Ukimuon tyuuu Ivan na mike ujue mbele Kuna jambooo😂😂💔 wale singoo singwengwee tunaenjoy tukiw wapiiii😂tuloon mapenz ni usenge tukajikit kweny biasharaa😂 raise IP your hand😂
Kama unajiona huwezi kuhudumia Dem kijana mwenzang tafadhali tulia tafuta hela,,upwiru ukizid nunua pisi moja kali kula punguza upwiru kaendelee na mapambano,, kuna muda maisha yetu hayahitaji tuwe na mahusiano ila tunalazimisha,vinginevyo kila mwanamke utaona malaya kumbe vijana ttzo ni lako.jipate kwanza then mapenzi
We nae ulikuwa wp mda wote huwo watu tumemiss mavitu jamanii me umeniboa ivani bwana kila siku naingia hapa lakin wap naandika pingine taona umepost lakin wap kah ivani nilikumiss mpaka naumwaa
Kama Ulinimiss Dondosha Kopa Hapa😂❤.
Sana kak❤❤
❤tulikumis mno
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
❤❤❤❤🎉🎉
Mapenz Konyoooo Kbs😂😂❤
Congratulations broo,kwa kazi yako,
Ukimuon tyuuu Ivan na mike ujue mbele Kuna jambooo😂😂💔 wale singoo singwengwee tunaenjoy tukiw wapiiii😂tuloon mapenz ni usenge tukajikit kweny biasharaa😂 raise IP your hand😂
Kama unajiona huwezi kuhudumia Dem kijana mwenzang tafadhali tulia tafuta hela,,upwiru ukizid nunua pisi moja kali kula punguza upwiru kaendelee na mapambano,, kuna muda maisha yetu hayahitaji tuwe na mahusiano ila tunalazimisha,vinginevyo kila mwanamke utaona malaya kumbe vijana ttzo ni lako.jipate kwanza then mapenzi
Waambie baadhi ya wanaume hawajielewii kama huwezi kunihudumia mwanamke achana nae
Kama wew hupend mapenzi hap kopa❤🎉
King 🤴 Ni kiredio But Unafanya Vizuri piaa Broo Hongeraa
Toka hapa na ww
Huyo ni zuwena tu😅😅😅
Leo nimekuwa wa kwanza naombe lake zenu jamnii
Wanawake niwapumbavu Sana kwanjia leo siwaamini tena wanawake
Ht nyie wapumbavu
jama humble sn, pole sana brother 🙏
Big up.bro
Mpenzi mwenyewe Marim shwaaaaaaa😅😅😁😆😆😂😆😂😆😂😆😂🏃♀️🏃♀️🏃♀️
Jina la mama angu 😂😂
😂😂😂 rasmi narud kwa mpenz wangu football ⚽️ ⚽️ ⚽️ ⚽️ mapenzi nyoko
😂 ila Ivan ety tuone zuwena alivyoanza kubadika 😂😂
Ivani 😅😅 we mbea 😅😅😅😅😅😅😅😅
Toa part mbili ✌️ww acha makelele😂😅😂
Daah mapenzi nyokooo
Daaaah mapenzi nyokoooo 😢😢
Kipenzi cha wamenifu ❤
hahahahaha hii iliwahi nikuta Mimi ila nilipotezea maana jamaa yangu nilimwambia kila kitu kumbe anataka nae ale
Mwamba anazingua sana 😮
Nlikumiss San ❤❤😅
Kwa mara ya kwanza namuona mtuhumiwa akiwa mpole mara nyingi huwa wa babe hatar 😅😅😂😂
Nasibu umepooza sana mwanetu hata hadi kwenye kuongea je kwenye shoo utachangamka kweli,ndio maana mtoto kautaka wa shemeji yake😂
Et mnajuanaa😂😂😂😂 sema Ivan mnafki sanaa 😂😂
Ivan,,pga kazi
umaskini 😢 ukimuona naseeb na jamaa, jamaa anamuonekano 😢
Ilah jamaa yup sahih kam angeongea mapem jamaa angemuon mwanae choko
Yangu imeshindikana ivn😢
Ila Ivan ety Zuwenaa😂😂
Sas utaskilizaj voice kam kaomba nanilii je hapo jmn so vzur 😂
Natamani kuiona sehemu ya mwisho😅
Nilikumiss san❤❤❤❤
Ivan utakuj upigwe vibay Zuwena imetokea wap😅😅
Ddu mda tuliboreka sana napenda hii channel hataree mapenzi konyoo Ivan 1 7 Mimi nipo single 😄😄Raha tupu
😂😂acha kutuongopea alie single ni bikla tu
Yaani mwanamke sio mtu wa kumuamini kabisa😂😂😂
Wahisha part2🤣🤣
Zuwena ka toka wapi tena kk.
