Wananchi Ilove your yanga hongera zenu wanajeshi, kamati ya ufundi, viongozi wetu wore na washabiki wenzangu tz na duniani kote naomba niwaone hapa kwa like nyingiiiiii
Kwa Yanga hiiiii iii...........watapata taaaaaabuuuuuuuu sana mpaka wasemeeeeeee. Mtu akitaka nafuu basi ahamieeee Yanga kwa mkopo kushabikia Wananchi iii iii iii iii iii iii iii.
Sema Azam mna-ukike sana.....Yanga mko nae ktk mkataba lkn why matukio ya Yanga haswaa hili la leo hamkutaka kulirusha???? Mbali na hili matukio kibaaao ya Yanga hamko nayo makini
Wananchi Ilove your yanga hongera zenu wanajeshi, kamati ya ufundi, viongozi wetu wore na washabiki wenzangu tz na duniani kote naomba niwaone hapa kwa like nyingiiiiii
Jamn nmechelewa lakin naskia raaaah nkiwa Iringa nahis npo dsm💛💚💛💚💛💛
Mniuweee tu hii timu yangu Mpaka mungu aseme bas
Kombe lizungshwe nchi nzimaaa
Yanga forever
Yangaaaaa forever 🎉🎉🎉🎉
Dah furah kwawenzet tabu kwetu but yatapit😢
Wananchi ni motooo!!!
Yanga 🎉🎉❤
Yanga the only is one in Tanzanian
Kombe lizunguke nchi nzma
YANGAAAAAAAAAAAAAAA HOYEEEEEEEEEEEEEEEEEE YANGAAAAAAAAAAAAAAA BINGWAÀAAAAAAAAAAAA
Kuna watu Wana umia sanaaaaaa😅😅😅😅😅
Sherehe wameorganize vizur mashabiki wamewaangusha ilipaswa UWANJA ujae hadi ufurike vibe la kwenda
Mimi ni yanga ila nikiri TU Simba wanatuzidi mashabiki,wao ni wengi sana
wananchi tumezingua sana kutokujaza uwanja 😢
Yanga ime advance sana
Kwa Yanga hiiiii iii...........watapata taaaaaabuuuuuuuu sana mpaka wasemeeeeeee. Mtu akitaka nafuu basi ahamieeee Yanga kwa mkopo kushabikia Wananchi iii iii iii iii iii iii iii.
Asat
💛💛💛💛
Ila kelele za marefa msimu hakuna ngoja upepo ubadilike utasikia marefa hawafai
Nikweli Sisi Tuliokosa Lakini Tutafanhanini Kama Mimi Nipo UAE Abu Dhabi United States Agalf
Hii ni historia kwetu Wana yanga
Ipi siku ya Simba kufanya hivi Kwa UBINGWA yaani kudherehea UBINGWA namna hiii ???
Acha ushamba wewe mdada mbona hufai kuitwa kolo jamaniiiii 😅😅😅
HUYO DREVA ILICOFTA YUKO VIZURI SANA, ANAJUA KUIPIGISHA MISELE ILICOFTA VIBAYA SANA
Kwani wananchi wako Dar peke yake? Kwanini usifanyike utaratibu wa kulizunguusha kombe nchi nzima?
Napigia mstari
Pesa mtu wangu
Mafuta broo
Wakwanza Mimi leteni mauwa yangu
Jaman wengi kazi mwisho saa 12 ukitoka njiani foleni tuwieni radhi nani mwanachama na shabiki tuamue tu kutokwenda?
Ilibidi kombe lishishushe na kuna Ally kamwe kuwe na vibe, hakuna cha jabu hapo
Hivyo hivyo lkn limeshuka na chopa
Uwanjani watu wawili
Ila yanga wanajua kuiga kwan cmba pia c walifanya cmba day manara na diomond walishuka kwa helcopter xaxa happy cha ajabu ni nn waache ushamba
Mlibeba kombe kwenye hyo ndege
Uwanja pia hawakujaza ovyosana
Wananchi hatuna jambo dogo.
Hahaha wanaiga iyo ilifanyika simba day
simba day walishusha kombe?
Makolo kula chuma hicho
Uwanja mtupuuuuuuu
Mnamchokoza simba mtakuja kulia
Sema Azam mna-ukike sana.....Yanga mko nae ktk mkataba lkn why matukio ya Yanga haswaa hili la leo hamkutaka kulirusha????
Mbali na hili matukio kibaaao ya Yanga hamko nayo makini
Simba msimu ujao ni zamu yetu
0
mbona sisi tunao tumia kompyuta atuoni mpira tunasikiliza kamaredio Yanga ni ☠☠💀💀💀
Ilo kombe wala halihamasishii
Bado haujasema
Linahamasisha la shirikisho😂😂😂😂😂
Nafasi ya pili imekushinda je ungepata kombe si ungezimia😅
Hio sio chopa ni helikopta nyie vp acheni ushamba bas😂
Imekuma 😂
Maumivu makali pole😂😂😂😂😂
Imekuchoma kula chuma hicho