ขนาดวิดีโอ: 1280 X 720853 X 480640 X 360
แสดงแผงควบคุมโปรแกรมเล่น
เล่นอัตโนมัติ
เล่นใหม่
TUNAWAPENDA WOTE MNAOTUFATILIA ,TUSAMEHE KWA MAPUNGUFU YETU MADOGOMADOGO, SUBSCRIBE CHANNEL HII❤❤
Mm nimependa umenikumbusha Shuleni ugar na chumvi
AMAGAMBO YALAGENDA GATOGATO😂😂🎉
Kweli nimejifunza vitu vingi kwenye hii filamu
Kaka uko poa San iyo movie
❤
Baba karobo mwanao mtiifu mungu amlinde jamani nimeifatilia Tamthilia iko sawa hongera❤❤...watching from kenya 3:40
Mama kalobo jamani miyeeeee 😭😭🥺😭 pole sana baba kalobo number one Leo
Haki nimetokwa namachozi. Love from Burundi🇧🇮🇧🇮
Hata nimesikia ame omba kiburundi😂😂😂
Nimefurahia kukusikia ukiimba kirundi hapa Burundi. Tunakupenda sana baba karobo
Thx baba joan kwa kanyimbo .kakirundi😂wanteye inkumbu wanteye amarira❤😢😢😢😢😢
Ii move inaliza see mungu nilindie niweze kulea mwanangu jamani kwenye dunia yenye mapambano
Kabisaaa yani wewe ndo mtu nimeona coment yako yamaana ehh Mwenyezi Mungu tupe maisha marefu kwaajili ya watoto wetu
Wallah hiki kipande kimeniliz sana sema big up san umefany kit mashallah mungu akujaalie kipaji zaid
Karobo she's so brilliant ❤❤❤much love to you bby girl 💋💖
Mm ndio wa kwanza au kuna mwenye amewahi? Sijui nianze hii tabia ya kuomba like😂😂😂nikiwa kenya nyali
𝐔𝐬𝐡𝐚𝐨𝐦𝐛𝐚
Kumbe ushapandisha kazi baba Joan nakuaminia aisee
Mimi wa kwanza kufurahiya kazi naomba like zenyu❤
Jamani.nimelia.kama.mtoto.inaumiza.sana.kwakweli.kazi.nzuli.sana.baba.joani.natimu.yako.nzima.mungu.azidi.kuwa.baliki.kilasiku.❤❤❤❤❤ form zambia Lusaka
Wooooow kumbe patronize yuko aki nimefurahi❤❤❤❤❤❤
Wanteye inkumbu,wanteye amarira😭.wenye wanaskia huyu mwimbo mbipe ❤
Karobo mwanangu umeniliza sana nimekumbuka mbali sana jamani.
Wakwanza Leo from kenya wapi likes zangu nimekuwa sipati❤❤❤
🥰
Nko Kenya pia.
