S house girl tena ndipo n utekaji😮😮 vzur mfanye tasha aowe zatiti ashike ujauzito ...hapo tutajifunza kuwa anaeachwa upata mume mwengne mwema na chiko abaki na kuhangaika basi kuliko kileta utekaj mwakera
Hakuna vitu kwenye maisha vinaenda kimserereko hivyo unavyopenda hekaheka zipogo nyingi TU watu hawafanikiwi kirahisi hvyo wengine mambo huwa rahisi huisha hvyo unavyotaka iwe ila Kuna wengine hupitia misuko suko zaidi kwahvyo acha tuone mwandishi atatufunza nn zaidi
Kai Hongereni Sana Kbx Ivyoivyo Urivyo Saiyi Ewuana Kama Mwanaume Kbx Simama Ivo Ivo Tuuu Nakubali Sana Brother 👊👊👊👊 Ila Zuuuh & Mupumbafu Mwenzangu Aca Uruma 🤔🤔 Ira Nyinyi Wote Nawapenda Bure❤❤❤❤
Kasania kako na akili ya ziada kma ya mchwa....lakin watafungwa moja baada ya mmoja....naona wazi kabisa polisi wakiingilia Kati...maharamia....na mshutumiwa WA kwnza n SANIA....alafu ndio ata taja candy wapili....alafu wengn wafwate😅😅
Busati TV jamani Tunasubiri kipande kingine tumuone Mr Tasha na Zatiti wakienda kijijini Leo kumbukumbu zimekuwa ndefu eeeeh wanaosubiri hicho kipande kingine gongeni like hapo
Ndo kumbukumbu iwe movie nzimaa,,hpa kitu mungefanya munge record Batuli akieleza alfu apelekwe kwnye kituo cha polisi alfu wapumbavu wngne wawili zuu na kilamba ety musamehe, utakufa vibaya zuu weweee, hyo yote alioleza ni njia sawasawa ya kumpata Kendi, hpo ss munatoa funzo lipi haswaaa
Hakika watu wa Busati Tv hamjawahi kuniangusha kabisa maana kila siku ni burudani naombeni kitu kimoja ya kwamba kila siku msikose kupost kila siku episode 2 tafadhali
Safi cn kay huyo Zuu na kilamba bwana wanashangaza Mtu kataka kuuwa huyo anaroho ya kishetani kwani angempiga candy baadae si angelipwa hpo mshahara tu angemsaidia tu mama yk na walisha ahidi kumsaidia ilikua haina haja tena kuwaendeshwa na candy ila na yy roho yk
❤❤❤❤❤𝚠𝚘𝚘𝚘𝚘𝚠 𝚠𝚊𝚗𝚐𝚙𝚒 𝚠𝚊𝚗𝚊𝚏𝚞𝚛𝚊𝚑𝚒𝚊 𝚋𝚊𝚝𝚞𝚕𝚒 𝚔𝚞𝚜𝚑𝚒𝚔𝚠𝚊 𝚗𝚊 𝚋𝚒𝚋𝚒 𝚣𝚞𝚞 😂😂😂😂
Masozi 😂😂😂😂😂 mama somoy🎉🎉
@@famidaally2665 𝚖𝚝𝚞𝚖𝚒𝚠𝚊 𝚠𝚊 𝚔𝚠𝚊𝚗𝚣𝚊 𝚌𝚊𝚗𝚍𝚢 𝚠𝚊𝚙𝚒𝚕𝚒 𝚌𝚑𝚒𝚜𝚊 𝚠𝚊𝚝𝚊𝚝𝚞 𝚜𝚘𝚖𝚘𝚎 𝚗𝚊 𝚔𝚊𝚖𝚠𝚒𝚜𝚑𝚘 𝚔𝚊𝚜𝚊𝚗𝚒𝚊😂🤸🤸
Nawatakia wote Sunday njema ya mwisho wa mwezi wa 9 ❤❤❤❤❤❤❤
Same to you❤
Haijabambaa sanaa coz kumbukumbu imekua kam nd move yenyewee 😢 cjapendaa wangapi wananiunga mkonoo🤝
Ila tumepata habat jinsi somoe alivyoanza kushawishiwa na cand na sania😊
❤
Pia mm sijapenda😂
Mm ata nimeipeleka mbele sijawasikiliza kina sania
Imekera 😢😢😢😢
Kai usimsamehe batuli mpaka utakapo wapat akin kendi tulio furahia batuli kudondokea pua piga kelele
Zuri is so loving, kind, caring and considerate, ooooh God let my future wife be like zuu😂
Mimi nikue wako nitakupea namba wapi
Mbona tuko wengi wenye sifa hizo ila tu nyinyi viumbe ndo mwatutesa
Habar team house girl natumai ni wazima wa afya na kila mgonjwa mungu ampone amin
Busati . Leo mkaleta kumbukumbu sehemu kubwa.
