UTAPENDA! ONA WACHEZAJI WALIVYOFANYIWA SURPRISE YA BIRTHDAY BAADA YA KUWAKANDA TABORA UNITED

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 11 ก.ย. 2024
  • #daimambelenyumamwiko #timuyawananchi

ความคิดเห็น • 307

  • @tahirnephessalum3678
    @tahirnephessalum3678 8 หลายเดือนก่อน +206

    Yanga wanatuzid ktk mambo mengi hasa kwa upande wa management skills... interaction ya management kuu na wachezaji pengine na wafanyakaz wote wa club ni kubwa sana... hakuna matabaka viongozi wanajishusha sana ndo maana unaweza kuona Hersi anataniana na wachezaji utadhan sio rais wa club, pia ushirikishwaji Wa mashabiki wao na club ni mkubwa sana ndo maana wanafanya events kama supu day, utoaji wa misaada kwa wahitaji n k hii inaongeza sana morally kwa wachezaji kuifia timu.. mchezaji ana feel yanga ni yeye na yeye ni yanga hata wachezaji wa kigeni wa yanga wanaonekana kufurahia maisha zaid kuliko wachezaji wa kigeni wa timu zingine... congratulations mtani🎉

    • @user-iv4qe3ox1s
      @user-iv4qe3ox1s 8 หลายเดือนก่อน +19

      Umeongea point sana, wenzetu wana Upendo wa hali ya juu,viongozi wanajishusha daah hii moment hadi raha, Hongera kwao 🎉

    • @ErastoOmari-cx2qv
      @ErastoOmari-cx2qv 8 หลายเดือนก่อน +8

      ❤❤❤❤❤❤❤❤ameni

    • @matukimerchant5170
      @matukimerchant5170 8 หลายเดือนก่อน

      Nimekubali Sana ndugu yetu ulichokiandika. Ijapo wewe ni mtani wetu lakini hukusita kuandika ukweli wa mambo ulivyo. Nadhani hizi timu mbili ukiachilia kutaniana kwamba nimekufunga au umefungwa, ohh! Wewe ni WA mkiani, badala ya hayo yote tungekuwa tunajifunza Nini mtani kafanya vyema zaidi yangu ili nami nijitahidi kukifikia, au timu zingine huko nje zinafanyaje tutohoe, turekebishe Kisha tulete home. Ingekuwa vyema zaidi kwa maendeleo ya soka letu Tanzania.

    • @SwigoJr-vy3gv
      @SwigoJr-vy3gv 8 หลายเดือนก่อน +9

      We are Young African💚💚💛💚

    • @barakawabuge5285
      @barakawabuge5285 8 หลายเดือนก่อน +5

      Hehe

  • @vicentsagudasheyi564
    @vicentsagudasheyi564 8 หลายเดือนก่อน +74

    Tazama inavyopendeza ndugu kukata pamoja Kwa umoja... congratulations...God bless our team Young Africans SC 💚💛🖤

  • @wizfbeb
    @wizfbeb 8 หลายเดือนก่อน +34

    Hii ni zaidi ya timu ya mpira wa miguu. Hii ni familia ya waafrika weusi. Mungu ibariki Yanga Afrika

  • @sharifabahar9905
    @sharifabahar9905 8 หลายเดือนก่อน +39

    🙏💛💚 Mungu awe na nyinyi wakati wote furaha yenu hidumu milele

  • @ahmadsalim4417
    @ahmadsalim4417 8 หลายเดือนก่อน +31

    Dah hii club ina kila sababu ya kupendwa, hongera sana Rais wetu hels kila uchao unazidi kuitofautisha hii timu na vikundi vya waguni, kama katiba ingeruhusu ungekaa kwenye kiti cha urais hati useme basi

    • @imanibakili8028
      @imanibakili8028 8 หลายเดือนก่อน +4

      Ndiyo maana mchezaji akisikia anakuja Yanga hataki kupoteza fursa

  • @awetumtengera1147
    @awetumtengera1147 8 หลายเดือนก่อน +24

    Hongereni kwenu nyote Mungu awajalie afya njema.