@@JohnMwaura-oi7ji ooh
À😊@@JohnMwaura-oi7ji
Mambo vp
Baba Joan umenikumbusha maisha yangu japo Mimi sio kipogu kama igizo ulimelitendea haki maua Yako kakaangu 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤
Inkumbu wanteye amarira lugha ya Burundi🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
,🇰🇪🇰🇪🇰🇪nawakilisha wakenya uku piga like tukisonga
Twi hahwe ta ndina😂😂😂😂😂yaani navyopenda baba Joan 😊ningekuwa hapo basi hiyo risasi ingeniendea mimi😅😅nife aishi mpo😊❤❤❤❤❤❤
🇰🇪🇰🇪🇰🇪❤️❤️❤️
Yoboy,master😮
😢kipofu na karobo mengu iko pamoya nanyiye 🇧🇮
Picha kali sana Kaka nakubali
Ugali na chuvi ndo ilikuwa maisha yangu nikiwa mundongo😢😢😢😢😢😢😢
😢😢😢😢
Pole ndo maisha
Hatamimi nimekula san ugal na chumv
Namipiya
Bro big up sana wanteyinkumbu wanteye amarira from🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Sema BABA KAROBO kumbe ni YANGAA
@BabaJoani ni nn kuniliza jaman🥺🥺🥺kila nikiangalia kipande chako chaupofu najikuta nalia😥 hongera sana kwa kazi mzuri🥰🥰🥰
🤗🤗🤗🤗
niombee na mm namba ya uyo dada mbna kampa yule tu
tamu sana nimefurahia kumwona patronize❤
Kabsa nimefurai pia kumuona patronize
Masikini baba kalobo na kalobo wake wanapitia kweli ila mungu yupo😢😢😢😢
Baba joan hongera sana kwa kazi kubwa unayoifanya hii movie yafunza sana ❤❤❤
TEN ya funza na kusikitisha haswa
❤❤❤❤Yan ni zaid ya xn hii movie mmmmmh mie macho yaloa mda wote kila nkianglia hii movie ❤❤❤❤❤❤
Wa kilifi tujuane kikambala vipingo mtwapa mnarani kibaoni mferejini na popote pale bora kilifi ...Tunaipenda sana hii movie ❤❤
Nko mombasa 😂😂❤
Ngoloko
Malindi
Matsangoni kwa mpigo
Wanteye inkumbu wanteye amarira🤣🤣Kumbe baba Kalobo unajua kirundi 🤣🤣🤣Pole kwa lisasu
Kazi yeni inatufurahisha Mungu aendelee kuwangoza awafikishe mbali Pazuri zaidi Karibu Rwanda 🇷🇼
Kalobo mdogo wangu nakukubali sana sema movie zako zote zinanitoa machoz God bless you.
Si jaangalia ila inaonekana nzuri sana pia ningependa kuangaria from tanzania ❤🎉
Daaah, Tunajua kuna wanadamu mna roho mbaya sana , muache hizo roho mbaya muje kwa Yesu mwenye mafundisho ya kukufanya uache roho mbaya.
Ati nini waneye inkumbu waneye amarira big up sana kwahiyo nyimbo ya kirundi.
Il faut essayer de le faire aussi en Français malgré je ne comprends pas bien vraiment mais ça m'a touchée vraiment cette histoire 🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤
Naskia kanyimbo kakirundi,wanteyinkumb wanteyamarira😂😂😂
Wanaitwa ladies,🔥ogopa sana hao viumbe japo kua twaishi nao humu ndani.
Wanteye nkumbu, wanteye malila. Nimeipenda sana mwamba, wewe bilashaka ni wa kgm, umenikumbusha mbali❤❤😅😅.
Karobo kaniliza anavyolia 😢😢😢
mkenya kutoka mombasa likoni ferry naipenda movie ebu tujuane wana mombasa 🎉
Napente movie ii Sana NI Mombasa likoni
Wakwa nipeni like zangu
Na tukumbuke kushare jaman kuwa wa kwanza kutazama eps haitamsaidia baba kalobo kupata nguvu ya kuendeleza muendelezo unaofuata
Very educative movie. Just can't stop watching
Kazi nzuri sana mungu asidi kukubariki ufike mbali said
Murakina neza kabisa naj ndabakunda kweri🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Jaman wa penzi wa baba Joan naombeni ata like ❤❤❤❤
Kashindi
16:33 16:33
Wa kwanza Leo kwel kwel🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Habari bro episode unaweka mtandaoni kila baada ya siku ngapi kupita
we love your channel 😍😍😍 from Kenya 🇰🇪💪
Mimi Julius Aloyce wa mwanza; Duuh Ni halisi ya maisha ya watu wengine ktk nchi yetu na hata mataifa ya wengine pia.