Naomba mlete sehemu nyingine tafadhali😢😢
kabsa aki
Ambayo tuamioyo kam ya zuu tujuan hapo wapenda tunajifuanza hat kam mtu Anakosa anastahili msamah
Yani toka nimeAnza kuangalia house girl nimejifunz vitu vingi San kweny maisha yang asant San Busat tv
Asante sana 🙏🙏
Asalam alikum Leo nimewahi
Mimi apa jmn nipen kumi tyu zinatosha
Maua yako mam masoz 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉😂😂😂😂😂😂
Namkubali bibi zuu🎉🎉
Kiramb kasha mpenda somoye ndo man anamtetea
kumbukeni leo kuna posa na kumsamehe somie kma una kubali zuu atamsameh somoe like hpa team frlus🇴🇲🇴🇲🇴🇲
Leo wa kwanza🎉🎉🎉🎉🎉
Yani nyie akuna kit mmelusha kipande kizima mmeweka kumbukumbu tu ama mmechoka kupigia ata kibendu amepota adi ninechok
Nakwambia hata wameniboo aki
Zuuuuuuu hapo ndo unapofeliiiii huruma yakooo hiooo itakujaaaa ikutokeeeee puaniii🌬️🌬️🌬️🌬️🌬️🌬️🌬️🌬️
Kwakwel kakwepa kunywa sumu na chupi atakazochanganya dawa unafikiri nin apo sibado kunautata
Mim wakwanza kutoka burundi nazitaka
Leo wakwanza jamani naomba basi like zenu kama sote tunawapenda ❤❤❤❤
Bibi zuhu anafanya kazi kubwa kwa mjukuu wake Zuhu, mama Tasha pia anamashauri mema kwa mwanaye Tasha
Angekuuwa ungesema hayo mtu ibilis km huyo bado wamuombea msamaha haliyakuw mmemsaidia pesa km angekuw ni binadamu mwema siangebadilika😏😏😏
Yan somoye umeaibika vibay San umedumbukia kwa Hao viruka njia pole yako
Dah Kpande Chaleo Ata Sijakipenda Kumbu kumbu Imekua Ndefu Sana 😢😢
Hata mem
Hata mem
Jaman candy apunguze roho mbaya
𝙷𝚢𝚞 𝚌𝚊𝚗𝚍𝚢 𝚜𝚒𝚍𝚑𝚊𝚗𝚒 𝚔𝚖𝚊 𝚞𝚔𝚘 𝚗 𝚛𝚘𝚑𝚘 𝚗𝚣𝚛𝚒😢😢𝚑𝚝𝚖𝚢𝚎 𝚖𝚙𝚊𝚗𝚐𝚘 𝚠𝚊 𝚌𝚊𝚗𝚍𝚢 𝚞𝚖𝚎𝚏𝚎𝚕😅😅𝚙𝚘𝚕𝚎
mpambavu umesimia mara ngapi 😂😂😂😂😂😂kilamba hadi umesahau jasmin kumbavu zako 😂😂
Hongera wana busati kwa movie nzuri yenye mafunzo 🎉🎉🎉🎉🎉
Sisi wengine atupendagi kubukumbuku ichukuwe hata dakika 2 mnabowa zehee
Hiii kipindii naloo bila saniaa na kendy 😂😂😂 eishyyyyy 😂😂😂😂 aiiiiii😂😂
Sisi atutak kumbukumbu tunatak mamb mengn jmn ni vochaa hz😢😢😢😢 tunatumiaaa
Umeonaee yaan kipande kizima kimehamiy kweny kumbukumb wakat tumeshajuw kwamb mpk ulipangwa na hawa sasa wameturudish nyuma
Bora useme ww
Bora useme ww
@@JaffarIliasy mem wananichshaa jmn nadaiwa ad na mtandao kwa Ajir y kukopa vocha ahahhaha
S house girl tena ndipo n utekaji😮😮 vzur mfanye tasha aowe zatiti ashike ujauzito ...hapo tutajifunza kuwa anaeachwa upata mume mwengne mwema na chiko abaki na kuhangaika basi kuliko kileta utekaj mwakera
Hakuna vitu kwenye maisha vinaenda kimserereko hivyo unavyopenda hekaheka zipogo nyingi TU watu hawafanikiwi kirahisi hvyo wengine mambo huwa rahisi huisha hvyo unavyotaka iwe ila Kuna wengine hupitia misuko suko zaidi kwahvyo acha tuone mwandishi atatufunza nn zaidi
Kiramb kasha mpenda somoye ndo man anamtetea
🤣🤣🤣
Zuu unamoy wa kipekee San na ubay alikufanyia batuli bado unamuombea msamah zuu 🎉in 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
🙌🙌
😂😂😂😂😂😂munajuwa naceka nini naceka kundi lawakina Candy yaniawo macizi kabisa😂😂😂😂😂😂
