่ผ่านมา +3

    Baadhi ya viongozi wa afirika ni mazuzu ndiomana kwenye mazishi ya marikia walitengwa ata samia alienda kuchezea hela wakatuambia ameenda kwa faidi adi leo hatujaambiwa faida ya royotua zaidi ya maisha kuwa magumu tu.

  • @lugelosanga5798
    @lugelosanga5798 28 วันที่ผ่านมา +5

    Ameenda kuwauzaa wakenya cc mama alienda kutuuza ufaransa

    • @JuliusSenyael-ej6hg
      @JuliusSenyael-ej6hg 28 วันที่ผ่านมา

      Wafe wote kwa jina la yesu MUNGU amewapima awafae

    • @benardmakori4012
      @benardmakori4012 27 วันที่ผ่านมา

      Hahaha😂😂😂

  • @papamukulu1045
    @papamukulu1045 28 วันที่ผ่านมา +3

    Mchambue pia ya kwenu sio ua wenzenu naya kwenu yana washinda

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 28 วันที่ผ่านมา +7

    Kulikuwa hamna haja yakutumia pesa zote izo Kwajili yakukodi ndege ya pesa nyingi ivyo..wakati ndege ya serikal ipo na hali za maisha ya wananchi wako wanaishi Kwa maisha magumu

    • @barrynzeyimana6270
      @barrynzeyimana6270 28 วันที่ผ่านมา +1

      Hata hangezitoa hizo pesa, je raia wangezipata?

    • @allahisone6386
      @allahisone6386 28 วันที่ผ่านมา


      SUBUTU KBSAAAAAA

  • @Elizabeth-gq9kl
    @Elizabeth-gq9kl 28 วันที่ผ่านมา +3

    Hapo, Umechambuwa ukweli kaka" Mimi nimu Kenya, nampenda vile una fafanuwa.

  • @criminalminds7723
    @criminalminds7723 28 วันที่ผ่านมา +4

    Ruto ni snitch tu kikaragosi wa marekani huyo,

  • @aminatanzanya7475
    @aminatanzanya7475 28 วันที่ผ่านมา +5

    Kenya wana ndege nyingi kwann hakutumia moja wapo kuepuk huu ufujaji wa pesa

    • @Soon815
      @Soon815 27 วันที่ผ่านมา

      Wanandege 3 tu nyingine za kukodi

  • @dorambaga2667
    @dorambaga2667 28 วันที่ผ่านมา +4

    Si bora kenya vipi kuhu😢Tanzania mnajua mama yenu anatumia kiasi gani kila siku kuzurura

    • @aaa64sa13
      @aaa64sa13 28 วันที่ผ่านมา

      Jingazzzz we unatoka kenya ipi??? Pumbavu sana kama sio mkenya usiongele Kenya.

    • @dorambaga2667
      @dorambaga2667 28 วันที่ผ่านมา

      @@aaa64sa13 poor mind

    • @hashimchaoga9566
      @hashimchaoga9566 28 วันที่ผ่านมา

      Hajawahi kukodi ndege ya bei hiyo

    • @dorambaga2667
      @dorambaga2667 28 วันที่ผ่านมา

      @@hashimchaoga9566 huna unalojua bora unyamaze

  • @king_maik6375
    @king_maik6375 28 วันที่ผ่านมา +3

    Hovyo, rais bwege

  • @christopherkanyalakc8941
    @christopherkanyalakc8941 28 วันที่ผ่านมา +4

    Ruto kama nikweli kafanya ivyo bass kichwa chakwe ni nimweeeeeeeeeeeeee

  • @khalidsuleiman4588
    @khalidsuleiman4588 28 วันที่ผ่านมา +2

    Kuna mambo makubwa yatakuja kutukuta Ukanda wetu wa East Africa viongozi wetu wanatusinich sana

  • @moseskulola6913
    @moseskulola6913 28 วันที่ผ่านมา +3

    Bona wa Kenya wana madege kwanini hajachukua hata denge monja ..jiga sana

  • @nassercurtis9579
    @nassercurtis9579 28 วันที่ผ่านมา +2

    Hapa ndio ninapomkumbuka Mavufuli, miaka minne mpaka anakufa hajapanda ndege kuwafgata hao majizi wa mali zetu.

