🔴
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 20 ก.ย. 2024
- 🔴#Live: TUNDU LISSU - LIPUMBA - MBOWE WATEMA MOTO HALI ya UTEKAJI - MAUAJI - DEMOKRASIA NCHINI....
💪💯JIUNGE NA GROUP LETU LA WHATSAPP UWE MWANAFAMILIA WA GLOBAL TV🔥🔥 chat.whatsapp....
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
JIUNGE NA GROUP LETU LA WHATSAPP UWE MWANAFAMILIA WA GLOBAL TV chat.whatsapp.com/Kh8n9Xk0OWJ0bE75nzavlm
Huu mkutano ungepewa jina la 4R alichokuwa ni maono ya Mh.Rais.niseme tukubaliane na maazimio yake .Watanzania tunusurike na tunacho kuona mbele.Asante kwa walio fuatilia Mkutano huu.❤
Rais angalikuwa na mawazo haya basi Watanzania wasingalifikia hatua hii!
👍mawazo yako ni mazuri mueshimiwa selasini.watu watakufa na mlicho Fanya muandamae msipate
Mlidanganywa kabisa kwa sababu mlikuwepo huko nyuma kwake yeye kuanza kusema amewaruhusu amekuwa na kiburi kana kwamba hamkuwepo huko nyuma.
Wengine wako nasimu hao wako tu bora liende labda ni CCM. HAWA ONI LO LOTE LA MAANA.
Nadhani Selasini hawafahamu vizuri CCM!basi njoo Zanzibar uelezwe CCM haswaaa walivyo!tokea baada ya chaguzi nini kilitokea na nini wameahidi na nini walifanya!
Nafuatilia sana hayo mazungumzo.
Hata sisi wanainchi tunaitaji KATIBA sasa hivi. Kwa sababu tumeisha kuwa watumwa wa huyu Mzanzibari
Swala la divide and rule liko wazi
Mkutano mzr kwa lipi!,mambo ya kihuni hayo,jana rais aliwakumbusha kuwa kumbukeni mlikotoka huko nyuma na sasa hivi mko wapi,mmepewa uhuru mnatukana watu,nyie kawaida yenu ni kunyimwa uhuru,hamna lolote jipya
Uhuni umetoka wapi hapo akili yako haichaji
Kwani hili limama mzanzibari hana uchungu wa watanganyika na wanainchi wake yeye anatamani sana watanganyika waishe kabisa.
Selasini nimependa mawaxo yako sana
Na sasa hivi kweli mmekaa hapo na mko wasomi wazuri kwa nini hamgusi pia muungano ambayo haupo ila ni kiini macho ya Tanganyika inayong'ang'ania muungano kwa unafiki mtupu. Hakuna muungano inakuaje Zanzibar iko na serikali yao na kila kitu? Kwahiyo hakuna muungano ikiwa na maana maraisi wa Inchi nyingine?
Lisu ha jui Tanzania ya UZALENDO
Polisi na Samia ni wauwaji wakubwa. Huyu mzanzibari ni muuwaji mkubwa hili limama halijali watanganyika na polisi wote ni wachawa.
Nyote mliokaa hapo mnajua kabisa rules za fair play. Hata watoto wadogo wanajua huwezi kuwa refa na mchezaji. Watanzania tunawashangaa sana. Wanasiasa nchi hii msipoteze mda wenu buree. Achaneni ni siasa za refa mchezaji.
Hawa wapinzani wamshachoka kwa kweli ! Umri umeshawaacha warudi nuumbani watulie maana mpk unaonea huruma dah
Tarehe 23/9/202 maandamano yasifanyike viongozi wakidini na serikari na wanaccm wakae pamoja Rais wetu samia awepo kwakuwa ni amirijeshi vurugu ikiwepo eleweni hakuna adui baba mama watoto tutauuana sisi kwa sisi wanajeshi pamoja jeshi la polisi ni watoto wa vyama vyote vilivyopo Tz kwanini kuuana?
Mkutano mzuri
Msipoteze muda igeni teams za mpira wa miguu refa hawezi kuwa meneja ya team inayoshondana hapo.kugawana mafungu tu.
Tuanze mchakato wa katiba mpya.
Hili jamaa lenye mandevu mchanganyiko linaoga kiasi gani???!!!! Unaogopa maandamano? Ama una ulichopewa ukasemee serikari!!!???
💪
Ni uonefu wa upande mmoja
Samahani LISU ana penda kweli nchi yetu bila MATUSI?
Yote yanayofanyika kutekwa , kuumwa no ni mazuri2 kwako? Jitafakari
Tupate Katiba mpya kwanza ndipo tufanye uchaguzi.
Hakuna rais hapo watu wanatekwa anakaa kimya agetekwa mtoto wako au mtoto wasamia ungekaa kimya acheni utoto.
Kwani Katiba inasema nini? Katiba ndiyo inakubali maandamano huru, VYAMA vinaruhusiwa na Katiba kwahiyo yeye Samia ni zaidi ya Katiba? Samia acha kutuchanganya na uhuni huo. Ni wewe na Magufuli mlikubaliana kuchukuwa uhuru wa vyama mpaka mkatupora uhuru wa kongea mpaka mkatupira wanainchi kutoa mawazo. Sasa Samia anjifanya ndiye amewarusu! Nadhani hajitambuhi. Yeye kuwa raisi siyo kuwa atunyime kuwa huru kukutana? Hayo ni maajabu kweli mbona hata chama kimoja tulikuwa tunaongea hata vyama vya wafanyakazi walikuwa na nguvu sana. Magufuli na Samia walikuja kuuwa uhuru vyama vya wafanya kazi. Mlimalizwa.
Mr Selasini, kwa nini muiombe Serikali wakati sisi ndio tunaoiweka Serikali madarakani?
Anaombea maana anajitambua, uko na swali jengine?