Miradi ya USAID umesitishwa na Rais Donald Trump

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 5 ก.พ. 2025
  • Takriban watu elfu 40 waliokuwa wameajiriwa na shirika la Kimarekani la USAID huenda wakakosa ajira baada ya serikali ya Rais Donald Trump kuwaagiza raia wake kurejea nchini. Wengi walioathirika nchini ni wafanyakazi wa afya huku athari zake zikianza kuonekana kwenye ofisi zinazofadhiliwa na shirika hili

ความคิดเห็น • 5

  • @Usercintahcin
    @Usercintahcin 6 ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

    Good job 👍 mr trump

  • @Usercintahcin
    @Usercintahcin 6 ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

    Ruto corrupt government imeleta hii yote

  • @ngo.poepleofgoodwill104
    @ngo.poepleofgoodwill104 7 ชั่วโมงที่ผ่านมา +4

    Kwani hamukuinvest? Wakenye tuache kuwa wajinga bana

  • @joashonkundi996
    @joashonkundi996 5 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Wacha waende nyumbani kwani amkusave