  • @adamkapolo8817
    @adamkapolo8817 28 วันที่ผ่านมา +2

    Samia kaenda juzi tu kikazi Marekani

  • @EsromuKamwela-ol9uo
    @EsromuKamwela-ol9uo 28 วันที่ผ่านมา +2

    China Haina mpinzani

  • @mamakekhubeiby4206
    @mamakekhubeiby4206 28 วันที่ผ่านมา +2

    Ame kwenda kuchukuwa Tax America

  • @kwisa4899
    @kwisa4899 27 วันที่ผ่านมา

    Hustler

  • @africanmandetraveler2847
    @africanmandetraveler2847 28 วันที่ผ่านมา +2

    Hana tofauti na bibi titi juzi kati alimkumbatia Macron .

  • @omarysaid8725
    @omarysaid8725 27 วันที่ผ่านมา

    Viongozi wengi wa kiafrika wanapenda sana anasa na kujilimbikizia mali wanapenda vitu vya kifahari

  • @uwezojaninosgospelartist1432
    @uwezojaninosgospelartist1432 28 วันที่ผ่านมา +2

    Wananunuwa watu weusi waende wauwawe tu, ambapo nzungu awezi kufa kwa ajili ya mtu mweusi.

  • @johnnkelebe7360
    @johnnkelebe7360 28 วันที่ผ่านมา +1

    Mbona wakenya wanalalamika mbona sisi bi mkubwa anasafiri kila mara??? Au shida kukodi ndege ya TZ??

  • @KhamisOmar-kt4kz
    @KhamisOmar-kt4kz 28 วันที่ผ่านมา +3

    Kenya washamba sana

  • @AAa-it7nx
    @AAa-it7nx 28 วันที่ผ่านมา +1

    Watu wanateseka Sana aki yeye anatumia pesa hivo 😢😢😢😢😢

  • @MasterOil-qm6vw
    @MasterOil-qm6vw 28 วันที่ผ่านมา +2

    Hatuwataki marekani africa

  • @trizereve3386
    @trizereve3386 28 วันที่ผ่านมา +1

    Yani huyu mungu ndio atakae mtosha

  • @Zenny89
    @Zenny89 28 วันที่ผ่านมา +13

    Sasa Wakenya wanapiga kelele za nini..wao si ndo wanasemaga wanapesa East Africa😆 na hela Yao kubwa..basi..hela kubwa lazima itumike kikubwa

    • @mesaidikazungu4299
      @mesaidikazungu4299 28 วันที่ผ่านมา

      Wewe hujui unacho kiongea

    • @user-pg2tw8yt4l
      @user-pg2tw8yt4l 28 วันที่ผ่านมา

      ndio hapo sasa halafu nimeipenda sana hii koment yako kuhusu wa kenya wanavyosemaga😂😂😂

    • @rithadonatus8110
      @rithadonatus8110 28 วันที่ผ่านมา

      Na mimi mashangaaaa jamaniii😅😂😂😂

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 28 วันที่ผ่านมา

      Wanajiona wao ni matajiri😀😀😀😀😀😀😀

    • @paulinewangila-cs6ys
      @paulinewangila-cs6ys 28 วันที่ผ่านมา

      ​@@user-pg2tw8yt4lZarau hizi dunia duaraa jamani cheka leo

  • @braystuskibassa3842
    @braystuskibassa3842 28 วันที่ผ่านมา +2

    Ndo tatizo la viongozi wetu wa Afrika yaani ni vurugu tu wakipata madaraka basi baada ya hapo wanawapa mikopo ya kutununua aiseee tuko nyuma ya muda Afrika

  • @fikirimutambala4330
    @fikirimutambala4330 28 วันที่ผ่านมา +2

    Rais wa ghana alikuwa huku 2008

  • @magnificententertainment9328
    @magnificententertainment9328 28 วันที่ผ่านมา +1

    Kwani Dokta Samia si ameenda US mara kibao sana...😮😮....unasemaje tangu miaka 16...

