MPINA, MDEE WALIAMSHA BUNGENI WAMBANA WAZIRI WA MWIGULU, SPIKA ASEMA HAYA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 28 ก.ย. 2024
  • #UhondoTV #Uhondo

ความคิดเห็น • 19

  • @drgeofreymdede3952
    @drgeofreymdede3952 3 หลายเดือนก่อน +5

    Napenda consistency ya Mpina. Unapo jibu maswali yake unatakiwa kuwa makini. Najifunza kitu hapa. Hongereni wabunge wa CCM. Hongera mheshimiwa Waziri wa Fedha.

    • @RamazaniNdegeBedua
      @RamazaniNdegeBedua 3 หลายเดือนก่อน

      Saana tena saana, mie niko 🇨🇩🇨🇩🇨🇩, ila huwa najifunza mingi kupitia huyu mwamba.

  • @hamisimwinzagu6624
    @hamisimwinzagu6624 3 หลายเดือนก่อน +2

    Speaker mboni uweleweki mbunge mpina anaongea point we unamkatisha katisha vp

  • @lupefiascojr.1896
    @lupefiascojr.1896 3 หลายเดือนก่อน +2

    Nyie wabunge mnapiga meza asilimia 95 hamrudi bungeni

  • @robertmakore8348
    @robertmakore8348 3 หลายเดือนก่อน +1

    Uyu jamaa ndo anae mloga mama hana sifa ya kuwa waziri wa wizara ya fedha sio mkweli kabisa

  • @joshuaedward275
    @joshuaedward275 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mpina, Mdee na ....ni majembe wanatusaidia sana. Mengi wabunge hawaelewi ...next uchaguzi kwenye majimbo tuchague wabunge wenye uwezo wa kitaifa. Wanao weza kujadili haya mambo kama haya maana ndo kunapigwa mabillioni.

  • @SaidOmary-fd3bj
    @SaidOmary-fd3bj 3 หลายเดือนก่อน

    NAISI KUNA VIKAO NJE YA BUNGE JUU YA MUHIMILI WA BUNGE JUU YA WABUNGE
    (MPINA USIFE MOYO)

  • @georgemassebu2083
    @georgemassebu2083 3 หลายเดือนก่อน

    Sasa huyu mbunge pembeni ya Mwigulu anagonga meza kusherehesha nini sasa???Mwigulu hata umpigieje makofi,huku mitaani mkisikia maneno ya wengi na hawamuamini,mpo humo kwa sababu ya wananchi,na wananchi hawa hawa ndo wanaoongea mashaka yao dhidi ya huyu Mwigulu

  • @winmannwaka7048
    @winmannwaka7048 3 หลายเดือนก่อน

    Imesha pita hiyo majambazi wa ccm wamesha kula na hawakmatwi wala kujiuzuru.

  • @rehemakayuga7051
    @rehemakayuga7051 3 หลายเดือนก่อน +1

    Ipo siku Wataelewa Unachokisema Mpina Maana Tulio Wengi Unafiki Umekuwa Mwingi Sana

    • @twahamaulid
      @twahamaulid 3 หลายเดือนก่อน

      Upo sahihi kabisa.

    • @NdageKitahama
      @NdageKitahama 3 หลายเดือนก่อน

      Hatuna wabunge wazalendo Kama mpina mpina anaomba wabunge wamuunge mkono kwajambo la msingi kwa taifa lakini wabunge wanashindwa kumuunga mkono kweli bunge letu lipo kwa maslahi yao tu na pia sipika hayupo sawa mpina anatoa hoja za msingi yy anamkatisha kwanin?acha amalize hoja yake ndio umuulize swali bunge lipo kwajili ya kuibana serikali kwa vitu ambavyo sio vya msingi lakin ukiona bunge letu linatetea hata vitu ambavyo vipo nje ya msingi

  • @timothymoshi5800
    @timothymoshi5800 3 หลายเดือนก่อน

    Mpina yuko makini sana

  • @paulmteki8196
    @paulmteki8196 3 หลายเดือนก่อน

    Kwa mtindo huu wabunge kweli hupo kwa ajiri ya wananchi au maslai

  • @rahimsadru-ct4ot
    @rahimsadru-ct4ot 3 หลายเดือนก่อน

    Bunge lina watu vilaza sana hili dah

  • @ramadhanisudi1055
    @ramadhanisudi1055 3 หลายเดือนก่อน

    Poa poa mzee baba

  • @IsdoryNoel
    @IsdoryNoel 3 หลายเดือนก่อน

    Hatuna waziri wa fedha

    • @NdageKitahama
      @NdageKitahama 3 หลายเดือนก่อน

      Huyo waziri wa fedha hakuna kitu hapo hata majibu anayotoa hayana uhalisia huyo kwenye kuongeza tozo anaweza

  • @DamianJustine-hs6dk
    @DamianJustine-hs6dk 3 หลายเดือนก่อน +1

    Nakupenda sana Mheshimiwa Tulia Akison uendeshaji wako Bungeni huwa napenda kufuatilia sana tu