  • @HisanHaji
    @HisanHaji 8 หลายเดือนก่อน +35

    Hindiyo Tim pekee yenye upendo mkubwa kwa wachezaji na viyongozi wao hongereni sana yanga Africans

  • @ahamadnalinga6825
    @ahamadnalinga6825 8 หลายเดือนก่อน +9

    So amazing, congratulations Kwa management nzima, mnafanya kazi iliyotukuka

  • @user-wr6dt6xh8t
    @user-wr6dt6xh8t 8 หลายเดือนก่อน +27

    naipenda hii timu mimi jamani,naipenda kwa moyo wangu woooteee mpaka sielewi aaani🥹

    • @paulmushi2428
      @paulmushi2428 8 หลายเดือนก่อน

      Aaaah Happie!!!!! anayestahili kupendwa Kwa moyo wako woooote ni Mungu aliyekuumba na anakupa uhai na fya njema Hadi unapata wakati wa kufurahia!!😅😅 Ipende Yanga Kwa Kwa moyo wako kiduchuuuu😅😅😅 samahani lakini🎉

    • @shamimtunge1664
      @shamimtunge1664 8 หลายเดือนก่อน

      Hunizidi mm kuipenda yanga nipo tayari nisile kwaaajili yao 💛💚

    • @mamboshepea8888
      @mamboshepea8888 8 หลายเดือนก่อน

      @@paulmushi2428 Nadhani ameongelea kati ya vitu anavyovipenda kwa moyo wake wote ni yanga....usimchanganye Mungu na vitu Mungu atabaki kuwa Mungu milele wala hafananishwi na kitu chochote!!

  • @ezekielmirambo8704
    @ezekielmirambo8704 8 หลายเดือนก่อน +22

    Fantastic! All the best!

  • @elizabethrichard4974
    @elizabethrichard4974 8 หลายเดือนก่อน +15

    Nyieeee, yanga wanaishi kwa upendo Hadi Raha🥰💚💚💚, mungu azidi kuwainua yanga yangu💚💚💚

  • @edachengula796
    @edachengula796 8 หลายเดือนก่อน +10

    Nimeipenda hii kiongozi wa kujishusha na kujunuika na wachezaje wake,daima mbele nyuma mwiko🎉

  • @Zubaiba
    @Zubaiba 8 หลายเดือนก่อน +11

    Hongera sana, Allah akuzidishie umri mrefu wenye manufaa ❤🎉🎉🎉

  • @elishamwakihaba942
    @elishamwakihaba942 8 หลายเดือนก่อน +15

    Nyie kweli kwenye umoja, Mungu anabariki ❤

  • @juliusmagoti5650
    @juliusmagoti5650 8 หลายเดือนก่อน +14

    Mchezaji anapata furaha kiasi hiki, lazima aipende team yake, hawezi kuihujumu hata kidogo. Big up

  • @issahpaul4510
    @issahpaul4510 8 หลายเดือนก่อน +10

    Wow!! Nimependa hii love ya wachezaji wetu ❤

  • @mweyoms5548
    @mweyoms5548 8 หลายเดือนก่อน +39

    Pongezi zangu za dhati ni Mhandisi Hersi Said.Ameleta mageuzi,mapinduzi makubwa kwenye uongozi wa Vilabu nchini.Kila staff ya Yanga anatambua kwa nini yupo Yanga.Hii morali na umoja wa wachezaji hauji kibahati mbaya bali hujengwa na UONGOZI THABITI.

  • @amaniomar1755
    @amaniomar1755 8 หลายเดือนก่อน +24

    Yanga raha jamaniiiiiii..........🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
    Kuna tofauti kati ya mwalimu wa ball na Master angalia anavyoshrehekea na vijana wake.

    • @nkosiyabomasuku1795
      @nkosiyabomasuku1795 8 หลายเดือนก่อน +4

      Shabiki bora wa Yanga. Tumekutana tena 🔥

    • @amaniomar1755
      @amaniomar1755 8 หลายเดือนก่อน

      @@nkosiyabomasuku1795 Daima mbele nyuma mwiko. Tabulele laah 🔥🔥🔥🔥

  • @omaryluambano3495
    @omaryluambano3495 8 หลายเดือนก่อน +24

    All the best team yangasc 💛💚💪

  • @mbarakapandu101
    @mbarakapandu101 8 หลายเดือนก่อน +12

    yaan wachezaji wanainjoi hadi raha daima mbele nyuma mwiko

  • @marietaally1941
    @marietaally1941 8 หลายเดือนก่อน +3

    Nzuri sana hii mungu awape afya njema na upendo uendelee asanteni viongozi wetu 🙌🙏🔥💛💚

  • @zakiakondo2849
    @zakiakondo2849 8 หลายเดือนก่อน +10

    Hakika upendo wa hali ya juu 🎉🎉❤

  • @ezekielhaule364
    @ezekielhaule364 8 หลายเดือนก่อน +9

    This is great. We have never seen this before.