  • @akidashekue163
    @akidashekue163 28 วันที่ผ่านมา +2

    Kenya bado koloni la wazungu

    • @Swahili37
      @Swahili37 28 วันที่ผ่านมา +1

      Huyo mama yenu alipozindua filamu alikuwa nchi gani?? Pambaneni na hali zenu zetu mtuachie mwanzo hamziwezi.

  • @johnmalembo6464
    @johnmalembo6464 28 วันที่ผ่านมา +1

    Rangi ya wazungu inawatisha awathamini uafrika wao....
    Wanauza raslimali za afrika kwa kuthamini ngozi ya wazungu....

  • @josepheriah5977
    @josepheriah5977 28 วันที่ผ่านมา +1

    Apo saw

  • @FatumaMamlo-st8pj
    @FatumaMamlo-st8pj 27 วันที่ผ่านมา +1

    Kaenda kupaisha ushoga kenya kula chuma hicho

  • @aminatanzanya7475
    @aminatanzanya7475 28 วันที่ผ่านมา +1

    Ukimaliz ya Ruto tupe tasimi ya mama Samia katumia sh ngap kweny safar zake

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 28 วันที่ผ่านมา

      😮😮😮😮😮

  • @mohamedaley5632
    @mohamedaley5632 28 วันที่ผ่านมา +1

    Allah atustiri na wamagharibi... wasije wakafanya njia ya kuja tz

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 28 วันที่ผ่านมา +1

      We nae si ameweka mzizi hapa ni nani ananyanya raiya huko mbugani Serengeti?

    • @mwawekomiuda9779
      @mwawekomiuda9779 28 วันที่ผ่านมา

      Waje mara ngapi?

  • @kassimbayuu5217
    @kassimbayuu5217 28 วันที่ผ่านมา +1

    Viongozi wa afrika wanafell hapo yaan HUU ni ujinga uliopitiza

  • @AnuHassani
    @AnuHassani 27 วันที่ผ่านมา

    Pesa yao inasamanii sana jmn achaaa haitumiee tuuu😂😂😂

  • @jeffchurum1431
    @jeffchurum1431 26 วันที่ผ่านมา

    Freedom of speech kitu ya maana sana, TZ mnachabua za Kenya lakini hakuna mmoja wa TZ ako na guts kuongelea serikali yao. Waoga tupu.

  • @MajutoElliasi
    @MajutoElliasi 28 วันที่ผ่านมา +3

    Kenya mnahera kubwa wacha wapunguze kidogo msije mkashitwa kubeba😂😂

    • @user-pg2tw8yt4l
      @user-pg2tw8yt4l 28 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂

    • @Gabixtz
      @Gabixtz 28 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂

    • @paulinewangila-cs6ys
      @paulinewangila-cs6ys 28 วันที่ผ่านมา

      Majuto:ubarikiwe

    • @True20137
      @True20137 27 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂

  • @user-cw8zn2dn6m
    @user-cw8zn2dn6m 28 วันที่ผ่านมา +1

    Amepewa mwaliko na rais wa US. Sasa kuna haja gani ya kubana matumizi? Kula tu. Ee shusha tu na soda ukiwa juu angani. Ndo maana Magufuli hakupenda kusafirisafiri kwenda huko ulaya na marekani. Anajua, atapata hasara kubwa sana sio faida kwa masikini. Wito: viongozi wa Africa. Tuache ushamba. Unaenda kwa wazungu kutafuta nini leo hii? Waje wao huku tule nyama choma ya hapa Tanzania au Kenya. Oky?

  • @user-mm5td4rz8t
    @user-mm5td4rz8t 27 วันที่ผ่านมา

    Ruto Mutumishi wa wazungu

  • @MussaSuleiman-ui9fy
    @MussaSuleiman-ui9fy 28 วันที่ผ่านมา +2

    Ruto ni maskini kila jambo anapelekeshwa ndio amesaini wananchi wake wafilane na wasagane sasa wewe RUTO subiri adhabu ya Allah wala usijione mjaja utasaga meno muda si mrefu

  • @golebenson4597
    @golebenson4597 27 วันที่ผ่านมา

    Kenya kenya inanuka shidah kila kona RUTO UNAHARIBU KENYA YETU NYANGUMI WEWE

  • @kwisa4899
    @kwisa4899 27 วันที่ผ่านมา

    wakwetu sisi je?

