Hadi huruma Kwa Hawa jamaa as if wako Kwa ajili kupata zuruku tu kutoka Serikalini za vyama, hata anachokiongea hakina kichwa Wala miguu eti ambulance itoke german kupima watu, Watanzania wanakula vyakula vya asili na wako vizuri ndugu toa sera zenu tuzisikie sio kubwabwaja, sio muda wa kutemea ukanda kupata kura watu wameamka Sasa
Jamaa na Siasa zake za ukanda na ukabila, watasubiri sana kwa dizaini hii kwa ukanda huu
Hadi huruma Kwa Hawa jamaa as if wako Kwa ajili kupata zuruku tu kutoka Serikalini za vyama, hata anachokiongea hakina kichwa Wala miguu eti ambulance itoke german kupima watu, Watanzania wanakula vyakula vya asili na wako vizuri ndugu toa sera zenu tuzisikie sio kubwabwaja, sio muda wa kutemea ukanda kupata kura watu wameamka Sasa
SASA simuwaambie wanchi Sera zenu badala ya kupiga kelele na hawana matumaini na upinzani
Hopeless