WEMA AZUA TIMBWILI GLOBAL, AJIITA YEYE NI CHIZI KULIKO MACHIZI WOOTE!
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 1 เม.ย. 2014
- HOVYOOO! Wema Isaac Sepetu aliye pia Miss Tanzania 2006, amejitoa fahamu kwa kupandisha mzuka na kutinga makao makuu ya Kampuni ya Global Publishers, Bamaga-Mwenge, Dar na kuzua timbwili la aina yake kisa kikiwa ni kuandikwa kwenye gazeti kwa habari zake na mpenziwe, Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz'. (Ilikua ni Feb 2015)
Dhaaa, ungenialika Na mie mamy, wamezid hao. Kaz kuandika vitu ambavyo hazina maana.
Huyu ndio alikuwa Wema Sepetunga lakini sasa hivi ni Dada yetu wa kweli na kimwili chake
sasa umeirusha ya nini io video ilihali umeificha ficha!!?
uv made my night wema roho juu kweli thaz my girl
Safi sana wanafiki wakome Na uongo Na umbeya wa magazeti
Wambeya sana ndio wajue sio kila kitu mitandaon kiko ok kaumiya ndio maannkaamua kufanya kweli wajue yupo ok wambea kibao waongee na hili
Mm sijaona alichokesea wema hapo kwani hata kama ingekuwa wew lazima kwani kusingiziwa mchezo
pamoja wemaa tilisha adabu wasofuzwa na wazazi wao
Just take it easy dear wema dat u will pass through being a celebrity all in all focus on ur lyfe don mind about anythng
Yeah my dear wema you did well. Waambie hao mikundu wasenge wanaotafuta pesa kupitia jina lako. Kenge hao
Safi sanaa mitando mmezid mwanamke kujiamin mbona waziba sasa achan live waone kwenye makosanpajulikane sionkuongeya tuh nishidaaa mpen nafasi atende haki yake sio kuzuia mnaongeya snaa kuchafua mnajua kaumiya sanaa hajapenda
Wema umetisha umewakmesha wamezidi kuandika taarifa zingine za kumdhalilisha mtu hiyo ndiyo dawa safi sana
Ndivyo alivyo huyu sis Ahh niatari sana!
Muacheni Wema jameni mimi sioni ubaya alifanya ku kiss mtu nikawaida. Si si wa Africa tunazidi jameni
Wema hukwenda kiugomvi ungemvalia kikaptura ukatafuta ufata uso wake nukamnyofoa pua yake na kumuwashia makonde yauso angekoma uongo uyo......
Even if something went wrong you should know the approach & not entering an office kama ww kamanda,au ulishazoea scandals. My brother,erick shingogo is ahumany being who understands pipo and very generous
Heeeeheee safi sana wema kunguta wote hao mabwege wamezoea onea dogodogo ndo mana...piga vunja vunja kabisa hekhekhek...nimefurahi sana aisere
Watanzania kwa kupesti hamjambo story ya siku nyingi sana msimzidishie mwezenu machungu
duuuuh ni shidaaaaa
ndo inavyotakiwa big up wema
NAFASI ZA MAOMBI, FURSA ZA KIBIASHARA DAR ES SALAAM
ONLINE BUSINESS OPPORTUNITY
Kampuni inatafuta watu walio makini na utayari watakaojiunga na online social network business platform, watakaofanya kazi full time ama part time na kulipwa Tsh 200,000 kwa siku, kutumia simu yako ya mkononi ama laptop kwa kuweka tu system ya kampuni.
MAHITAJI
1.Uwe na smart phone, ama laptop iliyounganishwa Internet.
2. Uwe tayari kufanya kazi bila usimamizi wowote na ujitume.
3. Uwe na maono yaliyo chanya ( positive).
4. Uwe na umri wa miaka 18 na kuendelea.
5.Uwe mkazi wa DAR ES SALAAM na VIUNGA VYAKE.
6.Uwe tayari kufika ofisini siku na muda utakao hitajika.
