SHEIKH JONGO AVUNJA UKIMYA SAKATA LA BILION 2 MASJID MANYEMA - MIMI NI IMAMU TU, SIHUSIKI NA B2

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 2 ก.พ. 2025

ความคิดเห็น • 54

  • @sheikhaswalehsalim3392
    @sheikhaswalehsalim3392 9 วันที่ผ่านมา +1

    Subhana Allah mwenyezi mungu awape imani wazirudishe maana khatari pesa ya msikiti, ina kumaliza wewe na kizazi chako chote ,muta fakari sani ,hii ni njia tuna pita tuu ,watizame wale unao wa Acha, kisha ndio muna sema ka rogwa ame husudiwa ,ame fanyiwa kumbe pesa ya msikiti ulo kuwa una kula na unaku una good time na yo tafakarini ,ni moto wa duniani na akhera una kungoja zizala

  • @MustaphaKiluke
    @MustaphaKiluke 9 วันที่ผ่านมา +3

    Misikiti unaingiza au kumiliki mali zaidi ya Bilioni mbili mnashudwa kumiliki hata shule ya msingi au secondary au hospital , uongozi mbovu hapo kuchumia tumbo na kutokuwa na maono mapana ya umma

  • @japharytwaha8552
    @japharytwaha8552 9 วันที่ผ่านมา

    Innalillah wainna ilaihiii rrajiun,
    Huu ni msiba mkubwa
    Msikiti unawanufaisha baathi na waumini hawanufaiki
    Kuna yatima kuna Mauststh wanafundisha Qur'an wanakuwa maskini wakati Qur'ani yenyewe ni tajiri kuliko maelezo ila hukmu inawajia

  • @Al.habeebAl.habaaib
    @Al.habeebAl.habaaib 9 วันที่ผ่านมา

    Huyu mzee ni mpuuzi sana
    Hapo anaomba gari la kifakhari kiaina

  • @mamohamed1252
    @mamohamed1252 9 วันที่ผ่านมา

    Wewe pia umo tu haiwezekani hujui. Mtamkumbuka Sheikh Aboud Maalim na wenzake. Walisimamia ujenzi wa msikiti hadi kumalizika. Mliingiwa na fhambi ya kutaka kula na mkataka mpe wenyewe. Kumbe nyinyi ni Uislamu jina, walaji tu. Msikiti unapaswa kuwa jina lakini wa Waislamu wote. Mgechanganya Watu kwa jina la Uislamu siyo uoabila. Mmevuna mlichokipanda.

  • @DivNg27
    @DivNg27 9 วันที่ผ่านมา

    Namuomba MwenyeziMungu uchunguzi uliofanywa Masjid manyema Ufanyike Misikiti yooteee...na Makanisa yooteee....

  • @AthumaniJongo-j5d
    @AthumaniJongo-j5d 9 วันที่ผ่านมา

    Duh sasa wakitaka upishe uchunguz kwa kuwekwa imam upo teali shekh jongo

    • @msafirindiyembuke5168
      @msafirindiyembuke5168 9 วันที่ผ่านมา

      Kwa nafasi alionayo ndani ya Bakwata hakuna wa kumtoa katika nafasi ya uimamu

    • @jacksonhantik7597
      @jacksonhantik7597 9 วันที่ผ่านมา

      Aliyekwambia imam Ana husika na pesa ni nani?

  • @hajjikhamis1820
    @hajjikhamis1820 8 วันที่ผ่านมา

    Sheikh Jongo aliwahi kumlilia NYERERE kwa uchungu,Leo anasema anaeilaumu serikali(CCM) amelaanika.Sheikh anakataa kuwa Shetani Bubu.Wallah uislamu wetu hatma anaijua Allah lakini kesho kazi IPO.Kweli tulaanike kwa kuilaumu Serikali hii ?

  • @Chemba67
    @Chemba67 10 วันที่ผ่านมา

    JONGO ANASAFISHA HEWA

  • @mfaumekambi2060
    @mfaumekambi2060 9 วันที่ผ่านมา +1

    Mim nataka wazile mpaka mnataka akale wap nandiokazi yake viji bilionimbili tu mnalalamika jongo kama umechukua wew amnashida mfanya kaz wahekaruni hula humohumo ekaruni kuleni

    • @walidmgonja3644
      @walidmgonja3644 9 วันที่ผ่านมา

      Hujaweza kabisa kuuficha ukafiri wako

  • @mfaumekambi2060
    @mfaumekambi2060 9 วันที่ผ่านมา

    Yani mashekh wakiwa namagari ya milioni mia tu imekua nidhambi wapuuz sana nyinyi baadhi yawaislam

  • @MohammadFaru-i2l
    @MohammadFaru-i2l 10 วันที่ผ่านมา

    Mchee allh unauhakikaa hiyoo nidhanaay bayaaa

    • @AbdallahAlly-b5m
      @AbdallahAlly-b5m 9 วันที่ผ่านมา

      Yeye ni imamu na yupo karibu sana na uongozi sasa shida inakuja kwako wew unaepinga nini unafahamu kuhusiana na msikiti?

