I wonder why people are complaining aty obina anatesa watu..pia yee anatafuta pesa the same way HAO wanatafuta nothing comes for free hamuoni government venye imetukulisha pilipili uchumi iko juu continue oga
you could have gotten thr bullet pilipili..red and have shape like bullet.u can get them at city market..those ones u cant bite them 2times..you will call your great grand fathers and all your ancestors by their names
Endea zile za red.... hiyo wakionja moja itabaki ametoa hadi suruari
I wonder why people are complaining aty obina anatesa watu..pia yee anatafuta pesa the same way HAO wanatafuta nothing comes for free hamuoni government venye imetukulisha pilipili uchumi iko juu continue oga
Nletee moja
Wewe una peleka pili pili kwa wasee wa chang'a
Eeeeh hii nayo zii wacha pesa ikae,,uyo boy wa red ameweza sana 🔥
Obina unajoke hao wanapiga chrome vodka na kibao zikiwa dry ,,,pilipili sio kitu kwao
😂😂😂😂nomaa yani napatana na hii huu mwaka
Waah! Hii majamaa ni wagumu,, hata mia watamaliza
Haha 😄 🤣 😂 funny sana wasikii kitu izo sio politicians original 😆 😄
maisha imekausha wanaumme huku nje...pilipili haiwatishi
Obina umekoniwa za green si kali
Pilipili red ndio kali
Content after content 🔥🔥🔥
Na kwahii challange Rudi umo
Wow!! Imeweza
Tafta GHOST PEPPER....hii moja unaona giza
Mungu ahurumie vijana
you could have gotten thr bullet pilipili..red and have shape like bullet.u can get them at city market..those ones u cant bite them 2times..you will call your great grand fathers and all your ancestors by their names
Obbina there is God In heaven
Oga obina mofire
Hehehhehehe OGA utauwa mtoto wa wenyewe.....
Hii ni Noma Obina weeee
😂😂😂😂 NOMA
Huyo boy wa kwanza alikua anadishi Kama jaba😅😅😅..alitema toxin akaanza ingine freshi😅😅😅😅
🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
I can also try this challenge
Pesa Ina vituko hiyo ni 🔥💞🔥
Moto sana ... Really entertained!
Mm ntakula moja nichukuwe two hundred niende
😂😂😂 me naye huisha
Igweee🔥🔥🔥🔥
Noma Sana 😂😂😂😂😂😂
Watu watanyamba moto
Hiii ni mtaa Gani 😂😂
Ohhh pesa wewe
🤣🤣🤣🤣🤣🤣pilipili ni bure
Next time try aloe Vera nobody can dare ,pili pili ni bure
Hao wanajaribu tu kuja kilifi county. (Chonyi)
😂😂 na hii economy hata pia naeza jaribu kuvumilia🤣🤣🤣 weeuuh lakini hata chilli sauce hunishinda, sembuse real🤔🤣🤣🤣 hao ni wazibiting🔥🔥🔥
Essy
Waiting ✋️
Hey Am munga From Makina kibera Mr oga obina nakuomba utulete iyo challenge uku pia sisi tubambike please
Eti usikunje sura na vile pilipili hot🤣🤣🤣 Obinna vane
Siwezikula pilipili juu ya pesa
Hizi pilipili si kali 😂😂😂😂... try hebanero peppers..... this ones lazima u chase na facials🤣🤣
people are going through alot nowadays,, hope you get food, peace and a better place to sleep,,,thats all
😢😢true, adv to make
Obina wee kuja ata migori.mwenye anaona unatesa watu sauriyake, lazima wasake doo
Oga Obinna tunakutaka Dado
Hii ni mbogi mbaya ...... taxi imekuwa test kwisha
Obinna hapo utaibiwa nipe order ya pilipili za teargas 🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
POVERTY THOUGH 🚮🚮🚮🚮🚮
Ogaa obina i need this challenge.... Man..
obina huamini ao wasee 🤣🤣🤣
OBINNA GOOD CONTENT.SASA WATAFTIE ILE PILIPILI FUPI TUDOGO IYO NI KALI
BULLET NOMA SANA
Obizzi umeona moto hii😂😂😂
🔥🔥🔥🔥
Obinna hii hakuna kazi fanya Ile challange ya the world hot one challenge chip uone watu wakitii
Hiyo sio pilipili ungewapea "kanugu"
Uji moto challenge
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Aiii si atashwaa akienda luu😂😂😂mm ata mbegu moja nahisii maskio zinalia😂😂
Fanya challenge ya Aloe Vera, , kwanza hiyo ni beneficial to the body
Ebu mtu asimame kwa mlango kesho wakienda loo... watapiga nduru Ile sharp
Wanakila pilipili kama shorwe
Aki pesa wewe
200 n kidogo qwa izo conditions za kutokunja sura
Obinaaaaaa😂😂😂😂😂😂😂😂
Nataka hii challenge ya firifiri😂mi ntaenda na 20k,, eldoret hoyeee
Huyu mjama anatumia watu vibaya aki
Obina same people Kila episode
Uyo wa pili kwani zombie
Obinna nimegundua unapenda hiyo mtaa sana, yule Kienyeji alikuwa kwa KulaCooler show nimemuona hapo na Mavin yake, kwani mtaa zimeisha Kanairo
Atleast hapa naeza pata thao bila kustruggle😂😂
Tafuta pilipili mzuri urudie
🤣🤣🤣🤣🤭🤭 weeeh
Wacha kutexa watu fuata nyayo za mwenye alikuachia hio job Mr jelango na uwache kubaatisha maisha
Kale kapilipili kadogo ni hatari sana😹
Tafuta madem
200 ni pesa kidogo sana poverty though! May God help us Obina that's wrong on your fellow Kenyans
Kam TL
Yani 200 inatuma ukule pilipili
Bring the eggs challenge
Where people eat boil eggs without removing the shells
🤣🤣
saa weee hii ni nini😂
😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂
Utaua mtu
leta io challenge
Hii ni hataree
😂😂😂😂🔥
Obinna kindly watafatie maziwa...to avoid ulcers that is after the challenge
Where are ladies
pilipili za chinku.....
Itabidii upe hawa watu pilipili ingine huku Mt.Kenya tunaita “kanugu” utaenda na pesa nyumbani
🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂
Creating insane content 😂🔥🔥
Hao wasee watafuni ule boy wa kwanza ndio alikula the rest walikuwa wanameza 2
Whats rwabe?
gender equality atleast give the challenge to boys n girls bruv make the show enticing bruv
Walevi wa makali na chankaa hawezi skia kitu Kwa pilipili wewe nipesa yako imekosakazi
Kindly it's not good health wise
Manze you are hurting people na hizj ujinga
Ruto amekuwa Murife😂😂
th-cam.com/users/shortsqetATNseAkg?feature=share
This is nonsense bana, taking advantage of desperate poor individual,, mediocre