✔kama unahitaji kuwa miongoni mwa fursa hii Tuma neno NAHITAJI
Kwenda WHATSAPP namba:-
0654004438,
kwajili ya kujumuishwa ndani ya list ya kampuni na kupewa mafunzo na Siku,tarehe, na mahali utakapoitwa ofisini, DAR ES SALAAM
WHATSAPP PEKEE
good muvi one day i will do it
Well done wema.
Haaswaaaa ivyo ndivyo inavyotakiwa dada yangu sepetu
Kumbe na wew kiboka big up😄😄😘
i
Safi sana my big up
safi sana wema kanyaga
kweliiii
Shetan anaaibishwa kwa style hiyo uko na siku nyingne usirudie kutuma upofu wa namna hiyo
hata kama umekosewa vipi huwez vamia ofis za watu kiasi hicho ,,,,,fuata utaratib wa kufile ur complains ...zaid amejichora tu
Safi xana damn wema wamezidi xana umbea
wanakosa habari wanaamuwa kuchafuwa majina yawatu
Mbona Mmeziba Tulitaka Kumuona Uyo Mmbwa Wa Kiume Anaebweka Bweka Kwasababu Uwezi Kumchafua Mtu Arafu Aje Kulalamika Wewe Unakuja Juu Inamana Unaitaji Umgeuze Mwenzio Kipato Cha Kukupa Pesa Uku Yeye Aenderee Kuzalilika Uyo Jamaa Aliebweka Ni Panya Kweli Asiejitambua Ata Kidogo
Mbona picha Nzuri sana 😁😁
Wema rduce azira na uelewe kwamba mti wenye matuta hulingwa mawe zoea io m2 wangu
Hatarii
Wape wape haoooo
Wanawake wanatakiwa wawe kama weww
mmeamua kuweka video online why putting squareblur....
Mission imeharibika!! Walitaka kurekodi In My Shoes lakini bahati mbaya Global waligundua na kuharibu kamera na SD card!! Ha ha ha!
mnaboa kwel kwenyeutam mnaficha Ss ndyo nn, BC msingeweka hyopicha kabisa tujuemoja kulikoni kufichaficha.
j malanga hahaha
@@saidsimba8586 😂😂😂😂
wafundishe dada wawe ethical
Uongo wenu mwishowe utaharibu kazi zenu
waandashi wengi Wa tz yaani ni wavivu kweli kutafuta information zenye ukweli matokeo yake wanaandika pumba tuu kila siku.mnashindwa kutumia taaluma zenu vizur .
tamaa ikishakukomaa huzaa dhambi na dhambi ikikomaa huzaa mauti. ndo hats hofu ya mungu hana huyu MTU, mwisho wake si mzuri asipobadilika.
uzuri wandege manyoyaa uzuri wa mwanamke kujiaminiiii
Mamb
Wema wangu kujiamini n poa awo watu awana kazi wapewe jembe waende kwa shamba waache kuaribia wema sifa tafadhari
wema kiboko aisee, mtoto, mkali hazeek haaa
mmezidi umbea 2mewachoka wanaume kama
Why are they blocking the images? Did they try to fight a woman? Damn....!
Yani nimejisikia vibaya sana Tanzania jamani sio vizuri. Shigongo acha kabisa tabia ya kumchafua mtoto wa mwenzio mwisho wa siku utajikuta segerea bila kutarajia. Wakina papa hawajawahi zania siku watakaaa jela. Habari nyingi sio lazima za kumzalilisha ...puuuuuuu
Pigaaa hao global ..... eti kampuniiii.... pigaaaa haoooo... wanaacha kutoa taarifa za msingi kwa wananchii wanaleta ushubwadaaa ... pigaaaa hao na hizo high heels 😂
wema Hiyo movi Itakua Kari kwa mwaka zaidiya wimbo wa darasa
Umeona heèh!
noma xanaaaaaaaaaaaaaaaaaa
wema moto!