  • @naliakafatuma9870
    @naliakafatuma9870 8 หลายเดือนก่อน +9

    MUNGU ni mwema hongera Sana kila la kheri kwenu nyote barikiwa Sana Yanga

  • @raheemsangaya
    @raheemsangaya 8 หลายเดือนก่อน +9

    mapenzi ya Hali ya juu maana halisi ya team work 🎉 big up

  • @Jemisl
    @Jemisl 8 หลายเดือนก่อน +9

    🎉🎉🎉🎉 Happy birthday 🎂🎂🎂🎁🎁

  • @azizambise
    @azizambise 8 หลายเดือนก่อน +16

    So amazing

  • @domisonrichman6499
    @domisonrichman6499 8 หลายเดือนก่อน +4

    What a team ...big up management

  • @TchombaMedard
    @TchombaMedard 8 หลายเดือนก่อน +4

    All the best my big team young Africans SC

  • @nasrafaki3155
    @nasrafaki3155 8 หลายเดือนก่อน +9

    Proud of you boys

  • @JamilaLeonce-x1g
    @JamilaLeonce-x1g 8 หลายเดือนก่อน +1

    💛💚💛💚💛💚🙏🙏👍 Nitimu ambayo ukiwa na mawazo yana kwishaaa tabulele laaaaah

  • @naumimwambuluma4211
    @naumimwambuluma4211 8 หลายเดือนก่อน +5

    Cheers to our players you are the best

  • @user-lp4xj7jr1v
    @user-lp4xj7jr1v 6 หลายเดือนก่อน

    Nawapenda.sana.wanayanga.munapenda.namuna.umoja.hongeren

  • @mahamudhimu7934
    @mahamudhimu7934 8 หลายเดือนก่อน +9

    💚💚💚💚💚💥💥💥💥💥 yanga atali sana

  • @yasinkhatib618
    @yasinkhatib618 8 หลายเดือนก่อน +3

    Walter harison , Appreciate bro🙌

  • @user-by7zf4fh2y
    @user-by7zf4fh2y 8 หลายเดือนก่อน +1

    Hongera sana management ya yanga na crew nzima iliyofanikisha hili mnachokifanya sio tu kuleta furaha kwa wachezaji bali mnawaleta wachezaji pamoja na mnawapa deni wachezaji wapate moyo wa kuipambania team hongereni sana yanga

  • @abdulladosantosjr
    @abdulladosantosjr 8 หลายเดือนก่อน +7

    Zaidi ya familia💛💚

  • @HajiHaji-v9f
    @HajiHaji-v9f 8 หลายเดือนก่อน +20

    Mungu atujaamie tuchukue mpaka champions lig

  • @majidfrolian4904
    @majidfrolian4904 8 หลายเดือนก่อน +17

    Wenzenu upande wa pili tupo tunadundana wenyewe kwa wenyewe 😭😭😭😭😭

    • @ashurahatibu5069
      @ashurahatibu5069 8 หลายเดือนก่อน +1

      😅😅😅

    • @matukimerchant5170
      @matukimerchant5170 8 หลายเดือนก่อน +1

      Poleni ndugu zetu watani. Nawaombeeni muwe sawa. Mpate viongozi. Huongozi mzuri mkiupata mawazingua,. Hivi unajua uongozi wa Barbara na Senzo masingisa ulikuwa na kitu kikubwa, lakini zengwe Hadi wakaondoka. Yawezekana wapo wapiga Dili ambao hawajali maendeleo ya club ila matumbo yao tu. Akitokea kiongozi anayejali maslahi ya club huyo anakuwa adui maana anawazibia mianya ya hufujaji, hivyo vichwani mwao ni ondoa huyu.