  • @amriseleman9395
    @amriseleman9395 28 วันที่ผ่านมา

    Ndo kusema Kenya hawana ndege ya Rais? Au hawana ndege za kutosha kwa Rais kuweza kusafiri?

  • @mrshazychannel3359
    @mrshazychannel3359 28 วันที่ผ่านมา +1

    Kikaz?? Kwan mama samia hakwenda kikaz??

    • @Swahili37
      @Swahili37 28 วันที่ผ่านมา

      Usijaribu kulinganisha rais wetu na Samia

  • @paschalfausitine7108
    @paschalfausitine7108 28 วันที่ผ่านมา

    Kenya kashaliw koboga zamani. Ushoga ni,hatari kwa African

  • @MuniraShughuli-kc7vj
    @MuniraShughuli-kc7vj 28 วันที่ผ่านมา

    Jinga Sanaa hili Ji mtu Mfisadi mkubwa watu tuna dhiki kumbwa mlo kwa siku watushinda🤔

  • @SharaMan-yn9px
    @SharaMan-yn9px 28 วันที่ผ่านมา

    Wa kenya tuko sawa

  • @muddjigal4096
    @muddjigal4096 28 วันที่ผ่านมา

    Ally samahani uhuru kenya si aliendaga wakati wa trump mpaka akatia aibu kwenye mapokezi na trump na mke wake au hyo ilikuwa ni sio ziara au vp

  • @SM-fu1yv
    @SM-fu1yv 28 วันที่ผ่านมา

    Ruto pumbavu sana hata hata ushoga atakubari

  • @mr_kajomba_og5719
    @mr_kajomba_og5719 28 วันที่ผ่านมา

    Wakenya tunao tu mpaka waseme

  • @simonmartin5358
    @simonmartin5358 28 วันที่ผ่านมา

    Kenya nao wanasota kama tz

  • @lisawilliam2491
    @lisawilliam2491 28 วันที่ผ่านมา +2

    Kenya moto unawawakia kama sisi tu wa tz hatuchekan 🤣🤣🤣🤣

    • @AAa-it7nx
      @AAa-it7nx 28 วันที่ผ่านมา +1

      Bora hata nyie kunamakonda anazunguka hatakama sio kote lakini Sisi wakenya hatuna hata wakumlilia

    • @AAa-it7nx
      @AAa-it7nx 28 วันที่ผ่านมา +1

      Bora hata nyie kunamakonda anazunguka hatakama sio kote lakini Sisi wakenya hatuna hata wakumlilia

  • @emanuelidamiani2943
    @emanuelidamiani2943 28 วันที่ผ่านมา

    Mmmmm haya bwana😅😅😅😅😅

  • @johannesrwiza
    @johannesrwiza 27 วันที่ผ่านมา

    The problem of Africa is their leaders nothing else

  • @thelonewolf4429
    @thelonewolf4429 28 วันที่ผ่านมา

    Vibaraka wamagribi walioshindikana duniani
    1 zelensky
    2 ruto. Ruto ukiangalia ata sura yake kipua utajuwatu uyu ni mwizi bilashaka. Amekuwa akionge sana haana ata upanafrika uyu bwana

  • @golebenson4597
    @golebenson4597 27 วันที่ผ่านมา

    Izzo ni gaharama za usafiri.Malazi,hoteli itafika m400😂😂

  • @hassangaddafi2347
    @hassangaddafi2347 28 วันที่ผ่านมา

    Zakayo ni bure sana

  • @MasterOil-qm6vw
    @MasterOil-qm6vw 28 วันที่ผ่านมา

    Mpuuzi italeta matunda wakati italeta ushoga na usagaji na kuibiwa rasilimali

  • @lugelosanga5798
    @lugelosanga5798 28 วันที่ผ่านมา

    Wanaongozaaaa mbumbu ndo mana cha kuwafanya hatuna daaaaa

  • @chazy7ya216
    @chazy7ya216 27 วันที่ผ่านมา

    amefanya ujingasana

  • @FrankMushi-cs5js
    @FrankMushi-cs5js 28 วันที่ผ่านมา +1

    Upumbavu uhuu

  • @ebengapierre8826
    @ebengapierre8826 27 วันที่ผ่านมา

    inchi km Kenya 'ni inchi zenye asili ya kiyahudi kwanini Kenya wahanze tena urafiki n'a marekani ni raisi mpumbavu ahana akili raisi km ruto akodi Ndege ?🫣🫣🫣🫣🫣🫣 ni ujinga viongozi wa afrika km uyo ruto siasa ajui ahiwezekani raisi kukodi Ndege maraisi wengi ajui wafanye n'ini niwezi