Saiv sina comment part two vep hahahahah Mapenzi nyokooo Kweli tunakufaa mapemaaa😂😂😂😂
Nasibu jaman anaongea kipole anatamani kulia 😂😂😂😂
Dah😢
❤❤❤tuko pamoja
Ningekupata ningekunyanyasa😅😅
Ee jaman mkaka wawatu mpolee..siunipende Ata mimi muhanga wa mapenz mwenzio
😂😂😂mliwazane sio
Mapenzi nyokooooo
Kumenoga leo 😮
😂😂😂😂dah!! nasubria kwanza part 2 ndo ntatoa comment 😅
😂😂😂 mbona ushatoa comment lovenes
Part two lin jamaniiiij
Unachukua Time Kuskiliza voice zanini Kaka. Vidio inakua Ndefu. Unatunyima uhondo. Ushampata point Dem ka Chenji sa Voice zanini
nani kawahi kama mm nipeni like zangu
🔥🔥🔥🔥🔥🎉🎉🎉
Mapenzi jamani mm niliumia mpka sina hisia na mtu yeyote kiukweli yni naisi wote ni walewale
hisia zimeshatukata kabisa yan siumii tena kuhusu mapenzi
uyo anamchiti kabisa,yan anavyojib uyo msichana ni dhahir anacheat
@AgnessDaud-jk7ro eeeeeh bt maisha sjui yaenda wp km una ndoa watmani ukiipata haliniiyo
Tatizo mnaenda Kwa watu wasio sahii waaminifu tupo lkn mnaishia kutuumiza
@AyshaAli-f7q mmmh wala c ivo wallah ila mungu ndyo akimu
Kijana tafuta maendeleo tafuta Ela mapenz yapo na yatakuwepo siku zote huo muda wa kukaa kuongelea mapenzi ni muda wa kuingiza pesa acha uvivu
Kiredio alitoa ajira jmn😊
Alf katulia kaogopa kufa mway😂😂
Dah et zuwenaa 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Nakupend mm ❤❤❤❤❤
Uongo mtamu una muda mchache wa kuishi ila ukweli mchungu una muda mrefu wa kuishi.Naishi nayo hiyo.
vijana tutafute ndevu aisee,,, hapo changamoto ni ndevu tu apo kijana angefuga ndevu kama uyo mwenzie
❤
Maaammaaaa😂
Wee ivan ety zuwena kabadilika😂😂😂😂
Wa kwanza mapenzi konyo😂😂😂
😂😂😂mnatoana kwenye kazi Kuja kukaa kikao cha kwaajili ya mwanamke😂
Hahahahaha 😅😅
😂
Usiwke hizo saond za kucheka cz ni kit Cha maan
Jamaa n mnyamwez flan iv
❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Jamaa haudumii mwanamke , sasa anategemea nin
Uwiiii naogopa hata kuwa na mahusiano kwa staili hii hv kweli napata mwanaume sahihi mmmmh naogopa jmn waweza kufa na pressure tusome Kwanzaa
Wanaume acheni kumbembeleza wanawake
❤🎉
Mapenzi konyo ivan 😂😂😂
Mapenz kulanina 15:28
Samahani sana 🤣🤣🤣🤣❤
Mwak umeanz kuchangamk
Aachane na wanawake atafute pesa ukiwa nazo watakuja wa kila haina hadi wazungu utachagua wa kuzagamua
Ubaya ubwela chasambi+ kamala
Kumekucha kumekucha Rip mzee majuto
Sasa umezunguka huo mda wote siungesema tu mapema Hadi bando langu linakata
Vijana wengine hawa provide chochote alaf wanahitaji kupendwa mxiiu
Ahuzurie kikao tuu huyo jamaa hupendwi tembea
❤❤
Hicho kisaut chakinafk eti maaamma
Wacha nipambane na kazi omani mapenzi kwa sasa hakuna
We nae ulikuwa wp mda wote huwo watu tumemiss mavitu jamanii me umeniboa ivani bwana kila siku naingia hapa lakin wap naandika pingine taona umepost lakin wap kah ivani nilikumiss mpaka naumwaa
Maskin kaka alivyo mpore duuh mapenz haya
Kasongo yeye kasongo we
Fanyakazi sana
😂😢😮
Vijana tutafute pesa
Tafuten pesa jaman muachane ujinga
Mbona utumi sas Part 2 na umesema n leo saa 1:00
❤😂😂
Nassibu na rafiki yako wala msivunje urafiki wenu coz ya uyo kisarakasi nyie pambaneni na life na wenyewe mmekutana wastaarabu mpk raha
Natafut mchamb
😂😂😂😂😂😂
Mimiwa 7 haha nipe za kwangu
Daaaah mapenzi nyokoooo 😢😢
❤❤❤❤
❤❤❤
❤❤