  • @khamisimohamed5123
    @khamisimohamed5123 9 วันที่ผ่านมา

    Ndugu acheni dhana za hassadi , mulitaka aseme nini mumuone yuko sana

  • @hajjikhamis1820
    @hajjikhamis1820 8 วันที่ผ่านมา

    Kama KWELI unataka Haki jiondoe kwenye uimamu WA Msikiti WA Manyema baki na Bakwata yako.Miaka yote hukuona huu wizi ?

  • @HamisMwamba
    @HamisMwamba 9 วันที่ผ่านมา

    Asa aulizwe nan wakat wew ndo imam nando muuska mkuu

    • @jacksonhantik7597
      @jacksonhantik7597 9 วันที่ผ่านมา

      Alikwambia nani imam Ana husika na pesa?

    • @adamrutaha4257
      @adamrutaha4257 9 วันที่ผ่านมา

      Hujui Kuna miskiti imamu ni muajiriwa tu ila si kiongozi

  • @japharytwaha8552
    @japharytwaha8552 9 วันที่ผ่านมา

    Hivi aliyemuajiri ni nani

  • @msarama5406
    @msarama5406 9 วันที่ผ่านมา

    Kwa wetu wa bakwata sio ajabu

  • @msakuzikondo536
    @msakuzikondo536 9 วันที่ผ่านมา

    Sisi waislamu tuna matatizo

  • @JamalAbdallah-t1y
    @JamalAbdallah-t1y 10 วันที่ผ่านมา

    Mnadai nini na nyie ndio mliopiga 😂😂😂

  • @AbdulmujibAhmed
    @AbdulmujibAhmed 9 วันที่ผ่านมา

    Wambie navakwata wenzio wanauza Mali za waqfu kila siku

  • @AbdulmujibAhmed
    @AbdulmujibAhmed 10 วันที่ผ่านมา

    Kwanini usiondoke kama unadai mnafiki we

  • @AbdulmujibAhmed
    @AbdulmujibAhmed 10 วันที่ผ่านมา

    Imam ndo kila kitu msikitini hukosi mgao

    • @NelsonNaga-g5d
      @NelsonNaga-g5d 9 วันที่ผ่านมา

      Hapana imamu ni mwajiriwa tu ndani ya msikiti nawala sio kila kitu ndugu yangu

    • @japharytwaha8552
      @japharytwaha8552 9 วันที่ผ่านมา

      Kwani mwajiri ni nani?​@NelsonNaga-g5d

  • @yusuphrashidi-dr1kb
    @yusuphrashidi-dr1kb 10 วันที่ผ่านมา +2

    Hawa Bakwata wezi sana mwezimungu hawasweke motoni amini

    • @jaabirbakar2081
      @jaabirbakar2081 10 วันที่ผ่านมา +1

      Vp kuhusu ww makosa yako Kwa wanaokujuwa , waonaje wakakuombea Dua uende moton waeza itikia Aamiin, Muislam mwenzako wamuonbea aende moton we jahil kweli, s ungesema tuu Allah atuongoze ukijijuwa naww nimkosaji tena pengine kuliko hao unaowadhania

    • @yusuphrashidi-dr1kb
      @yusuphrashidi-dr1kb 10 วันที่ผ่านมา +1

      @jaabirbakar2081 Hivi unavyofikilia hawa wameanza leo mtaani kwetu wameuza nyumba tatu na kuna nyumba moja wakfu anakaa mkwewe muft Alhad mussa hawa c watu mungu hawa sweke motoni Ameen

    • @jaabirbakar2081
      @jaabirbakar2081 10 วันที่ผ่านมา +1

      Bado sio hoja yakuwaombea dua kama hiyo bado wapo kwenye uislam, na Kaz ya Muislam nikumuombea Muislam mwenzako uongofu

    • @ShafiiIsmail-zk9lq
      @ShafiiIsmail-zk9lq 10 วันที่ผ่านมา

      Inauma sana Kuna maskin wajane sehem nyingne tunaswalia chini Wala msaada hamna ndo mana mtu akiwa na jhazba anaomba Dua hii ila Mwenyezi mungu atuongoe @@jaabirbakar2081

    • @TwalijiIsamail
      @TwalijiIsamail 10 วันที่ผ่านมา

      Hiyo nyumba ulitaka uishi wewe?

  • @SaliminSwalehe
    @SaliminSwalehe 10 วันที่ผ่านมา +1

    Majambazi hao