Umeimba kirundi kikafulahi Bujumbura tunawapenda sana tunawafuatilia pia
Nimeumia San nimelia san munajua san kuigiz kung awatangulie katit kaz enu munayoifany jmn nawapenda san❤❤❤❤❤
Number one from kenya pole sana baba karobo
Mmh huyu mama karobo anakaza kwelikweli anaenda kuwa mama kanusu 😅😅😅
😅😅😅😅nmecheka kwa saut
Mimi nampenda San baba Joan Kwa sababu Kazi zake moto moto Mungu akubaliki San ❤❤
Niko na nyinyi watching live from Kenya kazi nzuri najifunza mengi kutoka kwa mama kalobo na mabayaa yake
Kaka umejua kuniliza aiseeee❤❤❤❤❤❤
Poleeee saanaaa babaaa Joan mwombe mungu atakusaidia jaman utaponaa usjali na mwanao atakuaaa
Hii movie inaniliza saaaaan Daaah inauma saaaaan
Kalobo, this girl is talented
Mmmmh bba karoboo anaimba kirundi ca kwetuu😂😂
i think this episode is so emotional especially when they was eating ugali😢😢😭😭
Jaman karobo unavyo jua kuekt kwahisia mama upewe tu mauwa yako ❤❤❤❤
Mama karobo😂😂😂 waaw patronis amefika. Mtaaa ❤❤❤❤
Pongezi Kwa kazi zako bro umsalimu patronize na baba Joan
Baba joan ..walai hi mov umeweza japo nalia sija imalza nimeanza leo...ila nmelia sana...😢😢..umeweza 🎉🎉🎉😊
Mtt zaujat mashallah idara zote uko vyema sura umbo rangi na tabiya
Dah! hii mv iko vzr hinafundisha mambo men mno
Kazi ikopoa sana sana bro sarut kwako
Daah movie inasikitisha pole kalobo❤❤❤
Wa mwisho jamani wenzangu naomba likes 🎉🎉❤❤❤
Mama karobo mimacho😏,chefuuu😮...tunajifunza team baba joan tuko pamoja 🎉🎉🎉
Napenda movie 🎥 zenu zinamfundisho sana,ila sema hiyo pisi uliojichangulia wewe noma,maana naona inaelekea kabisa
Eh mwenyezi mungu nalia kibao, nimesahau kama hii ni filimu imetayarishwa
Ancha roh mbaya we mama karobo😢😢😢😢😢
Wao papronaz❤❤❤🎉🎉🎉karib kweny mchez
Kweli👍🏽
Kazi nzuri yenye mafunzo,,,kalobo soma kwa bidii usaidie babako anateseka sana 😢
Rwanda Gisenyi karibu na congo tunawapenda sana karibu kwetu
Ww nipis Kali nipatie namba bas from Tanzania
Hongera Kwa kuigiza movie mzuri
Mgeni kutoka kenya likes filimu nzuri sana nawapenda jameni❤❤❤
tuletee usitupumzishe sana nakubali sana kazi yako imetulia hii
Tunaenda kwakirundi wanteyintunt wanteyamarira😂😂😂 hongera sana
Kwer mliigiza vizr san mungu amuendesh huyo mtt awe nakipaj kikubwa❤
Iko pw sana mungu awaongezee maalifa
Move nzuri ya mafuzho🎉🎉🎉🎉
❤❤❤❤❤❤Hayaaaaa😂😂😂😂😂😂 wale patronizer mpooo kafika xx Masha'Allah uyu kijana ako vizur xn
Woii nime lia wamama muwe na roho mzuri jamani am waching from Saudia Arabia
Dah kazi nzuri ila machozi bubuji duh inahuzunisha sana 😢😢😢😢
Kaka Leo ndo nimeangalia mov zako du umenikumbuxha mbali sana wazazi walifaliki ote nikapitia maixha kama ayo yakula ugari na chumv pole sana
Pongezi sana bro kwa kazi yko nzuri
Nani anipe Judith, nimpe likes
MashaAlla had kiburund🇧🇮chet kinatumik hum🤗tunawapend sna sis wa🇧🇮🌹🌹
Kila epsode inanitoa machozi Mungu naomba nichukue mwanangu akiwa amejua kujitambua na kujipambania
Wanawake tumuombe Mungu atupe roho ya upendo
Baba Joan nampa pongezi kwa kwel ..