Anaingiaje kwenye ofisi za watu namna hiyo huyo bwege..Hakuna polisi nini..Anatukana matusi machafu kwenye ofisi za watu .
My dear wema hasira zinaleta balaa,global niwaelewa ungetafuta mwafaka namkurugenzi besides that is an office for someone& pipo are at work my dear punguza presha yako utjikuta namengine that's not a solution
hilo ni kesi sasa ambalo amefanya wema hawezi kufanya fujo osifini kwa watu
Kazi kwerikweri
Dada amechukia Sana , alitakiwa kushtaki polisi tu na wangesimama mahakamani angepata haki yke
Ivi huyo dada ni Imelda Mtema
Safi sana wema,vitasa tu ndo dawa yao
Duh!
safi sana fck global
mnabiaa Sana vyombo vya habari vya tz kutoa habari za uwongo ndio madhar yakee haya
kweli umevulugwa wema
Tafuta haki yako na binaadamu yyte yule hawez kustahamili mambo machafu km ayo pamoja Dada vzr ulichokifanya
Wema Alikuwa sawa wamezidi kutunga ujinga. Mbona hii hajalalamika kuitwa chizi. Si kasdma kweli
iyo movie inatoka lini jmn
Safi dada ake 😘😘😘
Safi wema wamezidi hao wangekua wananunua stories za watu ndo wanaziandika kilasiku we we tu wanakuharibia sembe hao
Mnazuia nn liwema linapigwa libib ilo
good xana yani
funza adabu hao wakosa haya wanapenda kuzua sana
damn
waandishi kanjanja hakuna vya muhimu kuandika kwa ajili ya mandeleona ustawi wa TZ yetu umefany poa WEMA
Is this a movie or what??? Kinda crazy.
Daaah wema hatari
ahhaa akikosea ndo hivi likn it
Hatar
Remember ww ni kioo chawatu A miss Tanzania & mwenye jina ukupaswa kuchukua uwamz huo wema plse, ww siyo kicha unataka kua kicha ?plse wema change your behaviour ungemwambia auntie Ezekiel angekushauri
kwendeen hukoooo,mbonaaa mnafchaaaa
Kalikua karembo
sasa kweli umekuwa wema na hautaki ujinga,umetoa kipigo ,watakuheshimu wasenge wote
nyie global TV wajeuli mbona mmeza pictures
Wema.ajitambiwi.uyo.i.like.kipara.nafuta.umo.raha.tu
Kiboko anaenda kupigana akiwa uchi,,,,kwanza afungwe tumechoka na magazeti yake ya kila ckuuu
ivyo ivyooo
Hahaahah it's wonderful issue actually
aibu gani shiz ryt unamuandik mtu km han wazazi waandike watoto wao ndo they will fill wat dy fill piga hao tena funga..........
Siku nyngn ucsahau kuniarika man np vzr kwny mamb hayo hatar
mmmmh heshima ni mhimu
tatizo na nyie wasanii mmezidi ombea kuletafuta nini? Cheki para kubwa heshima kwa waandishi na nyie waandishi mmezidi kutangaza kaeni kimya angalau kwa 1 saa please and my friends nita washukuru sana na very machoo
hili timbwili la zaidi ya miaka 3
aibu wema
hao global publishers ni hawana habari ni ujingaujinga tu
khaaaaa
uyo wema chiz mungemtia makofi awezi kutamba mbele ya wanaume mpigeni nyembe za USO VIP mabaaria
Mtu mmoja anatoa matusi mibaba mizima mnamwangalia tu!! Nchi yetu haijafkia hatua hyo bhana
maigizo tu hayo kick
Dada wema ulishitakiwa kuvuta bangi leo nimeona faida yake wakomeshe wadaku.
cjaelewa chochote coz global hawaeleweki wala wema mwenyewe,something different was going on here
Hawa sanii watapata tabu sana lana za watu zinaaza kuwapat
Wadada wengi wa kibongo ndio maana mnashindwa hata kuolewa coz akili maji tupu