Tukio kubwa la msingi kitaifa ni uandikishaji majina daftali la wapiga kura halipewi nguvu na ushawishi kwa watu badala yake nguvu zinaelekezwa kwenye mashindano ya Magali ya land Rover hivi Arusha mnajielewa kweli?? Tumsaidie mama tujiandikishe kwa amani tupige kura kwa maendeleo ya nchi hayo magari hayakusaidii kitu mwana arusha
Wewe hata baiskeli hauna. Acha upumbavu. Wako watu wanatoka Uganda Kenya south Africa Rwanda wanaenda Arusha wewe endelea na upumbavu wako. Watu tunakula happy life is too short
Arusha ni mojanya mkoa wa kitalii nchini, hivyo kuongezeka kwa watu kutoka nchinjirani na kikoa mbali mbali kunauongezea huo mji thamani, kwa kipindi watu watakapokuwepo hapo huduma nyingi watatumia , mzunguko wa biashara unaongezeka
Faida zipo nyingi. Hao washiriki watahitaji kula na kunywa,watahitaji mafuta ya gari,watahitaji malazi,nk. Hatujafanya biashara hapo?Tamasha linafuatiliwa kutoka nchi mbalimbali,hapa tunaitangaza nchi,mkoa na fursa zake. Washiriki watakua pamoja kwa siku tatu,ni watu wanajishughulisha na mambo tofauti tofauti,hapo watafahamiana,watatengeneza mahusiano ya kibiashara nk. Sehemu ambazo wataweka camp bila shaka ni fursa kwa wafanyabiashara ndogondogo wanaouza maji,juice,soda,vilevi,mishikaki,chips,nyama choma,nk na pia mawakala wa huduma za fedha watapiga kazi sana.
Maonyesho ya utalii jiji Arusha. Watu wskija Arusha, uchumi unakua. Tunapata fedha za kigeni, wenye hoteli, na serikali inapata mapato makubwa. 1.Nitajie economic activities zilizopo Arusha. 2 method used to promote economic in Arusha.
Mapato mapato Asante sana mkuu wetu kutuburudisha kwa mambo mbalimbali nimeipenda sana
Safi mkuu wamkoa kwa ubunifu
Utalii upo aina nyingi muhimu mapato ❤
Mashaallah makonda anaubunifu wahali juu
Bombaa
Kwanza biashara zitafanyika kama utarii gest watafanya b
Tukio kubwa la msingi kitaifa ni uandikishaji majina daftali la wapiga kura halipewi nguvu na ushawishi kwa watu badala yake nguvu zinaelekezwa kwenye mashindano ya Magali ya land Rover hivi Arusha mnajielewa kweli?? Tumsaidie mama tujiandikishe kwa amani tupige kura kwa maendeleo ya nchi hayo magari hayakusaidii kitu mwana arusha
We nenda kajiandikishe kwani umenyimwa tuache sisi Arusha turushe roho na maland Rover 🤣🤣🤣
Kila kitu kina umhimu wake, hao watu watalala wapi watakula wapi? Hilo ni faida ya wanaarusha
Kwani nani kamkataza mtu kujiandikisha?
Mapimbi kama nyinyi alijua mpo, Katafute interview aliyo fanya Mkuu wa Mkoa jana na WASAFI.. amesha wajibu
Wewe hata baiskeli hauna. Acha upumbavu. Wako watu wanatoka Uganda Kenya south Africa Rwanda wanaenda Arusha wewe endelea na upumbavu wako. Watu tunakula happy life is too short
Kuna faida Gani kwetu na tamaisha ilo
Kama huna faida nalo potezea.Kifupi mind ur business
Arusha ni mojanya mkoa wa kitalii nchini, hivyo kuongezeka kwa watu kutoka nchinjirani na kikoa mbali mbali kunauongezea huo mji thamani, kwa kipindi watu watakapokuwepo hapo huduma nyingi watatumia , mzunguko wa biashara unaongezeka
Unamuelimisha mpumbafu@@zedekiahmagwega8044
Faida zipo nyingi. Hao washiriki watahitaji kula na kunywa,watahitaji mafuta ya gari,watahitaji malazi,nk. Hatujafanya biashara hapo?Tamasha linafuatiliwa kutoka nchi mbalimbali,hapa tunaitangaza nchi,mkoa na fursa zake. Washiriki watakua pamoja kwa siku tatu,ni watu wanajishughulisha na mambo tofauti tofauti,hapo watafahamiana,watatengeneza mahusiano ya kibiashara nk. Sehemu ambazo wataweka camp bila shaka ni fursa kwa wafanyabiashara ndogondogo wanaouza maji,juice,soda,vilevi,mishikaki,chips,nyama choma,nk na pia mawakala wa huduma za fedha watapiga kazi sana.
Maonyesho ya utalii jiji Arusha. Watu wskija Arusha, uchumi unakua. Tunapata fedha za kigeni, wenye hoteli, na serikali inapata mapato makubwa. 1.Nitajie economic activities zilizopo Arusha. 2 method used to promote economic in Arusha.
Shida hakuna kazi ya kufanya ni udwazi mtupu inasaidia nini ?
Hutakaa uelewe mpaka kufa kwako pimbi wewe
Kuondoa mawazo tu ni kipato kwa wafanyabiashara kutoka kwa wageni🎉🎉🎉
Hata angefanya nini usingeona umuhimu! Au kuna kipindi nini kilifanyika ukapewa hela ya bure?