Uyu dem Noma kama wa jamila
So sad, but good lesson. Mungu yuko, following from Kenya
🎉🎉 Kaz nzuri baba johan
Maskini hii movie inatia huruma njikuta nalia 😭😭pole baba joan
TUNAWAPENDA WOTE MNAOTUFATILIA ,TUSAMEHE KWA MAPUNGUFU YETU MADOGOMADOGO, SUBSCRIBE CHANNEL HII❤❤
Mm nimependa umenikumbusha Shuleni ugar na chumvi
AMAGAMBO YALAGENDA GATOGATO😂😂🎉
Kweli nimejifunza vitu vingi kwenye hii filamu
Kaka uko poa San iyo movie
❤
Baba karobo mwanao mtiifu mungu amlinde jamani nimeifatilia Tamthilia iko sawa hongera❤❤...watching from kenya 3:40
Mama kalobo jamani miyeeeee 😭😭🥺😭 pole sana baba kalobo number one Leo
Haki nimetokwa namachozi. Love from Burundi🇧🇮🇧🇮
Hata nimesikia ame omba kiburundi😂😂😂
Nimefurahia kukusikia ukiimba kirundi hapa Burundi. Tunakupenda sana baba karobo
Thx baba joan kwa kanyimbo .kakirundi😂wanteye inkumbu wanteye amarira❤😢😢😢😢😢
Ii move inaliza see mungu nilindie niweze kulea mwanangu jamani kwenye dunia yenye mapambano
Kabisaaa yani wewe ndo mtu nimeona coment yako yamaana ehh Mwenyezi Mungu tupe maisha marefu kwaajili ya watoto wetu
Wallah hiki kipande kimeniliz sana sema big up san umefany kit mashallah mungu akujaalie kipaji zaid
Karobo she's so brilliant ❤❤❤much love to you bby girl 💋💖
Mm ndio wa kwanza au kuna mwenye amewahi? Sijui nianze hii tabia ya kuomba like😂😂😂nikiwa kenya nyali
𝐔𝐬𝐡𝐚𝐨𝐦𝐛𝐚
Kumbe ushapandisha kazi baba Joan nakuaminia aisee
Mimi wa kwanza kufurahiya kazi naomba like zenyu❤
Jamani.nimelia.kama.mtoto.inaumiza.sana.kwakweli.kazi.nzuli.sana.baba.joani.natimu.yako.nzima.mungu.azidi.kuwa.baliki.kilasiku.❤❤❤❤❤ form zambia Lusaka
Wooooow kumbe patronize yuko aki nimefurahi❤❤❤❤❤❤
Wanteye inkumbu,wanteye amarira😭.wenye wanaskia huyu mwimbo mbipe ❤
Karobo mwanangu umeniliza sana nimekumbuka mbali sana jamani.
Wakwanza Leo from kenya wapi likes zangu nimekuwa sipati❤❤❤
🥰
Nko Kenya pia.
@@JohnMwaura-oi7ji ooh
À😊@@JohnMwaura-oi7ji
Mambo vp
Baba Joan umenikumbusha maisha yangu japo Mimi sio kipogu kama igizo ulimelitendea haki maua Yako kakaangu 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤
Inkumbu wanteye amarira lugha ya Burundi🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
,🇰🇪🇰🇪🇰🇪nawakilisha wakenya uku piga like tukisonga
Twi hahwe ta ndina😂😂😂😂😂yaani navyopenda baba Joan 😊ningekuwa hapo basi hiyo risasi ingeniendea mimi😅😅nife aishi mpo😊❤❤❤❤❤❤
🇰🇪🇰🇪🇰🇪❤️❤️❤️
Yoboy,master😮
😢kipofu na karobo mengu iko pamoya nanyiye 🇧🇮
Picha kali sana Kaka nakubali
Ugali na chuvi ndo ilikuwa maisha yangu nikiwa mundongo😢😢😢😢😢😢😢
😢😢😢😢
Pole ndo maisha
Hatamimi nimekula san ugal na chumv
Namipiya
Bro big up sana wanteyinkumbu wanteye amarira from🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Sema BABA KAROBO kumbe ni YANGAA