    • @Erickmjuni-ev6dc
      @Erickmjuni-ev6dc 8 หลายเดือนก่อน

      Poleni sana watani

    • @augustinomkongwa5444
      @augustinomkongwa5444 8 หลายเดือนก่อน

      Yaani mpaka waseeeeemeeeeee na baadoo hamjaseeeemaaaa 😂😂😂😂

  • @MosesMamaya
    @MosesMamaya 8 หลายเดือนก่อน +4

    ❤❤❤❤ inspendeza sana

  • @ramahkhalfan3657
    @ramahkhalfan3657 8 หลายเดือนก่อน

    mashallah wawooo wawooooh kam barak mpeja injinia baba wew unadunia tako bro 🎉🎉

  • @namdigumagwenge193
    @namdigumagwenge193 8 หลายเดือนก่อน

    Yaani sijui wakumshukuru zaid ya mungu , ametuheshimisha kama sio sisi tuloitwa ombaomba, wazee wa bakuli nyie jmn❤❤❤❤❤❤kila mtu anaejitoa kwa hali na mali kwajili ya YANGA mungu awabariki

  • @fednandnews2240
    @fednandnews2240 8 หลายเดือนก่อน +5

    My team I wish to join with you guys one day for dinner😂😂😂😂

  • @fatmasuleiman3885
    @fatmasuleiman3885 8 หลายเดือนก่อน

    Yanga na uongozi mpo vizuri sana kila mnacho fanya kina ubora zaidi hakika vijana nyie wabunifu sana jongereni mtafikambali ktk kila mnacho tengeneza Daima mbele nyuma mwiko mwanachama yanga damu.💚💚🙏

  • @gracemtonga3263
    @gracemtonga3263 8 หลายเดือนก่อน

    Yaani yanga ni raha na amani tu, gamondi anaruka wachezaji ndo usisene meneja wa team yani daah! Mungu tulindie hii amani na upendo viendelee, daima mbele nyuma mwiko 💚💚💚💚💚💛💛💛💛💛🔥🔥🔥🔥🔥💪💪💪💪💪🎂🎂🎂🎂🎂

  • @immanuelsaringe8571
    @immanuelsaringe8571 8 หลายเดือนก่อน +4

    NIMEIPENDA SANA H KAZI ERIS ANAIFANYA MUNGU AKULINDE NAMABAYA YOTE

  • @hildakiyabo
    @hildakiyabo 8 หลายเดือนก่อน

    Mmetixhaaaaa makolo wanaona wivuuuuuu

  • @remidusmwanandenje-yy5gs
    @remidusmwanandenje-yy5gs 4 หลายเดือนก่อน

    Oyooooooooooooooooo🎉🎉🎉🎉🎉🎉 yanga bingwa adi 230 utaki au😁😁😁

  • @WilliamEzekiel-hv9li
    @WilliamEzekiel-hv9li 8 หลายเดือนก่อน +4

    Kocha amenichekesha full furahaa🎉🎉🎉🎉

  • @user-lp7uq9ql2p
    @user-lp7uq9ql2p 8 หลายเดือนก่อน

    Waoh naipenda hii, wachezaji wangu wote wamezaliwa siku moja, na hii ndio inaitwa kupendana

  • @salimramadhani5237
    @salimramadhani5237 8 หลายเดือนก่อน +3

    Tuna rahaaaaaaaaaaaa bwanaaaaaaa💚💚💚💚💚💚

  • @jacksonlyimo1491
    @jacksonlyimo1491 8 หลายเดือนก่อน

    Mungu awatunze wachezaji wangu na wana Yanga wooootè..Afya amani na furaha kwenu na kwa familia.. zenu. Awape nguvu na ufanisi katika kuwania makombee yooote yalio mbele yetu na kuyachukua kwa kishindo .uwezo na nia tunayo. MUNGU MWEMA