  • @christopherkanyalakc8941
    @christopherkanyalakc8941 28 วันที่ผ่านมา

    Hasra sio poa

  • @Sidrasidra636
    @Sidrasidra636 27 วันที่ผ่านมา

    Uyu ame anza kuharibu mapema

  • @ARNOLDKARISA-fs3ht
    @ARNOLDKARISA-fs3ht 27 วันที่ผ่านมา

    huyu jamaa amekuwa anatumiwa na watu wamagharibi juu ukiangalia huku kwetu madakatri na walimu wako nyumbani kwa mshahara duni alafu yeye ni mwenye kusafiri safari nyingi sasa hata anakoroga na hafai juu hazileti faida kivyovyote

  • @zuberisalum2004
    @zuberisalum2004 28 วันที่ผ่านมา

    Ruto niwakala wawazunguu

  • @Elizabeth-gq9kl
    @Elizabeth-gq9kl 28 วันที่ผ่านมา

    Nachukiyasana hilo kama mkenya

  • @JuliusSenyael-ej6hg
    @JuliusSenyael-ej6hg 28 วันที่ผ่านมา

    Mnatuchanganya nyie

  • @rehemashariff3119
    @rehemashariff3119 28 วันที่ผ่านมา

    Kwani ruto ameanda kuuza meno au naona yeye tu meno yako inje sina simo

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ 28 วันที่ผ่านมา

    Njia gani ya kwenda Marekani kwa bei nafuu hasa ukiwa Kiongozi wa Nchi, hivi kweli unapewa Mwaliko na Rais wa Marekani alafu ujibane kwenye Mashirika ya ndege na abiria kibao?? Rutto ana kasoro zake kama Binadam lakini kwahili vaa viatu vyake

    • @swalehemusa4546
      @swalehemusa4546 28 วันที่ผ่านมา +1

      Waafrica nyie ni waginga sana nitamkumbuka magufuli wngu

  • @user-kg8dn6qr8o
    @user-kg8dn6qr8o 28 วันที่ผ่านมา +2

    Mnachambua Sana Habali za Selekali za nchi nyingine mbona Tanzania hamjawahi

    • @PAULNYANDILE
      @PAULNYANDILE 28 วันที่ผ่านมา +1

      ukapimwe akili kwanza ndiyo uje ukomenti

    • @user-tq4lx9si1n
      @user-tq4lx9si1n 28 วันที่ผ่านมา

      Wakat tz kunaumaskin wakunuka bado wana ng,ang,ania kuchambua injizawatu

  • @zaidiissa3714
    @zaidiissa3714 28 วันที่ผ่านมา +4

    Ndugu zetu tusiwalaumu sana wao washakua mashiga tayali sasa mikundu ikikosa breki unahisi vichwa vitaweza kufikilia ??? Wametuangusha sana ndugu zetu tangia waukubali ushoga na kuuhalakiaha mambo yamewaharibikia sana ndio maana hata papa wa kanisa katholic alivyotangaza uhalali wa mashoga kufunga ndoa Ajinsia moja makanisani hakuongea chochote ambao waliandamana walikua waisilamutu pekeyao laki waisilamu kenya siowengi kama wakristo ndio maana ilesheria ilipitishwa mungu atunusurutu 😮😮😮😮😢😢😢😢

    • @fatumamwalimu5765
      @fatumamwalimu5765 28 วันที่ผ่านมา

      Kwani Tanzania mashoga na wasagaji hawapo? Je imejalalishwa? Viongozi wanasiri kubwa usiongee ukamaliza, mbona hawakuliweka kwenye katiba ikiwa nirahisi?