Tunaoamin cay atamsamehe batuli gonga like hapa 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Jmn my mother mwendlz
Hakika mnatufunza mengi San Busat TV 🎉i🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤ Shukran san
❤❤❤
My mom mwendlz jmn
Jamn SA MBNA video nzima mnaadisia kitu kilishapita mnatulest
Pole somoye umeyakanyaga akin kendi hawatakua na msad na wew
Yani somoye aende t polisi ili akatoe ushahid WA kundi lake lote wakamatike hao
Um.eona ee
Mnarusha vifupi kmn yaan ep ya 13 imeoneshw sehem 2 tuu yaan
Yani nyinyi kina cndi mwachekesha sana masozi umenikosha😂😂
Jaman jaman kiramba ww hatari siyo kwakuzimia uko😂😂😂😂
Batuli ameyatimba kwa Kai 😂 weeuwee patamu
Today you have failed us.anyway good job....
Timu kai maua yako mtimulie Mbali huyo somoye
Kazi nzuri sana team Busati tv🇹🇿
Wa kwanza Leo from Oman🇴🇲
Wakwanza mm nipeni like zang
Somoye kufa
Nimekuja kimya kimya nikajua watu wapo kanisani kume nimechelewa duh😂😂
😂😂😂
❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Kilamba ukwaju yaani nikifikiria ep14 ilivyokua nacheka ila kiukweli nawapenda nyote 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉kazi safi
Wa pili
Kai Hongereni Sana Kbx Ivyoivyo Urivyo Saiyi Ewuana Kama Mwanaume Kbx Simama Ivo Ivo Tuuu Nakubali Sana Brother 👊👊👊👊 Ila Zuuuh & Mupumbafu Mwenzangu Aca Uruma 🤔🤔 Ira Nyinyi Wote Nawapenda Bure❤❤❤❤
Pig kelele kwa sauzi za kuigiza mam somoye weweeeeeeew😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Wametuvunja mbavu h timu ni balaa 🎉😂🎉aa🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉😂😂😂
Kasania kako na akili ya ziada kma ya mchwa....lakin watafungwa moja baada ya mmoja....naona wazi kabisa polisi wakiingilia Kati...maharamia....na mshutumiwa WA kwnza n SANIA....alafu ndio ata taja candy wapili....alafu wengn wafwate😅😅
Hapo mimi wa 52
Busati TV jamani Tunasubiri kipande kingine tumuone Mr Tasha na Zatiti wakienda kijijini Leo kumbukumbu zimekuwa ndefu eeeeh wanaosubiri hicho kipande kingine gongeni like hapo
Ndo kumbukumbu iwe movie nzimaa,,hpa kitu mungefanya munge record Batuli akieleza alfu apelekwe kwnye kituo cha polisi alfu wapumbavu wngne wawili zuu na kilamba ety musamehe, utakufa vibaya zuu weweee, hyo yote alioleza ni njia sawasawa ya kumpata Kendi, hpo ss munatoa funzo lipi haswaaa
Kwa kumbukumbu hii hapana maana mpaka nimesahau move yenyewe nimesahau imeishia wapi mmh rekebisheni kumbukumbu zisiwe ndefu zinabowa
❤❤❤❤❤❤❤😂😂😂😂😂kkweli kabisaa kai kuna makubwa mbeleyako juyakendi😂😂😂😂
Batuli pole kwa kushinikizwa kufanya kitu usichotarajia sababu ya kukosa pesa
Busati tunaomba episode 2kwa cku iliniombi kama watazamaji na wafuatiliaji wa house girl
Huyu zuuuu na huluma yako unabahati sanaa mushukulu bibi yako la sivyo ungetegetea kbs 😅😅😅
Sasa ndy mmerusha nn jaman
Kama idea imeisha bora mmalize tu
Mwanamke mwenye roho ya imani duniani ni zuu wee mmangeenda namakozi juu kendy chuma.chaja hicho police itawahusu