@BabaJoani ni nn kuniliza jaman🥺🥺🥺kila nikiangalia kipande chako chaupofu najikuta nalia😥 hongera sana kwa kazi mzuri🥰🥰🥰
🤗🤗🤗🤗
niombee na mm namba ya uyo dada mbna kampa yule tu
tamu sana nimefurahia kumwona patronize❤
Kabsa nimefurai pia kumuona patronize
Masikini baba kalobo na kalobo wake wanapitia kweli ila mungu yupo😢😢😢😢
Baba joan hongera sana kwa kazi kubwa unayoifanya hii movie yafunza sana ❤❤❤
TEN ya funza na kusikitisha haswa
❤❤❤❤Yan ni zaid ya xn hii movie mmmmmh mie macho yaloa mda wote kila nkianglia hii movie ❤❤❤❤❤❤
Wa kilifi tujuane kikambala vipingo mtwapa mnarani kibaoni mferejini na popote pale bora kilifi ...Tunaipenda sana hii movie ❤❤
Nko mombasa 😂😂❤
Ngoloko
Malindi
Matsangoni kwa mpigo
Malindi
Wanteye inkumbu wanteye amarira🤣🤣
Kumbe baba Kalobo unajua kirundi 🤣🤣🤣
Pole kwa lisasu
Kazi yeni inatufurahisha Mungu aendelee kuwangoza awafikishe mbali Pazuri zaidi
Karibu Rwanda 🇷🇼
Kalobo mdogo wangu nakukubali sana sema movie zako zote zinanitoa machoz God bless you.
Si jaangalia ila inaonekana nzuri sana pia ningependa kuangaria from tanzania ❤🎉
Daaah,
Tunajua kuna wanadamu mna roho mbaya sana , muache hizo roho mbaya muje kwa Yesu mwenye mafundisho ya kukufanya uache roho mbaya.
Ati nini waneye inkumbu waneye amarira big up sana kwahiyo nyimbo ya kirundi.
Il faut essayer de le faire aussi en Français malgré je ne comprends pas bien vraiment mais ça m'a touchée vraiment cette histoire 🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤
Naskia kanyimbo kakirundi,wanteyinkumb wanteyamarira😂😂😂
Wanaitwa ladies,🔥ogopa sana hao viumbe japo kua twaishi nao humu ndani.
Wanteye nkumbu, wanteye malila. Nimeipenda sana mwamba, wewe bilashaka ni wa kgm, umenikumbusha mbali❤❤😅😅.
Karobo kaniliza anavyolia 😢😢😢
mkenya kutoka mombasa likoni ferry naipenda movie ebu tujuane wana mombasa 🎉
Napente movie ii Sana NI Mombasa likoni
Wakwa nipeni like zangu
Na tukumbuke kushare jaman kuwa wa kwanza kutazama eps haitamsaidia baba kalobo kupata nguvu ya kuendeleza muendelezo unaofuata
Very educative movie. Just can't stop watching
Kazi nzuri sana mungu asidi kukubariki ufike mbali said
Murakina neza kabisa naj ndabakunda kweri🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Jaman wa penzi wa baba Joan naombeni ata like ❤❤❤❤
Kashindi
16:33 16:33
Wa kwanza Leo kwel kwel🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Habari bro episode unaweka mtandaoni kila baada ya siku ngapi kupita
we love your channel 😍😍😍 from Kenya 🇰🇪💪
Mimi Julius Aloyce wa mwanza; Duuh Ni halisi ya maisha ya watu wengine ktk nchi yetu na hata mataifa ya wengine pia.
