Napenda consistency ya Mpina. Unapo jibu maswali yake unatakiwa kuwa makini. Najifunza kitu hapa. Hongereni wabunge wa CCM. Hongera mheshimiwa Waziri wa Fedha.
Mpina, Mdee na ....ni majembe wanatusaidia sana. Mengi wabunge hawaelewi ...next uchaguzi kwenye majimbo tuchague wabunge wenye uwezo wa kitaifa. Wanao weza kujadili haya mambo kama haya maana ndo kunapigwa mabillioni.
Sasa huyu mbunge pembeni ya Mwigulu anagonga meza kusherehesha nini sasa???Mwigulu hata umpigieje makofi,huku mitaani mkisikia maneno ya wengi na hawamuamini,mpo humo kwa sababu ya wananchi,na wananchi hawa hawa ndo wanaoongea mashaka yao dhidi ya huyu Mwigulu
Hatuna wabunge wazalendo Kama mpina mpina anaomba wabunge wamuunge mkono kwajambo la msingi kwa taifa lakini wabunge wanashindwa kumuunga mkono kweli bunge letu lipo kwa maslahi yao tu na pia sipika hayupo sawa mpina anatoa hoja za msingi yy anamkatisha kwanin?acha amalize hoja yake ndio umuulize swali bunge lipo kwajili ya kuibana serikali kwa vitu ambavyo sio vya msingi lakin ukiona bunge letu linatetea hata vitu ambavyo vipo nje ya msingi
Napenda consistency ya Mpina. Unapo jibu maswali yake unatakiwa kuwa makini. Najifunza kitu hapa. Hongereni wabunge wa CCM. Hongera mheshimiwa Waziri wa Fedha.
Saana tena saana, mie niko 🇨🇩🇨🇩🇨🇩, ila huwa najifunza mingi kupitia huyu mwamba.
Speaker mboni uweleweki mbunge mpina anaongea point we unamkatisha katisha vp
Nyie wabunge mnapiga meza asilimia 95 hamrudi bungeni
Uyu jamaa ndo anae mloga mama hana sifa ya kuwa waziri wa wizara ya fedha sio mkweli kabisa
Mpina, Mdee na ....ni majembe wanatusaidia sana. Mengi wabunge hawaelewi ...next uchaguzi kwenye majimbo tuchague wabunge wenye uwezo wa kitaifa. Wanao weza kujadili haya mambo kama haya maana ndo kunapigwa mabillioni.
NAISI KUNA VIKAO NJE YA BUNGE JUU YA MUHIMILI WA BUNGE JUU YA WABUNGE
(MPINA USIFE MOYO)
Sasa huyu mbunge pembeni ya Mwigulu anagonga meza kusherehesha nini sasa???Mwigulu hata umpigieje makofi,huku mitaani mkisikia maneno ya wengi na hawamuamini,mpo humo kwa sababu ya wananchi,na wananchi hawa hawa ndo wanaoongea mashaka yao dhidi ya huyu Mwigulu
Imesha pita hiyo majambazi wa ccm wamesha kula na hawakmatwi wala kujiuzuru.
Ipo siku Wataelewa Unachokisema Mpina Maana Tulio Wengi Unafiki Umekuwa Mwingi Sana
Upo sahihi kabisa.
Hatuna wabunge wazalendo Kama mpina mpina anaomba wabunge wamuunge mkono kwajambo la msingi kwa taifa lakini wabunge wanashindwa kumuunga mkono kweli bunge letu lipo kwa maslahi yao tu na pia sipika hayupo sawa mpina anatoa hoja za msingi yy anamkatisha kwanin?acha amalize hoja yake ndio umuulize swali bunge lipo kwajili ya kuibana serikali kwa vitu ambavyo sio vya msingi lakin ukiona bunge letu linatetea hata vitu ambavyo vipo nje ya msingi
Mpina yuko makini sana
Kwa mtindo huu wabunge kweli hupo kwa ajiri ya wananchi au maslai
Bunge lina watu vilaza sana hili dah
Poa poa mzee baba
Hatuna waziri wa fedha
Huyo waziri wa fedha hakuna kitu hapo hata majibu anayotoa hayana uhalisia huyo kwenye kuongeza tozo anaweza
Nakupenda sana Mheshimiwa Tulia Akison uendeshaji wako Bungeni huwa napenda kufuatilia sana tu