Kuvunja contract waliyoisha ingia siyo rahisi.... msiba ukitokea kwa msanii huwezi ahirisha.....kwa kuwa huyo msanii likimpata hataweza kurudi tena kuperform. ...hivyo nyie watangazaji munadadavua kitoto sana......
Waandishi km wehu nyie ushasema aliomba sio kuamlisha saw jua kutofautisha
Kuvunja contract waliyoisha ingia siyo rahisi.... msiba ukitokea kwa msanii huwezi ahirisha.....kwa kuwa huyo msanii likimpata hataweza kurudi tena kuperform. ...hivyo nyie watangazaji munadadavua kitoto sana......