Umeimba kirundi kikafulahi Bujumbura tunawapenda sana tunawafuatilia pia
Nimeumia San nimelia san munajua san kuigiz kung awatangulie katit kaz enu munayoifany jmn nawapenda san❤❤❤❤❤
Number one from kenya pole sana baba karobo
Mmh huyu mama karobo anakaza kwelikweli anaenda kuwa mama kanusu 😅😅😅
😅😅😅😅nmecheka kwa saut
Mimi nampenda San baba Joan Kwa sababu Kazi zake moto moto Mungu akubaliki San ❤❤
Niko na nyinyi watching live from Kenya kazi nzuri najifunza mengi kutoka kwa mama kalobo na mabayaa yake
Kaka umejua kuniliza aiseeee❤❤❤❤❤❤
Poleeee saanaaa babaaa Joan mwombe mungu atakusaidia jaman utaponaa usjali na mwanao atakuaaa
Hii movie inaniliza saaaaan Daaah inauma saaaaan
Kalobo, this girl is talented
Mmmmh bba karoboo anaimba kirundi ca kwetuu😂😂
i think this episode is so emotional especially when they was eating ugali😢😢😭😭
Jaman karobo unavyo jua kuekt kwahisia mama upewe tu mauwa yako ❤❤❤❤
Mama karobo😂😂😂 waaw patronis amefika. Mtaaa ❤❤❤❤
Pongezi Kwa kazi zako bro umsalimu patronize na baba Joan
Baba joan ..walai hi mov umeweza japo nalia sija imalza nimeanza leo...ila nmelia sana...😢😢..umeweza 🎉🎉🎉😊
Mtt zaujat mashallah idara zote uko vyema sura umbo rangi na tabiya
Dah! hii mv iko vzr hinafundisha mambo men mno
Kazi ikopoa sana sana bro sarut kwako
Daah movie inasikitisha pole kalobo❤❤❤
Wa mwisho jamani wenzangu naomba likes 🎉🎉❤❤❤
Mama karobo mimacho😏,chefuuu😮...tunajifunza team baba joan tuko pamoja 🎉🎉🎉
Napenda movie 🎥 zenu zinamfundisho sana,ila sema hiyo pisi uliojichangulia wewe noma,maana naona inaelekea kabisa
Eh mwenyezi mungu nalia kibao, nimesahau kama hii ni filimu imetayarishwa
Ancha roh mbaya we mama karobo😢😢😢😢😢
Wao papronaz❤❤❤🎉🎉🎉karib kweny mchez
Kweli👍🏽
Kazi nzuri yenye mafunzo,,,kalobo soma kwa bidii usaidie babako anateseka sana 😢
Rwanda Gisenyi karibu na congo tunawapenda sana karibu kwetu
Ww nipis Kali nipatie namba bas from Tanzania
Hongera Kwa kuigiza movie mzuri
Mgeni kutoka kenya likes filimu nzuri sana nawapenda jameni❤❤❤
tuletee usitupumzishe sana nakubali sana kazi yako imetulia hii
Tunaenda kwakirundi wanteyintunt wanteyamarira😂😂😂 hongera sana
Kwer mliigiza vizr san mungu amuendesh huyo mtt awe nakipaj kikubwa❤
Iko pw sana mungu awaongezee maalifa
Move nzuri ya mafuzho🎉🎉🎉🎉
❤❤❤❤❤❤Hayaaaaa😂😂😂😂😂😂 wale patronizer mpooo kafika xx Masha'Allah uyu kijana ako vizur xn
Woii nime lia wamama muwe na roho mzuri jamani am waching from Saudia Arabia
Dah kazi nzuri ila machozi bubuji duh inahuzunisha sana 😢😢😢😢
Kaka Leo ndo nimeangalia mov zako du umenikumbuxha mbali sana wazazi walifaliki ote nikapitia maixha kama ayo yakula ugari na chumv pole sana
Pongezi sana bro kwa kazi yko nzuri
Nani anipe Judith, nimpe likes
MashaAlla had kiburund🇧🇮chet kinatumik hum🤗tunawapend sna sis wa🇧🇮🌹🌹
Kila epsode inanitoa machozi Mungu naomba nichukue mwanangu akiwa amejua kujitambua na kujipambania
Wanawake tumuombe Mungu atupe roho ya upendo
Baba Joan nampa pongezi kwa kwel ..
Uyu dem Noma kama wa jamila
So sad, but good lesson. Mungu yuko, following from Kenya
🎉🎉 Kaz nzuri baba johan
Maskini hii movie inatia huruma njikuta nalia 😭😭pole baba joan