Leo mumefanya ujinga sans dakika 15 za yaliyopita ndo munatuonyesha 😢hamujafanya poa kabisaa hpo
Flashback plot imekua ndefu mno ,hadi kupelekea scene kuwa fupi, chamsingi twaomba ep nyingne as soon as possible
Busati leo mmetukera kabixaa simulizi inachukua episode nzima dah
Mam masoz maua 🎉so 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉Yako sauti umeigiza Safi San 😂😂😂😂😂😂
hongeren kwa kaz yenu nzuri .ila mbona mumeleta kumbukumbu ndefu jamami 😢😢
Jaman timu kendi ni moto WA kuogopwa jaman Kila kon wap da konde kimamul atawamaliza😂😂😂😂😂😂😂😂
Mamhhhh baturi yameyakanyaga polisi tena
Hakika watu wa Busati Tv hamjawahi kuniangusha kabisa maana kila siku ni burudani naombeni kitu kimoja ya kwamba kila siku msikose kupost kila siku episode 2 tafadhali
Leo wamezingua ila wamenifurahisha kipande cha kuigiza sauti
Nawatakia j pili njema ndugu zangu,j pili ya Mwisho ya mwezi wa 9
Yaani wanafanya epsode iwe kubwa mchezo huu tunataman uishe tena watuleetee mwengine
Yani sitawahi kuwa Wa Kwanza jmn Yani najua tunwenye wanatangulia n team strong team hammmmu team free WiFi 😃😃😃🤦
Zuri na amfukuze simoe tuu km bibi zuu asingeona si amlngekuwa ashazurika na mtoto tumboni
Somoye ukutana na bibi nzuri kazi nzuri bibi zuri🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Hapo batuli akitoka hapo anaenda kuwambia akina candy af et mijitu inamsamehe😏😏😏
Nmependa sana Kaz nzur lkn flashback iwe ndefu kias hicho
Naomba na ingine maana hii imekuwa n kumbukumbu tu hata sijaenjoy hii movie ya leo
jumapili tulivuu na Chakula changu bora cha Housegirl🥰
Yan kend umepotea kabixaa bibi zuu amekuweza xaxa na ww lazima ukalale na ngonde na ww
Nshawai sema batuli alikua team candy 😂😂😂😂😂kumbe kweli
Saiv mmechoka kazi yaan movie nzima kumb. Tyuu... Ahhh
House girl ya leo sijapenda kwa kweli ndio nn hivi kutuekea flash back
Nani mwingine ameona kua Sania ndio mshauri wa canty?watching from kenya!
Yaan mpka nimemuonea tena huruma batuli 😢😢 candy una roho mbaya sana sania masozi chisa mtafika mbiguni mmechok sana
Safi cn kay huyo Zuu na kilamba bwana wanashangaza Mtu kataka kuuwa huyo anaroho ya kishetani kwani angempiga candy baadae si angelipwa hpo mshahara tu angemsaidia tu mama yk na walisha ahidi kumsaidia ilikua haina haja tena kuwaendeshwa na candy ila na yy roho yk
Zuu nae kama jinga kwahyo wakimsamehe ndo ataachana nampngo wa kumuuwa😏😏😏😏
Aki yuko sahihi kbs kama sio bibi yake na zuu huyu batuli si alikua yuko tayari kufanya kila kitu bila ya kujali😏😏😏
Leo busati tv mymetycykuliaje kweli kytupatia kumbykumbu tuu sema mutatupa part 2 leo kabisa
Tunawapenda sana ila mnatukera padogo sana yaan mawazo tu dakika 20 hapana mnabugi
Jamani izo kamera mbona saivi sizielewi amuonekani vizuri au sm yangu inamatatizo
Batuli lako hilo nilisema kila Mchuma janga hula na wa kwake ila wewe hilo lako kai usimsamehe mpaka candy na hao waloshiliki uwatie mbalini....
Me naona kama mmeixhiwa now hainogi vipande vxvyokua na maana mnavilefuxha vyenye maana mnaviacha