ขนาดวิดีโอ: 1280 X 720853 X 480640 X 360
แสดงแผงควบคุมโปรแกรมเล่น
เล่นอัตโนมัติ
เล่นใหม่
Mko vzr sana.kwa dar tupande MBEGU GANI bora kwa MAHINDI ya kuchoma marefu
Asante 🙏🙏🙏
Hongeni Sana
Vizuri sana, kazi nzuri, inaleta mwanga...
Asante sana.sijui chochote kuhusu kilimo na ufugaji wa kuku. Nina nia na hamu ya kuwa mkulima. Haswa wa mahind na mbogamboga. Jee, vp ntaweza kupata mafunzo? Asante.
Je ekari moja unabeba mashina mangapi
Mupo vizuri san
Abduli ndanzi
Je unaweza kuchanganya vegmax na super gro kwa pamoja
Asanteee nimepata darasa
nzurii tcha
Mpo vizuri kaka!
Mm nipo mkoa wa tanga nitumie aina gani ya mbegu
Kama sikuweka mbolea ya kukuzia je naweza tumia mbolea gani?
Naomba kujua ni Mbegu aina gan inaweza kistawi mikoa ya mtwara na lindi
Piga simu afisa atakueleza
Kama mkulima najifunza mengi sana ,, shukrani sana
Ahsante sana
Iko poa sana
Mimi nipo kahama ushetu naweza kutumia mbegu gan
Jinsi ya kupanda mahindi kwa kutumia chombo Cha kisasa
Na alizeti mnauza mbegu ya kisasa
Tazama jinsi zao hili lilivyo na faida hadi Mil 2 kwa mwezith-cam.com/video/MTJTuggPKDs/w-d-xo.html
Mko vzr sana.kwa dar tupande MBEGU GANI bora kwa MAHINDI ya kuchoma marefu
Asante 🙏🙏🙏
Hongeni Sana
Vizuri sana, kazi nzuri, inaleta mwanga...
Asante sana.sijui chochote kuhusu kilimo na ufugaji wa kuku. Nina nia na hamu ya kuwa mkulima. Haswa wa mahind na mbogamboga. Jee, vp ntaweza kupata mafunzo? Asante.
Je ekari moja unabeba mashina mangapi
Mupo vizuri san
Abduli ndanzi
Je unaweza kuchanganya vegmax na super gro kwa pamoja
Asanteee nimepata darasa
nzurii tcha
Mpo vizuri kaka!
Mm nipo mkoa wa tanga nitumie aina gani ya mbegu
Kama sikuweka mbolea ya kukuzia je naweza tumia mbolea gani?
Naomba kujua ni Mbegu aina gan inaweza kistawi mikoa ya mtwara na lindi
Piga simu afisa atakueleza
Kama mkulima najifunza mengi sana ,, shukrani sana
Ahsante sana
Iko poa sana
Mimi nipo kahama ushetu naweza kutumia mbegu gan
Jinsi ya kupanda mahindi kwa kutumia chombo Cha kisasa
Na alizeti mnauza mbegu ya kisasa
Tazama jinsi zao hili lilivyo na faida hadi Mil 2 kwa mwezi
th-cam.com/video/MTJTuggPKDs/w-d-xo.html
Mm nipo mkoa wa tanga nitumie aina gani ya mbegu