A Swahili Bongo movie starring; Fadhili Msisiri, Bi Nono, Mariam Kassim Movie title - Binti Yangu Aforevo ID - #bongomovies #swahilimovies #mozambiquehere
Yaan binti unakataa kuolewa halaf nje unazini, binti unahiari ubebe mimba nje kulko kuolewa tunakosea sana sisi mabinti😢😢😢😢wanaume washenz kwel kwel mm ndo mana sina imani nao wallah
Huyu dada aliyeigiza kama Amina anajua sana na Kuna movie ingine ameenda kama Shadia duu nampenda sana ila namhurumia yeye wanaume anaowapenda wanakujaga kumuumiza tu mwishoni,,
Haya mambo ya tokea kweli kabisa, watoto wakike wanasubuliwa sana katika ujana ,unakata kheri unafata sharii, wapo wengi Duniani wengine umalizikia kufa kwa kutoa mimba.mitihani kweli.
Stori nzuri mashallah😊lakini kuna makosa mengi yamejitokeza mfano, stori imejikita katika mwez Wa ramadhan na kisha muhisika mwingine miezi ya kujifungua imekaribia na kijana Rashid alimchumbia amina ndani ya mwezi❤huohuo.. Kuweni makini msiigize kimazoea ili muonekane Ndio maana soko la sanaa linapolomoka yote kwa sababu yenu mnaojiona mnajua kuigiza mkijitizama kwenye vioo na kumbe hamna kitu😂
Sawa lkn Jambo la kukataa kuolewa Kisha ukazini Hilo ndo lnaenda na wakati!!??? Tujitahd kufanya maamuzi yetu kwa ajiri ya Allah tuache tuyapendayo kwaajiri ya Allah na na tufanye mambo kwa ajiri ya allah Ila makosa yapo kufanya Toba ndo muhm
Masha Allah hizi ndio mishozo inayo takia kwenye Jamie nimeipenda Sana imenifundisha mengi
Yaan binti unakataa kuolewa halaf nje unazini, binti unahiari ubebe mimba nje kulko kuolewa tunakosea sana sisi mabinti😢😢😢😢wanaume washenz kwel kwel mm ndo mana sina imani nao wallah
Kweli tui la kwanz la pili maji...mashallah tabarak Allah ❤..funzo zuri sna ..Mungu awajalie nyote mlioshirik ktik hii filamu ❤..nawapend bure nyote..
Mwanakulitaka mwanakulitafuta
Nimejifunza nimependa fundisho zuri mashaallah 🎉
Broo Kama mtu akutak jikatae
Huyu dada aliyeigiza kama Amina anajua sana na Kuna movie ingine ameenda kama Shadia duu nampenda sana ila namhurumia yeye wanaume anaowapenda wanakujaga kumuumiza tu mwishoni,,
Mambo
Movie ya shadia ata mm nimeipenda mnooooh
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Haya mambo ya tokea kweli kabisa, watoto wakike wanasubuliwa sana katika ujana ,unakata kheri unafata sharii, wapo wengi Duniani wengine umalizikia kufa kwa kutoa mimba.mitihani kweli.
Mungu atulindie watoto wetu Ameen
Hii movie ya kiutu uzima big up
Stori nzuri mashallah😊lakini kuna makosa mengi yamejitokeza mfano, stori imejikita katika mwez Wa ramadhan na kisha muhisika mwingine miezi ya kujifungua imekaribia na kijana Rashid alimchumbia amina ndani ya mwezi❤huohuo..