  • @peterjanuary429
    @peterjanuary429 8 หลายเดือนก่อน +3

    My team 😍💚💛

  • @julianashani9408
    @julianashani9408 8 หลายเดือนก่อน +4

    Nawapenda sanaaaa

  • @user-vn3bw7lj3z
    @user-vn3bw7lj3z 8 หลายเดือนก่อน +1

    Iiih laah jaman daaah💛💚💚💚💚💛💪🙏

  • @elizabethismile6827
    @elizabethismile6827 8 หลายเดือนก่อน

    Yani hadi kochaa anaruka ivoo mashalaah .. ❤❤❤❤❤

  • @tumaramadhani3381
    @tumaramadhani3381 8 หลายเดือนก่อน

    Yangaa hii mmh kama unaumwa na kisukari unapona amazing sana naipenda yanga yangu💚💛🧡🖤

  • @magrethyeremia2279
    @magrethyeremia2279 8 หลายเดือนก่อน

    Tazama ilivyo vema nakupendeza ndugu wakikaa pamoja kwa upendo😍🙏🏼

  • @sarahkinyashi6213
    @sarahkinyashi6213 8 หลายเดือนก่อน

    Hii nimeipenda💚💛💪🙏🙏🙏nafurahi kuwa sehemu ya wananchi aisee

  • @SashaOscar
    @SashaOscar 8 หลายเดือนก่อน

    Daaah Yanga raha kwkwl 💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛

  • @ShedrackNgokozela
    @ShedrackNgokozela 8 หลายเดือนก่อน +2

    Mungu awalinde sikuzote jaman mnatupatia furaha sanaaa daah upande wapili uko vipi mnateseka eee

  • @raphaelchauwele3547
    @raphaelchauwele3547 8 หลายเดือนก่อน +2

    Happy birthday to my players 🎉🎉🎉

  • @gabrielmoses6860
    @gabrielmoses6860 8 หลายเดือนก่อน

    Upendo mkubwa sana!!!
    Good management hakika

  • @toz-b
    @toz-b 8 หลายเดือนก่อน

    Sijutiii kuishabikia yangaaa wallah naenjoy

  • @zainaburamadhani1444
    @zainaburamadhani1444 8 หลายเดือนก่อน

    Mansha Allah yanga ya 2022 na 2023 ni mwendo wa furaha amani upendo yani wananchii mmetishaaaa

  • @ibrahimkambi5444
    @ibrahimkambi5444 8 หลายเดือนก่อน +1

    Muendelee kupendana wananchiiiiii

  • @abdurabihassan1188
    @abdurabihassan1188 8 หลายเดือนก่อน +4

    It's all about love❤❤❤❤❤

  • @magrethshishwa5481
    @magrethshishwa5481 8 หลายเดือนก่อน

    Ni zaid ya upendo aisee💚💛💚💛💚

  • @user-iu2cm5um6e
    @user-iu2cm5um6e 8 หลายเดือนก่อน

    Woo hoo ooooo, wanainchiii iiiiiiiiiiii iiiiiiiiiiiiiiiiii

  • @user-ce2xg9wt4s
    @user-ce2xg9wt4s 8 หลายเดือนก่อน +1

    Yanga wapo mbali sana hongera

  • @user-rc8sv9dg2l
    @user-rc8sv9dg2l 8 หลายเดือนก่อน

    Hongera sana kwenu mlioongeza mwaka!

  • @everlynegilleard2745
    @everlynegilleard2745 8 หลายเดือนก่อน

    Akuna wa kutamani kuondoka jamani sio kwa upendo huo mungu ibariki Amani ya timu yetu iendelee kudumu

  • @FaustineBukongolo-wp2fe
    @FaustineBukongolo-wp2fe 8 หลายเดือนก่อน +2

    Oungoz wote Mungu awabari mnafanya kaz kubwa sana

  • @rukaka_jr4514
    @rukaka_jr4514 8 หลายเดือนก่อน +2

    Mmmh kumbe gamond sio mdogo kwenye issue za vibes 😅😅😅

  • @user-je9om4lh5c
    @user-je9om4lh5c 8 หลายเดือนก่อน +1

    Napenda huu upendo jaman!