    • @fatumamwalimu5765
      @fatumamwalimu5765 28 วันที่ผ่านมา +1

      Kilicho ongelewa hapa ni pesa aliyoitumia sio mambo ya ushoga au usagaji, shoga ni shoga na msagaji ni msagaji hayo ni maamuzi ya mtu mwenyewe akiona shetani ndie anaemuongoza, Tanzania mbona mashoga na wasagaji wapo wengi tu na wanajulikana,hatua gani wamechukuliwa? Huko sio kuwalea?

    • @emmadora7848
      @emmadora7848 28 วันที่ผ่านมา

      Na huko Pwani ndio mashoga mmejaaa kuwemo wewe ,ukiacha unafikiri utafika mbali ,mashoga wengi wana majina Fulani hivi , na wapo siku nyingiii sana ,tumia akili vzr na sio hisia

    • @fatumamwalimu5765
      @fatumamwalimu5765 28 วันที่ผ่านมา

      @@emmadora7848 mashoga hawana majina maalumu usiongozwe na hisia hata wewe, sio pwani wala nchi kavu,kila mahali mashoga na wasagaji wapo, na ingekua ni pwani tu nchi za wazungu wasingekua wanaongoza kwa mashoga na wasagaji

    • @paulinewangila-cs6ys
      @paulinewangila-cs6ys 28 วันที่ผ่านมา

      Hakuna katiba humu nchini Kenya imekubaliwa jambo la usagaji,weka akilini

  • @kikongajoel2693
    @kikongajoel2693 28 วันที่ผ่านมา

    Ruto 😂😂😂

  • @Swahili37
    @Swahili37 28 วันที่ผ่านมา

    Wakenya gani acha porojo wewe nkt

  • @user-yp9el7xp8g
    @user-yp9el7xp8g 26 วันที่ผ่านมา

    Vitu mtu anakata taxe adi watu wa TH-cam

  • @SuleimanSalim-ql3ny
    @SuleimanSalim-ql3ny 28 วันที่ผ่านมา +3

    Mnh tz tuwe makini na kenya

    • @user-ui5zo9re8b
      @user-ui5zo9re8b 28 วันที่ผ่านมา

      Nawakongomani

    • @paulinewangila-cs6ys
      @paulinewangila-cs6ys 28 วันที่ผ่านมา

      SuleimaniSalim:Tz ndio wakamilifu duniani?acha zarau usione ndio mmefika sana dunia duara

    • @paulinewangila-cs6ys
      @paulinewangila-cs6ys 28 วันที่ผ่านมา

      ​@@user-ui5zo9re8bukisema unawajuwa watu wenu😂ndio wazuri utashangaa ukiwa peke yako kuna mengi usiyoyajuwa kuhusu ndugu zako

    • @africanmandetraveler2847
      @africanmandetraveler2847 28 วันที่ผ่านมา

      Unadhania samia akiitwa hataenda ,mbona juzi kaenda kwa mfaransa juzi na mfaransa ana kataliwa sana Africa ya magharibi.

    • @SuleimanSalim-ql3ny
      @SuleimanSalim-ql3ny 28 วันที่ผ่านมา

      @@africanmandetraveler2847 Mnh ett nin!? Hv umesahau mama ametokea ktk mikono ya R I P nani vlee nadhani unamjuwa cz ata mabeberu waliisoma no.enzi za uhai wake hivyo ninaima mama hawezi kutuangusha istoshe anafahamu

  • @user-zm8nq6xv8o
    @user-zm8nq6xv8o 28 วันที่ผ่านมา

    Ujinga mtupu

  • @user-nb6yh2bn9y
    @user-nb6yh2bn9y 28 วันที่ผ่านมา +1

    Wee mwandishi Acha unoko mbona raisi wetu samia suruhusu anasafili saana tofauti na magufuri Hujawai sema au unaogopa kufa yenu yawashinda KAZI umbea tuu 😔😞😔

  • @edisonbayona-rz9ed
    @edisonbayona-rz9ed 28 วันที่ผ่านมา

    Ruto malekani wakikusifia ujuee wewe ni shonga

  • @chikusangalala7759
    @chikusangalala7759 28 วันที่ผ่านมา +1

    Ujinga huwo bora wangejenga shure au kupunguza codi kwa wananchi