Kuweni makini msiigize kimazoea ili muonekane Ndio maana soko la sanaa linapolomoka yote kwa sababu yenu mnaojiona mnajua kuigiza mkijitizama kwenye vioo na kumbe hamna kitu😂
Mashallah may God bless you but dunia yafunza has
Mashallah movie nzur san nimeipend❤❤💥
Shadia &Amina umezicheza mnooooh
Video nzuri ❤nimeipenda
Movie nzuri ❤❤❤from Kenya 😊
Mashaallah movie nzr Ina mafunzo
Mafundisho mazuru sana asanteni Sana Kwa kazi njema ❤❤❤❤🎉🎉🎉🙏🙏🙏🇰🇪🇰🇪👏
Baba Aminah MashaAllaah mtu an dini yake na laiti wazee wetu wangelifuwa hivi ingelikuwa ni khery
Wengine 2 wengine wana dining zao
Masha Allah inamafunzo mazur♥️♥️🙏
Nimejifunza kitu asante saana baba Amina👏🏿
Duuuuuuuh kweli imenifunza leo
Ikufunze 2 hahaha
MashaAllah move zuri kwa wtoto waki lsilamu ❤❤❤❤❤❤❤
..na wa kikritu😢
MashaAIIa h hizin diomishozo inayotakwenye jami enimeipe nda sana imenifundishamengi
kwa kweli naipenda tena na mi penda sijui uyu ni mtoto wa wapi siyo mtoto wa uyu baba apana kwa sababu hana masikyo
Huuu sijui ni uislam wa aina gani jaman
Kwa nn
Waoooooh amaizing, that is what we need
Mtihan mkubw saan
Ana kazi nzuri sana dada 🎉tumpe mauwa yake❤❤💯🥀
Mimi nataka kumujuwa huyo mzee mabuya
Mashaallaah nakupenda sana we dada
Mm namfagilia sana mzee msisili
Duh yalio mkuta Aminatujiazali na wasicha na wengine tulio baki
Maasha Allah
Good movie
good movie
Mama amina kafana na mama ana wa jua kali
Asie sikia la mkuu! Uvunjika guu
❤❤❤❤
Nzuri Sana❤❤❤❤❤
LOOK EVERYTHING IS GONE WRONG 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😢😢😢😢😢😢😢😢
Histtoria nzuri na ina mafundisho mazuri
Duuuu ! Mtihani
Wewe mwezangu amina choz huna jitahid ukilia tuoneshe machoz
Mungu awakuze na awalinde watunzi wahii filam
Woow it has a very good moral values
Mashaalah❤💖
Okay mini natoka mayanja milo
😂😂😂😂mwali anamambo ya kinini😂😂😂emu lundia apoooo
❤❤❤❤❤
Mbona Amina baba
Ongela San baba
Huyu mzee anajua kuekti kweli kweli apewe soda nitalipa
Hapanikweli Ina Bamba sanatu,
Baba Amina moto kuoteambali😂
😂😂 kimemuramba amina
Mov ya maadili ya kujifunza
Next
Mhh
Shukurani kwanasah nzuri tu kiukweli nimejifunza kitu
Umejifuza nn kwenye mchezo huu
❤
Mhm ila yombo sio kwa vituko ivo😂😂😂😂
Huyu mama shida haoni kama mtoto anakosa kila saa msameh
Sio kwa jocho hilo
Shulman bab wengine waige hili
Sitaki natak msisiri bwan
Nataka kupata namba ya huyo aliyeigiza kama mtoto wa mabuya
Ili?
Ivi watu wamekosa mafunzo kwenye gur,an hata huuu mchezo ndio wenye mafuzo kweli
Tui lakwanza lapili maji
Mambo ya kumlazimu binti kuolewa na mtu ambae hampendi yalipitwa na wakati
Sawa lkn Jambo la kukataa kuolewa Kisha ukazini Hilo ndo lnaenda na wakati!!??? Tujitahd kufanya maamuzi yetu kwa ajiri ya Allah tuache tuyapendayo kwaajiri ya Allah na na tufanye mambo kwa ajiri ya allah Ila makosa yapo kufanya Toba ndo muhm
❤
I❤ the movie 😂
ptp
Asalaam alaykum Binti Naomba namb zako
❤❤❤❤
Hi