  • @Octavinaelisa-fn6js
    @Octavinaelisa-fn6js 8 หลายเดือนก่อน +1

    Waooo jamani yanga raha

  • @mayrose9772
    @mayrose9772 8 หลายเดือนก่อน +3

    Ila yangaaaa ni rahaa nfulululu❤

  • @user-vo8bd7ym1n
    @user-vo8bd7ym1n 8 หลายเดือนก่อน

    Hadi raha yanga jaman mmependeza hongereni sana wapendwa💚💚

  • @babycandycharles7816
    @babycandycharles7816 8 หลายเดือนก่อน

    Hongereni Sana wachezaji wetu pamoja na viongoxiwetu kilasiku kufurai pamoja na wachezaji inapendeza Sana hamuishiwi mbunu jamani mpaka waseme mwakahuu upande wa pili wakiambiwa waige hawataki wataisoma namba mwaka huu

  • @PeterLukumay-o1l
    @PeterLukumay-o1l 8 หลายเดือนก่อน

    Yanga timu kubwa tanzania happy barthiday

  • @user-nz6og1cy6v
    @user-nz6og1cy6v 8 หลายเดือนก่อน

    Naipenda yanga nawakubal wananch maana unaambiwa raha jipe mwenyewe ❤❤❤

  • @MysarahMohamed
    @MysarahMohamed 8 หลายเดือนก่อน

    Wachezaji wetu wanapendana mpk wanasisimua💚💛💚💛😇🔰

  • @lawiyorambwiza4100
    @lawiyorambwiza4100 8 หลายเดือนก่อน +3

    Furaha kama Hizi zinapatikana YANGA,ASEC MIMOSA,Madrid

  • @khalidkamanda8154
    @khalidkamanda8154 8 หลายเดือนก่อน

    Big creative plan

  • @Kimweri_tz
    @Kimweri_tz 8 หลายเดือนก่อน +1

    Kwa style hii kila mchezaji atatamani kuchezea Yanga

  • @Erickmjuni-ev6dc
    @Erickmjuni-ev6dc 8 หลายเดือนก่อน

    😂😂 Hao wa dada waliopata bahati ya kupiga picha na Professor Pacome watakua maarufu sana, Love You YANGA, Love You My Team 🔰🔰💛💚💛💚

  • @emanuelmiyonjo4484
    @emanuelmiyonjo4484 8 หลายเดือนก่อน

    Nakubari san yanga daima mbele nyum mwiko

  • @JerinaNguto-vv1gt
    @JerinaNguto-vv1gt 8 หลายเดือนก่อน

    Mubalikiwe,wote,wachezaji,wetu,aph,basdei,toyu

  • @user-eq3pt7uu9i
    @user-eq3pt7uu9i 8 หลายเดือนก่อน

    vibeeee🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 happy birthday to you ... we enjoy together

  • @JumaOmar-ku6cr
    @JumaOmar-ku6cr 8 หลายเดือนก่อน

    Muda wore Yanga wanatengenezewa furaha hiitimu itafika mbali sana

  • @mloganzilahardware4789
    @mloganzilahardware4789 8 หลายเดือนก่อน

    Inapendeza sana

  • @sebapeter8841
    @sebapeter8841 8 หลายเดือนก่อน

    Mhhh mpka mate yamenitoka nimefeel nipo kwenye tukio na mimi hongera yanga sc🎉🎉🎉

  • @user-jc8jt1yp3z
    @user-jc8jt1yp3z 8 หลายเดือนก่อน

    Wapi kharid aucho nampenda sana❤❤❤❤

  • @BarnabaMsigala
    @BarnabaMsigala 8 หลายเดือนก่อน +1

    Gamondi ana vibe sana 😂😂😂 wanaondk kwenye timu watakuwa na simanzi snaa maan cio kwa upendo huo

  • @hamisamajoka3284
    @hamisamajoka3284 8 หลายเดือนก่อน

    Hongeren nyote💚💛💚💛💛💛🎂🎉

  • @kamdinindevu5185
    @kamdinindevu5185 8 หลายเดือนก่อน

    Nice 💚💚💚💚💚💚💚💚💚🎉

  • @JaphetMahona
    @JaphetMahona 8 หลายเดือนก่อน

    Huuuu niupendo jaman upande wapili msituchukie

  • @MulhatRamadhan-fi9or
    @MulhatRamadhan-fi9or 8 หลายเดือนก่อน +2

    Mashaallah

  • @restitutamaganga993
    @restitutamaganga993 8 หลายเดือนก่อน +4

    🎉🎉🎉

  • @raymondvunja371
    @raymondvunja371 8 หลายเดือนก่อน

    Hongeren san wachezaji wangu 💛💚💛💚