SEHEMU YA 1 - KUTEGUA KITENDAWILI CHA UTOAJI WA ZAKA KATIKA AGANO LA NEEMA1 - Pastor Carlos Kirimbai
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 6 ก.พ. 2025
- Karibu kushiriki ibada kanisa la MANNA TABERNACLE BIBLE CHURCH (MTBC). Kanisa linakutanika Posta mpya mtaa wa kisutu jijini Dar es salaam, Ukumbi wa shule ya msingi Kisutu. Tunakutana kila jumapili kuanzia saa 4 asubuhi mpaka saa 7 mchana. Tunashawishika kukutangazia Maisha yako hayatabaki kama yalivyokuwa.
Amina amina
1 Kor 5:7
Basi, jisafisheni, mkatoe ile chachu ya kale, mpate kuwa donge jipya, kama vile mlivyo hamkutiwa chachu. Kwa maana Pasaka wetu amekwisha kutolewa kuwa sadaka, yaani, Kristo;
Upo sahihi mchungaji nashukuru sanaa kwa kunifungua fikra nilisumbuka sanaa Mungu akubariki uzidi kufundisha kweli
Mungu akubariki sana Mtumishi tumeteseka saana mko wapi mtudaidie maana tunaambiwa sisi ni majizi
Mungu AKUBARIKI SANA MCHUNGAJI Umenibariki Sana kwa mafundisho Yako hakika nimefunguliwa akili na Roho kwa mafundisho Yako🙏🙏
Mungu akubariki mtumishi wa Mungu mafundisho ni sahihi
Ukweli umenifurahisha mtumishi WA kweli
Revelation from the Lord God bless you 👏👏
Haya mafundisho ni adimu Sanaa kuyapata na haswaa ktk kizazi hiki Cha mafuta ya upako,maji,kokoto,vitambaa,mchanga kutoka kaburi la Yesu,picha na sanamu za Yesu mzungu.maana "Mavuno ni mengi lakini watenda kazi ni wachache"
😅 ongeza sauti mtumishi
Amen amen glory belongs to God
Ukweli mtupu kabsa
Amina
Nimebarikiwa
Very powerful revelation...
Unanibarki sana.
Amina
Ahsante Mchungaji
Ameen
Your blessed Groly to God
Naomba nipate contact yako
Huyu kanisa lake liko wapi na linaitwaje
Kisutu shule ya secondary ya wasichana
Maana ili ili upendwe na mchungaji lazima utoe fungi LA kumi na usipotoa huoneshi ushirikiano na hupati kibali chochote
Mungu akubariki sana Mtumishi tumeteseka saana mko wapi mtudaidie maana tunaambiwa sisi ni majizi
Amina
Maana ili ili upendwe na mchungaji lazima utoe fungi LA kumi na usipotoa huoneshi ushirikiano na hupati kibali chochote